Elizabeth Michael - ROSTI MAINI (PISHI LA LULU)
Ойын-сауық
Elizabeth Michael - ROSTI MAINI
© 2020 - EM
Karibu EM Kitchen, karibu jikoni kutazama PISHI LA LULU.
Subscribe to stay up to date on anything from your favorite actress Elizabeth Michael (LULU)
KZread: / elizabethmichaelofficial
Facebook: / officiallizym
Twitter: / officiallizym
Instagram: / elizabethmichaelofficial
#ElizabethMichael #PishiLaLULU #EMKitchen
Пікірлер: 305
Ingependeza zaidi kama ungetoa maelezo kwa njia ya sauti , au ungeweka maneno kwa chini tuweze kujisomea na kuelewa Kila kiungo unachotumia na hatua unayofanya.
@marrymaganga8585
4 жыл бұрын
Huyu naye hata hatoi maelezo afu anaonekana hasomi text
@angelbwija9547
4 жыл бұрын
Kabisa,kwa sababu atuelewi ni viungo gani katimiye 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@meriannamorris8623
4 жыл бұрын
Yeye anaweka tuu kama vile anatutambia kupika, toa maelezo ndo inapendeza kwani huoni za wenzako wanavyofanya, au umekuja na mpya?
@florarwegasila9484
4 жыл бұрын
100%
@zulfahhussein505
4 жыл бұрын
Ama sio yeye anayepika
Bora nimuangalie Aroma Zanzibar tu unaangalia pishi lake huku na wewe unapika at the same time kitu kinatoka mule mule... Mwingine hataki kuvaa kofia anaachia minywele inaning'inia kama mti wa Muashoki, Mwingine hataki kutoa maelezo yaliyokamilika basi tabu tupu kuvamia fani za watu.
@aisammussa2947
4 жыл бұрын
Kabisa
@esterpromy3183
4 жыл бұрын
Aroma kiboko yao
@neemarajabu3397
4 жыл бұрын
Bora we we umesema ukweli best hakuna mpishi hapo Kila siku kupika vitu laini tu ndio wanajua fani
@happybalama3591
4 жыл бұрын
Mimi najua kupika vitu vingi Tena vitamu kupitia Aroma of Zanzibar na mapishi rahisi
@tiamo726
4 жыл бұрын
@@happybalama3591 anzisha yako utube mummmy
Shukran
Hi lulu, please come back like before don't panic because of others
Maansha Allah
Kufundisha watu kunataka uwe na roho Nzuri ila km unachoyo kidogo mtaishia kuliwa mb zenu na hamjaelewa kitu😅😂😅
@sherrysalim50
4 жыл бұрын
first Name 🤣🤣🤣
@albs1448
4 жыл бұрын
Kabisaa 🤣🤣🤣
@ireneseda8950
3 жыл бұрын
Kwa kweli
Ahsante Elizabethi kwa kutoa ombi langu nimependa sana nikija Tanzania lazima nikutafute
I wonder why some people disliked this video, thnx lulu don't stop teaching us .
I really like
Mashaa Allah maini mazuri yanaonesha test kwa ugali hapo👌
You can cook really good but sis try to explain more plz 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
More experience is needed
I don't think I'm the only saying this to you but we need a voiceover about you explaining
I love UA pam
Asante
Lulu nakupenda I wish nikuone live
Looks yummy
Asanta sana lulu mwanamke jiko sio mashllh
Kituo chako ni nzuri! Ninaona hii kila siku! Njoo uone kituo changu cha jikoni! Ninatoka Brazil na natumahi umejiunga na kituo changu na ushiriki video zangu katika nchi yako! Asante!
Haki Lulu tuekeze viungo ni vipi. We cannot tell by just looking at the video.
@kaninikatua5552
4 жыл бұрын
Sure
@babyhamisi5331
4 жыл бұрын
Hawezi eleza kwasababu hajalipwa ndio maana
Safi
Yum yum😋😋😋
Sijaelewa! We mw hufai kbsa. Wanafunz wako hatuelew kitu
What are the marinating ingredients
Kwani sisi ni mabubu au vp. Mhuuum ungempata Shun kitchen au aroma of zanzibar. Ungeona shoo. Then nikaida sana. Hata kwenye Yale machapati yako huna tips za kutosha dada jifunze zaidi. Na unakuwa huzungumzi bcs hujui pishi ww.
Sio kwa mihoho hiyo😂😂
Hilo sirosti maini shogaangu ayo yanaitwa maini yakupaka mana ukisema Rosti inakuwa rosti kweli nasikama hivo
Yavutia 😋
Mashallah pishi zury lulu lkn pitia comments ujuwe tatizo la wanayo kufatilia
Mhhh ayo maini mabichi
Lulu she is young and beautiful and a bright future ahead but...she luck confidence because most young people nowadays they like to use full English daily naye ana struggle na English .but is sad because swahili is one of the best language on the planet especially Tanzanian so she should put her cooking program in swahili instead of muting and hide her gorgeous face .who knows??it can be someone else. LULU you still young you can take English courses within 2years utaongeya vizuri and you look like you have a good financial stability means you can travel to countrys that they speak English fully so you can learn fast .this advise is from care not shading ❤🇬🇧
Yummy food
Wa kwanza
Ongea bas
Next time tag ivyo viungo unavyotumia..toa list ya ingredients before hujaanza
Mbona Huyo Mpishi Hatumuoni Sura Wala hatowi maelezo ya Viamba Upishi Hapo Htujafaidika.
Hajui kupika
Yummy 😋😋😋
Ingredients zingine kukuzionesha mwanzo alafu umekuja kuzitumia and sio zote umeweka majina
@priscajoseph2839
4 жыл бұрын
Mbona yamekua meus, rost main umekkosea lazma liwe jeusi
Good
Kwanini kaosha maini na maziwa
Maini pambe
Mbona vitunguu na hizo mboga mboga zingine hazijakatwa vizuri
Maini na limao,ni jiwe latokea
@annalekule2180
4 жыл бұрын
Nansi Kilovele 🤣🤣🤣shida ya kucopy mapishi ni ubunifu ndo maana hatoi maelezo
Atujaelewa
Majizo anafaidi😋
Lulu kuna viungo vingine me sijavijua ungeongea ingekuwa bomba sana
Mbona kama roho imeniuma hayo maziwa kuoshea Maini
@frorenceetoile3016
4 жыл бұрын
😂😂😂😂pole jikaze
@onlytecna9498
4 жыл бұрын
Halima Hamid hahaha hata mm
tutajie pia viungo unavyoweka tuelewe vizur😮
Heee vitunguu mapande,karot mapande hoho mapande, yanatakiwa ya we m akubwa ila sio vikubwa sana,na utuwekee maaelezo
@tinagrace7010
4 жыл бұрын
Yatakaba walaji
@asmahomar8489
4 жыл бұрын
@@abrahamsimkoko8956 kwel
Hey lulu what did u use to wash ur maini
Explain pliz
Mimi nazani hasomi comment za watu sasa apo tutajuwa umeweka nini na nini
Duuuh nampenda huyu Dada jamn...we upike vizuri au vbaya I wll always like Dr move on cwty
Ushauli uweunaonge maan hatuelew .
Speak speak...
Elezea ingredients hapo ndo somo la upishi liliposimama otherwise 👍👍looks yummy 😋
@irenealexander3844
4 жыл бұрын
Huyu sio yeye lulu mpishi mwingine mbona aonyeshi sura wala sauti
@ashtonmzumara4020
4 жыл бұрын
irene alexander itakua ivyo ,you’ve got a point
Mapishi bila maelekezo ya vipimo na ingredients 😂
@pasuakaratu2601
2 жыл бұрын
Labda ni bubu😹😹
C wema wala ww lulu mfanyavo mnakosea...JIFUNZENI KWA KUWAELEZEA WATU.#WASHAMBA .COM,MNAJIPIKIAPIKIA TU ILIMRADI...
@noelashoo6043
4 жыл бұрын
Wanajaribu Kuita followers wa Insta Kwa njia Hii kila Msanii anapika KZread basi vieleweke si vibaya.
@azzamahamdu7039
4 жыл бұрын
@@noelashoo6043 washamba toka lini nao wasanii wakajua kupika 🤣🤣wao kazi yao kudanga tu.povu ruksa
Lulu tufundishe kupika chapati pia za kusukuma 🤝🤝🤝
Lulu napenda kuangalia mapishi yako, but at once unapanic sana kwenye upishi, 2. Hutumii sauti kutuelekeza na tufahamu viungo unavyotumia.... Sasa ndugu yangu hiyo sio recipe nzuri
Ata sijakulewa umenilia MB zangu tu
Lulu wangu umebarikiwa tege
Unabowa kweli na hiyo miziki yako washindwa kutiwa sauti yako
Mpishi ji bubu au
Hapana
Viungo vingine tuote 🤓
Hongera lulu.ila jitaidi kuelezea kidogo viuongo unaweka ila hatuelewi unaweka kitu gani
Mbona avivutii
Unapika kutufundisha au unajifurahisha tu mwenyewe? Maana upishi wa kibubu hamna hata maelekezo ndo nn sasa
@mrmoafanmula5558
4 жыл бұрын
Kim Tan Ya hajui kitu uyo
@fatmakhamis7876
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@christinaphilipo9834
4 жыл бұрын
Kim Tan Ya sanaaaa
@mimahakee789
4 жыл бұрын
Hatujui hata kaweka nin badala aongee
@debraaura5936
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 upishi wa kibubu, I die
Dada Lulu, tunaomba upunguze spices
ujui kupi kamain mama main gan ata nyanya aionekan
Lulu plzzz ongea tuelewe somo mamy
Mama G
Mi maziwa yakuchezea kuoshea maini Sina jamni
@collyrobert8901
2 ай бұрын
😂
Uwii lulu sima ninayo naleta bakuli huko
Mbona huandika viuongo unavyoweka...tunaona unaweka tu
Ata hatujui umeongeza nini
apa tunaliwa tuu mb atasielewi
bado hujaeleweka
Tafadhali lulu uwe ukijieleza step by step sa cc tungependa kujua hila tunaona tu ukichanganya vtu. Hata hatujui n nn ni vyema ukitueleza viungo majina yake then vle unaweka kiasi kivi tafadhali dia upishi wako n bora hila tueleze mamaaa tafadhali kama utaona hii comment ningependa uzingatie haya hila nakupenda Sana
Sijaelewa ata chochote hapa
My dear ungeweka sauti au hata maneno tusikie n kuelewa zaidi vitu ulivyotumia
Uwe unatuambia viungo unavyoweka lulu
Nyc recipe thanx. Just a polite question please; Why should we wash the liver with milk before marinating? Thanks
@hellendinahlwesya3581
4 жыл бұрын
I second this
@annekimeu59ak
4 жыл бұрын
To remove that bitter taste
@brownbabygirl1284
4 жыл бұрын
@@annekimeu59ak Thanks for your reply.
@pamelapeter437
4 жыл бұрын
soaking in milk helps to remove toxins (maana inafanya kazi ya kuondoa sumu mwilini) liver requires a good wash if need be
@brownbabygirl1284
4 жыл бұрын
@@pamelapeter437 Noted thanks for the tip. 😘
Wa2
Anafundisha ao anaonyesha cakula cake
Ungekuwa unaandika maandishi kwa chini kunawengine hatujui hivyo ni viungo gani heli unaandika ushauri tu
Yani sielewi kwann viungo vingine hutaji
Kupika hujui jp nakupenda sanaaaaaa
Maandishi yanaondoka haraka mno
Mwanike usipike kibubu hivyo ungeelekeza ingekuwa chiza sana.
Binafsi hujanifurahishaaa mapishi yako ovyoo
Leo imekuwaje sauti hamna?
I love your work but a kind request please and don't be offended..... Atleast tell us what you are adding and when..... Tell us every process and do it slowly... You are too fast..... From kenya....
Lulu uwe unaongea my tuelewe ivo viungo
Tell us which spices are those
To a maelezo kwa sauti
Elizabeth pita Comment mama
Mbona hauonyeshi unaweka nini ktk kila hatua unayopitia..? Ili tuone na Kuelewa. Ingekuwa bora zaidi