Christian Bella feat Mwana FA & AY - PETE (Official Music Video)
Музыка
Stream/Download:linktr.ee/christianbella
Follow Christian Bella on Social Media:
Instagram: / bellachristian1
Facebook: / christianbellaobama
Audiomack: audiomack.com/christianbella
© 2019 CBO Music Records.All Rights Reserved.
#ChristianBella #Pete
Пікірлер: 1 100
waliokuja kwa sababu ya mziki mzuri kama mimi nipeni likes zenu..
Waliovishana pete na wenye mpango wa kuvisha pete pls like hapa tujuane
wakongomani mpo wapi kama unamkubali gonga like twende pamoja na mtoto wetu.
From 🇺🇸 baado nairudia mala kwa Mala, kama na wewe unaikubali gonga twende sambamba
@gabrielcna8201
Жыл бұрын
Powa sana hii ngomaa beraberaa nikibpko vp upo marekani mwezangu
@elishajuma2615
Жыл бұрын
Marekan ya nyoko
@Mtui
Жыл бұрын
@@elishajuma2615 Jamani, marekani ndio aandike Mala kwa Mala😂
@jumamwenyiaemwenyiae7487
Жыл бұрын
Unauping mwing
@absontvusa3194
Жыл бұрын
Niko Boston Massachusetts(USA),naisikiliza Kila wakat hiii ngoma,Bella ni kitu kingine
This is a hit just by the first listening Who agrees??
Hii ni bonge la ngoma ila sababu jamaa hana connection kubw ndomaana haijapenya Mwenye wazo kama langu weka like yako plz
@geofreyfelician4803
3 жыл бұрын
Upo Sahihi kabsa
Nakubali Bela haunaga kazi mbovu pia mwana falsafa umeitendea haki iyo ngoma
Christian bella king of the best melody's mwana falsafa ila AY UMEUA PALE KWENE INGEKUA AMRI YANGU HATA KIFO KISINGETUTENGA SIONI MWINGNE ZAID YANGU ME NA WW MAISHAAAAAA
Kama umerudia kuitazam hii video plz like apo twende saw
Wa Congolese wenzangu mpo wapi like zenu basi tujuane💋😍
Visokolo kwinyo wwnye roho mbaya Perekeni habari,, Daaaaaaaaa ngoma Kama izi ndo za kumwekea malikia wangu ..popote ulipo wangu ntakuvisha Pete malikia wangu,z,
imebamba huku,hata m. na.mvisha PETE WINY WANGU,FROM TARAKEA ROMBO
Christian bella 💖💖💖 👑👑 Congolese muko wapi gong like apa 😍😍😍 my people from congo
Kama umeona Cristian Bella kauwa tia like
Sauti ya Bella hata akiimba kuhusu jiwe bado atauza sana.....! Bonge la sauti 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nyimbo imeimbwa na mafundi,nadhan mpaka 2025 tanzania itakuwa imeshateka soko la music dunian
Bonge la ngoma, nyimbo kama hizi Inabidi zipate viewers wengi ndani ya mda mfupi
KAMA UNA KUBALI MA SAUTI ZA KI CONGO 🇨🇩 gonga like TEAM BELLA focrce 💪💪💪
@adijaadija2335
5 жыл бұрын
Tupo pamoja
@litmustz4941
5 жыл бұрын
Kaka look up to my channel bro Pete lyrics support please🙏🙏
@mfisilejr
5 жыл бұрын
Jamaa anajua
@litmustz4941
5 жыл бұрын
@@hassan_ibungu look up to my channel christian Bella lyrics song namvisha Pete
@albertmwaijega2802
5 жыл бұрын
ngoma Kali sana
Cameroon 🇨🇲🇨🇲🇨🇲🇨🇲🇨🇲 +237 in the house yo all the way from the USA.
angewapa wapa wachane nyimbo nzima wange mwalibia sabu awafai wakiwa 2 FA & AY noma sana
Jamani tuache kusiliza ujinga sikilizeni hii melody nani km Bella... No hayupo km unaungana na mm gonga like hapa kwa King 🤴 of melody
@jofreyndibalema6353
5 жыл бұрын
Kiba?
@edwardenson5258
5 жыл бұрын
Nouma
@edwardenson5258
5 жыл бұрын
Bella ni hatari
@diacynthedia6295
4 жыл бұрын
Naomba niunge team Bella uyu jama nimukali kama nyuki
@eng.geophreyt.mushenyera6445
4 жыл бұрын
Bella yupo vizuri...
Je Nawewe umeirudia Mara nyingi kama mm. naipenda Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@frankchamba8894
5 жыл бұрын
5
@myngomaz
5 жыл бұрын
Could you please send the lyrics
@siwahussein7367
5 жыл бұрын
Mamb
@aminaabdiabdi7112
5 жыл бұрын
Sanaaa yaan ata 100× imepita
@emmanuelandrew9941
5 жыл бұрын
Bonge la ngoma yan haitoki masikion
Safi home Boy mwana falsafa,,me nishamvisha pete milele mama wa familia kiguu na njia
Mziki mzuri, hakuna kiki wala kelele kama una amini mziki ni kipaji sio ujanja ujanja likehii ngoma bonge la pini....all the way from wuhan
Najiuliza wasanii wakubwa wanatoboa vp mbele y bella ila nawakubal wote
@geofreyfelician4803
3 жыл бұрын
Kwenye mafanikio kaka kuna siri kubwa sana
Bonge langoma kweli Sijawai ona duh? Kama umeikubali nawew weka likes nyingi tujuwane vzr
Big one sound truck. 👍👍🇹🇿🇹🇿
Sina la kusema Bella Umetisha kinoma FA umeuwa AY umezika 🔥🔥🔥🔥
Chema chajiuza kibaya ...... Kiki zinawafuata,hamzitafuti Ur the best!!!!
Bella anajua jaman kama unakubali gonga like tujuane
Ala za mzing huu na maneno matamu respect for all nani anasikiliza toka Arusha 18/9/2021🙏🙏
Kkkkkkk Léo yamekua 💪💪💪👌👌👌👌👌🤫🤫🤫🤫🤫Nimechapa changuo langu Asante Kaká yangu Bella
TEAM BELLA LIKE APO ngoma nimotosana
@innocentmwalongo6574
5 жыл бұрын
Saf Sana
@litmustz4941
5 жыл бұрын
Angalia channel yangu guys ipo lyrics 🙏🙏🙏
@reshmapenz9051
5 жыл бұрын
Braytone Official 96
@Starlighttz538
5 жыл бұрын
Nambie Resh Mapenzi
@antipaskasambala2696
4 жыл бұрын
@@litmustz4941 ......
ⓜⓦⓔⓝⓨⓔ ⓢⓐⓤⓣⓘ ⓨⓐⓚⓔ ft ⓦⓔⓝⓨⓔ ⓜⓩⓘⓚⓘ ⓦⓐⓞ iko poa sanaa 👍
@norbethathuman9739
5 жыл бұрын
Goma imesimama hakuna ubishi na je vp upande wa suti za hawa wakongwe wa muzic ipi kali zaid kati ya FA na AY comment yako basi
@mustaphpatrick1488
4 жыл бұрын
Mhmhmh hii kaliyao we!!
@irenesimila3364
4 жыл бұрын
Namkubali sana
Sichoki kusikiliza kila siku Nakupenda mnoooo
Christian bella unanifanya namkumbuka Mke wangu anety uko WAP anety wangu daa
First from 254🇰🇪💝 kenyalove to comment wapi likes jamemi
@romeoisack6802
5 жыл бұрын
Mnao omba like izo like mnakula
@amosnyamsera3953
5 жыл бұрын
Kenya nawapenda sana jinsi mnavo show love kwa wa tz alitaka kuharibu mmoja, ila big up Kenyan
@yusufomar1848
5 жыл бұрын
Amos, mmoja alitaka kuharibu vipi.aliongea jisi hali ilivyo.
@litmustz4941
5 жыл бұрын
Look up to my channel guys Pete lyrics
@puvvybecky4638
5 жыл бұрын
Perfect ❤🔥❤👌
ase ni zaid zioote yan mmetisha km unawakubali bas gonga like
Kuna watu huwa wanapotosha wasani kwa kuwasifia kwa mabovu msemaukweli mpenzi wa mmungu bella sijamuelewa uandishi wake wanyimbo mbovu sana anatajataja kama kwa mziki unahitaji vina nasio kuongea utafikiri kwaya sijaipenda me
Hii ngoma ni ya kudumu kwa kila mtu hata kama tayar ww umevisha au kuvishwa Kuna mwanao na ndugu pia
This song makes me dreaming more of my engagement day😥😥.May 2020 be the year of achievements to everyone who view this song.Big up Christian Bella this song is life❤
Hii wimbo ni inaweza kukufanya ukaoa Leo Watu wenye mziki wao hamna kelele wala Kiki hapo BELLA AY, FA💥💥💥💥
@pdaxofficial3144
5 жыл бұрын
Hahaaaaaa..
@annethfrank5821
5 жыл бұрын
Kabisa yaaani aiseee
@nunuuali5316
5 жыл бұрын
True
@pascalinamichael554
5 жыл бұрын
@@nunuuali5316 yess 👍
@asinahalimoja8894
5 жыл бұрын
Nimecheka
Mi naongoza kuirudia kuisikiliza hii nyimbo, three professional were met and made a sweet Melody song
*Hata mukimbagua atabaki kuwa juu pamoja na ukali wake wote cristian bella eti hata tuzo moja hajawahi kupewa sasa nyinyi musimpe tuzo ila atabaki kuwa juu kama konki liquid konk fire*
Watching from +257 , nipe like zangu
Kumamakeeeeeeee naombeni like leo nimekua mtu wa 30 kuview. Sjawah kupata like kabsa
@sidedaudy2710
5 жыл бұрын
Uzipeleke wp
@mwanaidyibrahim8593
5 жыл бұрын
Haha
@fikirimajolo62
5 жыл бұрын
😃😃😁
@ashaali7154
5 жыл бұрын
Matusi yanahusu nini lakini?
@mayamohamad710
5 жыл бұрын
😂😂😂😱💃subiri
jamani au ni mimi tu ninaejua Kama Christian Bella anaimba mziki mzuri aise bonge la ngoma nimajikuta nairudia hongereni Wote mlioshiriki ktk nyimbo hii aise mmeweza
The day is coming nitawekewa huu wimbo na Dj nikamvishe pete The love of my life. Mwanamke mwenye imani kubwa juu ya ndoto 😊😊
Nilidhani mzee wa "iyoo!" anasauti ya muziki LAKINI LEO NAKATAA RASMI. Bella ndio no.1 artist kwa kuchezea vocal lake kama anavyotaka yeye, dah ni fundi!
Nimefurahi sana kuwaona FA&AY KWENYE TRACK MOJA ❤️🙏
Huu ndio wimbo ambao nitawalk down the isle siku yangu ya harusi hata kama ni miaka 5 zijazo
Kiukwel christian bella ww ndiyo msanii wangu bora Tanzania
Wenye mziki wao sasa.....FA &AY + Mwenye sauti yake tz.......Bella
visokolokwinyo wenye roho mbaya pelekem habarii. hayawi hayawi Leo yamekua...heeeh moto unawakaaaa.. huu wimbo nitaweka kwenye haruc yangu jmn dah umenikosha
@fabianmussa8090
4 жыл бұрын
mungu akuongezee uzidi stage uliopo imenibamba sana hiyo ngoma hata umenuna lazima ufurahi
@frankgikaro5159
4 жыл бұрын
Hahahaa Ni kweli unafaa kuutumia katika harusi
Nyimbo iko vizuri Kama vyama pinzani Vinavyo wapelekesha Chama Tawala Lazima wanyookee Maana wame Jisahau sanaa wanadhani hii nchii ni ya Chama kimojaa😂😂😂😂😂 Safi sanaa Bellaaa
Christian Bella kawakutanisha mapacha wasiofanana wameua
Kama unamkubali mzee wa masauti achia 👍👍👍👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mariadamson8089
5 жыл бұрын
immanuel samwel bingooo
@immanuelsamwel9409
5 жыл бұрын
@@mariadamson8089 pamoja sana
@mosesmagehema4303
4 жыл бұрын
Yupo vzr
@immanuelsamwel9409
4 жыл бұрын
@moses magehema sana blood
@mustaphpatrick1488
4 жыл бұрын
Sanaaaah Bella Umetxha Bg
Good music Kama tupo pamoja Weka like 🔥🔥🔥🔥
Niliipenda tz kwa ajili ya christian bella 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Eti ningekuwa mungu hata kifo kisingetutenga nakipenda Sana kipande icho
Kama umenotice Bella anapiga video ya hela nowdays mkono juu
Wakwanza kutoka 🇺🇸 Gonga like
Tanzania mwavishana pete Kenya twapanga kuintroduce uniform kwa wanandoa
Waaaaaa manzee Christian apatnakufa 100% this is my beste of all time xx izo hand noma @mwanafa@ay BONGO BY THE WAY🇰🇪🇧🇮🇹🇿🇺🇬
Comme un porté parole de tout le congolais sûr youtube, je dit merci à vous mes frères, la message est bonne. Je vous souhaite de bonheur , vieux de voix
@ezekiamgute86
5 жыл бұрын
Wenye mziki wao
Alietoa wazo lakufanya ngoma hii kukusanya vichwa hivi anapaswa apewe tuzo yakufikir
Wimbo mzuri sna wtu wa muziki hao
Kiukwel huu wimbo unanikosha Sana pale anaposema ayawi ayawi
Just woke up, I’m the 1st one to watch it from USA
Your fan from SENEGAL nakukubali sana Bella
Baada ya kutimua vumbi na kukanyagana finally navishwa Pete!!!!Bonge la ngoma!!!Likes zangu nikingojea kuvishwa Pete!🍸
Who watching 2024 gonga like hpa twende sawa
Mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyimbo kali Tz.... Nasema hivi hii ni yenyewe kbs 👐
@golflima5392
5 жыл бұрын
Kinje Athuman nani kakukabizi mamlaka ya ukaguzu wa nyimbo kali TZ? Lol 😂
@kinjeathuman2350
5 жыл бұрын
@@golflima5392 😂😂😂
@boyfametz5430
5 жыл бұрын
✔
Tanzanian Music always on point. Much Love from Kenya.
Nimezunguka kila mahara sijaona mwingine kama wewe Hatari fire
Kanyaga tupa kule pelekea watoto acha watu wazima tusikilize za kiutu uzima
Love you mzee was komesha AY +254🇰🇪🇹🇿
goma kaliiiiiiiii... ila naomba #like kwa FA
Noma Na Nusuu Bonge Moja Lapinii...👊👊👊👏👏👏
Wore mmeuwa mbaya kila mmoja wenu ameitendea haki nafas yake nawpenda bure
cku zote Mwana FA huwa anakamilisha kaz yake vzur.... Nyimbo nimetisha sanaaaaa 🌍
suis fière de mon frère congolais qui évolue bien à Tanzanie courage Chris vraiment suis de cœur avec toi rdc toujour na likolo
Sichoki kusikiliza hii nyimbo jamani Bella mkali mno!!!💥💥💥
Mwana FA Na AY sauti zenu hakuna mpinzani kwakweli
I strongly agree with you If you are very accepting of the tap like
BONGE LA NGOMA ASEE HONGERA SANA BELLA
@castokobero2131
4 жыл бұрын
Ngoma kali
Visokorokinyo wenye roho mbaya pelekeni habari...luv this song
Sauti ya Bella ni ya dunia nyingine kwa kweli. Nothing like this.
From Philadelphia Baba tunakukubali kinyamaaaaa Kama unamkubali papa Bella gonga bonge ya like!!
@litmustz4941
5 жыл бұрын
Kaka look up to my channel Pete lyrics support please 🙏🙏🙏
@harunakon8920
5 жыл бұрын
salut utauwa kwamashair
Nimepitia hapa juu ya Ambwene mmmh one of the finest #humble kabisa
@zawadimfaume3248
5 жыл бұрын
Nelly Matalanga v
@nellymatalanga5033
5 жыл бұрын
@@zawadimfaume3248 ??🙈
@stevenrobert6584
5 жыл бұрын
Christian Bella uko juu saaaana saaaaaana from kahama
Bela nakubali mwana kimya sana mwana Niuhalali bela
Nafurahia kwa sababu ngoma hii imefanywa na #Beberu mwenyewe +Tudd Thomas. My best Tanzanian audio producer.
Tafsiri ya hili goti ni ahadi ya kuzeeka wote - unikanye unapohis nakosea- ingekuwa amri ya hata kifo kisingetutenga😘😘😘mis my honey
Kaka unaweza hii nyimbo nzur ya kwenda kuleta mahusiano yaliyovunjika
@litmustz4941
5 жыл бұрын
Pete lyrics out look up to my channel bro support🙏🙏🙏
@josephmpiluka6381
4 жыл бұрын
Yaa
Nyimbo kama hizi kama haupo teyari kuoa haifai kuangalia, Nice one
Wanajitambua wanafanya muziki unaoeleweka kama huu. kama umenielewa utalike kama huelewi wasalimie mbele
Ahsante wakubwa,,,tunashukuru mafundi na wenye music wao ,,,bonge la kioo
@ernestchale4886
5 жыл бұрын
Ok
I wish i can like this song a million times and subscribe to Bella's music as many times as i can.... 🔥 🔥 🔥
bravo Bella 👏👍👌💐, hiyo hiyo ndo umuimbiage "Hamisa Mobetto" siku atavikwaga pete 🙌💪
wote wamefany vizur lkn ay amenisaplaiz sana