DR SULLE APATA KIBOKO YAKE NI MUONGO ATAJA JINI LINALOMUENDESHA LENYE UTAJIRI

Пікірлер: 793

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403Ай бұрын

    Ukimsikiliza Uyu Ostazi Maneno Yake Yamejaa Elimu Kubwa Sana Sijajua Kwa Watu Mnaomsema Mnawaza Nini Kichwani Maneno Yake Ziko Pointi Nyingi2 Moja Anasema Mtu Ukipata Pesa Kupitia Jini Ujue Wewe Unamuamini Jini Kuliko Mungu Na Yapo Maneno Mazuli2 Tuache Kusema Uchawi Uchawi Mimi Nachukia Sana Mashee Wale Kazi Yao Maubili Yao Wanawake Na Ngono Wanawake Na Ngono Mpaka Unawaza Inamana Kitabu Kinazungumza Ngono2

  • @abdulrauphaiy3032

    @abdulrauphaiy3032

    17 күн бұрын

    Naam.

  • @user-je7no7lq7d

    @user-je7no7lq7d

    15 күн бұрын

    exactly

  • @fredducaunt

    @fredducaunt

    15 күн бұрын

    Hakuna cha elimu Wala nn Ushirikina tu Mwogopeni Mungu Achana na mapichapicha Jini ndo ushenzi gani acheni dini za uongo

  • @abelwillium4286
    @abelwillium42868 күн бұрын

    Kaka nimekuelewa vizuri Sana Ira mtangazaji hajakuelewa

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3kАй бұрын

    Kesho Miele ya Allah kutatanda 😢😢😢😢😢😢 na jasho, Ya rab nisamehe mimi na unionize ktk kheri na uongoze ulimwengu mzima.

  • @ramadhaninchimbi8807

    @ramadhaninchimbi8807

    26 күн бұрын

    Huyu jamaa ni mshirikina...Tanbih kwa waowafuata hawa jamaa kwaajili ya tiba,,wajue wanawaendea washirikina wanaojificha ktk kivuli cha dini

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5pАй бұрын

    dunia hii inamambo mengi sana mwenyezi mungu atunusuru mana kila mtu analake kwasababu moyo wa mtu ni msitu Allah atuongoze ktk kheri zake atuepushe na tamaa za maisha haya kumekua na mambo mengi mnoo yaarabi tunusuru yaarabi

  • @Matunzo_Classic

    @Matunzo_Classic

    25 күн бұрын

    1a

  • @mohammedrutta4989
    @mohammedrutta49892 күн бұрын

    Inna shshriki ladhulmun a'dhwiim.Hii ndo dhambi kubwa kuliko dhambi yoyote kuweni makini na hayo mnayoeneza na muandae majibu mazuri kwa Allah s.w

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3kАй бұрын

    Subuhanallah Allah tujalie mwisho mwema

  • @Onchieku-cp8wd

    @Onchieku-cp8wd

    Ай бұрын

    Uislamu ni miongoni mwa wachawi, washirikina na ushetani pia

  • @ashuraabdulmaalik5319

    @ashuraabdulmaalik5319

    14 күн бұрын

    Na Ukiristo nao je?

  • @AbdulqarimhassanSwalehe-sz2er

    @AbdulqarimhassanSwalehe-sz2er

    10 күн бұрын

    @@Onchieku-cp8wd sokweli ndugu uislamu ukombali nahivyo vitu

  • @AbdulMikidadi-sl9gx
    @AbdulMikidadi-sl9gxАй бұрын

    Kuita jinn ni katika ushirikina ushahidi aya ya 6 suratul jinn na hadith ya mtume (s.a.w) alipomfunga sheytwan akakumbuka maneno ya nabii suleiman ('alayhi salaam) aliposema Allah (s.w) asimpe kiumbe yeyote uwezo aliopewa yeye wa kuamrisha majinn Hakuna wa kati na kati ktk kuleta rizk, Allah (s.w) haitaji pete kukuletea rizk wala jinn muogope mola wako rejea ktk manhaj sahihi ya ahlul athar wa sunna wa jama'a kutoka kwa ufahamu wa wema waliopita

  • @RamadhaniMsukuma

    @RamadhaniMsukuma

    Ай бұрын

    We😂 nawe hata haujui tofauti ya shwaitan na jini

  • @AbdulMikidadi-sl9gx

    @AbdulMikidadi-sl9gx

    Ай бұрын

    @@RamadhaniMsukuma tafauti yake nini?

  • @user-kn8pw7vk4e

    @user-kn8pw7vk4e

    Ай бұрын

    Hadithi tu izo ...sifa za shetani hakuna wa kumfunga zaidi ya MWENYEZI MUNGU, funguka akili

  • @user-yv3qi1yf3j

    @user-yv3qi1yf3j

    11 күн бұрын

    Swadakta

  • @user-qw3fj1zw6p
    @user-qw3fj1zw6p4 күн бұрын

    Mungu nijaariye mimi naummawako woote

  • @allyally5124
    @allyally5124Ай бұрын

    Masheikh wa bongo njaa zinawasumbua sana.. Allah atawahuku.

  • @rashidbusanya5843
    @rashidbusanya5843Ай бұрын

    Allah kuongelea shiriki Kwa mara nyingi zaidi Tena Kwa uzito kunamaana sio Bure

  • @user-yv3qi1yf3j
    @user-yv3qi1yf3j11 күн бұрын

    Wote washirikiina muislamu safi anamjua mungu pekee.

  • @ismailsoud3634

    @ismailsoud3634

    3 күн бұрын

    Abdullah ni neno la kiarabu, pia ni jina Abdullah maana yake ( KUMTEGEMEA MWENYEZI MUNGU ) sasa wengine Wanategemea majini kinyume na Mwenyezi Mungu. Hili ni balaa.

  • @nundabe
    @nundabeАй бұрын

    Mimi na YESU wangu fresh, pengine panatisha…

  • @softymoha5484

    @softymoha5484

    Ай бұрын

    yeu hakuwa mkiristo. wala wakiristo hamufwati yesu wala mafundisho yake wala lolote alilolifanya yesu hamna mnalilifanya. kwa taarifa yako. yesu hakuwahi ingia kanisani, wala wakati wake hakukuwa na kabisaa sasa wewe unamffwata yesu yupi?

  • @AlfredZacharia-of3je

    @AlfredZacharia-of3je

    29 күн бұрын

    YESU ni kristo, na sisi niwakristo soma wagaratia 3:29. Na tunafuata mafundisho yake, kwanza tunaamini kuwa alikufa na kufufuka, tunabatizwa kama alivyowaamulu wanafunzi wake, matayo 28:19

  • @fredducaunt

    @fredducaunt

    15 күн бұрын

    ​@@softymoha5484toka pepo

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hbАй бұрын

    SUBHAANA ALLAH SUBHAANA ALLAH YAARABBY TUONGOZE NAHAWA NDUGU ZETU KTK HAKI ZAIDI

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    Ай бұрын

    Tunapata Maneno jinsi waislamu Wanavyoita Majini na Jinsi wanavyotajirika kupitia Majini

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mvАй бұрын

    Allahu akuongoze ktk hqq ndugu yangu

  • @omarmzaham7248
    @omarmzaham724824 күн бұрын

    !!Hii ni SHIRKI!! kwa muislamu yeyote anae soma labda hana uhakika hapa, tiba ya ruqya na shifaa yeyote inatoka kwenye Quran kwa idhini yake Allah(s.w.t) na RasullAllah(s.a.w) ame tu ongoza kwenye Sunnah zake zote na dini ime kamilika usi danganywe kwenye Bidaa,ingekua kweli haya mambo sijui nyusi za samaki sijui nini ..kutoka kwenye sahaba wa kizazi cha pili auTābiʿū al-Tābin ingekua hizi sunna zote ziko wazi kwa waumini...chunga imani yako na amali zako jitenge na kufur!...

  • @JumaHamisi-qh3lo
    @JumaHamisi-qh3loАй бұрын

    Acheni kuusema uislamu kwa vibaya kwasababu ya haya maneno qur-ani na sunaa za mtume Muhammad swalla llahu alayhiwasallam hazjafundidha upuuzi 17:54 hio

  • @halimamohamed4842
    @halimamohamed4842Ай бұрын

    Subhnallah Allah tujalie mwisho mwema😢😢

  • @Ostica..Omie..junior
    @Ostica..Omie..juniorАй бұрын

    Wewe mtangazaji..ni mgombanishi sana..DR sule ajasema kuwa aiwezekani kumwita jinni..amesema kuwa inawezekana rakini inaitajika uwe na elimu ya kutosha ya kuongea na majini...ninekusawisha vizuri mtangazaji..ukiwa na elimu ya kutosha ya kuongea na majini..utakuwa nao uwezo wakuwaita

  • @abdallahmkali3251

    @abdallahmkali3251

    Ай бұрын

    Mtangazaji amejikanyaga

  • @chunaabdullah1333

    @chunaabdullah1333

    Ай бұрын

    Alafu anataka kujua kila kitu mtu ashasema ni siri yake lakini yy analazima ajue khaa

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    Unamwita jini Kwaajili ya nini,nyie watu acheni uchawi, Muhammad hakuwa mtume wa Mungu na ndiyo maana hakuna mahali kwenye koran panaonyesha Mungu alisema naye kama alivyosema na wakina Musa, Yesu, Samuel au Daniel,mud ni muongo na ndiyo maana hata mafundisho yake yanachanganya sana

  • @hatibubalozi592

    @hatibubalozi592

    29 күн бұрын

    wewe mwehu huna akili​@@FridayMwassa

  • @maciaali3698

    @maciaali3698

    13 күн бұрын

    Mwamini Allah,hakuna mafundisho ya Pete katika Quran tukufu watanzania wacheni ushirikina

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr451412 күн бұрын

    Sule anachakujifunza hapa, ule wa sule ni ushirikiana wa wazi na kakufuru mpaka sasa

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634Ай бұрын

    Acheni uongo, kwa Mwenyezi Mungu hakuna siku mbaya, siku zote ni nzuri. Vinginevyo ni shirki. Na sio mnaita majini mnaita uchawi.

  • @LumolaSteven

    @LumolaSteven

    Ай бұрын

    Una ushahidi gani kusema siku zote ni nzuri? Siku ya ijumaa ni siku bora kuliko zote imetukuzwa na tumepewa umati Muhammad.

  • @ismailsoud3634

    @ismailsoud3634

    Ай бұрын

    @@LumolaSteven Siku zote ni nzuri, na Al jumaa ni nzuri zaidi Na ndiyo maana inawakutanisha waja pamoja..

  • @ismailsoud3634

    @ismailsoud3634

    4 күн бұрын

    Kweli, ubora uliomo ndani sala ya al jumaa ni bora kuliko uhai wako. Ila watu hawajuwi. Njooni kwangu niwafafaulie sala ya al jumaa na siku yenyewe. Nipo Toangoma( al musabih ) na maswali yenu yoye najibu Mimi mfano kama waliopita. Allah ameniruzuku elimu toshelezi.

  • @jovinmancomedytz
    @jovinmancomedytzАй бұрын

    Mungu akujalie kaka mi nimekuelewa sana sule anatuongopea sana etikunamajini wazuri nimekuelewasana kaka

  • @alianboori9734

    @alianboori9734

    Ай бұрын

    Mm pia namkubali

  • @ala1608
    @ala160818 күн бұрын

    Muthani kweli kweli mie nampenda sana sheikh Nurdin kishik havai pete kbsa 😢😢🤔🤔🤔

  • @kasichimoses6869
    @kasichimoses686916 күн бұрын

    Wewe unasema kweli na hutaki unafiki, endelea kuweka wazi wengi wajue, mwenyezi Mungu atakukipa mema, achana na muongo dr Sule

  • @user-dv8lm4ko5i
    @user-dv8lm4ko5i4 күн бұрын

    Huyo jamaa wala sio sheikh anatafuta kumchafua Doctor Sule Mshamba tuuu

  • @user-qw3fj1zw6p
    @user-qw3fj1zw6p4 күн бұрын

    Munguninuxuru nauyu hoxtdhi yukoxahihi

  • @amyassyassin7909
    @amyassyassin7909Ай бұрын

    Wote waongo hawa, si ktk mafunzo ya Quran wala mafunzo ya Mtume salallahu alayhi wasalla. Majini wema wanaomtii Allaah hawaingii ktk vichwa vya watu wala hawashirikiani na wanaadamu.

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    Ай бұрын

    Swadakta

  • @thabitimkufi7388

    @thabitimkufi7388

    Ай бұрын

    Yaani hawa waganga kweli leo ndio wanaiharibu dini kiasi hiki

  • @FatmaayoubsuleymanSuleyman

    @FatmaayoubsuleymanSuleyman

    Ай бұрын

    (​@@thabitimkufi7388

  • @8pistons194

    @8pistons194

    Ай бұрын

    Hakunaga shetani mwema acheni uzwa,wa

  • @FridayMwassa

    @FridayMwassa

    Ай бұрын

    Majini wema uliwaona wapi, mafundisho potofu ya Muhammad,

  • @rashidabasi7940
    @rashidabasi794018 күн бұрын

    Watu wengi wanaingia kwenye ushirikina kuamin ktk majin ni watu twariqa, wanakumbwa sana na mtihan huu.

  • @shamimnelly.8042
    @shamimnelly.8042Ай бұрын

    Huyu ana ukweli fulani mimi najua na naelewa chenye anakiiongelelea

  • @vijanawapendakherfoundatio5069

    @vijanawapendakherfoundatio5069

    Ай бұрын

    Umemuelewa kwasababu ya rugha lakini akuna kitu

  • @hakizimanaselemani1995
    @hakizimanaselemani1995Ай бұрын

    Mimi na fwatiya sana vipindi vyako : Ila naku hakikishia wote wana tumia ilimu ya Siri ambayo ki sheria yaki islam ni shirki aina ubish ndanimo , Allah pekee ndo mwenye kutowa utajiri na ku kadiria kila kitu , Allah ndo mlinzi , na akuna ushirika wowot saw bin’Adam n majin wot weny kumia ilumu y nyota wot nyuma yao kuna nguvu y jini hutumika nao yot ni ushirikina , haijalish alo sem ame vaa kanzu na kilemba au ni mwarabu au ni nani Ila dini yetu iko waz waz , ndoman mtume saw ame tumia miak mingi kuifundish tauhid, turizik n maish alo tukadiria … Allah uko shahid nime fikish

  • @albertpike6208
    @albertpike6208Ай бұрын

    12:55 kitu chochote ukivaa kwa malengo ya kinga huo ni ushirikina hata ukiandika aya za quran alafu ukazitundika ukutani ama mlangoni alafu ukaamini ni kinga yako huo ni ushirikina

  • @jumaa052

    @jumaa052

    Ай бұрын

    Je upo Sawa kabisa usitoe hukumu Hali ya kua hujui hukumu ya jambo

  • @thabitimkufi7388

    @thabitimkufi7388

    Ай бұрын

    Yaani hawa waganga dahh dini inaharibiwa jamanii

  • @user-pl8pn7qb9e

    @user-pl8pn7qb9e

    26 күн бұрын

    Hawa waganga wa kienyeji ndo wanao tuharibia dini ,ushirikina umewajaa

  • @joshuaandrew386
    @joshuaandrew386Ай бұрын

    Namshukuru MUNGU kuwa mkristo Hakika nipo mahali salama na pa uhakika ni njia isiyo na shaka yoyote.

  • @Anuarmustafa4128

    @Anuarmustafa4128

    Ай бұрын

    Bado hunawa salama yesu anaenda kukukataeni mbele ya mungu

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp

    @AbdalahMtambuka-rh1dp

    Ай бұрын

    uoukilsto niushilikina kukubali yesumungu niushilikina kumpinga mtume Mohammad s.a.w. ukafili kukubali yesu kajakukomboa zambizawatu niushilikina nyinyi wakilsto amunaelimu yadin .atamwamposa nimshilikina

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp

    @AbdalahMtambuka-rh1dp

    Ай бұрын

    achakuogopa pumbavuwe uklsto niushilikina kaamini yesu nimungu kumpinga mungu kusema kunamungu baba namungu mwana niushilikina kuamin msalaba nakuutii niushilikina waklstowote niwashilikina kakuna mklsto anabisha nimpeandiko ndani yakitabuchake biblia awa wakilsto niwasomi ila awaisomi dini wanaelimu yakutafuta ajilatu kwaio wewe usiogope kusema ukweli abuwewe mklsto soma kwanza issaya 10..56

  • @user-ve3wu5jn1l

    @user-ve3wu5jn1l

    Ай бұрын

    Hahahahaha . Allah akuongoe ujue njian sajihi

  • @OG_The_King

    @OG_The_King

    29 күн бұрын

    Amina, Hakika Yesu ni Bwana

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7zАй бұрын

    JAMAAA KASOMA HAYO MANENO SIO YA KUOTESHWA😊,,,NA NDIOMANA TUNAMSIKILIZA,,,OPTION NI 2 TU,,,KUBALI AU PUUZA,,,USIANZE KU CRITISAIZ WATU NA HUNA UNACHOKIJUA TULIA ELIMIKA.

  • @saidishekalaghe3496

    @saidishekalaghe3496

    Ай бұрын

    SWADAKTA

  • @mpodilesefu3437

    @mpodilesefu3437

    Ай бұрын

    😂Ni kweli kabsaaaaah

  • @abubakarahyan9515
    @abubakarahyan9515Ай бұрын

    Yye hyu anajita bin laden aah hwa wote matapeli wallah mungu shahid hta mm kanitapeli anatafuta umaarufu hana lolote Na ushahid ninao juu ya u tapeli wke asimponde mwenziwe, asitoe aibu ya mwenziwe wakt zak anazoo

  • @SuleimanMsechu

    @SuleimanMsechu

    Ай бұрын

    Ulikutapeli je tuambie

  • @MathayoAugustino
    @MathayoAugustinoАй бұрын

    Mnamtania Mungu

  • @CKMO
    @CKMO27 күн бұрын

    Hii imekuwa Bishara ya uganga sasa wallahi j😢Jamani watangazaji acheni kutafuta waganga kwenye mitandao watu wote wenye tamaa fupi muwataingiza ktk ushirikina hii dunia imekuwa ya ushirikina tuu loooh mungu atuhifadhi

  • @sadikiissa7756
    @sadikiissa7756Ай бұрын

    Waislam tujizatiti ktk kusoma Tawhiid na kujifunza tiba ya Ruqya ya kisheria kwa jinsi Mtume S. A. W alivyofunza.

  • @jesusislord9190

    @jesusislord9190

    Ай бұрын

    Bado ni uchawi na majini watakuja tu uislam na majini ni kitu kimoja

  • @jpmanotaofficial639

    @jpmanotaofficial639

    Ай бұрын

    Mtume wako kajifunza kwa nani na yeye

  • @jesusislord9190

    @jesusislord9190

    Ай бұрын

    @@jpmanotaofficial639 mtume gani?? Sijawahi kuwa na mtume mchawi

  • @mohamedmwatuwano5526

    @mohamedmwatuwano5526

    Ай бұрын

    Huyu jamaa anajichanganya. ALLAH ndio kila kitu, haya mengine ni utunzI na uzushi tu wa siku nyingi. Huyu jamaa ni kibaraka wa maandishi asiyo yaelewa vizuri. Muulize nani kaandika hivyo vitabu. Mwambie aende akasaidie wapalestina wasidhulumiwe na waisrael. Kama kweli elmu hiyo yawasaidia waarabu wangesumbuliwa na muamerika. Huo wote ni ulaghai. Kama kweli hio elmu yao na mapete yao yafanya kazi nawaruhusu waitumie kunidhuru mimi, wayatume kwangu majini mabaya sana wafanyie unyama watakavyo wao. Hawa watu wana elmu potoshi. ALLAHU AKBAR!

  • @fredducaunt

    @fredducaunt

    15 күн бұрын

    ​@@jesusislord9190😂😂 washenzi hawa wananafasi yao peponi kuongopea watu na kupotosha watu sio bure

  • @user-lr6ri8bx2f
    @user-lr6ri8bx2fАй бұрын

    Innalillah Wainailayhi rajiun

  • @Zaharaamiri
    @ZaharaamiriАй бұрын

    Subhanallah Allah Akbar Nyie ni washirikina wakubwa sana Na mtaingia motoni milele Mnatuaibisha ss waisilam

  • @sulekhan7119
    @sulekhan7119Ай бұрын

    Hakuna jini wakuleta pesa fanyeni kazi acheni kudanganya umati Muhammad

  • @issahajjiira5411

    @issahajjiira5411

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @thabitimkufi7388

    @thabitimkufi7388

    Ай бұрын

    Sahihi

  • @meckmussa1840

    @meckmussa1840

    Ай бұрын

    Sahihi, Hawa wote ni wezi tu.

  • @alijuma675

    @alijuma675

    Ай бұрын

    Mmoja kaua kisha kapotea mkali wa tiktok

  • @salumuledisalum8038

    @salumuledisalum8038

    Ай бұрын

    wote hawa ni wezi tu wapumbavu hawa

  • @hashimudizele35
    @hashimudizele3519 күн бұрын

    inakuwaje shekh ..... hahahah ndugu mwanadishi zingatia mazingira ya salamu

  • @petermgonja8547
    @petermgonja854714 күн бұрын

    Waislaaamu munatia aibu Sana. Acheni majini wandugu yatawazulia balaaaaaa

  • @fredducaunt
    @fredducaunt15 күн бұрын

    Ukristu ndo dini ya kweli Duh nkajua mnaakili kumbe manyumbu tu Majini toka lini akawa integral part na Dini Upuuzi huu

  • @shamimnelly.8042
    @shamimnelly.8042Ай бұрын

    Huyu jamaa Ameongea vitu vya ndani saana tatizo watu kuambiwa ukweli ndio hawapendi

  • @chunaabdullah1333

    @chunaabdullah1333

    Ай бұрын

    Kabisa, lakini Kuna watu kuelewa ndio shida

  • @rashidkapile

    @rashidkapile

    Ай бұрын

    Wengi wavivu kusoma huyo dogo kasoma

  • @eliudieliya6394

    @eliudieliya6394

    Ай бұрын

    Huyu ostadhi anapatikana wap

  • @user-yd3me5rr2z

    @user-yd3me5rr2z

    24 күн бұрын

    Huyu jamaa anaelmu kubwa sana

  • @AishouSamantha
    @AishouSamanthaАй бұрын

    Mmmmmh dunia iyi inamengi kwl allh tup mwisho mwem yarab

  • @vijanawapendakherfoundatio5069
    @vijanawapendakherfoundatio5069Ай бұрын

    Watu wengi wamebabaishwa na lugha mkamuona huyu shekh apana ni shirki tu

  • @abuarifhassan6316

    @abuarifhassan6316

    Ай бұрын

    Sikliza mpk mwisho amefafanua vizuri kabisa

  • @luqmanjafari

    @luqmanjafari

    18 күн бұрын

    Hakuna chchte hapo

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104Ай бұрын

    SubhanaAllah mtihani Allah atuepushe na shirki

  • @FadhilKassim-qj8tc
    @FadhilKassim-qj8tc20 күн бұрын

    Huyo na Dr sule wamoja

  • @user-ei9rh7vh7e
    @user-ei9rh7vh7e16 күн бұрын

    Tumcheni Allah tungu zanguni kwenye uwislam elimu zote zipo tunaamin lakn so kila elimu inafaa kuifanyia kazi ,hapo hatuna masheikh wote wamrudie Allah kabla kufa

  • @maciaali3698
    @maciaali369813 күн бұрын

    Hawa watanzani wote washirikina mtapata laana kutoka kwa Allah

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846Ай бұрын

    HIZI ZOTE NI ELIMU ZA SHIRIKI MSIMFUATE WAISLAM. WAMUACHE ALLAH HAWA MASHEIKH NI WA GANGA KAMA WANGA WENGINE

  • @alianboori9734

    @alianboori9734

    Ай бұрын

    Elmu zipo ila kuwa na mipaka yake

  • @thabitimkufi7388

    @thabitimkufi7388

    Ай бұрын

    Sahihi

  • @SaeedMughayyar-jv8et

    @SaeedMughayyar-jv8et

    16 күн бұрын

    Kusoma hizi elimu sio shida madhali Allah ametuteremshia, ispo kua ni mbaya sana kiupande Fulani kama ukizojua Kuna asilimia kubwa sana ya kumuasi Allah. Binadam tumeumbiwa na tamaa

  • @mahersuleiman5767
    @mahersuleiman576722 күн бұрын

    Innalillah wainna ilayhi rahiun , hasbiyallah waniimal wakeel

  • @user-hw1fp6mb4s
    @user-hw1fp6mb4sАй бұрын

    Saf sana ndg yangu

  • @musapfute6608
    @musapfute6608Ай бұрын

    Tukisema wabarakatu wafuga majini mnabisha

  • @omarbinjaa2801
    @omarbinjaa2801Ай бұрын

    Wengi hawa ni wachawi na washirikina watu wa Elimu za majini na nyota n pete

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649Ай бұрын

    Wenyewe Kwa wenyewe😅😅😅😅

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368Ай бұрын

    Yaaani jini anajuwa dini la kislamu, kanisani hatupandishi jini, sisi tuna Roho mtakatifu

  • @SAIDNYUNGU
    @SAIDNYUNGU2 күн бұрын

    Huyu na dr sule wote wasafiri wamoja gari moja isipokua mmoja manamba mmoja konda

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vvАй бұрын

    Kwa uchawi na majini saluti sana kwenu

  • @aziziatumanially424
    @aziziatumanially42422 күн бұрын

    Asante mtu uliyenihubilia injili ya Yesu

  • @muhammadmbaraka4515

    @muhammadmbaraka4515

    19 күн бұрын

    ALLAAH akuongoze

  • @noors7030

    @noors7030

    5 күн бұрын

    Ukae ukijua wate ni washirikina wanamshirikisha Allah na majin Muslim humuomba Alla pekoe mmoja tu

  • @muhsinkimaro4283
    @muhsinkimaro428317 күн бұрын

    Unajarib kukwepa maswal ya mwandish lkn uhalisia ww nk mshirikina live, pete unaisomea dua

  • @rahmasuleiman7888
    @rahmasuleiman788819 күн бұрын

    Washirikina hawa wajivisha ushekhe wapotosha watu bila ilmu

  • @user-ih7nl5nv3c
    @user-ih7nl5nv3cАй бұрын

    Tuwasomeshe watoto wetu ttauhidi wasije kua waganga

  • @kaundemtanga
    @kaundemtangaАй бұрын

    Uyu kijana nilimjua mwaka 2021 anaitwaa sir Bin laden Nilimpata Kwa Bingo alinisahidia Sanaa kunitibia matatizo yangu uyu anajua haswaa Tiba SEMA umri wako ni mdogo

  • @gideonjohn8912

    @gideonjohn8912

    Ай бұрын

    Habari ndugu naomba namba zake ninamgonjwa labda anaweza nisaidia

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    Ай бұрын

    ​@@gideonjohn8912 Kachukua kwenye channel yake inaitwa firdausi

  • @hamisiiddi7340

    @hamisiiddi7340

    Ай бұрын

    Tunaomba namba

  • @GoodDeeds-Jesus

    @GoodDeeds-Jesus

    Ай бұрын

    Naomba kuwasiliana na wewe tafadhali nikwambie Habari za uponyaji kupitia Yesu Kristo kama hutojali ​@@gideonjohn8912

  • @mansoorsuleiman1645
    @mansoorsuleiman164520 күн бұрын

    Acha uongo ndugu yangu kumbuka kuna kesho unaongea uongo tu na hata hufikirii hio elimu wenyew ya majini hujui acha kupotesha

  • @user-rh6jd2zh6z
    @user-rh6jd2zh6z28 күн бұрын

    Naomba namba yako sher

  • @masoudjongo
    @masoudjongo19 күн бұрын

    Naisi huyu muandishi anaeye hoji ana kumbukumbu na anaowaoji unafarakanisha hapo

  • @bare-gj2mu
    @bare-gj2mu4 күн бұрын

    Da Hawa wakristo nao Hawana akili kabisa mwanaadamu anawezaje akawa mungu. Mtu amezaliwa anawzje kuw Mungu, jamani hii ni akili kwel ya Mt?

  • @alianboori9734
    @alianboori9734Ай бұрын

    Asalaaleikum Mimi naomba namba ya kija kama munayo. Naomba munisaidie.

  • @Muzmuayubu
    @Muzmuayubu28 күн бұрын

    Hii dunia imeisha ss mungu tunusuru😭🙏 mina

  • @rashidabasi7940
    @rashidabasi794018 күн бұрын

    Sheikh naona karuka alipogusiwa sio makanisa yote.. Eti inawezekana Sio Tanzania.😂😂

  • @AbuuNuraiyah9009
    @AbuuNuraiyah900920 күн бұрын

    Hiyo sio elimu bali ni uchawi.acheni kudanganya watu

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996Ай бұрын

    Majini tu hayo

  • @tahirnephessalum3678
    @tahirnephessalum367817 күн бұрын

    kiebrania ndo lugha aliyozungumza yesu...

  • @saidjuma4547
    @saidjuma454723 күн бұрын

    kuvaa kanzu sio ushekh

  • @mohammedjabir6128
    @mohammedjabir612827 күн бұрын

    Kajitahidi shekhe kueleza lakini hapo katika pete kachemsha, Allah amuhidi!

  • @user-tw3nn9pb1s
    @user-tw3nn9pb1s21 күн бұрын

    ww umepotea siy sehemu sahihi jesus christ

  • @user-kn8pw7vk4e
    @user-kn8pw7vk4eАй бұрын

    Daaah...!! kazi ipo ktk izi Dinni...

  • @hamzarangi7989
    @hamzarangi7989Ай бұрын

    Mtangazaji umemsingizia dr sule huyo shehe yupo right ila umemsingizia dr sule hawezi kusema jini haitwi

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kzАй бұрын

    Mshirikina sana ww tubu kwa Allah la si hivo Allah atakutia.motoni

  • @hassanmohammed6229
    @hassanmohammed6229Ай бұрын

    Aww msiwasikilize hawa wahuni shauri zenu.elimu ni bahari 🙏🙏

  • @zuberhamza7852

    @zuberhamza7852

    Ай бұрын

    Bakabla hujacoment kwanza umewaskiliza alafu ndio umecoment Sasa unatwambiaje tusiwaskilize?? Kwanza Kuna kuskiliza na kukubali

  • @hussenihamisi2862
    @hussenihamisi286219 күн бұрын

    Achani kutukana uislamu kwa mambo yanu ya ushurikina uislima nidini anayo pingana na mambo hayo

  • @raymondmunis3553
    @raymondmunis355321 күн бұрын

    Unahoji watu wenye sifa hizo tafuta watu wenye elimu.Pete zilizokuwa zikitumika kipindi hicho ni alama au kama muhuri ilikuonesha ujumbe umetoka kwa nani?Hao ndio wanabadili sasa kuwadanganya watu

  • @moudy4realibrahim601
    @moudy4realibrahim601Ай бұрын

    Naomba umuulize sheikh hukmu ya kumdhurumu mtu haki yake inakuaj kwa mwenyezi mungu

  • @MTAVASSYTv

    @MTAVASSYTv

    Ай бұрын

    🤔🤔

  • @HanifaOman-oo4pl

    @HanifaOman-oo4pl

    Ай бұрын

    Wenae shehe yukowapihapo. Hukumuyake mototu ukitakakusalimika umlipe

  • @abuudachi3986
    @abuudachi398618 күн бұрын

    Huyo sheikh mwenyewe anang'ata maneno hajaweka wazi anavaa hiyo Pete kwa malengo gani anatakiwa afunguke kama anavyo funguka mwenzie Sule

  • @suleimanhafidh1957
    @suleimanhafidh195728 күн бұрын

    Mhhhh hawa waongoo

  • @cydemanchester2368
    @cydemanchester236827 күн бұрын

    Mshirikina anamtaja mshirikina mwenzie

  • @OG_The_King
    @OG_The_King29 күн бұрын

    Karibuni huku Kwa Yesu hatuitaji jini ni imani yako. 🎉 Nipo mahala sahihi Yesu anaokoa Karibuni wote muokoke

  • @caswaralbadry8481

    @caswaralbadry8481

    29 күн бұрын

    Hivyo kusema hivyo tu tyr una majini elf washakupotosha

  • @jamesrichard3971
    @jamesrichard397119 күн бұрын

    Siku ya kiama ndio tutajua, walio amin na wasio amin, na tutajua siku hiyo mbivu na mbichi

  • @memorataedson7895
    @memorataedson789518 күн бұрын

    Wakristo ukiwa na Yesu ty huitaji mti pete majini au kitu chochote ni Yesu tu anatosha

  • @moseskusamba431
    @moseskusamba431Ай бұрын

    Jamani hii ndini au uchawi!

  • @samorajama8833
    @samorajama883320 күн бұрын

    WOOOÒTE HAWA NA WANAOFANANA NA HAWA WOTE NI WASHIRIKINA NA KILLA ANAEITIKADI HAYA HAWAPO NDANI YA UISLAAM SOMENI KITABU CHA LAAAA ILAAAHA ILLAA LLAAH VITENGUZI VYA UISLAAM

  • @saidjuma4547
    @saidjuma454723 күн бұрын

    watu wote hawezi kuwa sawa ktk Dunia hii wako wakiristo wako waislam Kwa undani wako washirikina wapo wapotovu wapo Wazinifu wapo wizi wapo waumini wakweli ktk uislam ila yule Alie sahihi ni yule muumin wakweli wadini ya kislam ambae hayuko tayari kumshirikisha mungu Kwa chochote

  • @hashimudizele35
    @hashimudizele3519 күн бұрын

    Takwimu za mchambuzi bwana ......... eti karibuni milioni mia 6 au milioni 3 ......... hapa hakuna mtu

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling473827 күн бұрын

    Jina la uyu shekhe tafadhali

  • @abedimasudi268
    @abedimasudi26826 күн бұрын

    Wewe ma Doctor sule nyote hamna lolote ivi Qouran haiwatoshi Tatizo iman hamna ndiomana mnatumiya majini

  • @DjojoDeskila-yr2su
    @DjojoDeskila-yr2su29 күн бұрын

    Wewe sema kwamaandiko usizue ila.ulilipwa.namakafiri.kuharibu.uisilamu

  • @mbarakassa4347
    @mbarakassa434726 күн бұрын

    Amakweli sikuhizi Kuna wachawi watoto kamahuyu anaye zungumza aibu,hana Acheni ushirikina kaeni kitako musome wacheni njaaa

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5pАй бұрын

    mmh mtihani huu yaarab

  • @sophiabaraka760
    @sophiabaraka760Ай бұрын

    Kumuita jini mpaka kufata masharti hii ndio shirki yenyewe, Usimwamini Mungu akusaidie unamtegemea jini.

  • @EshaShamu
    @EshaShamuАй бұрын

    Yan shehe umeongea kitu cha maana asierewa hapa hawez kuerewa kabisa ndio maana wanaongea tu wengine

Келесі