Christian bella feat Hamisa mobetto - BOSS (Official Video)
Музыка
Christian Bella featuring Hamisa Mobetto's latest video BOSS.
More from Christian Bella:
Nishike: goo.gl/hS3e2Q
Nashindwa: goo.gl/7LozYo
Amerudi: goo.gl/WFO4Re
Ollah: goo.gl/8pKic4
Follow Me:
Facebook: / bella.chriss
Twitter: / christianbbella
Instagram: / bellachristian1
#BOSS #ChristianBella #HamisaMobetto
Пікірлер: 3 300
Boss Bella na mremboTanzania nzima miss Mobetto 🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️
Namkuba sn hamisa ❤❤❤🙌🙌🙌hii sauti naweza kwenda kopea diriham kwa kwa Shekhe Zayd Dubai shukurani hamisa👍👍👍👍👍🙌❤❤❤
Like yako kama you're listening to this pist in 2024
Wangapi mnaangalia hii Ngoma zaidi ya Mara tatu kwa siku kama mimi noma sanaaa 👏👏👏
@BrianKiprop-el6bg
Жыл бұрын
niko hapaaa
@wasaoswaq
9 ай бұрын
❤
Wooooollliiiiiyeeeee team misa hoyeeeeee ngoma kaliiiiiii wow, najukuta mwenyewe
Kama na ww umeirudia ngoma hii kali mara mbili mbili twende sawa hapa
@nyishudodo7810
5 жыл бұрын
mala kumi 😂😂😂
Hii nyimbo nimetafta jina lake mpaka kwa gharama, kwakweli ni Kali
Nimekua nikitafuta huu wimbo mda mrefu sana sikujua umeimbwa na nani hongera kwenu bella na mobeto
Wooo wimbo mzuri hadi unakera 😋😋😋😋😋 Wale mliosema hamisa hawezi imba hiyo ni nyanyenu kaimba🙄 Manyoko nyie🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@patrickjohn9495
5 жыл бұрын
Wamebaki midomo wazi na nyimbo tamu inawaingia taratibu
@consolatamaarufu58
5 жыл бұрын
Rose Irungo 😁😀😁😁😁😀😄😀🔥🔥🔥🔥🔥
Uwiiii hamisa hii ngoma umeitendea haki 🔥🔥🔥🔥🔥👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻
Huwaa sisikilizagi miziki ya nyumbani lakini huu kidogo navunja shughuli alau kavaa skerti nyeusi safii hamisa Mobetto
team misaa tupo yaan waliokuona hufai watakusalimia tu sio kwa saut hyo Kali na kijana Bella
Wanakusema sanaaa mobbeto ila ww nimpiganaji sanaaa inshaallah utafika upatakapo
wow! misa jiachie mama naona ss umeiva yani ngoma umeitendea haki yani utabaki kileleni 🔥
Team hamisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nlikuwa simpendi lakini vnye yy hupambana na hali zake nampenda hamisaaa goooooooooo from 254
Hapo kwa kikongo Hamisa umenikumbusha Yondo Sisters 🔥
@reyca_v.i.p
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Uongo dhambi jaman. Hamisa kanogesha huu wimbo🔥🔥
Mi hukujuii hamisa t kwa nyimbo nan Ana kubali gonna like t twende sawa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Niko hapa kwaajili ya King of the best melody
Hamisa baby kasauti tu. much love from Dubai. Nipeni likes basi kaa unamkubali Hamisa
@ruthmaina7810
5 жыл бұрын
Soo sweet voice 💋❤❤❤❤
@ruthmaina7810
5 жыл бұрын
Hamisa nakupenda sana ❤sauti tu💋
@maurynenazzi1430
5 жыл бұрын
Thanks dear plz mk people view it❤👏
@priscaalphonsine2753
5 жыл бұрын
lauryn kirimi ❣️❣️
Hamisa atabaki kua juu kileleni. chiiiiii💣💥💥💥
Sichoki kusikiliza hamisa unaweza sana moyo umeshaloa nyg nyg hatari sana
Ninacho jua hamisa umefanya kushirikishwa....kwaio dada jitahidi sanaa
Jamani bella kashindikana na huyu mwanamke ndo hatari kabisa yaani ni 🔥 mno
@rehemashelukindo3799
5 жыл бұрын
Bella umefanya nmeanza kumpenda misaa kwenye kuimba dah big up to nyie
Tatzo ni nyota au kutokuwa mzawa...like mingi kwa Bella 🙌🙌💥
@salvatory2987
5 жыл бұрын
Kumbe hujui, Bella is a king of vocals 👑 in Tanzania, every Tanzanian knows and accept it. Tunamkubari sana.
Mwenyezi mungu awaongoze kila hatua ya kazi yenu munayoifanya".kesheni mkimwomba naye atawainua.
Uki lyk piya comnt asante kka bella na mrembo,sauti yako tofauti kabisa una kipaji ongeza bidii
@khadijakhadija6212
5 жыл бұрын
Gd
Tatizo simba kaashia inama video sasa iyi aita trending San sababu simba kaashia video kamuharibia hamissa na fasi wallah
@nyishudodo7810
5 жыл бұрын
yule kaka ana Roho mbaya hataki Hamissa na zari wafurahi hata siku zari alikuja Bongo arifika anachia vidéo yak ili watu wasifwatilie yake ila kila mtu ana nyota yake tutam saport tu
Wako wapi team @hamisamobetto, wekani like twende pamoja 👍👍
@rebeccaungwa1787
5 жыл бұрын
IRENE Nelson here
@benedictamaganga614
5 жыл бұрын
Tupooooo
@shiraann632
5 жыл бұрын
👌👌👌
@nihalimohamed1875
5 жыл бұрын
Tupo
@ratiffahdolle9931
5 жыл бұрын
Tupoooooooo
Mwarabu fighter Daaah kashaamua kama mbwai na iwe mbwai
Kama Mr and Mrs vile mmpendeza nyimbo tam kama asari aishoshi kuitazama yani IPO👌📌
Mtu akisema nyimbo mbaya huyo ni mchawi wa maisha, nice song mobeto God bless you, gonga like twende pamoja ❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥tisha bela $misaaaa napendaga unavyonipaga mapachocho
Nimependa kinyama sehemu yako mobeto ulivyoimba félicitation madame chérie nalinga'kayo mingi,......!
@gloriamkenda6807
3 жыл бұрын
Katisha mno💞💞💞👆
@elirehemalema6828
2 жыл бұрын
Yan
Mimi ni mu kongomani🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 ngoma ya bella,harmo na Diamond, namukubali hamisa kaniacha kieleweni na iyo ngoma
Haki nimerudia karbu mara kumi nimependa dada woow hapa sauti mashallah
Hamisa asiwepo mtu wa kukuvunja moyo wallah hii nyimbo umeitendea haki kbsaaaaa.... Mungu aendelee kukubariki na kukuinua viwango vya juu zaidi Amen🔥🔥🔥🔥🔥 Mliosema hamisa hajui kuimba tangulien sero tuwakute😂😂😂👌👌The real definition of madam Hero
@maimunaathman4664
5 жыл бұрын
True there's big improvement, keep it up lady misa
@faithjoseph9255
5 жыл бұрын
Yes dear
@kimsd2184
5 жыл бұрын
Hakuna linaloshindikana chini ya jua .....kama unataka kitu jipe muda kuna muda Hamissa atakuwa top na waliombeza watashangaa
@anitangingo9598
5 жыл бұрын
Yani hamisa anazidi kukomaa kimuziki siku hadi siku
Aiseee imenisuuza kamoyo mpaka karoho...Haswa Hamisa anapoimba kikongo...Yaaan Song Mmmmwaaah.....!!!
Leo ninamajonzi yakupoteza Rais mpendwa ila najifaliji na wimbo wa mobeto
Nmerudi kwa Hamisa sasa hii umeimba vzr sana umeua kwa sauti yako nlikua nasubiri next song unakujaje but umenimaliza kwa hii misa big up sana..
@Kanicynjuguna
5 жыл бұрын
🤣🤣 mimi kwa misa sitoki
Hongera Sana Hamisa hujamuangusha Christian bella,wimbo unapunguza stress❤❤❤❤
Jamani n mm kutoka Kenya naomba like zenu wabongo
@Kulwasaidi
4 ай бұрын
❤
Bonge la ngoma... Wako wapi wanaosema missa hajui kuimba? 😥
Tutaambia nini watu.... Keep it up wapenz nyimbo nzuri
Team misa like sijapata jomon mzee wa masauti hapo ndio ninapo mpendeaga Christian Bella🎶🎶💞😍😍😍😍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹💕💕:🔝🎼🎼🎵🎵🎵🎵🎧🎧🎧🎙🔥🔥🔥
@rayanalhabsi8029
5 жыл бұрын
ngoma kali sanaaaa
@ummunaaleicester4337
5 жыл бұрын
@@rayanalhabsi8029 tupo
@issadady1351
5 жыл бұрын
Angely -kitawa 👌👌👌
@maurynenazzi1430
5 жыл бұрын
Thanks dear plz mk people view it on their phones❤
@mtamomtamo544
5 жыл бұрын
Angely -kitawa
huu wimbo haunichosh..asant bella $mabeto..nawapenda
Aseee wew mtoto unajua shemej yanguu napenda ulivo bebwa um bebeka na unajieshimu cja on ukionesha mambo ya chumban
Huyu ndo Misaaaaaaaaaa go go bae I love you 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Here for #Hamisa
@willison1066
5 жыл бұрын
Big Zhumbe uko juu
Guys mm nilitaman hamisa aimbe tangu mwanzo had mwisho daah mtoto mzur ana saut mashalaah
Namwelewa sana hamisa mobeto,,,keep it up toto la kitanga
Mambo ni motoo jaman na mm naombeni like khaa kila cku nawapa nyie tuu
@chubeally5293
5 жыл бұрын
Mashallah
@annatariq5378
5 жыл бұрын
Husna Uthman hamisa amejitahid sana mara hii ameitoa sauti kwakwel
@husnauthman7609
5 жыл бұрын
@Kids 💕CHANNEL Hahaha rahaaa kuona coment yako ina like😂
@emmanuelkakuru1977
5 жыл бұрын
Ngoma nzur
@richardmkandara3433
5 жыл бұрын
King of best merrod of Tz Christian Bella
Hamisa Safi Sana simamia saui hiyo hiyo wakati wa kimba nyimbo zako
Christian and Hamisa Mbeto Congratulated to your beautiful song i like verry muche ! Yani ki Ukweli Muziki wenu huu Umeniosha moyo Mungu Awajalie Muendelee kutupa Vitu Vipya
Jamani mpaka mtoto wa 1.9 yr kaganda hataki nyimbo ingine
Nice hamisa nyota inazidi kuwaka
Mnajua kuimba sana nimeipenda sana nasikiliza kutwa nzima napendaga unavyonipa mapochopocho
Misaaaa go my girl sichoki kuangalia kasauti kamwili ni fire
Ngoma ya watu wa kujielewa # kenya twa kupenda bure hamisa
Relistening hiyo part hamisa anaimba kilingala......wooow this lady is multi blessed
@enidajeremiah4102
5 жыл бұрын
Nyimbo Kali bro !!Ila kama kavaa sketi waliona tuungan
@husnahongeramwinjuma1436
5 жыл бұрын
good
@mercyromanus5033
5 жыл бұрын
@@enidajeremiah4102 ni kawaida kwa Congo na ni vaz la heshma uko so nahc kavaa hvo cs wmbo wametumia kicongo pia
Huu wimbo unanifaliji nikiwa na muomboreza Aliekua Raisi wangu John Pombe Josefu Magufuli kwaheli baba
Hamisa humu umeuaaaa mamaaa.. Ahsante Bella kwa kumfanya Hamisa kuwa mpyaaa, nimeirudia hi video kwa Mara kadhaa
2:30 chéri nalingaka yo mingi ee yozali mobali ya vie na ngai atabalobi se pamba , nga nakolinga kaka yoo ...je t'aime , je t'aimerai pour la vie motema na ngai. Swahili version [ mpenzi nakupendaga sana wewe ndiye mwanaume wa maisha yangu hata wakisema ni bure mie nita kupenda wewe...nakupenda nitakupenda kwa maisha moyo(roho) yangu]
@gabrielshewio6599
5 жыл бұрын
Very nice verse I appreciate
@lubungatv3609
5 жыл бұрын
Tokoos
@charleseshiembwe922
5 жыл бұрын
@@gabrielshewio6599 thanks bro
@charleseshiembwe922
5 жыл бұрын
@@lubungatv3609 merci
Ngoma Kali mno nmeipenda hongera misawangu na Bella kazi nzur Sana wapi time hamisa
HIVI tuanashindwa kumalizia hapo juu kidodgo tu au ndiyo mnatuita wanaume wa dar hatufikishi kileleni maana bado kidogo tuu tumfikishe hamisa kileleni hapo 1m
Hupaswii kukaa kinyonge Ukiwa Na mm asante Bella #boss# Missa unajua mpaka unakwaza wengi walaiii.....huu wimbo Ukiwa Na uskiliza uku unaandika unaeza andika wimbo mzima...goo go missa Hutak vijana wa mujiniii
Jamani amisa wangu mimi & bella💪💪💪💪💪💪🎓🎓😍😍😍😍😍
@maurynenazzi1430
5 жыл бұрын
Thank plz mk frds view it❤
Woow nimefurahi haki dada umeashida wasanii wengi sana but kwa kuwa roho mbaya ziko ndaniyao hawawezi kusifia umetisha dada tena sana endelea kupambana usisikize ya watu 😙😙😙
Jamani kunawatu wameumbuka hapaaa. Wako wapi walosema hamisa mziki haumfai? Sasa kaalikwa ikulu kumuimbia rais. Wale wapiga majungu wamealikwa magereza kweli mungu humpa mtu kinacho mstahili
@jumachingomanje6439
5 жыл бұрын
Well said
Mshike tena mkono Hamisa apate uzoefu na mfanye nyimbo nyingine Bella
Vionjo vya hamisa vinatumaliza🔥🔥👍
Eh! Eh!Eeeh!!Bonge moja la pini like yako hapa kama umeikubali hii ngoma kutoka kwa King of the best mellodie CB
@nicoleli8098
5 жыл бұрын
Mtetezi Mellody gud
@laikatwaha8934
5 жыл бұрын
Mtetezi Mellody yap
Christian bella mtu mbaya sana hujawawi haribu kila ngoma ni🔥🔥🔥
Nic. Song. Hongera sna. Christian bella na Hamisa.
Waliowaza kurudia mara ya pili kabla nyimbo haijaisha ....twende sawa
@bettymasitsa4425
5 жыл бұрын
Mimi
@moonpatienceongara5607
5 жыл бұрын
Naangakia mara ya 4
@najmommy8768
5 жыл бұрын
Kama umeniona vile haha
@venesterkemuntos536
5 жыл бұрын
Aki nimerudiaaaaaa mara Mia moja
@venesterkemuntos536
5 жыл бұрын
Narewandi Tu usiku muzima
Cristian na hamisa much love from Kenya 🇰🇪❤❤
Hamisa kajitahidi sana hapa..Christian Bella ahsante kwa kumuamini dada mzuri kama huyu
Daadek Bella umeua ,mtabaki juuu na mobeto
Mwana mboka Nice song RDCongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Lov yu missah ....unazd kunifanya nijivunie kukulov ....kaz nzuriiiii xn bbygal ....
@husnauthman7609
5 жыл бұрын
Sanaaaa
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haka ka wimbo katamu jmn.👌👌👌
sasa hapa hamisa uko vizuri ponge,zi kwako ndio vt twataka sio sikendo mbovu
King wa ma melodies Likes za Bella tafadhali! 🔥🔥
@lukindoomary8616
5 жыл бұрын
Vijana Power TV huyu jama anajua
@janethjoseph5293
5 жыл бұрын
hatamm nnam kumbali
@lennyfence183
4 жыл бұрын
Kali keeping big up
Mobotto kama Mbilia belle wa Drc. Kwa Sauti hiyo ni hatari sana. Bella big up sana bro
Nimependa ulivyo Anza Bella na kuitikia mbetto. We mdau Kama Mimi Kama umeufurahia njoo nikuonee
@wizdallas6282
5 жыл бұрын
Km me
@rahmaathman721
5 жыл бұрын
Harmoni Official yaan song 🎵 ni taaam jaman Bella and missa ni. Fire😍😍
@harmoniofficialtz6065
5 жыл бұрын
Yes nakubali
@bellaalis1272
5 жыл бұрын
Na penda sana iyi kwa lingala na france ongera sana hamisa
@bellaalis1272
5 жыл бұрын
Hamisa edela ivo
Super Hamisa Mobetto ayembi lingala kitoko makasi... Nina furah kubua sana🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿
Agaaaaa Hamisa umetisha. Hilo jamaa halihitaji comment balaa lake linaeleweka. slt
I’m the first one ☝️ in USA 🇺🇸 Phoenix Arizona
@salehkashindibinmsambya1719
5 жыл бұрын
hahahahaha
hapa nimemkubaliiiii mtoto wakike, sautiiiii nimeipenda hadiii ubooo una simama daaaah
@yuniabeli8492
5 жыл бұрын
Duh
@denniskalisti2570
5 жыл бұрын
Hahahahahaha
@mmn7480
4 жыл бұрын
Kuma ww
BELLA SHIKAMOOO!!!! MUNGU AKUBARIKI KWA KUWASAPOTI RAIA WETU CHA MSINGI USIBAGUE WAKUWA KAMPANI BROTHER BEBA WOTE TU KWANI SH NGAPI?????? DADA HAMISA BIG UP !!! UMEBEBWA UKABEBEKA.
@amlialoyce619
3 жыл бұрын
Nakubali xaxana hamisa namini ipo xiku mungu atakuinuwa juu zaid ya apo I love you so March
Wote mmebadilika... Mziki mzuri Sana. Big up kwa producer
Kweli mbuzi iko tayarii hii nyimbo tamu sanaa yani natazama kila time❤❤
Kweli hamisa mobetto unafaa kuimba na christan bella nimekukubali Sana💟
Kila mtu anaweza kuimba ila sio kila mtu anajua kuimba... Kama unajua unajua tu what I mean..
Yani me naurudia kila mda hamisa oyeeeeeeeeeeeeeeee nyota mama inazidi kung'aa watakunywa pain killer
DAHAMISA CHAUTUTUNDU UPO nakuonatu wazidikuwabuluza mtandaon WAOOO WIMBO MZULI DAHAMISA HONGERA🔥🔥✔
Nakupenda xan hamisa Umeimba vizr pamj na bella
Bella anajua Dada mobeto unajua cn nakuombea kwa mungu ufikie malengo yk penda xn ww
Tajiri mubishiii, Obama, king of the best melodies, watoto ya canada. Great job brother.
GAME Over 🎼🎼🎼 🔥, wewe na kaka yangu Bella mtatuuwaaaa 😀😀😀😀❤️
Nampendaa misaa toka zamanii na sitamchukiaa mdadaa mzuri hayumbi waoooo bella nice kwa msapoti mtoto mzuri