Mbosso - Limevuja (Official Audio)
Музыка
Get The Album Now 👇🏼👇🏼
mbosso.lnk.to/dol
What Is Love?
Every person has his own Definition Of Love
The answer differ due to everyone's experience
But I brought to you my own Definition Of Love
Which is available on my Album
Kindly listen to DEFINITION OF LOVE
You will either get the meaning through my language or the melody i used!
Enjoy!
From DEFINITION OF LOVE Album
Bonus Track 13 - Limevuja
For Bookings: mbosso@wcbwasafi.com
Follow Mbosso On:
Instagram: / mbosso_
Twitter: / mbossokhan
Facebook: / mbossoofficial
#definitionoflove #mbosso #Limevuja
Пікірлер: 639
na wewe kama penzi lako limevuja kama langu basi tufajiriane kwa like tu😞😞😞. Ngoma yangu pendwa hii nimisha chagua🇺🇸
@hamiskengwa6148
3 жыл бұрын
Leo kaamua kutufariji bana eeee
@mukaplatnumz2313
3 жыл бұрын
@@hamiskengwa6148 hiyo nikweli kabisa
@simonmwegalawa2898
3 жыл бұрын
Amin✌️
@jackmusictz8744
3 жыл бұрын
An acha tu!😓
@mukaplatnumz2313
3 жыл бұрын
@@jackmusictz8744 sio poa aisee😞😌
Langu limevunja Leo na amesema ashakutana Naye, mnifariji kwa likes
@MbwanaRamadhan744
Ай бұрын
punguza nyege
Wanaosema Mbosso ni SharKhan wa Africa kama mim gonga like ✅
@papashenny565
3 жыл бұрын
Daktari Baba
@yusrajamal6937
20 күн бұрын
💞👑💫✅
If the live performance of this song brought u here,ily😂😢❤
@testifayah
6 ай бұрын
Tuko wengi
@juntwakabete1664
6 ай бұрын
Hata mimi
@MANUBAYAZ
5 ай бұрын
Mimi
@mwandikwasamson9468
5 ай бұрын
Live ukua tamu zaidi
@richardtala208
4 ай бұрын
Yamaha live performance
Mara kwa mara ulilia ,kifuani umenilalia aaa,ukijuta unayachukia yale uliopitia,Eti kama mm ujaona wakufanana nae sa mbona ukusema kama ushakutana nae...ilifanya niliea..
Kwenye moyo wako livae penzi langu mbosso khan shukurani wapi likes za mshedede🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@dalmasshitakwa4736
3 жыл бұрын
Mboso how?,how until utoe kwenye meko tamuuuuuu!!! 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 video lazima iwe ya mapozi
Eti kama mm ujaona wakufanana nae sambona ujasema kama usha onananae maneno mazito ayo dah😭 nipeni like namm team mbosso
Nitarudi kuona hii comment baada ya miaka kadhaa kumkumbuka mpenzi wangu Agatha 😥🤧😑 Kwa sahivi Penzi limevuja 😫
@SelinaJulius-od3jd
2 ай бұрын
Pole tupo weng
Mbosso anaweza jamani wapi like ya mboso
Lile penzi tulivu Leo lipo kikaangoni 💃💃💃💯💯💯💯💯💯👌
😢😢 jamani kumbe tumevujiwa wengi 😭 asante mboss nakupenda Wasafi tuwaache tuuu💃😔😂
Wcß wameshindikana Africa 👏👏👏 like za mbosso hapa✨✨✨
Mapenz ushenzi wallah nalia tu
Wimbo pendwa kwangu❤😮 2:21
Mbosso anajua hadi anakera ,hii nyimbo huwezi elewa hadi yakukute...😅😅 Unaweza cheka kama mazuri ..
@SelinaJulius-od3jd
2 ай бұрын
Sana yn yamenikuta ndo naiyelewa mapenz kumanyoko
@harrymakongwa1147
2 ай бұрын
@@SelinaJulius-od3jdPole ,piga moyo konde, kama ulitumia moyo sasa tumia akili ..
Am here after watching mbosso Yamaha live.....this guy is very talented, big up @mbosso khan mabrook 👏👏
@YfJeanne
6 ай бұрын
Same
Nataka nione watu watakao sem mboss ni the best man of love
My favorite song, wapi likes wadau?????
Mbosso isn't pregnant but always delivers🔥🔥🔥
Salamu toka mombasani .. wenye kuuguwa .. nipeni vibe hapa .. TEAM MOMBASAAANI
@jumakibula4851
3 жыл бұрын
Tanga na Mombasa blood forever
@JeremiahNyunza
4 ай бұрын
visit Tanzania 🇹🇿
Mbosso anajua mpaka basiiiii 📝📝📝
Limevunja kweli,Album kali sana
Daah ngoma Kali na beat Kali ya hisia yanipelekea kufumba macho kuskiliza mashair mazuri Daaaaah big up broo
Live performance was the best🔥🔥
Doh..sasa imekua ngumu kutambua gani bora 🔥🔥🔥 kazi safi sana bro 🇰🇪🌴🌊
Kaka mboso ninakubari Sana miziki yako sanaa
Mimi ni mfaransa wa kwanza hapa 🇫🇷
@khaliphamajid270
3 жыл бұрын
Karibu Tanzania Mfaransa
@khadijayusuph5808
3 жыл бұрын
@@khaliphamajid270 😂😂😂😂😂😂😂mfaransa
Mara kwa mara ulilia kifuani umenilalia ukijuta unayechukia yaleuliopitia eti kama mimi hujaona wakufanana nae hasa mbona hukusema kama ushaa kutana nae Napulisa majivu maana moto siyaoni😥😪😪😥 inanihappening sahii kama wewe ni mwenzangu nipe like tukisonga
@zuhuramasenga9806
3 жыл бұрын
Acha tu mm kabisa
Kwa mistari uko juu mashairi yako kiboko wakupe likes #R
Yaani huyu jamaa hii mistari yake sijui anaoteshwa usingizini,🙌🙌🙌 is dope!!!!!
@johnpaul6483
3 жыл бұрын
Nawazia hivo pia
We jama unajua sana unawalipua 💣💣wenye roho zakukunja @mboso #limevuja
Mbosso ni 🔥🔥🔥
It's 2024 lakini tunaomba kama inawezekana mbosso utoe video ya huu wimbo coz it gain much popularity this season
Mbosso nyimbo zako zinakuza uwepo wangu kwenye yale maumivu ya mapenzi.....i can't stop listening this from @Kenya 254
mbosso my boi leo nimewai mpema lv the message frm kenya 😘😘😍😍🔥🔥🔥💖
Msukubali livuje tena🔥🔥🔥🔥🔥🔥
mboso narudia tena kwa nyimbo za mapenz umeshindikana🙌🙌
🙌🙌 brother mbosso unajua kwakwel Mhhh💯💯👍
This song hit deferent ukiwa kwenye mahusiano yanayo suasua
Weweee mboso hidio nyimbo mwisho wewe namba 1
Hiii ngoma Kali san LIMEVUJA 🙏🙏🙏🙊🙊
Penzi limevuja tenaaaa dope
Im Ghanaian 🇬🇭 and if I get an opportunity to attend an mbosso concert one day, there has to be an ambulance on standby because i am 100% sure, joy and happiness will make be faint and fall flat on the floor. 😂😂😂😂😂😂😂i love mbosso music like i cant describe to you.
@remmiejuma161
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah!!! Maji ya korongo lazima yafate mkondo, najifariji Kazi Safi bro
Noma sana Mbosso from +254 🇰🇪🔥🔥🔥💯
Basi mbosso... Mbona nisisikize ngoma zako... Unatesa baba... Ngonga like kaa mbosso kaweza
Mbosso 🥶🎶💉
Leo mnipe likes mbili ya wakenya
Penzi Limevuja Tena! Kali Kati Ya Zote.
King wa nyimbo za mapenzi mbosso Khan
Penzi limevuja tena🔥🔥
Mbosso is my favorite artist.I believe I'm the next mbosso.
Mbosso 🇰🇪🔥fayaa
Nakupendaaaa bureee mboss
Amengus pahali juuwengine twaonyeshwaa vituko nahatukuambiwa
Njoo tufarijiane hapa kwa like mapenz ya sasahiv yanavuja San 😭 😭
@simonmwegalawa2898
3 жыл бұрын
Kaaaabsaa
@dazawadi1896
3 жыл бұрын
Nimevuja Tana 😩😩😭😭😭
@omoshrandy7386
3 жыл бұрын
Njoo kenya ntakusave
@elinasilameck7686
3 жыл бұрын
Daà kanipatia mim Sana
@alimwero7302
3 жыл бұрын
@@dazawadi1896 mpaka lako
King wa mauwezo💥💥💥
Mbosso for life
Ni noma sana ili dude aiseee!!!
Mbosso we ni next level....
Jaman mbosso unanitoa machozi😢😢😢😢😢😢😢😢
God bless you mbosso inshallah
Nimeipenda hii 🔥🔥🔥
Mara kwa Mara ulilia, kifuani umenilalia.. Ukijuta unayachukia Yale ulopitia.. Eti kama mimi hujaona, wa kufanana naye.. Sasa mbona hukusema, kama ushakutana naye.. Napuliza Majivuuu...... Kooni Maumivuu.. Ahadi za Mbivuu.. Lile penzi tulivuu Aah! Napenda sana... ❤
I think this is my favourite in the album.
Mbosso penz lime vuja ten tam snaaaaaaah
king of wcb
Huu wimbo umeniliza sana
two years down the line i still love this jam soo much ❤️
Nani ameonja onja izi track mpaka akafika huku mwisho akapumzikia hapo ama Niko peke yangu🤣🤣🤣🤣🤣
@jackmusictz8744
3 жыл бұрын
Ata mm nmefika hapa nikatulia
@danielsamson1013
3 жыл бұрын
Me pia nimefanya ivo😀😀
Mbosso kama mbosso ongera kaka kazi imesimama💪
@hasnahamza5025
3 жыл бұрын
Respect quelle plaisir de vous écouter 👂
Mbosso 🎵🎼🎧🔥❤🇰🇪
mbosooooh nimekukubali mzee
Eti ushaolewa lakini soulmate ananimaliza na nyimbo na shairi. #mbossoKhan
Huu ndo wimbo wangu mbosooooo
the only Artist in Wcb I really like he's songs are all hits..msanii pekee mwenye mziki mzuuri Wcb akifatiwa na lavalava
Best song of the album🔥🔥🔥🔥🔥
Kali Sana kakangu👍🙏💓💓💓
napuliza majivi sababu moto si yoni 🔥🔥🔥🔥🔥, definition of love, manze kazi yako safi from research to final product 💯 mbosso ni moto
Go go go goooo mbosso khan ....
Mbosso ,,mini shabik wako kubwa kutoka Kenya ,
Mbosso nakupenda bure jamani mpaka it hurts ,your writing man mashairi then the message am dead wallahi
Nakubali san mboso khan uish miak 💯💯💯💯💯
Langu limevuja leo 😢
the best on definition of love
Hii sasa kiboko kabisa ngoma kali mnoo
Album imejaa mpaka imevuja jama,khatari tsana!
mbosso weweeeee, haya bana, sisi akina nani tusiseme wewe ndiwe mtaalam wa maandishi
All album is hot at all🔥🔥🔥✳✳
My favourite song in the album RIP Magufuli🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪
Special for Konde boy Salam zako kwa Kajala
Mbosso wewe ni fundi album kali kama unaamin album ya vanny boy itapigwa chini tia like hapa tusikilize mawe ya mbosso khan
WcB 4life fire
Nilipiga like ata kabla ianze juu najua ni hit💥💥💥
Much respect #raiswamapenzi rep county 001 👊👊👊
Dah so pw limevuja Tena bonge la ngoma bg up Sana mboso
Nakukubali sana,semi tamu,lugha inaipa haki yake🌹
C’est du lourd de puis 🇨🇩🇨🇩
Bro uko juu tu sna tena sana
Limevuja tena