DIAMOND Afunguka KURUDIANA na TANASHA/ "Kweli NILITAKA KUOA/ ZARI/ Anawivu sana"

Ойын-сауық

...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Diamondplatnumz #Tanasha

Пікірлер: 106

  • @redibatafulai2583
    @redibatafulai25833 жыл бұрын

    Hata pale kenya alisema Tanasha ni mdogo mzuri sana na anamtambua kitandani. But leo hii ako wapi. DIAMOND mtambue Mungu wacha unafiki

  • @stargalke2625
    @stargalke26253 жыл бұрын

    Like from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪ziko wapi jamaniiiiiiiii

  • @latifaau6356

    @latifaau6356

    3 жыл бұрын

    You've it all

  • @margarethkiatu5546

    @margarethkiatu5546

    3 жыл бұрын

    They are finished they thought they will be married to him ooops, getting pregnant faster while there's another special girl behind so sad, women let's us find our own money

  • @mudickweyu9703
    @mudickweyu97033 жыл бұрын

    Diamond is a gentleman, infact he respects babymamas, ni venye hajapata mwanamke wa kumelewa,

  • @fatmasaid7093
    @fatmasaid70933 жыл бұрын

    Wow amazing you know what hapo kidogo ume bonga points mond anyway mm ni fun daimond ilahaiamanishi aki fanya vitu vyenye sipoa nita msapoti no, ila ushauri mdogo kwa yule mwenye yuwatarajia kuolewa na mond the first thing ushajuwa hulka zake so umkubali vyenye yuko na ukubali job yake, kwa mke wa Kiba Amina haiamanishi kuwa hakuna majaribu yako thele ila yuwa mwelewa mumewe this is 4the one who want to stay with daimond platinumz much much much love from 🇱🇷🇱🇷🇱🇷

  • @rosemmbando7488
    @rosemmbando74883 жыл бұрын

    Dah

  • @gdee-zt5pn
    @gdee-zt5pn3 жыл бұрын

    Zari should move on and live her life Diamond is a mamas boy

  • @waenikasanzu2546
    @waenikasanzu25463 жыл бұрын

    Tanasha run with all ur might rudi huku kwetu uuuuuuuwi!!that man is so unstable hajielewi.....

  • @maryamhusseinabdul6218

    @maryamhusseinabdul6218

    3 жыл бұрын

    Kabisaaaa

  • @mamy8220
    @mamy82203 жыл бұрын

    😍😍😍😍💞💞

  • @brendamalesi7745
    @brendamalesi77453 жыл бұрын

    Chibu tanasha anatosha jamani, munafaana napenda nikiwaona pamoja malizeni tofauti zenu mulee mtoto Kama familia.

  • @asiimweenid9263
    @asiimweenid92633 жыл бұрын

    You can be joeleusy to some one whom you don't love so you should not blame zari

  • @marianamontoedi2333
    @marianamontoedi23333 жыл бұрын

    Mbona yes zipo nyingi sana

  • @maryammarham2862
    @maryammarham28623 жыл бұрын

    Aho

  • @misrahmisrah8761
    @misrahmisrah87613 жыл бұрын

    Tatizo la diamond kukumbatiana sana na ma❌. Na uchafu anazaazaa nje mke atakae mpata labda kwako anaziki akubali kila kitu kumrizia diamond lakini sio hao walokuwa na kitu ni ngumu kukubali kuolewa na diamond.

  • @hadijabashil2680
    @hadijabashil26803 жыл бұрын

    Itakua ndo maana tanasha akasepa kipind kile, ila mondi tulia wanawake hawaishi

  • @divinebernard1047
    @divinebernard10473 жыл бұрын

    Kweli dai leo kanichekesha kweli,tangu nimujuwe duh!!!!

  • @GggGg-uh5ir
    @GggGg-uh5ir3 жыл бұрын

    Weeeewww simba nakubari ❤❤❤❤❤💌💌💌💌💌💌🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲🇯🇲

  • @lydiakemuntookindo7254
    @lydiakemuntookindo72543 жыл бұрын

    Alisema ako single

  • @ragymnyone3069
    @ragymnyone30693 жыл бұрын

    Kubaliiiii mondiii duniaaaaa nzimaaaaaaa hadiii nakufaaaaaa

  • @nellynelima409
    @nellynelima4093 жыл бұрын

    Diamond hawezi owa

  • @marywamaitha
    @marywamaitha3 жыл бұрын

    Huyu jamaa mshenzi Sana😆😆😆😆

  • @misrahmisrah8761
    @misrahmisrah87613 жыл бұрын

    Na hilo tatizo la kuchukuwa wanawake ndo nini mambo unaharibu mwenyewe. Punguza mambo ya ubishoo hayo ndo yanayokuharibia.

  • @kevooambakisye7018
    @kevooambakisye70183 жыл бұрын

    Kulikuwa na haja gani ya kutaja dollar elfu 7...hahhahaa😂😬😀😁

  • @robertmwachofi6064
    @robertmwachofi60643 жыл бұрын

    Hpo ni sawa chibu mtoto mzuri huyo usi muache mpaka aku zalie msani

  • @sophiemuhammed9414
    @sophiemuhammed94143 жыл бұрын

    Translation please

  • @brandybanda8409

    @brandybanda8409

    3 жыл бұрын

    Yes coz we don't understand

  • @limbomambo9728
    @limbomambo97283 жыл бұрын

    Mpuuzi wa maisha huji elewi

  • @abdulbagayan614
    @abdulbagayan6143 жыл бұрын

    Mhhhh jamani wivu lazima

  • @aishaabdurahman1185
    @aishaabdurahman11853 жыл бұрын

    Eeh mumemuona diamond hawezi oa Sasa wa leo,mm Nasha ngaa na wanawake kama tanasha na zari warembo lkn hawana kheraa za kikee

  • @divinebernard1047

    @divinebernard1047

    3 жыл бұрын

    Kivipi

  • @bahatykiugu1516
    @bahatykiugu15163 жыл бұрын

    Diamond usikulupuke kuowa ndoa nijambo dogo ila nikitukikubwa mno tafuta mke bora na siyo bora mke

  • @edithkageha9473
    @edithkageha94733 жыл бұрын

    Diamond wewe wa tuuzi sana wacha kumzalalisha zari kama wewe unataka kumuoa mjaluo utapatapata wewe sisiwenyewe twawaogota itakuwa wewe ngoja diamond umenisinya kweli hautapata kama zari

  • @edithhassan4196
    @edithhassan419610 ай бұрын

    Chibu umeongea, wengi wajifunzee!

  • @fatushabdi2786
    @fatushabdi27863 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mondi umijua kunivunja mbavu hahahahhahahaahahha eti inshallah yote kheri yataisha nimicheka jamani mm na nilikua full stress 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣unatupatia

  • @lawrencemuthangya6824
    @lawrencemuthangya68243 жыл бұрын

    Fala mkubwa

  • @zakyahya4645
    @zakyahya46453 жыл бұрын

    Nimecheka apo kwa inshallah yote kheri 😂😂😂😂😂diamond bahna

  • @divinebernard1047

    @divinebernard1047

    3 жыл бұрын

    Yani nimecheka

  • @Drkhan345
    @Drkhan3453 жыл бұрын

    Hanaga maoaji huyo

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana53533 жыл бұрын

    Tatizo Wabongo wana uswahili sana mitandao inakuza Jambo jambo dogo wanalifnya kubwa Mtu hata km hajamind bc atamind yani uwe na moyo wa chuma

  • @divinebernard1047

    @divinebernard1047

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @Drkhan345
    @Drkhan3453 жыл бұрын

    Eeeeeh wacheni huyo atumwe na shetani pesa ya shetani lazima ikutume

  • @stevewaves6776

    @stevewaves6776

    3 жыл бұрын

    ufakara wako ni wa mungu?? tafuta hela kijana at your age you dont feel ashamed talking ill of other mens wealth. Abig shame on you. PIMBI wewe

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo66523 жыл бұрын

    Joule esma aliwayi kumuposti katambo

  • @lyzekeyz328
    @lyzekeyz3283 жыл бұрын

    Mondi anaficha tanasha kabsaa

  • @mwatimemwaita5878
    @mwatimemwaita58783 жыл бұрын

    Chibu umekuwa kunivunja mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys45813 жыл бұрын

    Hahahaaa

  • @reneejollie5117
    @reneejollie51173 жыл бұрын

    Sauti Kama ya babako and unamkataa

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11713 жыл бұрын

    HUYO TAMBWE KUKATISHA HAYO MATANGAZO 😬😬😬😈

  • @chiababie6694
    @chiababie66943 жыл бұрын

    Wewe pepo amekufanya makao yake eti mzuri sana mzuri sana my foot kuliko hao ulio zaa nao naku unfollow mwenye kureplace nafasi yangu ndo hiyo na nimeenda

  • @shantelbyonce1358
    @shantelbyonce13583 жыл бұрын

    Diamond muongooo🤣😂😂Una vijimaneno sana ww lover boy🤣🤣.. Wajitetea tu.. 😂

  • @PKdamu

    @PKdamu

    3 жыл бұрын

    Uwongo ina onekana live. Lakini wacha tumsamehe, labda hataki spotlight

  • @sweetmeena5970

    @sweetmeena5970

    3 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @gracemuiruri2425
    @gracemuiruri24253 жыл бұрын

    mbona wachanga nyikiwa baba

  • @deeruta9894
    @deeruta98943 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @aissatabarry3110
    @aissatabarry31103 жыл бұрын

    Translate please

  • @halimaanzazi718
    @halimaanzazi7183 жыл бұрын

    .

  • @rleo8487
    @rleo84873 жыл бұрын

    거짓말이 너무 많아 smh...

  • @reazahmohjey7724
    @reazahmohjey77243 жыл бұрын

    Pesa zakunyetesha.. Misifa wewe.

  • @nishasalim2880
    @nishasalim28803 жыл бұрын

    Diamond muongo bhana.

  • @RemmyMkalla
    @RemmyMkalla3 жыл бұрын

    Wewe wacha zako

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo66523 жыл бұрын

    Ungeliowa alafu Zari vipi sasa? 🤔 Khaaaaaa 🚴‍♂️🚴‍♂️🚴‍♂️

  • @estherbakabona9930
    @estherbakabona99303 жыл бұрын

    Yan mkongo tu Diamond haja onja hivi koffi akupe msichana wa huko

  • @hajimahaba2566
    @hajimahaba25663 жыл бұрын

    misifa wee huna llote

  • @zayanazayana5353
    @zayanazayana53533 жыл бұрын

    Kuna Wanamuziki wengi wanafny Mziki na wameoa lkn hawana cfa km ww ukitaka kuishi na mke kw cc Waislamu achana na maex wko ibaki salamu tu ndio tukaambiwa tuzae Ndani ya Ndoa ingekuwa uliwaoa isingekuwa ishu

  • @everlynendulunzusa4037

    @everlynendulunzusa4037

    3 жыл бұрын

    Sawa

  • @ilariamuthoni6666
    @ilariamuthoni66663 жыл бұрын

    Mnasema tanasha yet anazungumzia msichana mwingine

  • @vayokhamakhama4081

    @vayokhamakhama4081

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sweetmeena5970

    @sweetmeena5970

    3 жыл бұрын

    Tanasha aachane na huyu mtu anampotezea mda akubali waliachana na wanalea tu mtoto coz yuwamtumia kama alivokuwa akimtumia hamisa

  • @ilariamuthoni6666

    @ilariamuthoni6666

    3 жыл бұрын

    @@sweetmeena5970 true..amwite pale kwa stage wa perform yet diamond haku perform ya Tanasha ..lazima angelipwa

  • @faidharamadhani8382
    @faidharamadhani83823 жыл бұрын

    Miarabu mwehu huyoo aolewe na wewe loooh muarabu wa wapu huyoo

  • @sadahgullam8228

    @sadahgullam8228

    3 жыл бұрын

    Mwarabu mswahili atakuwa

  • @nooromar6233

    @nooromar6233

    3 жыл бұрын

    Na hawo waraabu ndio naona muna hamu nawo sana sielewi kwa nini kila msanii akiwa na mwanamke mweupe kidogo ni muarabu hee

  • @faidharamadhani8382
    @faidharamadhani83823 жыл бұрын

    Punguzaga misifa uishi bila matangazo utazaa na wangapi

  • @mercynoreen3288
    @mercynoreen32883 жыл бұрын

    Lakini zari anatosha jamani.....

  • @carolynemohammed518

    @carolynemohammed518

    3 жыл бұрын

    Zari ni Mama mkubwa😂😂

  • @mercynoreen3288

    @mercynoreen3288

    3 жыл бұрын

    @@carolynemohammed518 ni mama yako

  • @uwimanauwimana7692

    @uwimanauwimana7692

    3 жыл бұрын

    @@mercynoreen3288 zari yupo busy na gay wako 🙏🏾

  • @ashanziku795

    @ashanziku795

    3 жыл бұрын

    Hahaha mod unanifurahisha

  • @judywambui3409

    @judywambui3409

    3 жыл бұрын

    Anatosha kabisar

  • @chustemarley7256
    @chustemarley72563 жыл бұрын

    Kama zari ako na wivu . .si uoe wawili baas😂😂😂mpenda kuruka njia

  • @SabbyGangGangGang
    @SabbyGangGangGang3 жыл бұрын

    This guy is confused ....hajuwi yupi wakukuwa nae ila mungu atamsaidia...na pia amwombe mungu sana kwakufanya mamuzi ilaakiwa ataumia njia zake yeye kama yeye hata weza atabakia kuwa kama mzee wake akiomba kwa wanawe...ila mama zao watakuwa vile vile alivyo mkana baba yake wakumlea ila walewatoto hawata wakana baba zao wakuwale ...hahah Tanasha pls come home there we have learned rich guys better than him am sure you will never regrate ...and your son will grow this guy is undecided MWACHE! ....kwani hajuwi Nairobi nini...hahha

  • @SabbyGangGangGang

    @SabbyGangGangGang

    3 жыл бұрын

    Fame huisha ni anakuone wivu anajuwa utakuwa juu ...kumliko so he is avoiding it all ...mpe kishogo alaa

  • @feishiks2285
    @feishiks22853 жыл бұрын

    Nani huyo ulitongoza tangu 2013sielewi

  • @rachealkamau7640

    @rachealkamau7640

    3 жыл бұрын

    Even me, I have not understand

  • @kiprophanningtonmandal4112

    @kiprophanningtonmandal4112

    3 жыл бұрын

    Wema

  • @chiababie6694

    @chiababie6694

    3 жыл бұрын

    Tena wa mataifa matatu mburundi,mwarabu mtanzania mmh

  • @puritynjoki8882

    @puritynjoki8882

    3 жыл бұрын

    Wema sepetu

  • @swesschao3095

    @swesschao3095

    3 жыл бұрын

    Kwani mwaka jana alikuwa na wema

  • @bestinarajabu34
    @bestinarajabu343 жыл бұрын

    8

  • @hatibiabdi9601
    @hatibiabdi96013 жыл бұрын

    Mrongo mkubwa weweee

  • @maryamhusseinabdul6218

    @maryamhusseinabdul6218

    3 жыл бұрын

    Mrongo awe na dem asimpost anavyo penda kiki huyu mamake alivyo na kiki wanafki wote

  • @suzanadegosi7343
    @suzanadegosi73433 жыл бұрын

    Baba.nasibu tuna.kushauti.muowe.mama.nasibu.apana.uyo.bibi.kize.zari.ameisha eneza myaka 50.wewe.una.endana.na.mama.nasibu.tanasha

  • @rebeccaasiyo9820

    @rebeccaasiyo9820

    3 жыл бұрын

    Jinga we we,Unamlazimisha aje wakati hamtaki

  • @jescatebuye2287

    @jescatebuye2287

    3 жыл бұрын

    Hahaaa amekwambia ana mtoto mzuri 😂😂😂😂😂 wakati mwingine asema kaoneshwa kwenye ndoto kuwa niwake nacheka kwa kweli😂😂😂😂😂

  • @edithkageha9473
    @edithkageha94733 жыл бұрын

    Diamond muongo kweli unasema uongo tupu

  • @marygregory7566
    @marygregory75663 жыл бұрын

    Wakuoa utakuwa wewe bwana Bado upo upo kwanza

  • @zawiahussein2904
    @zawiahussein29043 жыл бұрын

    Muowe tu wema kama watoto ushapata

Келесі