Diamond na BabaLevo wakizindua OFA Mpyaa kutoka WASAFI BET
Ойын-сауық
Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
#bingoonlinetz
#sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
Пікірлер: 13
akisante sana kwa kazi nzema mtuangu DIAMOND PLATNUMZ SIMBA DANGHOTE BABALAO MKALI SANA WA MIZIKI bwana mungu awe nawe siku zote 🇨🇩 Congo tuna ku kubali kinoma sana mkubwa miaka mingi kwako mungu aendelee kukupa afia bora milele na nguvu yakuendelea kuimba nyimbo nzuri nzuri naku fanya kazi izo zingine 🙏
Diamond bana Yuko sirias napesa kijana anatafta pesa acha wengne wajenge majungu! Diamond atakuwa miongon mwa vijana wa Tanzania wanao ingiza mkwanja mrefu 2 tz!
Lukuga bring it Sa
Lukuga we need wasafibet in south Africa plz
Kuwapereka watu, Paris,😂😂komasava,
@JunokizzyTz-ph2ck
Ай бұрын
Mnachekesha
Mikono sasa
Mungu akubaliki daimondi unajituma sana alafu wajinga watabaki kusema flimasoni
Inshu ukila hawatak uhamishe pesa n'a namba yao inakata tu
Amakweli fundi majumba anatajriba ya kuongea na kutangaza biashara
Ulikuepo wewe 😂😂😂
Je akuna uduma kwabao wako ije yaichi??
Unajuwaa sasahivi ntakuwaa sifungui hizo video zenu mnachoandikaa nitofauti na kilichopo