D Voice - Umenifunza (Official Lyric Audio)
Музыка
Get #SwahiliKid Album 👇🏼
dvoice.lnk.to/swahilikid
Swahili Kid is an album that encompasses various musical genres, including Singeli, Bongo Fleva, Amapiano, Afro Pop, Zouk, and it delves into social themes, love, pain, life's hardships, and more, showcasing D Voice's songwriting and singing talent. This album offers a fresh and captivating sound in the world of Swahili music and can appeal to music lovers of various genres.
Track 01. Umenifunza:
-This song highlights the lives of young people and the challenges they face in their relationships, as well as how poverty can lead to feelings of humiliation.
/ @itsdvoice
For Bookings:
dvoice@wcbwasafi.com
Follow D Voice On:
Instagram: / dvoice_ginnii
Facebook: / dvoice_ginnii
Twitter: / dvoice_ginnii
TikTok: / dvoice_ginni
#DVoice #Music #Wasafi
Copyright ©2023 WCB Wasafi. All rights reserved.
Пікірлер: 652
Wanao Replay hii song kama mimi mnipe like zangu nijinenepee , love from Burundi 🇧🇮
😥😥 Umaskini Mbaya Ila najua ipo siku mwenyezi mungu atanibariki na mimi Muhunii sikuwa na vyangu naamini mungu atanipa fungu langu Hii nyimbo @Dvoice Umeimba Maisha yangu ila najua ipo siku narudi kwenye comment hii sijui itakuwa imepita muda ganii ila najua nitakuwa nimeshapata fungu langu 😩😩 (🙏Mwenyezi Mungu wewe Ndo unayejua Hatima ya maisha yangu Sijakata tamaa ila najua Umeniandalia Mazuri Hata kama sio Duniani Basi Naamini hata mbinguni Nitakuwa na furaha Zaidi ya hapa duniani Leo 17/11/2023 Asante Sana Kwa Zawadi ya kuwa mzima wa afya njema 🤲🤲🙏😭😭)
@josephatymziray5572
7 ай бұрын
Pambana.
@auntiemylee3157
7 ай бұрын
🫂
@cndeboe11
7 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@HellenEdward-uf4cf
7 ай бұрын
True bro😢😢 umaskini kitu kabya
@njokifaith6594
7 ай бұрын
God above everything❤❤❤❤❤
Umenifunza nyimbo kali xana jaman
Kiukweli hii ngoma nimeirudia mara tano x10 kali imegusa moyo wangu sana nimeyapitia na nitaitoa covering yake very soon
Katika nyimbo zote hii imenigusa na ni kaili wallah uwiiiiii😢😢
Umaskini mbaya😭Mwenyezi Mungu atujalie Maisha mema
D voice sauti yako unaifanyia KAZI kisawa saw mpka lava lava unamfunika sasa
Wanaolia waliowahi kutendwa wanaosikitika wanaposkiliza hii nyimbo like text hii❤❤😭😭
Ngoma yangu ya mwaka D achana na singeri kaka huku ndo kwako
Unaimbaa mpaka unaimbaa tena sir God akubless safari yakoo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭
Uyu jamaa ataenda far away akipewa good support na Simba
Am down with the same talent.kenyan artist mnihelp out ama nimtafute chibu dagote
@richhommiekhalifah9646
Ай бұрын
Mtafute ruto
mungu akupe mafaniko mema mtoto wa kitaa kitaa kuna watu jibu wame ripata ao wasomi feki watu tupo uku kitaa tunao pambana namro wakira siku njoo ujaribu Kama utaweza sisi tuna weza
Vionjo,vikorombwezo ,pambio na ladha zote za aina ya muziki zinapatikana WASAFI acheni tu
@hassankhamis7380
7 ай бұрын
Ni kweli Mondi ni jini anamuono wambali tumpe heshima yake
HUJUIIII Dogo anajua aisee mtunzi kama simba la masimba DANGA D 🎉
5k likes on this much love from kenya
Karibu wasafi classic baby, unaenda kuwa Star mkubwa Tanzania
Umasikini mbya umenifunza , je t'aime D voice swahili kid ❤️🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥🔥
The only man who gave a loving wisdom advice to his Ex..
D ,, achana na singeri unajuaa bongo kinyaamaa ww na Ravarava wanyamaa sana munajuaa kubemberezaa
😭😭😭😞😞 Nachukia mapenzi sio rahisi kupata mtu sahihi.watu wenye moyo mzuri na upendo wa kweli hawapati upendo wa kweli.
Iyi ngoma ni hatari alafu kijana kaimba kwa hisia aise big up sana km Mungu kamuelekeza Simba akusaini basi utafika mbali big up
Huuu wimbo ungemweka na mbosso kani yesuuuuu tungeongea mengine.
Nice Kuna kitu kweli kimo big up wasafi
Hii ngoma ina deserve kuwa truck no 1
Naunga mkono asilimia 💯🇹🇿 comment ya Mr @YuzzoGraphics ..ni kweli @D voice umeimba maisha ya Vijana wengi wa Sasa...Hakika pesa imekuwa dereva wa mapenzi na mahusiano Sikuizi😢
Kweli umasikini mhbaya sana kama unamkubali huyu d voice nipe like zangu🔥🔥🔥
Kma je utanipendaga ya diamond, nyc song
Kama umeisiliza zaidi ya mara moja gonga like ❤
@raniamuhammed8355
4 ай бұрын
B
Wasafi imepata msanii mzuri sana atakam kukua ka zuchu tu🎉❤❤❤❤
Hongera simba kwa kuturetea burudani mpya
Kati ya zenye nmeskiza hii ngoma Kali afu kama umeyaimba Maisha yangu vile
Ebanaee hii ngoma kali kali sana ipo kwenye uhalisia 100%
Welcome usafini si ndo mashabiki wenye nguvu east africa
From tiktok live a ❤ for the songs 🤗
Tatizo kwetu mbagala..wasafiiiiiii
"Siwezi sema nimesusa..." Proves tjat kweli ni akili zetu watoto wa kiswahili Big up Swahili Kid
Aliyeweka Melody namuona lavalava ❤❤
@elenziancondrada
7 ай бұрын
True story
D VOICE Nakubali Blood Nipe LIKE jamani
Poverty is unjust it defiles a man Mungu atubariki sote
Mhhhh mbosso hajausika kweli humu ❤❤❤❤ kama hajausika bas wcb imeongeza kichwa kingine❤❤
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
Dogo ni mwandishi mzuri sana
@youngtone4333
7 ай бұрын
Ulava lava km nao upo
@mnm716
7 ай бұрын
Lazima mbosso amehusika
@elenziancondrada
7 ай бұрын
Lava lava
Tujuwane wale tumeumizwa kwa umaskini Mapenzi ulaya Africa biyashara 😂😂😂😂😂😂
Iyo song nime isikiya Mara nyingi ata au choshi ❤️🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Imenigusa Sana mpaka nimemaliza bando
Good artist,good voice,good boy matusi hamnaga hapa ni umasikin mbayaaaaa
yani umeuwa sana d voice hiyo nyimbomaana dem wangu alinifanya hivyo
Ktk zako zote ulizoimba hii Kali sana
Alaf dogo anajua bhana.waache kumpija majungu.keep it up hommie
Tunapenda kumusapot d voice wetu ita akaunti zimekua nying had kero jamn musaidien huyu
Ila nimeamin kila kitu kina kuja kwa sababu kikubwa kuwa na subira ongera sana d voice 🫶♥️ mungu🙏 akufanyie wepesi katika safari yako hii ya was ngoma Kari sana tena san unajua sana nikupe 🌹🌹
ndo umeshatoboa 🔥🔥
Tumepata kibao cha kuwakumbuka ma ex hii niyangu pendwa kati ya zote
👏👏👏👏👏👏👏ongera natamani na mm sikumoja niwe Kama ww
Kweli 💯 kabisa ila Bora uhai IPO siku.🙏
Nasikia tu vitu vya mbosso na mondi tu humu,hamna kipya
Kwa wale wanaoelewa muziki this man is magic
@auntiemylee3157
7 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@momomella9845
7 ай бұрын
Mbona kama mboso tu ana flow mulemule
Fundii sana fannan huyuuuu...🎉
Nakupenda Bure ❤😂
Nyimbo nzuri Sana ❤❤❤,sauti mashallah 😋😋❤️❤️
Daaah welcome to the family mwaya unaimba mpaka unakera nyimbo Kali umetisha uwandishi umepitiliza big up
@ankalankal5
7 ай бұрын
Big up nice one
@IzzoNyamu
5 ай бұрын
Mwanangu fresh uko juu kama mkia mbuzi
Nyimbo Zakoo Tamu Sending Love From Kenya But Punguza Kuimba Taarabu Basi Kakaa
Unajua kaka umepambana mpaka umefika hapo
Hongera sana Mr D voice unajua sana brother angu, music is your talent💪💪💪 songa mbele nasi pia tuko nyuma yako 👉 God bless you🙏 sisi huku DRC🇨🇩 Tumezipenda sana kazi zako unafanya vizuri sana kabisa💪 tunakuombea sana baada ya miezi kadhaa nawewa uanze pata tuzo tofauti tofauti za ndani naza inje pia✌💕
@user-qz4rf4vv6t
6 ай бұрын
😂😂❤ogela umenikumbusha mbali sana
Nilishawai nyanganywa demu kisa kipato daaah😢
Daimondi platinum ❤❤❤❤❤❤❤
One of the best song in the album ♥️♥️
Unajua sana d voice god Aku bless
nice
100% my story 😊
Daaah hiii goma baraaa doga anajua sanaa❤❤❤
Hii ngoma imetulia Dvoice ungechelewa kdogo nimwaga wino wasafiii ila unajua mpka naskilza mara 100.Big up dogo
@HamisiAthumani-vz1oi
7 ай бұрын
So nicely song to listen
Uandishi hundred percent
Kama.umemkubali uyu.dogo.gonga like
Well well well. Ndugu yangu D voice, hongera sana kwa jitihada zako kwenye tasnia hili la muziki. Nakutakia kila la heri unapo jiunga na team WCB. tena nakuombea dua njema Mungu akufikishe walipofika wasanii wote wa WCB kwa ujumla. Asante kwa jitihada zako na Mwenyezi akubariki milele 🙏🙏🙏.
pisi kali hii D Voice to the world
Dokumentari ya nyimbo ya maisha 🥺
Hii ngoma hainishi utamu.kweli umaskin mbaya
Sara herry mkweramweni nakutakia Kila la kheri ktk maisha yako maana umenifunza sitokusahau 😭😭😭 Bado nipo single nimehama dar naishi Dodoma natamani kurudi lkn naona moto umeuchoma moyo wangu umeteketea"umaskini mbaya usinge cheat natamani ata Leo niwe na wew nimekumiss💔
Daaaaaa uyu dogo anajua kuimba aise!! Bongo kumbe tunavipaji❤
Waoooo so nice song
My best song of all
Umasikini mbya lkini ipo siku tutafanikiwa tu ❤@Dvoice
Hii ni kaliiii bosss🎉
Kaza buti utafika unapotaka na usichoke kumuomba mungu
Kazi safi bro
Duuuh yani hii ngoma itadumu sana maana nitam balaa kila siku naisikiliza
Big lesson to learn from this amazing song😢😢💔
Big up bro 💚💚 my favorite songs
Naamini mungu atanibaliki katika mwaka huu
Nyimbo Kali good good vc
Fire yani d voice nakutabilia makubwa sana uta wakalisha kina lema
Mandishi ya mboso Misrari kama izi zinaeleweka za mboso
Sending love and hugs all the way from Namibia 🇳🇦
Hii nimeielewa saaaana. Hii the best❤❤❤❤
Playing on repeat ❤️. Kila la heri WCB
Unaimba mpaka unaimba tena❤️❤️
@salummohamed9386
7 ай бұрын
Acha tu hii ngoma Dah🙌🔥❤
Perfect timing...mapenzi ikua biashara bana😂😂
Nyimbo nayipenda san
Wakianza wanaanza na eyo lizer wakishakuwa wakubwa wanaenda kwa we zombie hajui😂😂
Endelea bloo