DIAMOND Afunguka KURUDIANA na TANASHA/ "Kweli NILITAKA KUOA/ ZARI/ Anawivu sana"
Ойын-сауық
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Diamondplatnumz #Tanasha
Пікірлер: 106
Hata pale kenya alisema Tanasha ni mdogo mzuri sana na anamtambua kitandani. But leo hii ako wapi. DIAMOND mtambue Mungu wacha unafiki
Like from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪ziko wapi jamaniiiiiiiii
@latifaau6356
3 жыл бұрын
You've it all
@margarethkiatu5546
3 жыл бұрын
They are finished they thought they will be married to him ooops, getting pregnant faster while there's another special girl behind so sad, women let's us find our own money
Diamond is a gentleman, infact he respects babymamas, ni venye hajapata mwanamke wa kumelewa,
Wow amazing you know what hapo kidogo ume bonga points mond anyway mm ni fun daimond ilahaiamanishi aki fanya vitu vyenye sipoa nita msapoti no, ila ushauri mdogo kwa yule mwenye yuwatarajia kuolewa na mond the first thing ushajuwa hulka zake so umkubali vyenye yuko na ukubali job yake, kwa mke wa Kiba Amina haiamanishi kuwa hakuna majaribu yako thele ila yuwa mwelewa mumewe this is 4the one who want to stay with daimond platinumz much much much love from 🇱🇷🇱🇷🇱🇷
Dah
Zari should move on and live her life Diamond is a mamas boy
Tanasha run with all ur might rudi huku kwetu uuuuuuuwi!!that man is so unstable hajielewi.....
@maryamhusseinabdul6218
3 жыл бұрын
Kabisaaaa
😍😍😍😍💞💞
Chibu tanasha anatosha jamani, munafaana napenda nikiwaona pamoja malizeni tofauti zenu mulee mtoto Kama familia.
You can be joeleusy to some one whom you don't love so you should not blame zari
Mbona yes zipo nyingi sana
Aho
Tatizo la diamond kukumbatiana sana na ma❌. Na uchafu anazaazaa nje mke atakae mpata labda kwako anaziki akubali kila kitu kumrizia diamond lakini sio hao walokuwa na kitu ni ngumu kukubali kuolewa na diamond.
Itakua ndo maana tanasha akasepa kipind kile, ila mondi tulia wanawake hawaishi
Kweli dai leo kanichekesha kweli,tangu nimujuwe duh!!!!
Weeeewww simba nakubari ❤❤❤❤❤💌💌💌💌💌💌🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲
Alisema ako single
Kubaliiiii mondiii duniaaaaa nzimaaaaaaa hadiii nakufaaaaaa
Diamond hawezi owa
Huyu jamaa mshenzi Sana😆😆😆😆
Na hilo tatizo la kuchukuwa wanawake ndo nini mambo unaharibu mwenyewe. Punguza mambo ya ubishoo hayo ndo yanayokuharibia.
Kulikuwa na haja gani ya kutaja dollar elfu 7...hahhahaa😂😬😀😁
Hpo ni sawa chibu mtoto mzuri huyo usi muache mpaka aku zalie msani
Translation please
@brandybanda8409
3 жыл бұрын
Yes coz we don't understand
Mpuuzi wa maisha huji elewi
Mhhhh jamani wivu lazima
Eeh mumemuona diamond hawezi oa Sasa wa leo,mm Nasha ngaa na wanawake kama tanasha na zari warembo lkn hawana kheraa za kikee
@divinebernard1047
3 жыл бұрын
Kivipi
Diamond usikulupuke kuowa ndoa nijambo dogo ila nikitukikubwa mno tafuta mke bora na siyo bora mke
Diamond wewe wa tuuzi sana wacha kumzalalisha zari kama wewe unataka kumuoa mjaluo utapatapata wewe sisiwenyewe twawaogota itakuwa wewe ngoja diamond umenisinya kweli hautapata kama zari
Chibu umeongea, wengi wajifunzee!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mondi umijua kunivunja mbavu hahahahhahahaahahha eti inshallah yote kheri yataisha nimicheka jamani mm na nilikua full stress 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣unatupatia
Fala mkubwa
Nimecheka apo kwa inshallah yote kheri 😂😂😂😂😂diamond bahna
@divinebernard1047
3 жыл бұрын
Yani nimecheka
Hanaga maoaji huyo
Tatizo Wabongo wana uswahili sana mitandao inakuza Jambo jambo dogo wanalifnya kubwa Mtu hata km hajamind bc atamind yani uwe na moyo wa chuma
@divinebernard1047
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
Eeeeeh wacheni huyo atumwe na shetani pesa ya shetani lazima ikutume
@stevewaves6776
3 жыл бұрын
ufakara wako ni wa mungu?? tafuta hela kijana at your age you dont feel ashamed talking ill of other mens wealth. Abig shame on you. PIMBI wewe
Joule esma aliwayi kumuposti katambo
Mondi anaficha tanasha kabsaa
Chibu umekuwa kunivunja mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaaa
Sauti Kama ya babako and unamkataa
HUYO TAMBWE KUKATISHA HAYO MATANGAZO 😬😬😬😈
Wewe pepo amekufanya makao yake eti mzuri sana mzuri sana my foot kuliko hao ulio zaa nao naku unfollow mwenye kureplace nafasi yangu ndo hiyo na nimeenda
Diamond muongooo🤣😂😂Una vijimaneno sana ww lover boy🤣🤣.. Wajitetea tu.. 😂
@PKdamu
3 жыл бұрын
Uwongo ina onekana live. Lakini wacha tumsamehe, labda hataki spotlight
@sweetmeena5970
3 жыл бұрын
😁😁😁
mbona wachanga nyikiwa baba
😂😂😂😂😂😂
Translate please
.
거짓말이 너무 많아 smh...
Pesa zakunyetesha.. Misifa wewe.
Diamond muongo bhana.
Wewe wacha zako
Ungeliowa alafu Zari vipi sasa? 🤔 Khaaaaaa 🚴♂️🚴♂️🚴♂️
Yan mkongo tu Diamond haja onja hivi koffi akupe msichana wa huko
misifa wee huna llote
Kuna Wanamuziki wengi wanafny Mziki na wameoa lkn hawana cfa km ww ukitaka kuishi na mke kw cc Waislamu achana na maex wko ibaki salamu tu ndio tukaambiwa tuzae Ndani ya Ndoa ingekuwa uliwaoa isingekuwa ishu
@everlynendulunzusa4037
3 жыл бұрын
Sawa
Mnasema tanasha yet anazungumzia msichana mwingine
@vayokhamakhama4081
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sweetmeena5970
3 жыл бұрын
Tanasha aachane na huyu mtu anampotezea mda akubali waliachana na wanalea tu mtoto coz yuwamtumia kama alivokuwa akimtumia hamisa
@ilariamuthoni6666
3 жыл бұрын
@@sweetmeena5970 true..amwite pale kwa stage wa perform yet diamond haku perform ya Tanasha ..lazima angelipwa
Miarabu mwehu huyoo aolewe na wewe loooh muarabu wa wapu huyoo
@sadahgullam8228
3 жыл бұрын
Mwarabu mswahili atakuwa
@nooromar6233
3 жыл бұрын
Na hawo waraabu ndio naona muna hamu nawo sana sielewi kwa nini kila msanii akiwa na mwanamke mweupe kidogo ni muarabu hee
Punguzaga misifa uishi bila matangazo utazaa na wangapi
Lakini zari anatosha jamani.....
@carolynemohammed518
3 жыл бұрын
Zari ni Mama mkubwa😂😂
@mercynoreen3288
3 жыл бұрын
@@carolynemohammed518 ni mama yako
@uwimanauwimana7692
3 жыл бұрын
@@mercynoreen3288 zari yupo busy na gay wako 🙏🏾
@ashanziku795
3 жыл бұрын
Hahaha mod unanifurahisha
@judywambui3409
3 жыл бұрын
Anatosha kabisar
Kama zari ako na wivu . .si uoe wawili baas😂😂😂mpenda kuruka njia
This guy is confused ....hajuwi yupi wakukuwa nae ila mungu atamsaidia...na pia amwombe mungu sana kwakufanya mamuzi ilaakiwa ataumia njia zake yeye kama yeye hata weza atabakia kuwa kama mzee wake akiomba kwa wanawe...ila mama zao watakuwa vile vile alivyo mkana baba yake wakumlea ila walewatoto hawata wakana baba zao wakuwale ...hahah Tanasha pls come home there we have learned rich guys better than him am sure you will never regrate ...and your son will grow this guy is undecided MWACHE! ....kwani hajuwi Nairobi nini...hahha
@SabbyGangGangGang
3 жыл бұрын
Fame huisha ni anakuone wivu anajuwa utakuwa juu ...kumliko so he is avoiding it all ...mpe kishogo alaa
Nani huyo ulitongoza tangu 2013sielewi
@rachealkamau7640
3 жыл бұрын
Even me, I have not understand
@kiprophanningtonmandal4112
3 жыл бұрын
Wema
@chiababie6694
3 жыл бұрын
Tena wa mataifa matatu mburundi,mwarabu mtanzania mmh
@puritynjoki8882
3 жыл бұрын
Wema sepetu
@swesschao3095
3 жыл бұрын
Kwani mwaka jana alikuwa na wema
8
Mrongo mkubwa weweee
@maryamhusseinabdul6218
3 жыл бұрын
Mrongo awe na dem asimpost anavyo penda kiki huyu mamake alivyo na kiki wanafki wote
Baba.nasibu tuna.kushauti.muowe.mama.nasibu.apana.uyo.bibi.kize.zari.ameisha eneza myaka 50.wewe.una.endana.na.mama.nasibu.tanasha
@rebeccaasiyo9820
3 жыл бұрын
Jinga we we,Unamlazimisha aje wakati hamtaki
@jescatebuye2287
3 жыл бұрын
Hahaaa amekwambia ana mtoto mzuri 😂😂😂😂😂 wakati mwingine asema kaoneshwa kwenye ndoto kuwa niwake nacheka kwa kweli😂😂😂😂😂
Diamond muongo kweli unasema uongo tupu
Wakuoa utakuwa wewe bwana Bado upo upo kwanza
Muowe tu wema kama watoto ushapata