Dr. Chris Mauki: Mambo 5 kamwe usiendekeze kushirikisha watu
Wengi sana wamejuta baada ya kugundua kuwa walikosea walipo mshirikisha mtu fulani mambo binafsi. Kuna mambo ya kushirikisha na kuna mambo ya kubaki nayo. Je unaya jua yapi usijaribu kabisa kushirikisha mtu? Haya hapa mambo matano kamwe usi shirikishe watu.
#DrChrisMauki#Mambo5#Usiendekeze
Пікірлер: 99
Natamani mambo haya niyafanyie lamination kwenye ufahamu wangu. Mungu nipe kutunza haya siku zote. Ubarikiwe sana Dr. Mauki
Mm ni muhanga wa hayo mambo. Na shukuru kwa kunizindua
Hili somo ni mhimu sana, watu wengi including myself hawajui hili.
Huwa hatujiamini ndiomaana tunaongea hovyo hovyo, nimefnguka kweli kweli, Thank bro
Daaaah!! Nashukuru sana kwa somo zuri mno umenishtua usingizini yaani umenisaidia sana kwa kweli. Ubarikiwe mno.
Namshukuru Mungu vyote nimejaaliwa sisemi hata uniue nimezaliwa hivyo
Mungu akuweke kwa jili yetu
Nashukuru kwa Ushauri wako 🙌
This is powerful msg. Thanks so much Dr Chris
Mungu nisaidie kwakweri hii tabia ya kumwamini mtu imenitesa Sana, nashukuru mnoo dr
Kweli kbs najifunza mengi sana kupitia masomo yko🙏
Mungu akulinde kaka
Hii video ngoja niiwatumie watu wa karibu wasome wataelewa
Ahsante Sana kaka Angu
Nakuelewa Dr chris mauki mungu akuweke tuyajue mengi toka nikufatilie wewe cjawah juta❤
Asante Sana dr
Nikweli kabisa mimi nimefeli mara nyingi sana kwa sababu hii
God bless you with all of this 😔😔
Big up Doctor!
Asante doctor ur blessing
Thank you very much
Third party👏🏾👏🏾(Key word)🙏🏾
Asante Mr Christ Mauki
Asante saana mafundisho mazuri
Asante barikiwa
Ahsante sana 🙏
Shukrani Barikiwa
Thank very much
Asante sana Dr. Mauki🙏💗💗
Ahsanteeee Sana Dr 🙏🙏🙏🙏Ubarikiwe Kakaangu
Mungu akubari.
Safi doctor Mauki
Aksante sana kaka kwa kunishaur
Nikweli Dr hayo ndio maisha niliyoyachagua umeniongezea nikitaka ushuri nitakutafuta tunaongea tumalizana hili leo ubarikiwe
@aminaluttu649
Жыл бұрын
Nampataje huyu dr
Hakika mwenyezi Mungu akubariki sana
Asante kwa somo umenifungua
Ahsante Dr Chris kwa somo zuri
Asante sana kwa somo zuri sana nimejifunza
Napenda hii nguvu ya usiri nawashangaza tu
Asante kwaushauri wako mzuri sana, nimejifunza vitu vingi san
Asante San Dr Chris ujumbe nzuri
Asante Dr Chris kwa somo zuri ila sauti ni ndogo tunashindwa kusikiliza wengi officen
Asante baba kwa ushauri mzuri ubarikiwe
Ahsante saaana kwa ushaur,Mungu akubariki sana dr.
Well said Dr. Mauki 👍
Asante Kaka kwa kunifumbua
My role model
Thanks Chris this topic was helpful to me
Ahsante❤
Big up sana wewe ni zaid ya mwalimu kwangu
Asantee kaka kwa mafundisho mazur kwel yatupasa tuepuke kumshirikisha Kila mtu nitakutafuta for more details
Asante
Ahsante sana umenifungua,let's my success surprise them.
Kabisa
Jmn mafunzo yako yanaijenga sana ndoa yangu m mungu akuongozee
True kaka,, Halipiti MBINGUNI
Mia kwa Mia Dkr
Big up chris
@janethgarlus528
11 ай бұрын
MUNGU akubariki doctor wengi tunafeli sabababu yakutoa mamboyetu kwa watu naanza kuchkua hatua ntakupa matokeo
Umesema kweli ubarikiwe
mmmm kweli nimechewa kukufahamu tupo pamoja nafatilia hadi ulizokua umetoa
Mipango yako Madhaifu yako Mikakati yako mikubwa ya maisha Siri zako Kushindwa kwako.....
Nimejifunza
👏👏👏👏
🙏
This is so touching. Thank you so much Dr.
@gertudelusaka7308
2 жыл бұрын
Asaaaante sana
@gertudelusaka7308
2 жыл бұрын
Ahsante dr
🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿😢😢
🥰 💥
Barikiwa baba,,,,ila unachekesha,,,hatunyimani umbea😂😂
Kweri kabisa
🙏🙏🙏🙏🙏
Hicho kipengele nahitaji neema ya Mungu nafeli mara kwa mara naomba namba yako mtumishi ninamatatizo mengi nahitaji msaada wako
Ahsate dk..lakin wakati.mwingine vichwq vinataka kupasuka unaona bora umwambie . Mtu kwa haraka
@morato6522
2 жыл бұрын
😅😅😅😅😅💫
@mackilinapatrick4717
Жыл бұрын
Yan nikwel kbisa
@salmaalimusa6809
Жыл бұрын
@@morato6522 mm huyu sinaga siri hehehehe
@abigaelopiyo2066
Жыл бұрын
Kweli kabisa kama mm huwa bajikuta huwa naongea mwenyewe hata njian
Akhasante dokta.naomba namba nikupigie pls
Umenigusa Dr
Somo limenigusa mno
Ahutumihi mitandao mingine?
Please doctor naomba nisaidie number yako nna matatizo nahitaji ushauri wa kisaikolojia
@emmanuelnduki6089
Жыл бұрын
nitafute pia nitakuongezea kitu
Dr. Naomba utoe video ya kutufundisha uzazi wa mpango kwa kutumia kalenda
Umeongea ukweli daktar mauki ntazingatia haya mafunzo yako
Naomba namba yako
Naomb namba yako brother
Leo umenigusa mpaka naogopa
Dr Chris's mauki kwanza hongera sana kwa kipaji ulichonacho masomo yako yananipa afya ya akili. Lakin nikuulize kitu. Wewe ni Dr by professional?? Or by what? Asante sana
@MissG_the_artist
Жыл бұрын
Ni daktari wa saikolojia by proffesion.
Kushirikisha watu mambo yako ni sumu kubwaaa mnoo
Mauki bora ukakaa na jambo lako maana rafiki ndo mbaya wako
Aki nguvu ya usiri ni kubwa kuliko kulopoka
Mimi nilikutafuta Sana Ila tatzo gharama nilizopewa ilituongee nikashindwa Ila ninashida Sana na kuongea na wewe
Kwani ni vema kumficha mke Siri ?
Thank you very much