DAZ BABA AFUNGUKA KUHUSU KULA UNGA, NIMEOKOKA TANGU TUMBONI KWA MAMA YANGU

Ойын-сауық

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 86

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 Жыл бұрын

    Bro anaongea fact sana, nipeni likes zake huyu mwamba

  • @msafirlaizer2368
    @msafirlaizer2368 Жыл бұрын

    Hii miziki ya huyu mwamba Daz baba n miziki ambayo haijawai tokea , Yaan namaansha n ngoma kali all the times ❤🎉

  • @AhmadaMkingiye-qm8nu
    @AhmadaMkingiye-qm8nu Жыл бұрын

    Ila jamaa kama kafanana na alioucisse yule kocha wa Senegal kama Kuna mtu kagundua hlo like hii comment 🤔🤔

  • @DavidLucas-ou7vp
    @DavidLucas-ou7vp Жыл бұрын

    Jembe letu bwana Hilo 😍alifanya vizuri sana mpaka nipo gheto nasikiliza elimu dunia

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki9827 Жыл бұрын

    Hawa ndo wasanii sasa,,,,content na uimbaji hamna wa siku za leo japo kizazi cha siku hizi wanachojua ni kusifu sifu vitu ili mrad2,,,Dazibaba big up sana broooo❤

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Жыл бұрын

    😂jamaa ana majibu smart Sana, I like it

  • @mkoreaog4434

    @mkoreaog4434

    10 ай бұрын

    😊

  • @dayanamsuya6516
    @dayanamsuya6516 Жыл бұрын

    Wakumshukuru mungu kapata afya na akili imetulia mungu wetu amsimamie vema

  • @silvestabahebewadudu6625

    @silvestabahebewadudu6625

    Жыл бұрын

    Daah Mungu mkubwa..tunakupenda daz..

  • @antidabanyikwa3259
    @antidabanyikwa3259 Жыл бұрын

    Rudiii banaaa Daz we miss you 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abubakaralimohammed3388
    @abubakaralimohammed3388 Жыл бұрын

    Tuko pamoja niliwa Saudia Arabia,great job for the East Africa Radio.

  • @bainolatino3412

    @bainolatino3412

    Жыл бұрын

    Saudi Maeneo gani kaka

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Жыл бұрын

    Dazz baba nimesha kua mtu mzima mie, sasa naitaji mpenzi wa kuishi nae, kuzaa na kulea watoto na mie.

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 Жыл бұрын

    Daz Baba você foi um homem que sempre nos deixou feliz na música tanzaniana. Deus abençoe a você e sua família 🇲🇿🇲🇿

  • @hunterdeskeezy7142

    @hunterdeskeezy7142

    Жыл бұрын

    Armando

  • @armandoleonardo6966

    @armandoleonardo6966

    Жыл бұрын

    @@hunterdeskeezy7142 Aqui 👍

  • @ayoubimam7271
    @ayoubimam7271Күн бұрын

    Huyu jamaa ana hits nyingi na kali kuliko ferouz

  • @zkbeto2486
    @zkbeto2486 Жыл бұрын

    Sauti bado ipo tena motooooo sana...NIPE TANO

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Жыл бұрын

    Mwamba huyu hapa🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @magrethsimon5787
    @magrethsimon5787 Жыл бұрын

    kipaji cha kweli 🥰💪

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Жыл бұрын

    Jembe sana , me nakukubali sana mwamba 👍

  • @matunzojr4862
    @matunzojr4862 Жыл бұрын

    raha ya kuandika ngoma mwenyew ata miaka 20 lazima utaikumbuka tu huez sahau verse kama yule msanii wao aliyesahau mistari ya kuandikiwa stejin😃😃

  • @bennylove6021

    @bennylove6021

    Жыл бұрын

    Jamaa aliambiwa aimbe Pafyum akashindwa dah

  • @bainolatino3412

    @bainolatino3412

    Жыл бұрын

    Nani huyo

  • @mawengemtz

    @mawengemtz

    Жыл бұрын

    @@bainolatino3412 rado ausio

  • @kilasiovethi5040
    @kilasiovethi5040 Жыл бұрын

    Safi kamanda nakubalii mkulugenzii wangu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Safi sana kwa kweli jamaa ana hits kali bas tu madawa

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    Жыл бұрын

    Halafu kwao wala hana choka. Mbaya yupo vizr tuu geti kali nini ilq. Kajiaharibu naulevi

  • @bainolatino3412

    @bainolatino3412

    Жыл бұрын

    Havuti madawa huyo wewe style ya pombe ikizidi ni inakua too much lakini ni Unga kitu kingine hiki

  • @user-ez7xs4xy3l
    @user-ez7xs4xy3l Жыл бұрын

    Aloo Uyu mwamba anajua

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Жыл бұрын

    SALUTE 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👊👊👊 DAZ BABA

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Жыл бұрын

    Kiswahili Bhana Jamani Kifo Akiwezi Kumuumbua Mtu Mtu Akifa Aumbuki Kwasababu Kinachokufa Ulie Hai Uwezi Muona Utaona Maiti1 Sasa Maiti Itaumbuka Vipi Mbele Yako wakati Mtu Akifa Aludi Kwa Dunia Tena Mahisha Aya Kigeugeu Unaweza Msema Dazi Baba Wakati Wewe Ujui Mbele Yako Unajisifu Ukiwa Ujui Mbele Yako Unaweza Kua Teja Kuliko Dazi Baba

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Жыл бұрын

    Heshima saana Mwalimu Daz

  • @dastopadady2402
    @dastopadady2402 Жыл бұрын

    Kweli

  • @amirimohammed2875
    @amirimohammed2875 Жыл бұрын

  • @xaverisunday699
    @xaverisunday699 Жыл бұрын

    #aboi_4rm_makambako maniger faza wetu huyu tunajivunia hiki ni cha kwetu njombe boi mwanetu daz baba

  • @ZachariaMwita-bu7rw
    @ZachariaMwita-bu7rw24 күн бұрын

    Mtu wa maana kabisa

  • @nackplankton1669
    @nackplankton1669 Жыл бұрын

    Hajawah kutokea nahatotokea kama huyu miaka30 mbele

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j Жыл бұрын

    Huyu anaivuta sanaa ukimkuta kwao pale duu😅😅sema nampenda yani ukipita salam kwa sana

  • @noelbryson7840

    @noelbryson7840

    Жыл бұрын

    Anaivuta nini sasa? .. Acha unafki..

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    Жыл бұрын

    @@noelbryson7840 Wewe fala kweli niongee unafki wanini namjua vizr sana mpqkq ndani kwao nyumba ya baba yangu ipo karibu NA alikiba dada angu yupo karibu nq nyumb yakin dazz baba huyu anashinda nnje kwao kunakibar kidogo kilikuwakinauzwa pombe halafu kikafungwa anashinda hapo nje NA msela. Wenzie kuvuta mda wote sahii nenda utamkuta ukishuka sanene tabata segerea shuka. Vuka. Barabara ongoza ile. Njia kuelekea shule ya tusime mpqkq. Police jamii kata kona upande wakushoto utamkuta nje tuu geti lao jeusi ukiuliza tuu unapeleka mpqkq ndani

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick8882 Жыл бұрын

    Looooohhhhhh kweli maisha yanaenda,,

  • @Theonethatismissing
    @Theonethatismissing5 ай бұрын

    Namba Nane Is the Best so far na Kamanda

  • @sontrillthereal8186
    @sontrillthereal81867 ай бұрын

    Kuna kitu hakipo sawa ila yeye mwenyewe hataki kukubali, muda utaongea

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og10 ай бұрын

    Sema umepoteza brand uyu mwamba kaja na 20parcent mikumi wamekunywa tungi awana ela acha wavutane apo bar 20parcent kapigwa mbaka chupa ya mkono

  • @vickieeddie2230
    @vickieeddie223015 күн бұрын

    ananikumbusha utoto wangu sana

  • @patrickdezzy9871
    @patrickdezzy9871 Жыл бұрын

    Muulizaji anapwaya sana, Kuzoea kuuliza maswali ya udaku udaku, eti umewai shika sh ngapi.

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx2 ай бұрын

    Tako

  • @domisonrichman6499
    @domisonrichman6499 Жыл бұрын

    Kamanda ...kichwa hiki

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Жыл бұрын

    Wasanii ya siku hizo walikuwa wanafanya vizuri sababu walikuwa wanatembeleana maskani zao na kupeana chalenge sema tu mziki ulikuwa haulipi

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 Жыл бұрын

    mwamba

  • @salehhemed9388
    @salehhemed9388 Жыл бұрын

    Elimu Dunia

  • @dicksonkisanga7380
    @dicksonkisanga7380 Жыл бұрын

    Ndipo wazazi wangu walipokaa chin na kufkri japo kuwa mm mkubwa nianze skul

  • @bainolatino3412
    @bainolatino3412 Жыл бұрын

    Kuna maswala waandishi wanauliza ili kumpima mtu kama at Atoka kwene reli au vipi lkn Kwa Daz naona kajipanga kisaikolojia halafu shule pia imemsaidia form 6 ya zamani sio kama yasasa

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Жыл бұрын

    Hapa kapona mbona anang'aa

  • @JescaLameck-mr9dw
    @JescaLameck-mr9dw Жыл бұрын

    Waje bana waje tumewa mc bana hawa wakisasa wametuchosha na mapenzi

  • @bakarimuhibu602
    @bakarimuhibu602 Жыл бұрын

    Madawa kweli yanaharibu sana

  • @liberatusjackson5045

    @liberatusjackson5045

    Жыл бұрын

    Umuli

  • @dicksonmbuta6700
    @dicksonmbuta6700 Жыл бұрын

    Elimu DUNIA HATARIII MNOOO

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Жыл бұрын

    Dah kumbe daz yukonpoa tuu leo wamemkuta hajalewa anaongea poa tuu bado anajielewa tuu

  • @dicksonkisanga7380
    @dicksonkisanga7380 Жыл бұрын

    Anafanana na Bob

  • @abeidsaid9635
    @abeidsaid9635 Жыл бұрын

    akuna kitu mm nilimuona tabata teja aswa huyu leo kaoga kavaa kapendeza

  • @IDV630
    @IDV630 Жыл бұрын

    Uyu jaama namukubali nyimbo zake hazitatoka kwa hewani

  • @diwanikatayankonko2671
    @diwanikatayankonko2671 Жыл бұрын

    Ngoma zake ninazo mpaka saiv

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 Жыл бұрын

    Unga ni jambo baya sana jamaa ameshindwa kabisa kuacha unga ni ngumu sana

  • @djtobasoba3660
    @djtobasoba3660 Жыл бұрын

    Tatizo ukilikataa inakuwa mbaya

  • @michaelmwalupale3354
    @michaelmwalupale3354 Жыл бұрын

    Mwandishi ana maswali ya kiwaki sana huyu hakujipanga kabisa

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Жыл бұрын

    Daz umeanza kupendeza hongra san

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Жыл бұрын

    NAWEWE OKOKA KWA NEEMA'

  • @elishamwangolo1560
    @elishamwangolo1560 Жыл бұрын

    jembe langu tanzaniano

  • @derrickwanatanzega5047
    @derrickwanatanzega5047 Жыл бұрын

    MWANDISHI UNA MASWALI YA KINDEZI

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Жыл бұрын

    Mond msaidie huyu jamaa

  • @mudriqbutton8372
    @mudriqbutton8372 Жыл бұрын

    Rasta

  • @championtv255
    @championtv255 Жыл бұрын

    Dah huyu jamaa kazeeka na utam wake

  • @kuvetamzazi8689
    @kuvetamzazi8689 Жыл бұрын

    Daz ndugu yangu acha kuficha maradhi, kwani kuna siku kifo kitakuumbua. Wewe kubali tu kwamba wewe ni teja ili usaidiwe kupata tiba na baadae urudi upya kutupa burudani yako tuliyoikusa muda mrefu. Acha unga na utubu maana vijana wengi wanaangamia kwa kuficha maradhi.

  • @benmbuya1814

    @benmbuya1814

    Жыл бұрын

    Acha kuhukumu, una uhakika gani anatumia hivyo vitu?

  • @dayanamsuya6516

    @dayanamsuya6516

    Жыл бұрын

    Ila ata kama hivyo anaonekana yuko fresh kuliko kipindi cha nyuma anapambana vizuri

  • @salimrizikijaji1281

    @salimrizikijaji1281

    Жыл бұрын

    Dah bos wng huon km anatumia hayo mambo hapataki toch hapo

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 Жыл бұрын

    Heavy weight

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Жыл бұрын

    Kila Mtu Anakuja Anaishi Anaenda Kikubwa Kila Mtu Amueshimu Mwenzie Akila Madawa Asile Madawa Kikubwa Jamaa Alileta Fulaa Kwa Vijana Wakale Waleo Na Wakesho Na Hata Milele Amina Hata Ukiwa Teja Lakini Ngoma Zako Tamu Muda Wote Zote Tamu

  • @zkbeto2486
    @zkbeto2486 Жыл бұрын

    Sauti bado ipo tena motooooo sana...NIPE TANO

  • @sultanmsoloni8635
    @sultanmsoloni8635 Жыл бұрын

    Daz akiri mingi

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Жыл бұрын

    Mario hawezi kuulizwa atukumbushe alichoimba

Келесі