Christian bella feat Hamisa mobetto - BOSS (Official Video)

Музыка

Christian Bella featuring Hamisa Mobetto's latest video BOSS.
More from Christian Bella:
Nishike: goo.gl/hS3e2Q
Nashindwa: goo.gl/7LozYo
Amerudi: goo.gl/WFO4Re
Ollah: goo.gl/8pKic4
Follow Me:
Facebook: / bella.chriss
Twitter: / christianbbella
Instagram: / bellachristian1
#BOSS #ChristianBella #HamisaMobetto

Пікірлер: 3 300

  • @priscillaamossen8249
    @priscillaamossen82495 жыл бұрын

    Boss Bella na mremboTanzania nzima miss Mobetto 🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️

  • @aminamaulidi1788
    @aminamaulidi17885 жыл бұрын

    Namkuba sn hamisa ❤❤❤🙌🙌🙌hii sauti naweza kwenda kopea diriham kwa kwa Shekhe Zayd Dubai shukurani hamisa👍👍👍👍👍🙌❤❤❤

  • @blaiiisehakiza
    @blaiiisehakiza4 ай бұрын

    Like yako kama you're listening to this pist in 2024

  • @josephinekwaselema5566
    @josephinekwaselema55663 жыл бұрын

    Wangapi mnaangalia hii Ngoma zaidi ya Mara tatu kwa siku kama mimi noma sanaaa 👏👏👏

  • @BrianKiprop-el6bg

    @BrianKiprop-el6bg

    Жыл бұрын

    niko hapaaa

  • @wasaoswaq

    @wasaoswaq

    9 ай бұрын

  • @flornce123oganda8
    @flornce123oganda85 жыл бұрын

    Wooooollliiiiiyeeeee team misa hoyeeeeee ngoma kaliiiiiii wow, najukuta mwenyewe

  • @ndagoboystephan7242
    @ndagoboystephan72425 жыл бұрын

    Kama na ww umeirudia ngoma hii kali mara mbili mbili twende sawa hapa

  • @nyishudodo7810

    @nyishudodo7810

    5 жыл бұрын

    mala kumi 😂😂😂

  • @saidbrizy2142
    @saidbrizy2142 Жыл бұрын

    Hii nyimbo nimetafta jina lake mpaka kwa gharama, kwakweli ni Kali

  • @shukurukwake7447
    @shukurukwake7447 Жыл бұрын

    Nimekua nikitafuta huu wimbo mda mrefu sana sikujua umeimbwa na nani hongera kwenu bella na mobeto

  • @roseirungo1950
    @roseirungo19505 жыл бұрын

    Wooo wimbo mzuri hadi unakera 😋😋😋😋😋 Wale mliosema hamisa hawezi imba hiyo ni nyanyenu kaimba🙄 Manyoko nyie🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @patrickjohn9495

    @patrickjohn9495

    5 жыл бұрын

    Wamebaki midomo wazi na nyimbo tamu inawaingia taratibu

  • @consolatamaarufu58

    @consolatamaarufu58

    5 жыл бұрын

    Rose Irungo 😁😀😁😁😁😀😄😀🔥🔥🔥🔥🔥

  • @aishaelias3867
    @aishaelias38675 жыл бұрын

    Uwiiii hamisa hii ngoma umeitendea haki 🔥🔥🔥🔥🔥👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻

  • @khadijak3065
    @khadijak30655 жыл бұрын

    Huwaa sisikilizagi miziki ya nyumbani lakini huu kidogo navunja shughuli alau kavaa skerti nyeusi safii hamisa Mobetto

  • @keziadaudi7881
    @keziadaudi78815 жыл бұрын

    team misaa tupo yaan waliokuona hufai watakusalimia tu sio kwa saut hyo Kali na kijana Bella

  • @firstdanah8746
    @firstdanah87465 жыл бұрын

    Wanakusema sanaaa mobbeto ila ww nimpiganaji sanaaa inshaallah utafika upatakapo

  • @elizabethmichael1431
    @elizabethmichael14315 жыл бұрын

    wow! misa jiachie mama naona ss umeiva yani ngoma umeitendea haki yani utabaki kileleni 🔥

  • @tyrawanga568
    @tyrawanga5685 жыл бұрын

    Team hamisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nlikuwa simpendi lakini vnye yy hupambana na hali zake nampenda hamisaaa goooooooooo from 254

  • @gamechanger9646
    @gamechanger96465 жыл бұрын

    Hapo kwa kikongo Hamisa umenikumbusha Yondo Sisters 🔥

  • @reyca_v.i.p

    @reyca_v.i.p

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dorkaswandali4266
    @dorkaswandali42665 жыл бұрын

    Uongo dhambi jaman. Hamisa kanogesha huu wimbo🔥🔥

  • @fatashkibz7421
    @fatashkibz74214 жыл бұрын

    Mi hukujuii hamisa t kwa nyimbo nan Ana kubali gonna like t twende sawa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @josmamahushi1624
    @josmamahushi16245 жыл бұрын

    Niko hapa kwaajili ya King of the best melody

  • @laurie_lifestyle
    @laurie_lifestyle5 жыл бұрын

    Hamisa baby kasauti tu. much love from Dubai. Nipeni likes basi kaa unamkubali Hamisa

  • @ruthmaina7810

    @ruthmaina7810

    5 жыл бұрын

    Soo sweet voice 💋❤❤❤❤

  • @ruthmaina7810

    @ruthmaina7810

    5 жыл бұрын

    Hamisa nakupenda sana ❤sauti tu💋

  • @maurynenazzi1430

    @maurynenazzi1430

    5 жыл бұрын

    Thanks dear plz mk people view it❤👏

  • @priscaalphonsine2753

    @priscaalphonsine2753

    5 жыл бұрын

    lauryn kirimi ❣️❣️

  • @aishajuma2604
    @aishajuma26045 жыл бұрын

    Hamisa atabaki kua juu kileleni. chiiiiii💣💥💥💥

  • @rechomroso8179
    @rechomroso81794 жыл бұрын

    Sichoki kusikiliza hamisa unaweza sana moyo umeshaloa nyg nyg hatari sana

  • @suziehennessy9829
    @suziehennessy98295 жыл бұрын

    Ninacho jua hamisa umefanya kushirikishwa....kwaio dada jitahidi sanaa

  • @ndagoboystephan7242
    @ndagoboystephan72425 жыл бұрын

    Jamani bella kashindikana na huyu mwanamke ndo hatari kabisa yaani ni 🔥 mno

  • @rehemashelukindo3799

    @rehemashelukindo3799

    5 жыл бұрын

    Bella umefanya nmeanza kumpenda misaa kwenye kuimba dah big up to nyie

  • @omarykishoke5933
    @omarykishoke59335 жыл бұрын

    Tatzo ni nyota au kutokuwa mzawa...like mingi kwa Bella 🙌🙌💥

  • @salvatory2987

    @salvatory2987

    5 жыл бұрын

    Kumbe hujui, Bella is a king of vocals 👑 in Tanzania, every Tanzanian knows and accept it. Tunamkubari sana.

  • @raphaelhitler6411
    @raphaelhitler64114 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu awaongoze kila hatua ya kazi yenu munayoifanya".kesheni mkimwomba naye atawainua.

  • @allainnzbnt2764
    @allainnzbnt27645 жыл бұрын

    Uki lyk piya comnt asante kka bella na mrembo,sauti yako tofauti kabisa una kipaji ongeza bidii

  • @khadijakhadija6212

    @khadijakhadija6212

    5 жыл бұрын

    Gd

  • @hamzacedricole3673
    @hamzacedricole36735 жыл бұрын

    Tatizo simba kaashia inama video sasa iyi aita trending San sababu simba kaashia video kamuharibia hamissa na fasi wallah

  • @nyishudodo7810

    @nyishudodo7810

    5 жыл бұрын

    yule kaka ana Roho mbaya hataki Hamissa na zari wafurahi hata siku zari alikuja Bongo arifika anachia vidéo yak ili watu wasifwatilie yake ila kila mtu ana nyota yake tutam saport tu

  • @irenenelson9072
    @irenenelson90725 жыл бұрын

    Wako wapi team @hamisamobetto, wekani like twende pamoja 👍👍

  • @rebeccaungwa1787

    @rebeccaungwa1787

    5 жыл бұрын

    IRENE Nelson here

  • @benedictamaganga614

    @benedictamaganga614

    5 жыл бұрын

    Tupooooo

  • @shiraann632

    @shiraann632

    5 жыл бұрын

    👌👌👌

  • @nihalimohamed1875

    @nihalimohamed1875

    5 жыл бұрын

    Tupo

  • @ratiffahdolle9931

    @ratiffahdolle9931

    5 жыл бұрын

    Tupoooooooo

  • @jacobnorbertchenga9465
    @jacobnorbertchenga94655 жыл бұрын

    Mwarabu fighter Daaah kashaamua kama mbwai na iwe mbwai

  • @ashuraommary5684
    @ashuraommary56845 жыл бұрын

    Kama Mr and Mrs vile mmpendeza nyimbo tam kama asari aishoshi kuitazama yani IPO👌📌

  • @mgubulilefamily531
    @mgubulilefamily5315 жыл бұрын

    Mtu akisema nyimbo mbaya huyo ni mchawi wa maisha, nice song mobeto God bless you, gonga like twende pamoja ❤

  • @ezekiafilbert4896
    @ezekiafilbert48965 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥tisha bela $misaaaa napendaga unavyonipaga mapachocho

  • @danieljohnson6539
    @danieljohnson65395 жыл бұрын

    Nimependa kinyama sehemu yako mobeto ulivyoimba félicitation madame chérie nalinga'kayo mingi,......!

  • @gloriamkenda6807

    @gloriamkenda6807

    3 жыл бұрын

    Katisha mno💞💞💞👆

  • @elirehemalema6828

    @elirehemalema6828

    2 жыл бұрын

    Yan

  • @bradakalufanya473
    @bradakalufanya4735 жыл бұрын

    Mimi ni mu kongomani🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ngoma ya bella,harmo na Diamond, namukubali hamisa kaniacha kieleweni na iyo ngoma

  • @fatmarashidfatmarashid4291
    @fatmarashidfatmarashid42915 жыл бұрын

    Haki nimerudia karbu mara kumi nimependa dada woow hapa sauti mashallah

  • @faithjoseph9255
    @faithjoseph92555 жыл бұрын

    Hamisa asiwepo mtu wa kukuvunja moyo wallah hii nyimbo umeitendea haki kbsaaaaa.... Mungu aendelee kukubariki na kukuinua viwango vya juu zaidi Amen🔥🔥🔥🔥🔥 Mliosema hamisa hajui kuimba tangulien sero tuwakute😂😂😂👌👌The real definition of madam Hero

  • @maimunaathman4664

    @maimunaathman4664

    5 жыл бұрын

    True there's big improvement, keep it up lady misa

  • @faithjoseph9255

    @faithjoseph9255

    5 жыл бұрын

    Yes dear

  • @kimsd2184

    @kimsd2184

    5 жыл бұрын

    Hakuna linaloshindikana chini ya jua .....kama unataka kitu jipe muda kuna muda Hamissa atakuwa top na waliombeza watashangaa

  • @anitangingo9598

    @anitangingo9598

    5 жыл бұрын

    Yani hamisa anazidi kukomaa kimuziki siku hadi siku

  • @joycebenjamini4100
    @joycebenjamini41005 жыл бұрын

    Aiseee imenisuuza kamoyo mpaka karoho...Haswa Hamisa anapoimba kikongo...Yaaan Song Mmmmwaaah.....!!!

  • @dottoemanuel457
    @dottoemanuel4573 жыл бұрын

    Leo ninamajonzi yakupoteza Rais mpendwa ila najifaliji na wimbo wa mobeto

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b5 жыл бұрын

    Nmerudi kwa Hamisa sasa hii umeimba vzr sana umeua kwa sauti yako nlikua nasubiri next song unakujaje but umenimaliza kwa hii misa big up sana..

  • @Kanicynjuguna

    @Kanicynjuguna

    5 жыл бұрын

    🤣🤣 mimi kwa misa sitoki

  • @nurumnyota8615
    @nurumnyota86155 жыл бұрын

    Hongera Sana Hamisa hujamuangusha Christian bella,wimbo unapunguza stress❤❤❤❤

  • @halimafuketi8369
    @halimafuketi83695 жыл бұрын

    Jamani n mm kutoka Kenya naomba like zenu wabongo

  • @Kulwasaidi

    @Kulwasaidi

    4 ай бұрын

  • @jumachingomanje6439
    @jumachingomanje64395 жыл бұрын

    Bonge la ngoma... Wako wapi wanaosema missa hajui kuimba? 😥

  • @angelmchomvu3775
    @angelmchomvu37755 жыл бұрын

    Tutaambia nini watu.... Keep it up wapenz nyimbo nzuri

  • @miss-kitawa3254
    @miss-kitawa32545 жыл бұрын

    Team misa like sijapata jomon mzee wa masauti hapo ndio ninapo mpendeaga Christian Bella🎶🎶💞😍😍😍😍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹💕💕:🔝🎼🎼🎵🎵🎵🎵🎧🎧🎧🎙🔥🔥🔥

  • @rayanalhabsi8029

    @rayanalhabsi8029

    5 жыл бұрын

    ngoma kali sanaaaa

  • @ummunaaleicester4337

    @ummunaaleicester4337

    5 жыл бұрын

    @@rayanalhabsi8029 tupo

  • @issadady1351

    @issadady1351

    5 жыл бұрын

    Angely -kitawa 👌👌👌

  • @maurynenazzi1430

    @maurynenazzi1430

    5 жыл бұрын

    Thanks dear plz mk people view it on their phones❤

  • @mtamomtamo544

    @mtamomtamo544

    5 жыл бұрын

    Angely -kitawa

  • @tiffanyaucy3029
    @tiffanyaucy30295 жыл бұрын

    huu wimbo haunichosh..asant bella $mabeto..nawapenda

  • @ishamumwilongo9975
    @ishamumwilongo99754 жыл бұрын

    Aseee wew mtoto unajua shemej yanguu napenda ulivo bebwa um bebeka na unajieshimu cja on ukionesha mambo ya chumban

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe5 жыл бұрын

    Huyu ndo Misaaaaaaaaaa go go bae I love you 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Here for #Hamisa

  • @willison1066

    @willison1066

    5 жыл бұрын

    Big Zhumbe uko juu

  • @aloyceenhardnombo7604
    @aloyceenhardnombo76045 жыл бұрын

    Guys mm nilitaman hamisa aimbe tangu mwanzo had mwisho daah mtoto mzur ana saut mashalaah

  • @philexsiyoi-mj2fi
    @philexsiyoi-mj2fi Жыл бұрын

    Namwelewa sana hamisa mobeto,,,keep it up toto la kitanga

  • @husnauthman7609
    @husnauthman76095 жыл бұрын

    Mambo ni motoo jaman na mm naombeni like khaa kila cku nawapa nyie tuu

  • @chubeally5293

    @chubeally5293

    5 жыл бұрын

    Mashallah

  • @annatariq5378

    @annatariq5378

    5 жыл бұрын

    Husna Uthman hamisa amejitahid sana mara hii ameitoa sauti kwakwel

  • @husnauthman7609

    @husnauthman7609

    5 жыл бұрын

    @Kids 💕CHANNEL Hahaha rahaaa kuona coment yako ina like😂

  • @emmanuelkakuru1977

    @emmanuelkakuru1977

    5 жыл бұрын

    Ngoma nzur

  • @richardmkandara3433

    @richardmkandara3433

    5 жыл бұрын

    King of best merrod of Tz Christian Bella

  • @rahelmasiga1503
    @rahelmasiga15035 жыл бұрын

    Hamisa Safi Sana simamia saui hiyo hiyo wakati wa kimba nyimbo zako

  • @bizimanasadiki1657
    @bizimanasadiki1657 Жыл бұрын

    Christian and Hamisa Mbeto Congratulated to your beautiful song i like verry muche ! Yani ki Ukweli Muziki wenu huu Umeniosha moyo Mungu Awajalie Muendelee kutupa Vitu Vipya

  • @milkerndunya1538
    @milkerndunya15383 жыл бұрын

    Jamani mpaka mtoto wa 1.9 yr kaganda hataki nyimbo ingine

  • @esthermbilinyi3611
    @esthermbilinyi36115 жыл бұрын

    Nice hamisa nyota inazidi kuwaka

  • @salmafimbo7633
    @salmafimbo76335 жыл бұрын

    Mnajua kuimba sana nimeipenda sana nasikiliza kutwa nzima napendaga unavyonipa mapochopocho

  • @bahatibarton9383
    @bahatibarton93835 жыл бұрын

    Misaaaa go my girl sichoki kuangalia kasauti kamwili ni fire

  • @magynzioka1122
    @magynzioka11225 жыл бұрын

    Ngoma ya watu wa kujielewa # kenya twa kupenda bure hamisa

  • @bernis2579
    @bernis25795 жыл бұрын

    Relistening hiyo part hamisa anaimba kilingala......wooow this lady is multi blessed

  • @enidajeremiah4102

    @enidajeremiah4102

    5 жыл бұрын

    Nyimbo Kali bro !!Ila kama kavaa sketi waliona tuungan

  • @husnahongeramwinjuma1436

    @husnahongeramwinjuma1436

    5 жыл бұрын

    good

  • @mercyromanus5033

    @mercyromanus5033

    5 жыл бұрын

    @@enidajeremiah4102 ni kawaida kwa Congo na ni vaz la heshma uko so nahc kavaa hvo cs wmbo wametumia kicongo pia

  • @dottoemanuel457
    @dottoemanuel4573 жыл бұрын

    Huu wimbo unanifaliji nikiwa na muomboreza Aliekua Raisi wangu John Pombe Josefu Magufuli kwaheli baba

  • @saidimbwilo2650
    @saidimbwilo26504 жыл бұрын

    Hamisa humu umeuaaaa mamaaa.. Ahsante Bella kwa kumfanya Hamisa kuwa mpyaaa, nimeirudia hi video kwa Mara kadhaa

  • @charleseshiembwe922
    @charleseshiembwe9225 жыл бұрын

    2:30 chéri nalingaka yo mingi ee yozali mobali ya vie na ngai atabalobi se pamba , nga nakolinga kaka yoo ...je t'aime , je t'aimerai pour la vie motema na ngai. Swahili version [ mpenzi nakupendaga sana wewe ndiye mwanaume wa maisha yangu hata wakisema ni bure mie nita kupenda wewe...nakupenda nitakupenda kwa maisha moyo(roho) yangu]

  • @gabrielshewio6599

    @gabrielshewio6599

    5 жыл бұрын

    Very nice verse I appreciate

  • @lubungatv3609

    @lubungatv3609

    5 жыл бұрын

    Tokoos

  • @charleseshiembwe922

    @charleseshiembwe922

    5 жыл бұрын

    @@gabrielshewio6599 thanks bro

  • @charleseshiembwe922

    @charleseshiembwe922

    5 жыл бұрын

    @@lubungatv3609 merci

  • @neyvicent4754
    @neyvicent47545 жыл бұрын

    Ngoma Kali mno nmeipenda hongera misawangu na Bella kazi nzur Sana wapi time hamisa

  • @kibokongurai4488
    @kibokongurai44885 жыл бұрын

    HIVI tuanashindwa kumalizia hapo juu kidodgo tu au ndiyo mnatuita wanaume wa dar hatufikishi kileleni maana bado kidogo tuu tumfikishe hamisa kileleni hapo 1m

  • @mercykeino4194
    @mercykeino41945 жыл бұрын

    Hupaswii kukaa kinyonge Ukiwa Na mm asante Bella #boss# Missa unajua mpaka unakwaza wengi walaiii.....huu wimbo Ukiwa Na uskiliza uku unaandika unaeza andika wimbo mzima...goo go missa Hutak vijana wa mujiniii

  • @norbertkisimba1492
    @norbertkisimba14925 жыл бұрын

    Jamani amisa wangu mimi & bella💪💪💪💪💪💪🎓🎓😍😍😍😍😍

  • @maurynenazzi1430

    @maurynenazzi1430

    5 жыл бұрын

    Thank plz mk frds view it❤

  • @fatmarashidfatmarashid4291
    @fatmarashidfatmarashid42915 жыл бұрын

    Woow nimefurahi haki dada umeashida wasanii wengi sana but kwa kuwa roho mbaya ziko ndaniyao hawawezi kusifia umetisha dada tena sana endelea kupambana usisikize ya watu 😙😙😙

  • @kazamoyo7631
    @kazamoyo76315 жыл бұрын

    Jamani kunawatu wameumbuka hapaaa. Wako wapi walosema hamisa mziki haumfai? Sasa kaalikwa ikulu kumuimbia rais. Wale wapiga majungu wamealikwa magereza kweli mungu humpa mtu kinacho mstahili

  • @jumachingomanje6439

    @jumachingomanje6439

    5 жыл бұрын

    Well said

  • @johnamnyange6108
    @johnamnyange61084 жыл бұрын

    Mshike tena mkono Hamisa apate uzoefu na mfanye nyimbo nyingine Bella

  • @gracerosi6179
    @gracerosi61795 жыл бұрын

    Vionjo vya hamisa vinatumaliza🔥🔥👍

  • @mtetezimellody5161
    @mtetezimellody51615 жыл бұрын

    Eh! Eh!Eeeh!!Bonge moja la pini like yako hapa kama umeikubali hii ngoma kutoka kwa King of the best mellodie CB

  • @nicoleli8098

    @nicoleli8098

    5 жыл бұрын

    Mtetezi Mellody gud

  • @laikatwaha8934

    @laikatwaha8934

    5 жыл бұрын

    Mtetezi Mellody yap

  • @stephanombamba2168
    @stephanombamba21685 жыл бұрын

    Christian bella mtu mbaya sana hujawawi haribu kila ngoma ni🔥🔥🔥

  • @leilaadamraymond4358
    @leilaadamraymond43585 жыл бұрын

    Nic. Song. Hongera sna. Christian bella na Hamisa.

  • @BONGO_FILAMU
    @BONGO_FILAMU5 жыл бұрын

    Waliowaza kurudia mara ya pili kabla nyimbo haijaisha ....twende sawa

  • @bettymasitsa4425

    @bettymasitsa4425

    5 жыл бұрын

    Mimi

  • @moonpatienceongara5607

    @moonpatienceongara5607

    5 жыл бұрын

    Naangakia mara ya 4

  • @najmommy8768

    @najmommy8768

    5 жыл бұрын

    Kama umeniona vile haha

  • @venesterkemuntos536

    @venesterkemuntos536

    5 жыл бұрын

    Aki nimerudiaaaaaa mara Mia moja

  • @venesterkemuntos536

    @venesterkemuntos536

    5 жыл бұрын

    Narewandi Tu usiku muzima

  • @mercimerci9644
    @mercimerci96445 жыл бұрын

    Cristian na hamisa much love from Kenya 🇰🇪❤❤

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi77333 жыл бұрын

    Hamisa kajitahidi sana hapa..Christian Bella ahsante kwa kumuamini dada mzuri kama huyu

  • @winniewillilo8109
    @winniewillilo81095 жыл бұрын

    Daadek Bella umeua ,mtabaki juuu na mobeto

  • @nyamushalaparfait4154
    @nyamushalaparfait41545 жыл бұрын

    Mwana mboka Nice song RDCongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @asiacymon3549
    @asiacymon35495 жыл бұрын

    Lov yu missah ....unazd kunifanya nijivunie kukulov ....kaz nzuriiiii xn bbygal ....

  • @husnauthman7609

    @husnauthman7609

    5 жыл бұрын

    Sanaaaa

  • @happinessdmushi795
    @happinessdmushi7954 жыл бұрын

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haka ka wimbo katamu jmn.👌👌👌

  • @queenwinnie256
    @queenwinnie2565 жыл бұрын

    sasa hapa hamisa uko vizuri ponge,zi kwako ndio vt twataka sio sikendo mbovu

  • @VijanaPowerTV
    @VijanaPowerTV5 жыл бұрын

    King wa ma melodies Likes za Bella tafadhali! 🔥🔥

  • @lukindoomary8616

    @lukindoomary8616

    5 жыл бұрын

    Vijana Power TV huyu jama anajua

  • @janethjoseph5293

    @janethjoseph5293

    5 жыл бұрын

    hatamm nnam kumbali

  • @lennyfence183

    @lennyfence183

    4 жыл бұрын

    Kali keeping big up

  • @abedileite4725
    @abedileite47255 жыл бұрын

    Mobotto kama Mbilia belle wa Drc. Kwa Sauti hiyo ni hatari sana. Bella big up sana bro

  • @harmoniofficialtz6065
    @harmoniofficialtz60655 жыл бұрын

    Nimependa ulivyo Anza Bella na kuitikia mbetto. We mdau Kama Mimi Kama umeufurahia njoo nikuonee

  • @wizdallas6282

    @wizdallas6282

    5 жыл бұрын

    Km me

  • @rahmaathman721

    @rahmaathman721

    5 жыл бұрын

    Harmoni Official yaan song 🎵 ni taaam jaman Bella and missa ni. Fire😍😍

  • @harmoniofficialtz6065

    @harmoniofficialtz6065

    5 жыл бұрын

    Yes nakubali

  • @bellaalis1272

    @bellaalis1272

    5 жыл бұрын

    Na penda sana iyi kwa lingala na france ongera sana hamisa

  • @bellaalis1272

    @bellaalis1272

    5 жыл бұрын

    Hamisa edela ivo

  • @giselebukembo6153
    @giselebukembo61534 жыл бұрын

    Super Hamisa Mobetto ayembi lingala kitoko makasi... Nina furah kubua sana🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿

  • @attalebel
    @attalebel5 жыл бұрын

    Agaaaaa Hamisa umetisha. Hilo jamaa halihitaji comment balaa lake linaeleweka. slt

  • @msambyajohnlwango7491
    @msambyajohnlwango74915 жыл бұрын

    I’m the first one ☝️ in USA 🇺🇸 Phoenix Arizona

  • @salehkashindibinmsambya1719

    @salehkashindibinmsambya1719

    5 жыл бұрын

    hahahahaha

  • @josephmakau7322
    @josephmakau73225 жыл бұрын

    hapa nimemkubaliiiii mtoto wakike, sautiiiii nimeipenda hadiii ubooo una simama daaaah

  • @yuniabeli8492

    @yuniabeli8492

    5 жыл бұрын

    Duh

  • @denniskalisti2570

    @denniskalisti2570

    5 жыл бұрын

    Hahahahahaha

  • @mmn7480

    @mmn7480

    4 жыл бұрын

    Kuma ww

  • @manchizemedia8060
    @manchizemedia80605 жыл бұрын

    BELLA SHIKAMOOO!!!! MUNGU AKUBARIKI KWA KUWASAPOTI RAIA WETU CHA MSINGI USIBAGUE WAKUWA KAMPANI BROTHER BEBA WOTE TU KWANI SH NGAPI?????? DADA HAMISA BIG UP !!! UMEBEBWA UKABEBEKA.

  • @amlialoyce619

    @amlialoyce619

    3 жыл бұрын

    Nakubali xaxana hamisa namini ipo xiku mungu atakuinuwa juu zaid ya apo I love you so March

  • @christianangelo4832
    @christianangelo48325 жыл бұрын

    Wote mmebadilika... Mziki mzuri Sana. Big up kwa producer

  • @lincolnmaleko4847
    @lincolnmaleko48475 жыл бұрын

    Kweli mbuzi iko tayarii hii nyimbo tamu sanaa yani natazama kila time❤❤

  • @herryabwe8676
    @herryabwe86765 жыл бұрын

    Kweli hamisa mobetto unafaa kuimba na christan bella nimekukubali Sana💟

  • @justinkasuku1460
    @justinkasuku14605 жыл бұрын

    Kila mtu anaweza kuimba ila sio kila mtu anajua kuimba... Kama unajua unajua tu what I mean..

  • @neemamathias9001
    @neemamathias90015 жыл бұрын

    Yani me naurudia kila mda hamisa oyeeeeeeeeeeeeeeee nyota mama inazidi kung'aa watakunywa pain killer

  • @yusraibrahim8218
    @yusraibrahim82185 жыл бұрын

    DAHAMISA CHAUTUTUNDU UPO nakuonatu wazidikuwabuluza mtandaon WAOOO WIMBO MZULI DAHAMISA HONGERA🔥🔥✔

  • @mayungapaschal7277
    @mayungapaschal72774 жыл бұрын

    Nakupenda xan hamisa Umeimba vizr pamj na bella

  • @mbwilaseifu6461
    @mbwilaseifu64615 жыл бұрын

    Bella anajua Dada mobeto unajua cn nakuombea kwa mungu ufikie malengo yk penda xn ww

  • @petromwinyi4955
    @petromwinyi49555 жыл бұрын

    Tajiri mubishiii, Obama, king of the best melodies, watoto ya canada. Great job brother.

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu25095 жыл бұрын

    GAME Over 🎼🎼🎼 🔥, wewe na kaka yangu Bella mtatuuwaaaa 😀😀😀😀❤️

  • @jetrudayohana5090
    @jetrudayohana50905 жыл бұрын

    Nampendaa misaa toka zamanii na sitamchukiaa mdadaa mzuri hayumbi waoooo bella nice kwa msapoti mtoto mzuri

Келесі