#DAR

Maadhimisho hayo ya Miaka 85 ya Kanisa la Tanzania Assemblies of God ngazi ya Sehemu, yamefanyika leo Mei 25,2024 katika Kanisa la TAG, Samaria Spiritual Center, Salasala jijini Dar es Salaam na kuongozwa na Askofu wa Kanisa la TAG Jimbo la Mashariki Kaskazini, Aaron Mwashilindi.

Пікірлер: 1

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta93872 ай бұрын

    WONDERFUL