Cook with Wema Sepetu - S06E12 Phina
Ойын-сауық
Jinsi ya kuangalia video hii nzima, unatakiwa ku Download Wema Sepetu App ambayo inapatikana Play Store na App Store, kama wewe ni mtumiaji wa simu ya Android bonya link hii ili uweze ku download Wema App na kama wewe ni mtumiaji wa iOS Bonyeza link hii shorturl.ae/XTizL
Connect with me;
Instagram - @wemasepetu
Twitter - @wema_sepetu
Click here goo.gl/0pN4kS to Download Wema App on Playstore
Click here apple.co/2PQK3vR to Download Wema App on Appstore
#CookWithWemaSepetu #WemaApp #Bestizzo
Пікірлер: 38
Wanyamwez na wasukuma Give me even one like
Twahitaji zile show za kitambo 1 20123😂 in my shoes mulitisha balaaaaaa😂
Shepu la wema❤❤❤❤❤
Beautiful
Phina yupo nyonyo hata jikoni jamani😅😅😅.Anyway,huge love from kenya
Nakupenda sanaaa una saut iko poa
Love you wema
Nawapenda
Wasukuma tuko juuu from 🇧🇭
Phina ungevaa nywele simple Kama wema ungependeza Sana
NOMA SANA
blender ya koteck inauzwa ngapi da Wema?
Mfunzeni phina mavazi ajue kutofautisha jaman hili vazi la jukwaani kaenda pikia nywele za hizo wazi kupika gani huko😢
@AfricaQueen
Жыл бұрын
🙌🙌🙌🤝🤝
@zawadilutufyo8771
Жыл бұрын
Kweli yaani huyu hajui nini avae wapi na kwa wakati gani
@mwahijahamis1586
Жыл бұрын
Msukuma utamfundisha nn
@josephinesadah6804
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@josephinesadah6804
Жыл бұрын
🤣🤣🤣😂
Prrrrr to wemasepetu
Napenda
Mlete Abby Cham's atupikie ugali...
@rehemafungo7387
Жыл бұрын
😂😂
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Hahahahah
😂😂 hilo wigi
Uyu wema si muisalm ila kavaa ivyo mwez myukufu
@salomegomano1788
Жыл бұрын
Majungu tu ndomaan hujui hata kuandik
MIT MARATARI
@tabithapreston5195
Жыл бұрын
Yaani...... Dolla hungekosa kuwakilisha Luo clan hapa😂😂😂
@cessymadollaz
Жыл бұрын
@@tabithapreston5195 kama kawaida, LUO is more than a clan, it's a lifestyle. haaaa
Toka uko ramadhani unashindwa kujistiri pimbi wewe olewa ukapike ftari nyoo
@khanifa6453
Жыл бұрын
Hivi umejistri na tamshi lako hili,SI heri mwenye kwako wamuona Yuko wazi tu😢
@deycolafoundation
Жыл бұрын
Wewe naeee 😀😀 post sessions zako, tuje tucomment , priority yako ni kuolewa tu upewe hadi hela ya sidiria khaa 😆, what if kilitayarishwa kabla ya ramadhani, hovyooooo
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Ila wewe ukiyetukana uko Sawa mwezi wa Ramadhan? Yaani kuwa watu wao ndio wadhambi wa Kwanza Ila wako busy na wenzao
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Ila huyu phina mmmmh bado mshaba sana