DR SULLE APATA KIBOKO YAKE NI MUONGO ATAJA JINI LINALOMUENDESHA LENYE UTAJIRI
Жүктеу.....
Пікірлер: 793
@awadhrajabu1403Ай бұрын
Ukimsikiliza Uyu Ostazi Maneno Yake Yamejaa Elimu Kubwa Sana Sijajua Kwa Watu Mnaomsema Mnawaza Nini Kichwani Maneno Yake Ziko Pointi Nyingi2 Moja Anasema Mtu Ukipata Pesa Kupitia Jini Ujue Wewe Unamuamini Jini Kuliko Mungu Na Yapo Maneno Mazuli2 Tuache Kusema Uchawi Uchawi Mimi Nachukia Sana Mashee Wale Kazi Yao Maubili Yao Wanawake Na Ngono Wanawake Na Ngono Mpaka Unawaza Inamana Kitabu Kinazungumza Ngono2
@abdulrauphaiy3032
17 күн бұрын
Naam.
@user-je7no7lq7d
15 күн бұрын
exactly
@fredducaunt
15 күн бұрын
Hakuna cha elimu Wala nn Ushirikina tu Mwogopeni Mungu Achana na mapichapicha Jini ndo ushenzi gani acheni dini za uongo
@abelwillium42868 күн бұрын
Kaka nimekuelewa vizuri Sana Ira mtangazaji hajakuelewa
@user-bc2wd1sq3kАй бұрын
Kesho Miele ya Allah kutatanda 😢😢😢😢😢😢 na jasho, Ya rab nisamehe mimi na unionize ktk kheri na uongoze ulimwengu mzima.
@ramadhaninchimbi8807
26 күн бұрын
Huyu jamaa ni mshirikina...Tanbih kwa waowafuata hawa jamaa kwaajili ya tiba,,wajue wanawaendea washirikina wanaojificha ktk kivuli cha dini
@user-pe1qv1sn5pАй бұрын
dunia hii inamambo mengi sana mwenyezi mungu atunusuru mana kila mtu analake kwasababu moyo wa mtu ni msitu Allah atuongoze ktk kheri zake atuepushe na tamaa za maisha haya kumekua na mambo mengi mnoo yaarabi tunusuru yaarabi
@Matunzo_Classic
25 күн бұрын
1a
@mohammedrutta49892 күн бұрын
Inna shshriki ladhulmun a'dhwiim.Hii ndo dhambi kubwa kuliko dhambi yoyote kuweni makini na hayo mnayoeneza na muandae majibu mazuri kwa Allah s.w
@user-rt5vq5vc3kАй бұрын
Subuhanallah Allah tujalie mwisho mwema
@Onchieku-cp8wd
Ай бұрын
Uislamu ni miongoni mwa wachawi, washirikina na ushetani pia
Kuita jinn ni katika ushirikina ushahidi aya ya 6 suratul jinn na hadith ya mtume (s.a.w) alipomfunga sheytwan akakumbuka maneno ya nabii suleiman ('alayhi salaam) aliposema Allah (s.w) asimpe kiumbe yeyote uwezo aliopewa yeye wa kuamrisha majinn Hakuna wa kati na kati ktk kuleta rizk, Allah (s.w) haitaji pete kukuletea rizk wala jinn muogope mola wako rejea ktk manhaj sahihi ya ahlul athar wa sunna wa jama'a kutoka kwa ufahamu wa wema waliopita
@RamadhaniMsukuma
Ай бұрын
We😂 nawe hata haujui tofauti ya shwaitan na jini
@AbdulMikidadi-sl9gx
Ай бұрын
@@RamadhaniMsukuma tafauti yake nini?
@user-kn8pw7vk4e
Ай бұрын
Hadithi tu izo ...sifa za shetani hakuna wa kumfunga zaidi ya MWENYEZI MUNGU, funguka akili
@user-yv3qi1yf3j
11 күн бұрын
Swadakta
@user-qw3fj1zw6p4 күн бұрын
Mungu nijaariye mimi naummawako woote
@allyally5124Ай бұрын
Masheikh wa bongo njaa zinawasumbua sana.. Allah atawahuku.
@rashidbusanya5843Ай бұрын
Allah kuongelea shiriki Kwa mara nyingi zaidi Tena Kwa uzito kunamaana sio Bure
@user-yv3qi1yf3j11 күн бұрын
Wote washirikiina muislamu safi anamjua mungu pekee.
@ismailsoud3634
3 күн бұрын
Abdullah ni neno la kiarabu, pia ni jina Abdullah maana yake ( KUMTEGEMEA MWENYEZI MUNGU ) sasa wengine Wanategemea majini kinyume na Mwenyezi Mungu. Hili ni balaa.
@nundabeАй бұрын
Mimi na YESU wangu fresh, pengine panatisha…
@softymoha5484
Ай бұрын
yeu hakuwa mkiristo. wala wakiristo hamufwati yesu wala mafundisho yake wala lolote alilolifanya yesu hamna mnalilifanya. kwa taarifa yako. yesu hakuwahi ingia kanisani, wala wakati wake hakukuwa na kabisaa sasa wewe unamffwata yesu yupi?
@AlfredZacharia-of3je
29 күн бұрын
YESU ni kristo, na sisi niwakristo soma wagaratia 3:29. Na tunafuata mafundisho yake, kwanza tunaamini kuwa alikufa na kufufuka, tunabatizwa kama alivyowaamulu wanafunzi wake, matayo 28:19
@fredducaunt
15 күн бұрын
@@softymoha5484toka pepo
@mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын
SUBHAANA ALLAH SUBHAANA ALLAH YAARABBY TUONGOZE NAHAWA NDUGU ZETU KTK HAKI ZAIDI
@trophywilson7211
Ай бұрын
Tunapata Maneno jinsi waislamu Wanavyoita Majini na Jinsi wanavyotajirika kupitia Majini
@yusuphibrahim-yq9mvАй бұрын
Allahu akuongoze ktk hqq ndugu yangu
@omarmzaham724824 күн бұрын
!!Hii ni SHIRKI!! kwa muislamu yeyote anae soma labda hana uhakika hapa, tiba ya ruqya na shifaa yeyote inatoka kwenye Quran kwa idhini yake Allah(s.w.t) na RasullAllah(s.a.w) ame tu ongoza kwenye Sunnah zake zote na dini ime kamilika usi danganywe kwenye Bidaa,ingekua kweli haya mambo sijui nyusi za samaki sijui nini ..kutoka kwenye sahaba wa kizazi cha pili auTābiʿū al-Tābin ingekua hizi sunna zote ziko wazi kwa waumini...chunga imani yako na amali zako jitenge na kufur!...
@JumaHamisi-qh3loАй бұрын
Acheni kuusema uislamu kwa vibaya kwasababu ya haya maneno qur-ani na sunaa za mtume Muhammad swalla llahu alayhiwasallam hazjafundidha upuuzi 17:54 hio
@halimamohamed4842Ай бұрын
Subhnallah Allah tujalie mwisho mwema😢😢
@Ostica..Omie..juniorАй бұрын
Wewe mtangazaji..ni mgombanishi sana..DR sule ajasema kuwa aiwezekani kumwita jinni..amesema kuwa inawezekana rakini inaitajika uwe na elimu ya kutosha ya kuongea na majini...ninekusawisha vizuri mtangazaji..ukiwa na elimu ya kutosha ya kuongea na majini..utakuwa nao uwezo wakuwaita
@abdallahmkali3251
Ай бұрын
Mtangazaji amejikanyaga
@chunaabdullah1333
Ай бұрын
Alafu anataka kujua kila kitu mtu ashasema ni siri yake lakini yy analazima ajue khaa
@FridayMwassa
Ай бұрын
Unamwita jini Kwaajili ya nini,nyie watu acheni uchawi, Muhammad hakuwa mtume wa Mungu na ndiyo maana hakuna mahali kwenye koran panaonyesha Mungu alisema naye kama alivyosema na wakina Musa, Yesu, Samuel au Daniel,mud ni muongo na ndiyo maana hata mafundisho yake yanachanganya sana
@hatibubalozi592
29 күн бұрын
wewe mwehu huna akili@@FridayMwassa
@maciaali3698
13 күн бұрын
Mwamini Allah,hakuna mafundisho ya Pete katika Quran tukufu watanzania wacheni ushirikina
@rukaka_jr451412 күн бұрын
Sule anachakujifunza hapa, ule wa sule ni ushirikiana wa wazi na kakufuru mpaka sasa
@ismailsoud3634Ай бұрын
Acheni uongo, kwa Mwenyezi Mungu hakuna siku mbaya, siku zote ni nzuri. Vinginevyo ni shirki. Na sio mnaita majini mnaita uchawi.
@LumolaSteven
Ай бұрын
Una ushahidi gani kusema siku zote ni nzuri? Siku ya ijumaa ni siku bora kuliko zote imetukuzwa na tumepewa umati Muhammad.
@ismailsoud3634
Ай бұрын
@@LumolaSteven Siku zote ni nzuri, na Al jumaa ni nzuri zaidi Na ndiyo maana inawakutanisha waja pamoja..
@ismailsoud3634
4 күн бұрын
Kweli, ubora uliomo ndani sala ya al jumaa ni bora kuliko uhai wako. Ila watu hawajuwi. Njooni kwangu niwafafaulie sala ya al jumaa na siku yenyewe. Nipo Toangoma( al musabih ) na maswali yenu yoye najibu Mimi mfano kama waliopita. Allah ameniruzuku elimu toshelezi.
@jovinmancomedytzАй бұрын
Mungu akujalie kaka mi nimekuelewa sana sule anatuongopea sana etikunamajini wazuri nimekuelewasana kaka
@alianboori9734
Ай бұрын
Mm pia namkubali
@ala160818 күн бұрын
Muthani kweli kweli mie nampenda sana sheikh Nurdin kishik havai pete kbsa 😢😢🤔🤔🤔
@kasichimoses686916 күн бұрын
Wewe unasema kweli na hutaki unafiki, endelea kuweka wazi wengi wajue, mwenyezi Mungu atakukipa mema, achana na muongo dr Sule
Wote waongo hawa, si ktk mafunzo ya Quran wala mafunzo ya Mtume salallahu alayhi wasalla. Majini wema wanaomtii Allaah hawaingii ktk vichwa vya watu wala hawashirikiani na wanaadamu.
@KassimAlly-xp4dz
Ай бұрын
Swadakta
@thabitimkufi7388
Ай бұрын
Yaani hawa waganga kweli leo ndio wanaiharibu dini kiasi hiki
@FatmaayoubsuleymanSuleyman
Ай бұрын
(@@thabitimkufi7388
@8pistons194
Ай бұрын
Hakunaga shetani mwema acheni uzwa,wa
@FridayMwassa
Ай бұрын
Majini wema uliwaona wapi, mafundisho potofu ya Muhammad,
@rashidabasi794018 күн бұрын
Watu wengi wanaingia kwenye ushirikina kuamin ktk majin ni watu twariqa, wanakumbwa sana na mtihan huu.
@shamimnelly.8042Ай бұрын
Huyu ana ukweli fulani mimi najua na naelewa chenye anakiiongelelea
@vijanawapendakherfoundatio5069
Ай бұрын
Umemuelewa kwasababu ya rugha lakini akuna kitu
@hakizimanaselemani1995Ай бұрын
Mimi na fwatiya sana vipindi vyako : Ila naku hakikishia wote wana tumia ilimu ya Siri ambayo ki sheria yaki islam ni shirki aina ubish ndanimo , Allah pekee ndo mwenye kutowa utajiri na ku kadiria kila kitu , Allah ndo mlinzi , na akuna ushirika wowot saw bin’Adam n majin wot weny kumia ilumu y nyota wot nyuma yao kuna nguvu y jini hutumika nao yot ni ushirikina , haijalish alo sem ame vaa kanzu na kilemba au ni mwarabu au ni nani Ila dini yetu iko waz waz , ndoman mtume saw ame tumia miak mingi kuifundish tauhid, turizik n maish alo tukadiria … Allah uko shahid nime fikish
@albertpike6208Ай бұрын
12:55 kitu chochote ukivaa kwa malengo ya kinga huo ni ushirikina hata ukiandika aya za quran alafu ukazitundika ukutani ama mlangoni alafu ukaamini ni kinga yako huo ni ushirikina
@jumaa052
Ай бұрын
Je upo Sawa kabisa usitoe hukumu Hali ya kua hujui hukumu ya jambo
@thabitimkufi7388
Ай бұрын
Yaani hawa waganga dahh dini inaharibiwa jamanii
@user-pl8pn7qb9e
26 күн бұрын
Hawa waganga wa kienyeji ndo wanao tuharibia dini ,ushirikina umewajaa
@joshuaandrew386Ай бұрын
Namshukuru MUNGU kuwa mkristo Hakika nipo mahali salama na pa uhakika ni njia isiyo na shaka yoyote.
@Anuarmustafa4128
Ай бұрын
Bado hunawa salama yesu anaenda kukukataeni mbele ya mungu
achakuogopa pumbavuwe uklsto niushilikina kaamini yesu nimungu kumpinga mungu kusema kunamungu baba namungu mwana niushilikina kuamin msalaba nakuutii niushilikina waklstowote niwashilikina kakuna mklsto anabisha nimpeandiko ndani yakitabuchake biblia awa wakilsto niwasomi ila awaisomi dini wanaelimu yakutafuta ajilatu kwaio wewe usiogope kusema ukweli abuwewe mklsto soma kwanza issaya 10..56
@user-ve3wu5jn1l
Ай бұрын
Hahahahaha . Allah akuongoe ujue njian sajihi
@OG_The_King
29 күн бұрын
Amina, Hakika Yesu ni Bwana
@user-hi8le2vb7zАй бұрын
JAMAAA KASOMA HAYO MANENO SIO YA KUOTESHWA😊,,,NA NDIOMANA TUNAMSIKILIZA,,,OPTION NI 2 TU,,,KUBALI AU PUUZA,,,USIANZE KU CRITISAIZ WATU NA HUNA UNACHOKIJUA TULIA ELIMIKA.
@saidishekalaghe3496
Ай бұрын
SWADAKTA
@mpodilesefu3437
Ай бұрын
😂Ni kweli kabsaaaaah
@abubakarahyan9515Ай бұрын
Yye hyu anajita bin laden aah hwa wote matapeli wallah mungu shahid hta mm kanitapeli anatafuta umaarufu hana lolote Na ushahid ninao juu ya u tapeli wke asimponde mwenziwe, asitoe aibu ya mwenziwe wakt zak anazoo
@SuleimanMsechu
Ай бұрын
Ulikutapeli je tuambie
@MathayoAugustinoАй бұрын
Mnamtania Mungu
@CKMO27 күн бұрын
Hii imekuwa Bishara ya uganga sasa wallahi j😢Jamani watangazaji acheni kutafuta waganga kwenye mitandao watu wote wenye tamaa fupi muwataingiza ktk ushirikina hii dunia imekuwa ya ushirikina tuu loooh mungu atuhifadhi
@sadikiissa7756Ай бұрын
Waislam tujizatiti ktk kusoma Tawhiid na kujifunza tiba ya Ruqya ya kisheria kwa jinsi Mtume S. A. W alivyofunza.
@jesusislord9190
Ай бұрын
Bado ni uchawi na majini watakuja tu uislam na majini ni kitu kimoja
@jpmanotaofficial639
Ай бұрын
Mtume wako kajifunza kwa nani na yeye
@jesusislord9190
Ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 mtume gani?? Sijawahi kuwa na mtume mchawi
@mohamedmwatuwano5526
Ай бұрын
Huyu jamaa anajichanganya. ALLAH ndio kila kitu, haya mengine ni utunzI na uzushi tu wa siku nyingi. Huyu jamaa ni kibaraka wa maandishi asiyo yaelewa vizuri. Muulize nani kaandika hivyo vitabu. Mwambie aende akasaidie wapalestina wasidhulumiwe na waisrael. Kama kweli elmu hiyo yawasaidia waarabu wangesumbuliwa na muamerika. Huo wote ni ulaghai. Kama kweli hio elmu yao na mapete yao yafanya kazi nawaruhusu waitumie kunidhuru mimi, wayatume kwangu majini mabaya sana wafanyie unyama watakavyo wao. Hawa watu wana elmu potoshi. ALLAHU AKBAR!
@fredducaunt
15 күн бұрын
@@jesusislord9190😂😂 washenzi hawa wananafasi yao peponi kuongopea watu na kupotosha watu sio bure
@user-lr6ri8bx2fАй бұрын
Innalillah Wainailayhi rajiun
@ZaharaamiriАй бұрын
Subhanallah Allah Akbar Nyie ni washirikina wakubwa sana Na mtaingia motoni milele Mnatuaibisha ss waisilam
@sulekhan7119Ай бұрын
Hakuna jini wakuleta pesa fanyeni kazi acheni kudanganya umati Muhammad
@issahajjiira5411
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@thabitimkufi7388
Ай бұрын
Sahihi
@meckmussa1840
Ай бұрын
Sahihi, Hawa wote ni wezi tu.
@alijuma675
Ай бұрын
Mmoja kaua kisha kapotea mkali wa tiktok
@salumuledisalum8038
Ай бұрын
wote hawa ni wezi tu wapumbavu hawa
@hashimudizele3519 күн бұрын
inakuwaje shekh ..... hahahah ndugu mwanadishi zingatia mazingira ya salamu
Ukristu ndo dini ya kweli Duh nkajua mnaakili kumbe manyumbu tu Majini toka lini akawa integral part na Dini Upuuzi huu
@shamimnelly.8042Ай бұрын
Huyu jamaa Ameongea vitu vya ndani saana tatizo watu kuambiwa ukweli ndio hawapendi
@chunaabdullah1333
Ай бұрын
Kabisa, lakini Kuna watu kuelewa ndio shida
@rashidkapile
Ай бұрын
Wengi wavivu kusoma huyo dogo kasoma
@eliudieliya6394
Ай бұрын
Huyu ostadhi anapatikana wap
@user-yd3me5rr2z
24 күн бұрын
Huyu jamaa anaelmu kubwa sana
@AishouSamanthaАй бұрын
Mmmmmh dunia iyi inamengi kwl allh tup mwisho mwem yarab
@vijanawapendakherfoundatio5069Ай бұрын
Watu wengi wamebabaishwa na lugha mkamuona huyu shekh apana ni shirki tu
@abuarifhassan6316
Ай бұрын
Sikliza mpk mwisho amefafanua vizuri kabisa
@luqmanjafari
18 күн бұрын
Hakuna chchte hapo
@mwatumsaidi5104Ай бұрын
SubhanaAllah mtihani Allah atuepushe na shirki
@FadhilKassim-qj8tc20 күн бұрын
Huyo na Dr sule wamoja
@user-ei9rh7vh7e16 күн бұрын
Tumcheni Allah tungu zanguni kwenye uwislam elimu zote zipo tunaamin lakn so kila elimu inafaa kuifanyia kazi ,hapo hatuna masheikh wote wamrudie Allah kabla kufa
@maciaali369813 күн бұрын
Hawa watanzani wote washirikina mtapata laana kutoka kwa Allah
@swahilitherapytv3846Ай бұрын
HIZI ZOTE NI ELIMU ZA SHIRIKI MSIMFUATE WAISLAM. WAMUACHE ALLAH HAWA MASHEIKH NI WA GANGA KAMA WANGA WENGINE
@alianboori9734
Ай бұрын
Elmu zipo ila kuwa na mipaka yake
@thabitimkufi7388
Ай бұрын
Sahihi
@SaeedMughayyar-jv8et
16 күн бұрын
Kusoma hizi elimu sio shida madhali Allah ametuteremshia, ispo kua ni mbaya sana kiupande Fulani kama ukizojua Kuna asilimia kubwa sana ya kumuasi Allah. Binadam tumeumbiwa na tamaa
Wengi hawa ni wachawi na washirikina watu wa Elimu za majini na nyota n pete
@abiboseleman1649Ай бұрын
Wenyewe Kwa wenyewe😅😅😅😅
@azizabuyonde8368Ай бұрын
Yaaani jini anajuwa dini la kislamu, kanisani hatupandishi jini, sisi tuna Roho mtakatifu
@SAIDNYUNGU2 күн бұрын
Huyu na dr sule wote wasafiri wamoja gari moja isipokua mmoja manamba mmoja konda
@MeenaHassan-fd9vvАй бұрын
Kwa uchawi na majini saluti sana kwenu
@aziziatumanially42422 күн бұрын
Asante mtu uliyenihubilia injili ya Yesu
@muhammadmbaraka4515
19 күн бұрын
ALLAAH akuongoze
@noors7030
5 күн бұрын
Ukae ukijua wate ni washirikina wanamshirikisha Allah na majin Muslim humuomba Alla pekoe mmoja tu
@muhsinkimaro428317 күн бұрын
Unajarib kukwepa maswal ya mwandish lkn uhalisia ww nk mshirikina live, pete unaisomea dua
@rahmasuleiman788819 күн бұрын
Washirikina hawa wajivisha ushekhe wapotosha watu bila ilmu
@user-ih7nl5nv3cАй бұрын
Tuwasomeshe watoto wetu ttauhidi wasije kua waganga
@kaundemtangaАй бұрын
Uyu kijana nilimjua mwaka 2021 anaitwaa sir Bin laden Nilimpata Kwa Bingo alinisahidia Sanaa kunitibia matatizo yangu uyu anajua haswaa Tiba SEMA umri wako ni mdogo
@gideonjohn8912
Ай бұрын
Habari ndugu naomba namba zake ninamgonjwa labda anaweza nisaidia
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@gideonjohn8912 Kachukua kwenye channel yake inaitwa firdausi
@hamisiiddi7340
Ай бұрын
Tunaomba namba
@GoodDeeds-Jesus
Ай бұрын
Naomba kuwasiliana na wewe tafadhali nikwambie Habari za uponyaji kupitia Yesu Kristo kama hutojali @@gideonjohn8912
@mansoorsuleiman164520 күн бұрын
Acha uongo ndugu yangu kumbuka kuna kesho unaongea uongo tu na hata hufikirii hio elimu wenyew ya majini hujui acha kupotesha
@user-rh6jd2zh6z28 күн бұрын
Naomba namba yako sher
@masoudjongo19 күн бұрын
Naisi huyu muandishi anaeye hoji ana kumbukumbu na anaowaoji unafarakanisha hapo
@bare-gj2mu4 күн бұрын
Da Hawa wakristo nao Hawana akili kabisa mwanaadamu anawezaje akawa mungu. Mtu amezaliwa anawzje kuw Mungu, jamani hii ni akili kwel ya Mt?
@alianboori9734Ай бұрын
Asalaaleikum Mimi naomba namba ya kija kama munayo. Naomba munisaidie.
Hiyo sio elimu bali ni uchawi.acheni kudanganya watu
@saidabdalla8996Ай бұрын
Majini tu hayo
@tahirnephessalum367817 күн бұрын
kiebrania ndo lugha aliyozungumza yesu...
@saidjuma454723 күн бұрын
kuvaa kanzu sio ushekh
@mohammedjabir612827 күн бұрын
Kajitahidi shekhe kueleza lakini hapo katika pete kachemsha, Allah amuhidi!
@user-tw3nn9pb1s21 күн бұрын
ww umepotea siy sehemu sahihi jesus christ
@user-kn8pw7vk4eАй бұрын
Daaah...!! kazi ipo ktk izi Dinni...
@hamzarangi7989Ай бұрын
Mtangazaji umemsingizia dr sule huyo shehe yupo right ila umemsingizia dr sule hawezi kusema jini haitwi
@KhamisOmar-kt4kzАй бұрын
Mshirikina sana ww tubu kwa Allah la si hivo Allah atakutia.motoni
@hassanmohammed6229Ай бұрын
Aww msiwasikilize hawa wahuni shauri zenu.elimu ni bahari 🙏🙏
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Bakabla hujacoment kwanza umewaskiliza alafu ndio umecoment Sasa unatwambiaje tusiwaskilize?? Kwanza Kuna kuskiliza na kukubali
@hussenihamisi286219 күн бұрын
Achani kutukana uislamu kwa mambo yanu ya ushurikina uislima nidini anayo pingana na mambo hayo
@raymondmunis355321 күн бұрын
Unahoji watu wenye sifa hizo tafuta watu wenye elimu.Pete zilizokuwa zikitumika kipindi hicho ni alama au kama muhuri ilikuonesha ujumbe umetoka kwa nani?Hao ndio wanabadili sasa kuwadanganya watu
@moudy4realibrahim601Ай бұрын
Naomba umuulize sheikh hukmu ya kumdhurumu mtu haki yake inakuaj kwa mwenyezi mungu
Huyo sheikh mwenyewe anang'ata maneno hajaweka wazi anavaa hiyo Pete kwa malengo gani anatakiwa afunguke kama anavyo funguka mwenzie Sule
@suleimanhafidh195728 күн бұрын
Mhhhh hawa waongoo
@cydemanchester236827 күн бұрын
Mshirikina anamtaja mshirikina mwenzie
@OG_The_King29 күн бұрын
Karibuni huku Kwa Yesu hatuitaji jini ni imani yako. 🎉 Nipo mahala sahihi Yesu anaokoa Karibuni wote muokoke
@caswaralbadry8481
29 күн бұрын
Hivyo kusema hivyo tu tyr una majini elf washakupotosha
@jamesrichard397119 күн бұрын
Siku ya kiama ndio tutajua, walio amin na wasio amin, na tutajua siku hiyo mbivu na mbichi
@memorataedson789518 күн бұрын
Wakristo ukiwa na Yesu ty huitaji mti pete majini au kitu chochote ni Yesu tu anatosha
@moseskusamba431Ай бұрын
Jamani hii ndini au uchawi!
@samorajama883320 күн бұрын
WOOOÒTE HAWA NA WANAOFANANA NA HAWA WOTE NI WASHIRIKINA NA KILLA ANAEITIKADI HAYA HAWAPO NDANI YA UISLAAM SOMENI KITABU CHA LAAAA ILAAAHA ILLAA LLAAH VITENGUZI VYA UISLAAM
@saidjuma454723 күн бұрын
watu wote hawezi kuwa sawa ktk Dunia hii wako wakiristo wako waislam Kwa undani wako washirikina wapo wapotovu wapo Wazinifu wapo wizi wapo waumini wakweli ktk uislam ila yule Alie sahihi ni yule muumin wakweli wadini ya kislam ambae hayuko tayari kumshirikisha mungu Kwa chochote
@hashimudizele3519 күн бұрын
Takwimu za mchambuzi bwana ......... eti karibuni milioni mia 6 au milioni 3 ......... hapa hakuna mtu
@hashtagdarling473827 күн бұрын
Jina la uyu shekhe tafadhali
@abedimasudi26826 күн бұрын
Wewe ma Doctor sule nyote hamna lolote ivi Qouran haiwatoshi Tatizo iman hamna ndiomana mnatumiya majini
Пікірлер: 793
Ukimsikiliza Uyu Ostazi Maneno Yake Yamejaa Elimu Kubwa Sana Sijajua Kwa Watu Mnaomsema Mnawaza Nini Kichwani Maneno Yake Ziko Pointi Nyingi2 Moja Anasema Mtu Ukipata Pesa Kupitia Jini Ujue Wewe Unamuamini Jini Kuliko Mungu Na Yapo Maneno Mazuli2 Tuache Kusema Uchawi Uchawi Mimi Nachukia Sana Mashee Wale Kazi Yao Maubili Yao Wanawake Na Ngono Wanawake Na Ngono Mpaka Unawaza Inamana Kitabu Kinazungumza Ngono2
@abdulrauphaiy3032
17 күн бұрын
Naam.
@user-je7no7lq7d
15 күн бұрын
exactly
@fredducaunt
15 күн бұрын
Hakuna cha elimu Wala nn Ushirikina tu Mwogopeni Mungu Achana na mapichapicha Jini ndo ushenzi gani acheni dini za uongo
Kaka nimekuelewa vizuri Sana Ira mtangazaji hajakuelewa
Kesho Miele ya Allah kutatanda 😢😢😢😢😢😢 na jasho, Ya rab nisamehe mimi na unionize ktk kheri na uongoze ulimwengu mzima.
@ramadhaninchimbi8807
26 күн бұрын
Huyu jamaa ni mshirikina...Tanbih kwa waowafuata hawa jamaa kwaajili ya tiba,,wajue wanawaendea washirikina wanaojificha ktk kivuli cha dini
dunia hii inamambo mengi sana mwenyezi mungu atunusuru mana kila mtu analake kwasababu moyo wa mtu ni msitu Allah atuongoze ktk kheri zake atuepushe na tamaa za maisha haya kumekua na mambo mengi mnoo yaarabi tunusuru yaarabi
@Matunzo_Classic
25 күн бұрын
1a
Inna shshriki ladhulmun a'dhwiim.Hii ndo dhambi kubwa kuliko dhambi yoyote kuweni makini na hayo mnayoeneza na muandae majibu mazuri kwa Allah s.w
Subuhanallah Allah tujalie mwisho mwema
@Onchieku-cp8wd
Ай бұрын
Uislamu ni miongoni mwa wachawi, washirikina na ushetani pia
@ashuraabdulmaalik5319
14 күн бұрын
Na Ukiristo nao je?
@AbdulqarimhassanSwalehe-sz2er
10 күн бұрын
@@Onchieku-cp8wd sokweli ndugu uislamu ukombali nahivyo vitu
Kuita jinn ni katika ushirikina ushahidi aya ya 6 suratul jinn na hadith ya mtume (s.a.w) alipomfunga sheytwan akakumbuka maneno ya nabii suleiman ('alayhi salaam) aliposema Allah (s.w) asimpe kiumbe yeyote uwezo aliopewa yeye wa kuamrisha majinn Hakuna wa kati na kati ktk kuleta rizk, Allah (s.w) haitaji pete kukuletea rizk wala jinn muogope mola wako rejea ktk manhaj sahihi ya ahlul athar wa sunna wa jama'a kutoka kwa ufahamu wa wema waliopita
@RamadhaniMsukuma
Ай бұрын
We😂 nawe hata haujui tofauti ya shwaitan na jini
@AbdulMikidadi-sl9gx
Ай бұрын
@@RamadhaniMsukuma tafauti yake nini?
@user-kn8pw7vk4e
Ай бұрын
Hadithi tu izo ...sifa za shetani hakuna wa kumfunga zaidi ya MWENYEZI MUNGU, funguka akili
@user-yv3qi1yf3j
11 күн бұрын
Swadakta
Mungu nijaariye mimi naummawako woote
Masheikh wa bongo njaa zinawasumbua sana.. Allah atawahuku.
Allah kuongelea shiriki Kwa mara nyingi zaidi Tena Kwa uzito kunamaana sio Bure
Wote washirikiina muislamu safi anamjua mungu pekee.
@ismailsoud3634
3 күн бұрын
Abdullah ni neno la kiarabu, pia ni jina Abdullah maana yake ( KUMTEGEMEA MWENYEZI MUNGU ) sasa wengine Wanategemea majini kinyume na Mwenyezi Mungu. Hili ni balaa.
Mimi na YESU wangu fresh, pengine panatisha…
@softymoha5484
Ай бұрын
yeu hakuwa mkiristo. wala wakiristo hamufwati yesu wala mafundisho yake wala lolote alilolifanya yesu hamna mnalilifanya. kwa taarifa yako. yesu hakuwahi ingia kanisani, wala wakati wake hakukuwa na kabisaa sasa wewe unamffwata yesu yupi?
@AlfredZacharia-of3je
29 күн бұрын
YESU ni kristo, na sisi niwakristo soma wagaratia 3:29. Na tunafuata mafundisho yake, kwanza tunaamini kuwa alikufa na kufufuka, tunabatizwa kama alivyowaamulu wanafunzi wake, matayo 28:19
@fredducaunt
15 күн бұрын
@@softymoha5484toka pepo
SUBHAANA ALLAH SUBHAANA ALLAH YAARABBY TUONGOZE NAHAWA NDUGU ZETU KTK HAKI ZAIDI
@trophywilson7211
Ай бұрын
Tunapata Maneno jinsi waislamu Wanavyoita Majini na Jinsi wanavyotajirika kupitia Majini
Allahu akuongoze ktk hqq ndugu yangu
!!Hii ni SHIRKI!! kwa muislamu yeyote anae soma labda hana uhakika hapa, tiba ya ruqya na shifaa yeyote inatoka kwenye Quran kwa idhini yake Allah(s.w.t) na RasullAllah(s.a.w) ame tu ongoza kwenye Sunnah zake zote na dini ime kamilika usi danganywe kwenye Bidaa,ingekua kweli haya mambo sijui nyusi za samaki sijui nini ..kutoka kwenye sahaba wa kizazi cha pili auTābiʿū al-Tābin ingekua hizi sunna zote ziko wazi kwa waumini...chunga imani yako na amali zako jitenge na kufur!...
Acheni kuusema uislamu kwa vibaya kwasababu ya haya maneno qur-ani na sunaa za mtume Muhammad swalla llahu alayhiwasallam hazjafundidha upuuzi 17:54 hio
Subhnallah Allah tujalie mwisho mwema😢😢
Wewe mtangazaji..ni mgombanishi sana..DR sule ajasema kuwa aiwezekani kumwita jinni..amesema kuwa inawezekana rakini inaitajika uwe na elimu ya kutosha ya kuongea na majini...ninekusawisha vizuri mtangazaji..ukiwa na elimu ya kutosha ya kuongea na majini..utakuwa nao uwezo wakuwaita
@abdallahmkali3251
Ай бұрын
Mtangazaji amejikanyaga
@chunaabdullah1333
Ай бұрын
Alafu anataka kujua kila kitu mtu ashasema ni siri yake lakini yy analazima ajue khaa
@FridayMwassa
Ай бұрын
Unamwita jini Kwaajili ya nini,nyie watu acheni uchawi, Muhammad hakuwa mtume wa Mungu na ndiyo maana hakuna mahali kwenye koran panaonyesha Mungu alisema naye kama alivyosema na wakina Musa, Yesu, Samuel au Daniel,mud ni muongo na ndiyo maana hata mafundisho yake yanachanganya sana
@hatibubalozi592
29 күн бұрын
wewe mwehu huna akili@@FridayMwassa
@maciaali3698
13 күн бұрын
Mwamini Allah,hakuna mafundisho ya Pete katika Quran tukufu watanzania wacheni ushirikina
Sule anachakujifunza hapa, ule wa sule ni ushirikiana wa wazi na kakufuru mpaka sasa
Acheni uongo, kwa Mwenyezi Mungu hakuna siku mbaya, siku zote ni nzuri. Vinginevyo ni shirki. Na sio mnaita majini mnaita uchawi.
@LumolaSteven
Ай бұрын
Una ushahidi gani kusema siku zote ni nzuri? Siku ya ijumaa ni siku bora kuliko zote imetukuzwa na tumepewa umati Muhammad.
@ismailsoud3634
Ай бұрын
@@LumolaSteven Siku zote ni nzuri, na Al jumaa ni nzuri zaidi Na ndiyo maana inawakutanisha waja pamoja..
@ismailsoud3634
4 күн бұрын
Kweli, ubora uliomo ndani sala ya al jumaa ni bora kuliko uhai wako. Ila watu hawajuwi. Njooni kwangu niwafafaulie sala ya al jumaa na siku yenyewe. Nipo Toangoma( al musabih ) na maswali yenu yoye najibu Mimi mfano kama waliopita. Allah ameniruzuku elimu toshelezi.
Mungu akujalie kaka mi nimekuelewa sana sule anatuongopea sana etikunamajini wazuri nimekuelewasana kaka
@alianboori9734
Ай бұрын
Mm pia namkubali
Muthani kweli kweli mie nampenda sana sheikh Nurdin kishik havai pete kbsa 😢😢🤔🤔🤔
Wewe unasema kweli na hutaki unafiki, endelea kuweka wazi wengi wajue, mwenyezi Mungu atakukipa mema, achana na muongo dr Sule
Huyo jamaa wala sio sheikh anatafuta kumchafua Doctor Sule Mshamba tuuu
Munguninuxuru nauyu hoxtdhi yukoxahihi
Wote waongo hawa, si ktk mafunzo ya Quran wala mafunzo ya Mtume salallahu alayhi wasalla. Majini wema wanaomtii Allaah hawaingii ktk vichwa vya watu wala hawashirikiani na wanaadamu.
@KassimAlly-xp4dz
Ай бұрын
Swadakta
@thabitimkufi7388
Ай бұрын
Yaani hawa waganga kweli leo ndio wanaiharibu dini kiasi hiki
@FatmaayoubsuleymanSuleyman
Ай бұрын
(@@thabitimkufi7388
@8pistons194
Ай бұрын
Hakunaga shetani mwema acheni uzwa,wa
@FridayMwassa
Ай бұрын
Majini wema uliwaona wapi, mafundisho potofu ya Muhammad,
Watu wengi wanaingia kwenye ushirikina kuamin ktk majin ni watu twariqa, wanakumbwa sana na mtihan huu.
Huyu ana ukweli fulani mimi najua na naelewa chenye anakiiongelelea
@vijanawapendakherfoundatio5069
Ай бұрын
Umemuelewa kwasababu ya rugha lakini akuna kitu
Mimi na fwatiya sana vipindi vyako : Ila naku hakikishia wote wana tumia ilimu ya Siri ambayo ki sheria yaki islam ni shirki aina ubish ndanimo , Allah pekee ndo mwenye kutowa utajiri na ku kadiria kila kitu , Allah ndo mlinzi , na akuna ushirika wowot saw bin’Adam n majin wot weny kumia ilumu y nyota wot nyuma yao kuna nguvu y jini hutumika nao yot ni ushirikina , haijalish alo sem ame vaa kanzu na kilemba au ni mwarabu au ni nani Ila dini yetu iko waz waz , ndoman mtume saw ame tumia miak mingi kuifundish tauhid, turizik n maish alo tukadiria … Allah uko shahid nime fikish
12:55 kitu chochote ukivaa kwa malengo ya kinga huo ni ushirikina hata ukiandika aya za quran alafu ukazitundika ukutani ama mlangoni alafu ukaamini ni kinga yako huo ni ushirikina
@jumaa052
Ай бұрын
Je upo Sawa kabisa usitoe hukumu Hali ya kua hujui hukumu ya jambo
@thabitimkufi7388
Ай бұрын
Yaani hawa waganga dahh dini inaharibiwa jamanii
@user-pl8pn7qb9e
26 күн бұрын
Hawa waganga wa kienyeji ndo wanao tuharibia dini ,ushirikina umewajaa
Namshukuru MUNGU kuwa mkristo Hakika nipo mahali salama na pa uhakika ni njia isiyo na shaka yoyote.
@Anuarmustafa4128
Ай бұрын
Bado hunawa salama yesu anaenda kukukataeni mbele ya mungu
@AbdalahMtambuka-rh1dp
Ай бұрын
uoukilsto niushilikina kukubali yesumungu niushilikina kumpinga mtume Mohammad s.a.w. ukafili kukubali yesu kajakukomboa zambizawatu niushilikina nyinyi wakilsto amunaelimu yadin .atamwamposa nimshilikina
@AbdalahMtambuka-rh1dp
Ай бұрын
achakuogopa pumbavuwe uklsto niushilikina kaamini yesu nimungu kumpinga mungu kusema kunamungu baba namungu mwana niushilikina kuamin msalaba nakuutii niushilikina waklstowote niwashilikina kakuna mklsto anabisha nimpeandiko ndani yakitabuchake biblia awa wakilsto niwasomi ila awaisomi dini wanaelimu yakutafuta ajilatu kwaio wewe usiogope kusema ukweli abuwewe mklsto soma kwanza issaya 10..56
@user-ve3wu5jn1l
Ай бұрын
Hahahahaha . Allah akuongoe ujue njian sajihi
@OG_The_King
29 күн бұрын
Amina, Hakika Yesu ni Bwana
JAMAAA KASOMA HAYO MANENO SIO YA KUOTESHWA😊,,,NA NDIOMANA TUNAMSIKILIZA,,,OPTION NI 2 TU,,,KUBALI AU PUUZA,,,USIANZE KU CRITISAIZ WATU NA HUNA UNACHOKIJUA TULIA ELIMIKA.
@saidishekalaghe3496
Ай бұрын
SWADAKTA
@mpodilesefu3437
Ай бұрын
😂Ni kweli kabsaaaaah
Yye hyu anajita bin laden aah hwa wote matapeli wallah mungu shahid hta mm kanitapeli anatafuta umaarufu hana lolote Na ushahid ninao juu ya u tapeli wke asimponde mwenziwe, asitoe aibu ya mwenziwe wakt zak anazoo
@SuleimanMsechu
Ай бұрын
Ulikutapeli je tuambie
Mnamtania Mungu
Hii imekuwa Bishara ya uganga sasa wallahi j😢Jamani watangazaji acheni kutafuta waganga kwenye mitandao watu wote wenye tamaa fupi muwataingiza ktk ushirikina hii dunia imekuwa ya ushirikina tuu loooh mungu atuhifadhi
Waislam tujizatiti ktk kusoma Tawhiid na kujifunza tiba ya Ruqya ya kisheria kwa jinsi Mtume S. A. W alivyofunza.
@jesusislord9190
Ай бұрын
Bado ni uchawi na majini watakuja tu uislam na majini ni kitu kimoja
@jpmanotaofficial639
Ай бұрын
Mtume wako kajifunza kwa nani na yeye
@jesusislord9190
Ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 mtume gani?? Sijawahi kuwa na mtume mchawi
@mohamedmwatuwano5526
Ай бұрын
Huyu jamaa anajichanganya. ALLAH ndio kila kitu, haya mengine ni utunzI na uzushi tu wa siku nyingi. Huyu jamaa ni kibaraka wa maandishi asiyo yaelewa vizuri. Muulize nani kaandika hivyo vitabu. Mwambie aende akasaidie wapalestina wasidhulumiwe na waisrael. Kama kweli elmu hiyo yawasaidia waarabu wangesumbuliwa na muamerika. Huo wote ni ulaghai. Kama kweli hio elmu yao na mapete yao yafanya kazi nawaruhusu waitumie kunidhuru mimi, wayatume kwangu majini mabaya sana wafanyie unyama watakavyo wao. Hawa watu wana elmu potoshi. ALLAHU AKBAR!
@fredducaunt
15 күн бұрын
@@jesusislord9190😂😂 washenzi hawa wananafasi yao peponi kuongopea watu na kupotosha watu sio bure
Innalillah Wainailayhi rajiun
Subhanallah Allah Akbar Nyie ni washirikina wakubwa sana Na mtaingia motoni milele Mnatuaibisha ss waisilam
Hakuna jini wakuleta pesa fanyeni kazi acheni kudanganya umati Muhammad
@issahajjiira5411
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@thabitimkufi7388
Ай бұрын
Sahihi
@meckmussa1840
Ай бұрын
Sahihi, Hawa wote ni wezi tu.
@alijuma675
Ай бұрын
Mmoja kaua kisha kapotea mkali wa tiktok
@salumuledisalum8038
Ай бұрын
wote hawa ni wezi tu wapumbavu hawa
inakuwaje shekh ..... hahahah ndugu mwanadishi zingatia mazingira ya salamu
Waislaaamu munatia aibu Sana. Acheni majini wandugu yatawazulia balaaaaaa
Ukristu ndo dini ya kweli Duh nkajua mnaakili kumbe manyumbu tu Majini toka lini akawa integral part na Dini Upuuzi huu
Huyu jamaa Ameongea vitu vya ndani saana tatizo watu kuambiwa ukweli ndio hawapendi
@chunaabdullah1333
Ай бұрын
Kabisa, lakini Kuna watu kuelewa ndio shida
@rashidkapile
Ай бұрын
Wengi wavivu kusoma huyo dogo kasoma
@eliudieliya6394
Ай бұрын
Huyu ostadhi anapatikana wap
@user-yd3me5rr2z
24 күн бұрын
Huyu jamaa anaelmu kubwa sana
Mmmmmh dunia iyi inamengi kwl allh tup mwisho mwem yarab
Watu wengi wamebabaishwa na lugha mkamuona huyu shekh apana ni shirki tu
@abuarifhassan6316
Ай бұрын
Sikliza mpk mwisho amefafanua vizuri kabisa
@luqmanjafari
18 күн бұрын
Hakuna chchte hapo
SubhanaAllah mtihani Allah atuepushe na shirki
Huyo na Dr sule wamoja
Tumcheni Allah tungu zanguni kwenye uwislam elimu zote zipo tunaamin lakn so kila elimu inafaa kuifanyia kazi ,hapo hatuna masheikh wote wamrudie Allah kabla kufa
Hawa watanzani wote washirikina mtapata laana kutoka kwa Allah
HIZI ZOTE NI ELIMU ZA SHIRIKI MSIMFUATE WAISLAM. WAMUACHE ALLAH HAWA MASHEIKH NI WA GANGA KAMA WANGA WENGINE
@alianboori9734
Ай бұрын
Elmu zipo ila kuwa na mipaka yake
@thabitimkufi7388
Ай бұрын
Sahihi
@SaeedMughayyar-jv8et
16 күн бұрын
Kusoma hizi elimu sio shida madhali Allah ametuteremshia, ispo kua ni mbaya sana kiupande Fulani kama ukizojua Kuna asilimia kubwa sana ya kumuasi Allah. Binadam tumeumbiwa na tamaa
Innalillah wainna ilayhi rahiun , hasbiyallah waniimal wakeel
Saf sana ndg yangu
Tukisema wabarakatu wafuga majini mnabisha
Wengi hawa ni wachawi na washirikina watu wa Elimu za majini na nyota n pete
Wenyewe Kwa wenyewe😅😅😅😅
Yaaani jini anajuwa dini la kislamu, kanisani hatupandishi jini, sisi tuna Roho mtakatifu
Huyu na dr sule wote wasafiri wamoja gari moja isipokua mmoja manamba mmoja konda
Kwa uchawi na majini saluti sana kwenu
Asante mtu uliyenihubilia injili ya Yesu
@muhammadmbaraka4515
19 күн бұрын
ALLAAH akuongoze
@noors7030
5 күн бұрын
Ukae ukijua wate ni washirikina wanamshirikisha Allah na majin Muslim humuomba Alla pekoe mmoja tu
Unajarib kukwepa maswal ya mwandish lkn uhalisia ww nk mshirikina live, pete unaisomea dua
Washirikina hawa wajivisha ushekhe wapotosha watu bila ilmu
Tuwasomeshe watoto wetu ttauhidi wasije kua waganga
Uyu kijana nilimjua mwaka 2021 anaitwaa sir Bin laden Nilimpata Kwa Bingo alinisahidia Sanaa kunitibia matatizo yangu uyu anajua haswaa Tiba SEMA umri wako ni mdogo
@gideonjohn8912
Ай бұрын
Habari ndugu naomba namba zake ninamgonjwa labda anaweza nisaidia
@faudhiasaidi3669
Ай бұрын
@@gideonjohn8912 Kachukua kwenye channel yake inaitwa firdausi
@hamisiiddi7340
Ай бұрын
Tunaomba namba
@GoodDeeds-Jesus
Ай бұрын
Naomba kuwasiliana na wewe tafadhali nikwambie Habari za uponyaji kupitia Yesu Kristo kama hutojali @@gideonjohn8912
Acha uongo ndugu yangu kumbuka kuna kesho unaongea uongo tu na hata hufikirii hio elimu wenyew ya majini hujui acha kupotesha
Naomba namba yako sher
Naisi huyu muandishi anaeye hoji ana kumbukumbu na anaowaoji unafarakanisha hapo
Da Hawa wakristo nao Hawana akili kabisa mwanaadamu anawezaje akawa mungu. Mtu amezaliwa anawzje kuw Mungu, jamani hii ni akili kwel ya Mt?
Asalaaleikum Mimi naomba namba ya kija kama munayo. Naomba munisaidie.
Hii dunia imeisha ss mungu tunusuru😭🙏 mina
Sheikh naona karuka alipogusiwa sio makanisa yote.. Eti inawezekana Sio Tanzania.😂😂
Hiyo sio elimu bali ni uchawi.acheni kudanganya watu
Majini tu hayo
kiebrania ndo lugha aliyozungumza yesu...
kuvaa kanzu sio ushekh
Kajitahidi shekhe kueleza lakini hapo katika pete kachemsha, Allah amuhidi!
ww umepotea siy sehemu sahihi jesus christ
Daaah...!! kazi ipo ktk izi Dinni...
Mtangazaji umemsingizia dr sule huyo shehe yupo right ila umemsingizia dr sule hawezi kusema jini haitwi
Mshirikina sana ww tubu kwa Allah la si hivo Allah atakutia.motoni
Aww msiwasikilize hawa wahuni shauri zenu.elimu ni bahari 🙏🙏
@zuberhamza7852
Ай бұрын
Bakabla hujacoment kwanza umewaskiliza alafu ndio umecoment Sasa unatwambiaje tusiwaskilize?? Kwanza Kuna kuskiliza na kukubali
Achani kutukana uislamu kwa mambo yanu ya ushurikina uislima nidini anayo pingana na mambo hayo
Unahoji watu wenye sifa hizo tafuta watu wenye elimu.Pete zilizokuwa zikitumika kipindi hicho ni alama au kama muhuri ilikuonesha ujumbe umetoka kwa nani?Hao ndio wanabadili sasa kuwadanganya watu
Naomba umuulize sheikh hukmu ya kumdhurumu mtu haki yake inakuaj kwa mwenyezi mungu
@MTAVASSYTv
Ай бұрын
🤔🤔
@HanifaOman-oo4pl
Ай бұрын
Wenae shehe yukowapihapo. Hukumuyake mototu ukitakakusalimika umlipe
Huyo sheikh mwenyewe anang'ata maneno hajaweka wazi anavaa hiyo Pete kwa malengo gani anatakiwa afunguke kama anavyo funguka mwenzie Sule
Mhhhh hawa waongoo
Mshirikina anamtaja mshirikina mwenzie
Karibuni huku Kwa Yesu hatuitaji jini ni imani yako. 🎉 Nipo mahala sahihi Yesu anaokoa Karibuni wote muokoke
@caswaralbadry8481
29 күн бұрын
Hivyo kusema hivyo tu tyr una majini elf washakupotosha
Siku ya kiama ndio tutajua, walio amin na wasio amin, na tutajua siku hiyo mbivu na mbichi
Wakristo ukiwa na Yesu ty huitaji mti pete majini au kitu chochote ni Yesu tu anatosha
Jamani hii ndini au uchawi!
WOOOÒTE HAWA NA WANAOFANANA NA HAWA WOTE NI WASHIRIKINA NA KILLA ANAEITIKADI HAYA HAWAPO NDANI YA UISLAAM SOMENI KITABU CHA LAAAA ILAAAHA ILLAA LLAAH VITENGUZI VYA UISLAAM
watu wote hawezi kuwa sawa ktk Dunia hii wako wakiristo wako waislam Kwa undani wako washirikina wapo wapotovu wapo Wazinifu wapo wizi wapo waumini wakweli ktk uislam ila yule Alie sahihi ni yule muumin wakweli wadini ya kislam ambae hayuko tayari kumshirikisha mungu Kwa chochote
Takwimu za mchambuzi bwana ......... eti karibuni milioni mia 6 au milioni 3 ......... hapa hakuna mtu
Jina la uyu shekhe tafadhali
Wewe ma Doctor sule nyote hamna lolote ivi Qouran haiwatoshi Tatizo iman hamna ndiomana mnatumiya majini
Wewe sema kwamaandiko usizue ila.ulilipwa.namakafiri.kuharibu.uisilamu
Amakweli sikuhizi Kuna wachawi watoto kamahuyu anaye zungumza aibu,hana Acheni ushirikina kaeni kitako musome wacheni njaaa
mmh mtihani huu yaarab
Kumuita jini mpaka kufata masharti hii ndio shirki yenyewe, Usimwamini Mungu akusaidie unamtegemea jini.
Yan shehe umeongea kitu cha maana asierewa hapa hawez kuerewa kabisa ndio maana wanaongea tu wengine