Elizabeth Michael - WAKATI MGUMU NAUMALIZA.
Elizabeth Michael - WAKATI MGUMU NAUMALIZA.
© 2019 - EM
“Many problems in our lives comes as a lesson.” Elizabeth Michael
Subscribe to stay up to date on anything from your favorite actress Elizabeth Michael (LULU)
Facebook: / officiallizym
Twitter: / officiallizym
Instagram: / elizabethmi. .
Studio: Manifester Brand
Director: Stanford
Videographer & Editor: Mo Junior, Albert
Sound: Jadu
Graphics: Omnia, Enzo
#ElizabethMichaelLULU #emTopic
Пікірлер: 337
1.Kukubaliana na Tatizo (Accept Your Problem 2.Chukulia Tatizo ktk Mtazamo Chanya (Be Positive) 3.Chukulia Tatizo kama Funzo ktk Maisha 4.Jiweke Karibu na Mungu
@mariummwate6496
5 жыл бұрын
Natamani ungekuwa rafik yangu maan ninayo yapitia nimengi sina wakunishauti nifanye nini?
@frankiedebrilliant
5 жыл бұрын
@@mariummwate6496 Sawa Nicheki 0714057140
@angelherman5464
5 жыл бұрын
kabisaa
@mashmash2826
5 жыл бұрын
Yes by the way she is very very right
@waikapeter1556
5 жыл бұрын
Hongera mama kila kitokeacho tyr kimepangwa.
Napenda kusali na kukubaliana na matatizo kama langu na litapita. Stop will come and go but God is here to stay with me my biggest slogan
MTIANI NIMEPATA JANA SIWEZI SAHAU ILA NIMESHUKURU MUNGU KWA MAOMBE NA NASHUJURU MUNGU HUOMBA HANANIKIWA SINA SHIDA JU SISI BINADAMU TUKIPATA SHIDA NDIO HUKUMBUKA MUNGU THANKS FOR UR ADVISE LULU MICHAEL GOD LOVE U HAKUNA KISICHO NA MWANZO MIKAKOSA MWISHO IN GOD WE TRUST GID IS GOOD ALL THE TIME ALL THE TIME GOD IS GOOD.
said well madam....ubarikiwe sana, Nina IMANI yakwamba matatizo umkuza MTU kiakili endapo atayafata hayo uloyasema..nimebarikiwa
Asante Madame....mi nikipitia wakati mgum uwa nalia sana na kupiga goti kumwomba Mungu anifanyie wepesi....
Nikweli kunawakat ukipitia iman ya uungu ndan yako inapotea japo kua mungu nikila kitu ktk maisha nikweli yy ndo aletae na ndo aondoae lkn hua inafika wakat iman inaondoka kabisa lkn God bless you love you
Siku zote nyakati ngumu azidumu mbele zake Mungu,bali watu wagumu hudumu
Mimi kwakweli nikipitia wakati mgumu cha kwanza kabisa huwa namlilia Mungu sana huwa Nasali kuliko kipindi kingine chochote hicho ni kipindi cha mimi kujisogeza karibu sana Muumba wangu🙏🙏🙏🙏 Asante sana Lulu kwa ku share your experience.
Thank you so much,niko katika matatizo,nmesikia haya nmepata nguvu kidogo
Yaan Lulu umenigusa mnooooo dear na nimejifunza meng sana kupitia hilo thanks alot my
Hua nikipitia wakat mgum nasal namkumlilia mungu ipasavyo nwisho wasiku nakua sielew tatizo limeishaje alhamdulilah
in sumaary: 1.kubaliana na hali(accept the reality) 2.kuwa na mtazamo chanya (be positive ) 3.chakulia tatizo kama somo(make ur problem as a lesson ) 4sali(pray)
Mungu azidi kukuweka tuzidi kujifunza kutoka kwako @Elizabeth
Asante sana habity umenifunguwa macho hakika hicho cha mwisho ndio kimbilio la kila mwanadam
Huwaga najitahidi niondokane na hiyo hali nkiona sio rahisi basi na relax tu huku nikiamini ni kipindi tu kinapita,na kweli Mungu alivyomkubwa nasahau kabisa najikuta Nina amani na kile kipindi kinapita bila hata mm kujua kama kimeshapita.Mungu ni mwingi wa rehema
Uyo ni ukweli kbs mashaallah lulu Allah azidi kutucmamia wote tunao kubwa you mitihani amen
Mimi nikiwa kwenye wakati mgumu namliliaa mungu and na yaacha yaje koz naamini hapa sioo makazi yangu ya milile so nayaacha yabaki kuwa kama yalivyo kujaa maana ni ya dunia na nitayaacha wakati wangu uki fika kurudi kwenye makazi yangu ya milele.
umeniguxa lulu mungu akubalik
Wow mimi pia huwa kama wew Elizabeth ila huwa namshukuru Mungu kwa nyakati ninazozitia na kuamini ni zampito tu....kwa Mungu hakuna kinachoshondikana🙏
hongera kwa hayo Mimi binafsi nikipata changamoto kubwa sana kitu cha kwanza naenda sehemu kama chumbani kwangu then narelax kwa kusikiliza gospel songs ambazo nazipenda mostly then ile pressure ya jambo fulani ikishashuka natafakari sasa na Mungu wangu natafakari nae kwa kina sana believe me huwa napata majibu though mengine hawezi kukupa hapo kwa hapo lkn suhulisho huwa linapatikana
@redleafmedia6680
5 жыл бұрын
Its true
mimi nikiwa katika wakati mgumu huwa napenda sana kumuomba mungu aniondolee yale majaribu pia huwa napenda kumsikiliza mama kwa kile atakachonishauri kutokana na hali ya wakati huo
Shukran sana mungu akubariki kwa hayo machache uliotuelezea... Mimi binafsi nimepitia magumu mengi ila siri kubwa ni kusali kama ulivyosema, nakubaliana na hali pia( na kulia mpaka nachoka wakat wa kusali au nikiwa chumbani pekeangu). But all in all hakuna kinachodumu milele na mungu zaidi ndo wa kumtegemea pamoja na jitihada zako binafsi... Shukran sana mungu akubariki
Nakupenda sana dada lulu,, utaendelea kua role modo wangu
Asante kwa somo zuri Mwenyezi Mungu azidi kukuinunua Zaid ya hapo ulipo
Asante sn mm nikipata stress yoyote ile huwa napenda kusikiliza mziki mzurii ambau upo pole pole sn Alf nitalia sn then na relax pia hongera kwa kukabiliana na hali uliopitia nakupenda sn Lulu Michael you smart girl
Kweli Naona matatizo yalikujenga. Keep it up girl
Duh asanteee Sanaa kwaushaurii mzurii habbty.
Thank boss lady wa tanzania you diserve it
Kweli kabisa nimejifunza kitu dear, nakukunda mno ❤️🥰💕🙏🏽
This is amaizing Lulu....nkkiwaga na matatizo hua na sali mno yaan hadi nikiwa natembea nasali...cant ge my head off praying na pia ni kipindi ambacho imani yangu inakua juu mno....Mungu anatenda kikubwa ni kuamini na kumpa nafasi si tu tukiwa na matatizo bali hata tukiwa na mazuri.....kitu kingine hua nasikiliza muziki mnoo....
Like it lov umenifanya nijihc kibonge ghafla😘
Nakupenda pia Lulu natamani nikuone isee uso kw uso mm mkenya nitakuja nxt yr Tz nitafurahi sana nikikuona Lulu pllz
she I's amazing... she has grown ....am so happy for her
Me nakupenda sana
Nimebarikiwa sana shikana wangu mungu akutunze mama uishi miaka mingi.
Asante lulu kwa somo zuri nakupendaga bure we katoto Nikiwa Katika wakati mgumu nalia nawaza sana kiukweli umenikumbusha jambo mungu ndiyo kila kitu
Wengi huwa tunapanic tunapopata Matatizo na kulaumu wengine!! Badala ya kutafakari na kuchukua hatua. Somo zuri.
nikipata matatizo nafanya km wewe lkn ni ngumu mnooo ila unakubaliana nayo maana ndio Mungu ashakuchagua kuwa wewe. nakupenda sana na ninatamani kukuona jamaniii
My very own mentor🌹 Huwa nalia ili kupata amani Nakubaliana na tatizo I pray nikiwa nina amani Then napambana nalo kwa hekima ya Mungu
Problems are there to make us,shape us to the better and greater us. They make us who we are. They make us strong imagine a life with no challenges?how will thay be? It wont be a life well lived. Our challenges/problems arent there to pull us down they are there to shape us........its our choice to decide that. #iminspired
@lusekelorichard2787
4 жыл бұрын
Good...
@mpatrickthomastvandradio6038
4 жыл бұрын
That's true with God challenge we are really great in this world better u learn and never forget, Lulu problems are there to teach us may our mighty lord countie to protect u ever day I love you
Nimekusikiliza vizuri, nimekuelewa sana na kujifunza pia. Mi nikipitia vigumu kulia kwanza🤔 mwepesi kukasirika mwepesi kusahau..
Mimi nakupenda sana lulu na umenipa somo
mu wakati mgumu na omba mungu ani sahulishe ivi ni eneleye ku kuwa salama
Lulu you are my age mate but i can say that you are braver than i..you are my inspiration girl..i’ve learned alot of things through you..your entire life has taught many of us on how to believe in our selves,i love you girl
@immaculatalazaro1585
5 жыл бұрын
You are matured too.. I loved your confession
asante mpenzi kwa kutukumbusha hilo mungu akubariki mno
Lulu nakupenda bure mrembo wangu,,Asante kwa somo kwakweli nimejifunza...mungu akulipe katka hili...
Wooow! Wonderful thing LULU! Keep that good spirit alive! May God keep you for us! 💯🙏
Hongera Lulu kwa ujasir ulonaona kwel umestahil kuwa ulivyo kulingana na ulikopita...I love u mama
Thanks kwa nice somo!
Thank u so much dear....God bless u....love u so much
Dah! vizuri sana my queen, kiukweli ktk maisha kuna changamoto sana ktk maisha, lkn mimi hadi sasa uwa najikuta nalia tu mwenyewe kwani changamoto yangu kubwa ni kupata kazi, tangu mwaka umeanza nimekuwa na sumbuka sana ktk swala la kupata kazi na kinacho nifanya niumie nafsi zaidi nikiona hali ya umaskini iliyo tanda ktk familia yangu, licha ya yote haya sijawahi kukata tamaa kabisa ktk maisha yangu, na mtanguliza Mungu kwa kila jambo, cha muhimu nilicho jifunza zaidi ni kumshukuru mungu sana kwani naimani atafanya njia wakati ulio sahihi japo kuna wakati ambao watu uniambia kuwa nime fungiwa kishirikina lkn sitaki kuamini ktk hilo sababu najua kuwa ni pekee ndie mwamuzi sahihi wa maisha yangu, Amen
Mungu akubarik sana Lulu una akili sana nakupenda mdogo wngu
kiupande wangu nikipitia wakati mgumu waga nauzarau na nakua nahisi nakuona kuna wakati mzuri unakuja mbele yangu ivyo waga mwepesi kusahau nahisi mambo mazuri na makunbwa zaidi ya ayo mabaya
Tutole fuju wenae Mungu ndie anatatuwa matatizo yakila mtu kwaiyo tunajuwa hayo upo
Yaani nilijifunza kupokea hayo kutokupokea jambo kwa mshtuko,,,,pale mama yangu alipopigiwa simu na kuelezwa habari Fulani,,,akapata mshtuko Mkubwa hadi kufariki,,,,ni somo nzuriiii Sana'a,, mi pia nawashaurigi Sana'a ndugu zangu kutokupokea jambo lolote lile kwa panikiii
Go Lyulyuuuuu Go Shikana wetu wewe ni zaid yamwanamke na nusu ❣❣
Nakupenda zaid zaid lulu miaka mia kwako
Mungu akukumbuke siku zote za ujana wako na akakutendee siku zako zote za uzee wako mtoto mdogo uliyeniafanya nikue maradufu kupitia wewe GOD BLESS YOU Darling........ sijawahi kujuta kukufahamu
As for me I always try to talk about my situation,not with everyone but with my best friends or try to talk to God if I feel like that I don’t want to share with someone. Be blessed Michael
Wooow Thanx dear lulu
Your so spiritually awakened ❤️ be blessed
Ni njia zinazo weza saidia wengi Asante kwa somo
Uyu Mungu Amubariki sana yani yupo naakili nzuri sana
Namaste.African queen jah bless you
This Great and Inspiring! Thank you so much Dear Elizabeth! Stay Blessed
Wow wow thanks so much my lovely siz Lulu nimepta kitu kutoka kwako mungu akubriki
First to comment 😘😘 jamani da lulu, your such a sweetheart 😘😘 penda weye sana, thanks 🙏 for the good lesson mammy
Such a brilliant young lady.l love your attitude keep the spirit high gal
Umenifundisha Kipenzi changu somo lako nimelipenda sana ndugu ....nakupenda sana lulu wangu weeee ...
Asante lulu nimejifunza
Please continue with these sessions EM
Yaani umenifundisha kitu ubalikiwe
Mimi nikikuwa katika wakati mgumu nasikiya sana nyimbo za mungu na kusali sana
Waooo, Well said sister. Mungu akubariki mnoo. Nimekuelewaaa sana. Pia mimi nikipata changamoto au tatzo lolote kiukwel Naingia chumban Natafakari why and how then naingia kwenye maombi Na kumuomba Mungu anisaidie.
Asanteeee kipenz nimekupata tupo pamoja sn Amin love my
@winfridthomas1689
5 жыл бұрын
Naomba nikulize kitu km auta jali
Shikanae Mimi nikiwa katika halingumu napenda kukasehemu nituliee sana huwasipendi kelele pia Mungu tu ndonapendaga kumshirikisha
Honestly umenigusa sana Lizzy nipo kwa wakati mgumu but sikupata mtu Wa kunishauri Wala kunitia Moyo asantee Lizzy kwa ushauri wako
Mara zote na siku zote uwa nasema kuna kitu ndani yakooo ambacho Mungu kaweka sasa ni wakati wa Mungu kukidhihirisha wazi kupitia weww.....🙏🙏🙏🙏... Gooo gooo gooo my babe elizabethmichaelofficial...... Kuna vitu nazidi kujifunza.. Asante🙏🙏🙏❤
@siamlay7107
4 жыл бұрын
Ishalla lulu nakupenda sana lulu
Thank you nimejifunza kitu, i love you lizzy
Kupitia wewe nimejifunza kitu ....Mimi nikipitiw wakat mgumu namtanguliz mungu nakuomba ushauri kw wakubw zangu
Asante sana kwa ujumbe.. Unajenga na nimejifunza kitu
Natokea kenya bt l love u walai
Akili kubwa kuriko umri. Thank you
1 AND 2 ndio ngumu Sana!!!!!! Kukubaliana na hali na Pengine umesingiziwa!!duhh!! SIO RAHISI.. ILA KAMA Lulu aliweza tunaweza...asante....EML
ujumbe mzur my dada nakuona bure 😘❤️❤️🙏
Amen...Its such a huge lesson! Be blessed.
By the way you have teach me alots because to be honest i always here about your storys you have pass alot my dear but i always see you happy and strong .to day i have learnt something and i will be following you . it is true i have pass alot alot alot but sometime am even tired of telling GOD because na sema not ina bad way but kwani mungu aoni jamani .and funny enough those people who knows GOD ndio huwa wana pitia vitu vibaya vibaya sana but i thank God because i belive he is aleays on my side .one or the reason made me to say this its because ata kama ni mambo magumu vipi imagine nita pata tu njia ya kutokea na sita jua nime tokea vipi kabisaa but naji pata tu nime toka so GOD is great and he love as all. Actully thanks so much because i dont know kilicho kufanya paka uka fikiria hiki kipindi i can say ni mungu tu c
@mashmash2826
5 жыл бұрын
Pliz let me know your next talk pliz i will be following you
Well said..keep getting wiser..love u
Asante kwa hii ubarikiwe sana
Unaniispire sanaaa Lulu
Waoh so waoh....oh my God...
You are Amazing and l am so Glad of the woman you a growing to become. I love you Liz. God above all 4rm 254
Unajua mama na unahekima ! Nakupenda
Very mature girl ' love your real tolk and may God continue using you
Nikipata tatizo huwa najiuliza je katika hili tatizo je kitu gani kibaya sana cha mwisho ambacho kinaweza tokea kutokana na ilo Tatizo. Mfano kama tatizo ni kwamba sina kazi basi najiuliza kitu kibaya sana ni kwamba nitalala njaa na watoto .Basi naanza kujaribu kusolve hiyo outcome mbaya sana ambayo inaleta na tatizo. Naweza lina bustani,naweza okota kuni na kupitia kuni ,income kidogo iliyopo naweza weka stock ya mahindi ndani etc. Kwa hiyo mimi nikipata tatizo huwa na jump kwenye solution zaidi huwa sitako kutumia muda kulichambua tatizo bali natumoa muda mrefu kutafuta solution.Pia naamini ambacho akikuui kinakufanya jasiri. Kwa hiyo hii misemo miwili kwa kiingereza ndio inanipa nguvu. 1)What doesn't kill you,makes you stronger. 2)What is the worst possible outcome of the crisis ?Find solution of the worst possible. outcome
I really like this message and you are a good inspiration for me and nazani hiyi ujumbe imeingiya vizuri kwenye sikiyo zetu na kila mtu ambaye apendi iyi ujumbe nazani aana na fasi katika hiyi duniya.
Learning from the best asante mama G. Love you
Bravo rule.....Nice show Girl. Mungu ndo kila kitu na matatizo uyana muda tu
Thanks for such a super advice,its true en we love you😘😘
Ubatikiwe sana Lulu unanifunguza kitu ndani yangu niko nafazaika ivi nakuwa woman strong