DALILI ZA KUPINGA MAULIDI //SHEIKH ALI ABUBAKAR//KHUTBA YA IJUMAA.
Жүктеу.....
Пікірлер: 31
@nanahakiim4810 Жыл бұрын
بارك الله فيك
@fauzproduction
Жыл бұрын
Amin
@wazirihassan5765 Жыл бұрын
Achariawewe
@fauzproduction
Жыл бұрын
Shukran wajazakumu Allahu kheir
@mohamedmusa8778 Жыл бұрын
Nyinyi mnataka munkar isikatazwe
@abdillahsaleh9300 Жыл бұрын
Shekhe huyu hatoi mawaidha. Yeye nikukashifu tuuu. Ndio maana hatuendelei. Yako mengi yakutuelimisha sio maulidi tuuuu Kila wakati. Mwachosha wallahy . Tunatekwa Sana sisi waislamu.
@fauzproduction
Жыл бұрын
Shukran wajazakumu Allahu kheir
@mohamedmusa8778 Жыл бұрын
Wacheni sheikh akataze hii upotovu ya kusherehekea maulid
@nureinimohamed449 Жыл бұрын
Tafuta kazi ya ku fanya hiyo si elimu neenda ukalime utapata baraka za mungu katika ma'isha yako .lakini elimu za chuki, sure mungu ataku dhalilisha katika maisha yako.
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Rakaa 20 za tarawehe zaswaliwa Saudia huko kwenu mboni nyinyi mwaswali 8? Muna elimu sana kuliko Mashekhe zenu wa Saudia?
@RashidKhan-uq4mv Жыл бұрын
Hayo Maulid ata Maswahaba wangeyafanya nyinyi pia mngeyapinga Kwa mfano Saiyyidna omari ameswalisha tarawehe rakaa 20 Othman bin afan ameswalisha tarawehe rakaa ishirini Ally bin abutwalibu ameswalisha kadhalika Mbona nyinyi hamuwafwati unaswalisha rakaa 8 tu
@suleiman5257
Жыл бұрын
Kuna na huyo shirifu watanzania Asema peponi kuna dufu Kisha hiyo samaa ambao ameitaja Dufu amethitisha mwenyewe Kwamba itapigwa na hur aan Niwanawake au Waume?
@user-uk1ob2hx5o
Жыл бұрын
Ustadh sheikh fauzan sio kiegezo cha waislamu Kwanza akataze munkar ulioko saudia Wacha chuki ustadh na fitna za ilimu ya kujionesha na riyaa tupu hizo حسبي الله ونعم الوكيل
@suleiman5257
Жыл бұрын
Wapi mtume kaswali 20
@abdallazakwan7949
Жыл бұрын
Makkah waswali raka 20 taraweh na wala haijapingwa na anae swali nane pia hapingwi
@fatmabakari9165 Жыл бұрын
Kazi zenu siku hizi imekuwa ni kukashifiana tu kwenye mitandao badala ya kupeleka elmu kwa waisilamu walioko pembezoni kuna watu hata alifu hawajui kawapen elmu watu acheni upumbavu wa kulumbana hapa kwan hao wanaoadhimisha hao wanaoadhimisha mazaz ya mtume wanamkashif mtume na Allah. Hebu tutoken huko waisilamu tunamambo mengi sana ya kujifunza kuliko maulid
@khatwabshee2187 Жыл бұрын
Yaani kila ikifikaa mfungo sita nyinyi kwenye hotuba zenu ni kukashifu maulidi tu yakuzungumza ni mengi hbu tupeleke uislamu mbele acheni kubishna
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Weweeee..kwani kila akisemacho Fauzaani ndio halina mapungufu? Fauzaani si binaadamu kama binaadamu wengine tu? Kwani Fauzaani ndio mlango wa mwisho wa Elimu?
@alquranmedia7885
Жыл бұрын
Hawana "Mtume kasema" Wao ni "Sheikh Fulani kasema" Mashekh wao ndio wako right masheikh wengine hawana kitu utafikiri wao ndio wapewa Wahyi
@fauzproduction
Жыл бұрын
Ndugu yangu maneno wanaoyazungumza wanazuoni ni ya nani hebu tufahamishe.
@abuuzuneirah4348
Жыл бұрын
babako ndio ako sawa
@fauzproduction
Жыл бұрын
Assalamu alaykum ndugu yangu twaomba tusirushiane maneno makali sisi sote ni waislamu.
@alimussa3611 Жыл бұрын
Kasome kwanza halafu ndo uingiekwenye mabishano Huku kwetu Zanzibar wamepita watu wenye bahri ya elmu ndo maana watu kama wewe tunawaona wapuuzi tu hawana Hadhi yoyote katika jamiii tunawaona wapuuzi tuuu tena wagonjwa wa akili
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Hadhani kwa maana hana uhakika?uhakika?! Hadhani. Je unajua maana ya DHANA??
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Dammaaj miezi 6?6??! Umesoma umekua shekhe??! Kusoma miezi 6 Dammaaaaaaj au Dammaaaal au Dammaaana??! Maana hata sijuwi umesoma.....
@hassanalhussein3982 Жыл бұрын
Al fauzan angezuia munkar uliopo Saudi . Wacheni unafiki mawahabi. Kwani Al Fauzan ndie mwenye funguo za Pepo na moto. Umekosa Kazi watueleza alisema huyo Sheikh wako. Wewe jahili Kweli.
@salimnassor1177
Жыл бұрын
Jahili ni ww ulokua hujasoma
@hassanalhussein3982
Жыл бұрын
@@salimnassor1177 Mimi na babako pamoja na wewe hatujasoma.
@alimussa3611 Жыл бұрын
Wewe sheikh Ali baleghe inakuhangaisha maulidi hayafi huna elimu umesoma wapi sisi Huku kwetu Zanzibar tunakuona mtu kama wewe ni panya mpunga umedharaulika huna elimu
@alimussa3611
Жыл бұрын
Huna lugha ya kiarabu huja stafidi katika elimu umestafidi katika mabishano tuuu السلام عليك يا ما حي الذنوب ilikushinda kuifafanuwa
Пікірлер: 31
بارك الله فيك
@fauzproduction
Жыл бұрын
Amin
Achariawewe
@fauzproduction
Жыл бұрын
Shukran wajazakumu Allahu kheir
Nyinyi mnataka munkar isikatazwe
Shekhe huyu hatoi mawaidha. Yeye nikukashifu tuuu. Ndio maana hatuendelei. Yako mengi yakutuelimisha sio maulidi tuuuu Kila wakati. Mwachosha wallahy . Tunatekwa Sana sisi waislamu.
@fauzproduction
Жыл бұрын
Shukran wajazakumu Allahu kheir
Wacheni sheikh akataze hii upotovu ya kusherehekea maulid
Tafuta kazi ya ku fanya hiyo si elimu neenda ukalime utapata baraka za mungu katika ma'isha yako .lakini elimu za chuki, sure mungu ataku dhalilisha katika maisha yako.
Rakaa 20 za tarawehe zaswaliwa Saudia huko kwenu mboni nyinyi mwaswali 8? Muna elimu sana kuliko Mashekhe zenu wa Saudia?
Hayo Maulid ata Maswahaba wangeyafanya nyinyi pia mngeyapinga Kwa mfano Saiyyidna omari ameswalisha tarawehe rakaa 20 Othman bin afan ameswalisha tarawehe rakaa ishirini Ally bin abutwalibu ameswalisha kadhalika Mbona nyinyi hamuwafwati unaswalisha rakaa 8 tu
@suleiman5257
Жыл бұрын
Kuna na huyo shirifu watanzania Asema peponi kuna dufu Kisha hiyo samaa ambao ameitaja Dufu amethitisha mwenyewe Kwamba itapigwa na hur aan Niwanawake au Waume?
@user-uk1ob2hx5o
Жыл бұрын
Ustadh sheikh fauzan sio kiegezo cha waislamu Kwanza akataze munkar ulioko saudia Wacha chuki ustadh na fitna za ilimu ya kujionesha na riyaa tupu hizo حسبي الله ونعم الوكيل
@suleiman5257
Жыл бұрын
Wapi mtume kaswali 20
@abdallazakwan7949
Жыл бұрын
Makkah waswali raka 20 taraweh na wala haijapingwa na anae swali nane pia hapingwi
Kazi zenu siku hizi imekuwa ni kukashifiana tu kwenye mitandao badala ya kupeleka elmu kwa waisilamu walioko pembezoni kuna watu hata alifu hawajui kawapen elmu watu acheni upumbavu wa kulumbana hapa kwan hao wanaoadhimisha hao wanaoadhimisha mazaz ya mtume wanamkashif mtume na Allah. Hebu tutoken huko waisilamu tunamambo mengi sana ya kujifunza kuliko maulid
Yaani kila ikifikaa mfungo sita nyinyi kwenye hotuba zenu ni kukashifu maulidi tu yakuzungumza ni mengi hbu tupeleke uislamu mbele acheni kubishna
Weweeee..kwani kila akisemacho Fauzaani ndio halina mapungufu? Fauzaani si binaadamu kama binaadamu wengine tu? Kwani Fauzaani ndio mlango wa mwisho wa Elimu?
@alquranmedia7885
Жыл бұрын
Hawana "Mtume kasema" Wao ni "Sheikh Fulani kasema" Mashekh wao ndio wako right masheikh wengine hawana kitu utafikiri wao ndio wapewa Wahyi
@fauzproduction
Жыл бұрын
Ndugu yangu maneno wanaoyazungumza wanazuoni ni ya nani hebu tufahamishe.
@abuuzuneirah4348
Жыл бұрын
babako ndio ako sawa
@fauzproduction
Жыл бұрын
Assalamu alaykum ndugu yangu twaomba tusirushiane maneno makali sisi sote ni waislamu.
Kasome kwanza halafu ndo uingiekwenye mabishano Huku kwetu Zanzibar wamepita watu wenye bahri ya elmu ndo maana watu kama wewe tunawaona wapuuzi tu hawana Hadhi yoyote katika jamiii tunawaona wapuuzi tuuu tena wagonjwa wa akili
Hadhani kwa maana hana uhakika?uhakika?! Hadhani. Je unajua maana ya DHANA??
Dammaaj miezi 6?6??! Umesoma umekua shekhe??! Kusoma miezi 6 Dammaaaaaaj au Dammaaaal au Dammaaana??! Maana hata sijuwi umesoma.....
Al fauzan angezuia munkar uliopo Saudi . Wacheni unafiki mawahabi. Kwani Al Fauzan ndie mwenye funguo za Pepo na moto. Umekosa Kazi watueleza alisema huyo Sheikh wako. Wewe jahili Kweli.
@salimnassor1177
Жыл бұрын
Jahili ni ww ulokua hujasoma
@hassanalhussein3982
Жыл бұрын
@@salimnassor1177 Mimi na babako pamoja na wewe hatujasoma.
Wewe sheikh Ali baleghe inakuhangaisha maulidi hayafi huna elimu umesoma wapi sisi Huku kwetu Zanzibar tunakuona mtu kama wewe ni panya mpunga umedharaulika huna elimu
@alimussa3611
Жыл бұрын
Huna lugha ya kiarabu huja stafidi katika elimu umestafidi katika mabishano tuuu السلام عليك يا ما حي الذنوب ilikushinda kuifafanuwa