CHOZI LA HAKI BY AMBWENE MWASONGWE

#AmbweneMwasongwe #ChoziLaHaki #NgommaTz
#callambwene255767619931
©2019 Administered by Ngomma VAS Limited.

Пікірлер: 396

  • @loycejames
    @loycejames5 ай бұрын

    Nangalia bado 2024😥🙌🙏

  • @johnkeiro4591

    @johnkeiro4591

    20 күн бұрын

    So am not alone watching still

  • @bonifacemwakyomawaleo2532
    @bonifacemwakyomawaleo25323 жыл бұрын

    Barikkiwa Sana rafiki kazi yako njema sana

  • @luganojordanmwaipaja
    @luganojordanmwaipaja4 жыл бұрын

    Ambwene Mwasongwe. Kwa nyimbo zao umewakaribisha wengi kwa Mungu. Unavyovaa, unavyo nyoa nywele inafanya wengine wasiwe na mashaka na wewe. Kuna watu anaweza akawa ameimba wimbo mzuri lakini amevaa vibaya sana. Hapo kwa mtu anayetaka kumkaribia Mungu kwelikweli anakosa amani ya kuusikiliza labda watakaovumilia ni wale wanaosema Mungu huangalia moyo wala siyo mavazi au unyoaji. Wasijue kimtokacho mtu ndicho kiujazacho moyo wa mtu. Jitahidi kuendelea kusimama na Mungu katikati ya ulimwengu wenye ukengeufu ili uwavute wengi kwa Mungu

  • @lilianbenedict8688

    @lilianbenedict8688

    4 жыл бұрын

    Mungu akubariki kwakwel na kukutia nguvu katika kazi zako amina

  • @tuosimwamengo8670

    @tuosimwamengo8670

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @renatuskweyamba6460

    @renatuskweyamba6460

    3 жыл бұрын

    Ushauri mzuri sanaaaaaa... Natamani ningekujua ndugu nikakununlia japo maji ya kunywa ... Lakin Mungu akubarik

  • @gloryjane4147

    @gloryjane4147

    3 жыл бұрын

    Amen 👏

  • @imelidastevesteve5127

    @imelidastevesteve5127

    3 жыл бұрын

    Ubarikiwe San mtumishi

  • @user-jo1vj4ym8e
    @user-jo1vj4ym8e11 күн бұрын

    Hongera sana Abwene Kwa huu wimbo mzuri umenigusa mm

  • @MirriamWafula-xf9pf
    @MirriamWafula-xf9pf11 күн бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU.unapotubari na nyimbo nzuri nazipenda sana❤❤

  • @IsharaBacigale
    @IsharaBacigaleАй бұрын

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu akutiye nguvu asante kwaku tu bariki kwa nyimbonzuri

  • @amanimanase1591
    @amanimanase15913 жыл бұрын

    Ee Mungu mguse mke Wang Sofia kupitia huu wimbo alinisaliti mchana kati hanitaki tena niliumia sana nlimuomba msamaha lkn wapi

  • @mamatuliza2011
    @mamatuliza20112 жыл бұрын

    Pongez sanaa mtumish mungu aendelee kuibark kaz ya mikono yako nyimbo zako zanibark sanaa

  • @marryedward8985
    @marryedward89854 жыл бұрын

    Tulio angaria hii nyimbo zaid ya mara moja tujuane barikiwa sana mtumishi wa mung.

  • @suzymaleo6630

    @suzymaleo6630

    2 жыл бұрын

    I really appreciate this song✨. Ata Mara kumi sichoki jamn

  • @vincentmassawe461

    @vincentmassawe461

    Жыл бұрын

    Vincent Massawe kibamba

  • @mrmhenipm

    @mrmhenipm

    Жыл бұрын

    Kwa afya ya mwili na ya Roho huwezi kuchoka kuangalia wimbo huu

  • @ZaiElias

    @ZaiElias

    10 ай бұрын

    Amina

  • @johnkeiro4591

    @johnkeiro4591

    17 күн бұрын

    Amen

  • @olivaerasto6669
    @olivaerasto6669 Жыл бұрын

    Mungu akutunze.kila nipozisikia nyimbo zako.mara nyingi najikuta naomba Kwa kunena Kwa ruga.ni nyimbo zenye upako usio wa kawaida.na ujumbe mzito.

  • @erastofifi3212
    @erastofifi32123 жыл бұрын

    Ubalikiwe sana ambwene nyimbozako zinaujumbe

  • @kabaila76
    @kabaila76 Жыл бұрын

    Mungu niumbie moyo wa toba na kusamehe wanaonikosea,

  • @gidammatagi2723
    @gidammatagi27232 жыл бұрын

    Wewe ni mtumishi bora sanaaaa ubarikiwe kwa huduma yako bro @mwasongwe

  • @victoriamefya6287
    @victoriamefya6287 Жыл бұрын

    Barikiwa Kila siku lazima nisikilize huu wimbo kama si asubuhi basi mchana barikiwa

  • @augustintumaini9299
    @augustintumaini92995 күн бұрын

    Barikiwa mutumishi wa Mungu

  • @dissankone3425
    @dissankone34254 жыл бұрын

    MTUMISHI AMBWENE, WEWE NI CHOMBO HATARI SANA CHA BWANA UZIDI KULINDWA NA NGUVU ZA MUNGU KWA JINA LA YESU

  • @zawadchukusi7056

    @zawadchukusi7056

    4 жыл бұрын

    Daaaaa mkuuu nyimboo zako zinanikunaga sanaaaa hakika mungu akuongezeee maarifa zaidi

  • @PhilipoKipapa
    @PhilipoKipapa3 ай бұрын

    Napenda sana nyimbo zako na barilikiwa sana

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 Жыл бұрын

    Hiii nyimbo kwangu ni kila siku nilidownload lakini lazima nije huku kusikiliza, Asante ndugu Ambwene 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @julianamhesy983
    @julianamhesy9834 ай бұрын

    Amina sana ubalikiwe kweli tutende mema hata usiye mjua

  • @frankkyando8778
    @frankkyando87782 жыл бұрын

    Mungu akulinde na kukupanua zaidi kwa mafundisho mazuri kupitia nyimbo pia napenda kujua ratiba zako za makongamano ambayo hua unaalikwa kupafom kiukweli upo Vizuri Mcfrank.mtumishi top in the world

  • @imanikabuje3380
    @imanikabuje33804 жыл бұрын

    Ambwene nimekupenda ghafla hakika Mungu Akupe maisha Marefu tuzidi kuvuna matunda yako Mungu aliyo kukirimia Hongera Mtumishi.

  • @jescagasper

    @jescagasper

    11 ай бұрын

    Ambwene na mrisho aka mjomba ni ndugu Coz naona wote mnabusala sana

  • @erikimares2980
    @erikimares29802 жыл бұрын

    Tukukimbuka sodoma kuchomwa moto na Mungu ni thulma kuto kutii nandokilip kwa sasa Mungu atupe mwisho mwema Mungu turehem

  • @erikimares2980

    @erikimares2980

    2 жыл бұрын

    Tusamehe

  • @stevenmoses2904
    @stevenmoses29042 жыл бұрын

    Good song from Ambwene Mwasongwe. Barikiwa sana mtumishi wa mungu.

  • @rehemafungo3705
    @rehemafungo370523 күн бұрын

    Mungu anamtumia vyema mtumishi wake

  • @lovenessmasai2204
    @lovenessmasai22043 жыл бұрын

    Amen,napenda sana nyimbo zako Ambwene Muda mwingine mpaka natamani ziweke zote kwa pamoja. Mungu akuhifadhi sana na akupe enzi kwenye utumishi wako,asikupungukie wala asikuache daima.

  • @aliciaprosper5364

    @aliciaprosper5364

    3 жыл бұрын

    Mungu akuzidishie afya njema mtumishi wake

  • @tegemeamubeta7360
    @tegemeamubeta73602 жыл бұрын

    I love dis song inanibariki

  • @merquinengusa7030
    @merquinengusa70303 жыл бұрын

    Jamani abwene unanigusa sana umenibadilisha aise mananyimbozako zinamafundisho

  • @fredyfalsafa6862
    @fredyfalsafa68623 жыл бұрын

    Naangalia bado 2021.. Hakika 😭😭😭😭

  • @jenipherruben7330

    @jenipherruben7330

    3 жыл бұрын

    Nyimbo nzur sana

  • @cardoalbert1366
    @cardoalbert1366 Жыл бұрын

    Ole wako nchi isiyo na hakii 😰😰😰😰

  • @auntalvin5884
    @auntalvin58843 жыл бұрын

    🙏🙏🙏 Hakika Mungu Azidi kukutunza Broo unanibariki sanaa

  • @patriciawanjiru3154
    @patriciawanjiru31543 жыл бұрын

    This is was a prophecy to come 2020..wingu jeusi LA laana nililifika uliwenguni kote wingu lenyewe ni corona...it was a prophecy... Nilipo sikiza wimbo huu nililia sana nika muliza Bwana itakua aje Yesu siri hii ni gani but hapa kua na jibu..

  • @zainamathias6761
    @zainamathias67612 жыл бұрын

    Hakika Mungu wangu simama na familia Yang katika kipnd hiki kigum

  • @thandekacebekulu9189
    @thandekacebekulu91893 жыл бұрын

    Still love this song in 2021! 🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @eliamanigolitagolitamsengi9348
    @eliamanigolitagolitamsengi93484 жыл бұрын

    Naona huu wimbo ni wakati wake. Nchi isiyo na haki, watu wasio na haki nk....

  • @kegoyevenance5478
    @kegoyevenance5478 Жыл бұрын

    Inanikonga moyo sana nyimbo hii

  • @mercychebet7385
    @mercychebet73852 жыл бұрын

    When I watch these song it just heats my heart and I feel the presence of almighty God Glory be to you everlasting God ,,the song carries creat message

  • @esthernyaboke7479
    @esthernyaboke74799 ай бұрын

    Nikiskiza huu wimbo nakumbuka maovu,mateso na uchungu niliofanyiwa na familia fulani na (Nyagaka family)niliwaachia Mungu kwa sababu amesema :vengeance is mine says the Lord and I shall surely repay.

  • @juliusndule6096
    @juliusndule60963 жыл бұрын

    Binafsi sitaokoka kwaajili ya mahubili ila kwaajili yako ambwene

  • @user-jc1om2mz2o
    @user-jc1om2mz2o3 ай бұрын

    Kweli nabarikiwa sana, napia najifunza kitu

  • @user-fw9jz6jk3w
    @user-fw9jz6jk3w8 ай бұрын

    Nikisikiaga hii na nguvu ya kujua huwa natoa mbaka machozi mfano nyimbo ya chozi la haki hasa hasa pale anapoimba" ole wako nchi isiyo na haki huwa pananigusa sana ubarikiwe sana mwasongwe

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja77925 ай бұрын

    Tutende mema Yesu Yuaja upesi

  • @tonaelsie4470
    @tonaelsie4470 Жыл бұрын

    Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu.

  • @user-ch4me5bn4j
    @user-ch4me5bn4j8 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤ barikiwa mtumishi wa mungu

  • @amanimanase1591
    @amanimanase15913 жыл бұрын

    Olewako uoneaye aisee hii vase inaumiza sana

  • @user-ev4il5yp8u
    @user-ev4il5yp8u8 ай бұрын

    Chozi la haki my night 2023 song be bless ambwene

  • @gloryjane4147
    @gloryjane41473 жыл бұрын

    Barikiwa Mtumishi wa MUNGU akufanyie wepesi katika Magumu unapopitia Nguvu ya Adui isiwe na Nafasi juu yako na ww usikilizae huu wimbo ukafanyike Baraka ya kukuvusha katika Jaribu ulilonalo ila ole wako walionakilio juu yako. Tujifunze kwa watu wenye kiburi mwisho wao walifika wap Hakika Mungu ni mkuu

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni75164 жыл бұрын

    Huyo binti wa mwisho anacheza vizuri mwenye sketi pana. Laki nawapongeza wote

  • @estermshanga5371

    @estermshanga5371

    3 жыл бұрын

    Amen huu wimbo Kuna umenivusha barikiwa bro

  • @suzymaleo6630
    @suzymaleo66302 жыл бұрын

    Amen MUNGU akubariki Sana Kaka yangu,,ujumbe mzuri mno🙏🙏

  • @kimsblessedprince6228
    @kimsblessedprince62282 жыл бұрын

    Your song's Man of GOD keep going am blessed alot ....

  • @atuganile08
    @atuganile084 жыл бұрын

    Huu wimbo unanifanya nitende haki kwa kadri Mungu atavyonifunulia Naogopa sana kuambiwa umenidhulumu Hasa kwa wanaofanya kazi kwangu

  • @lilianmbalozi5664

    @lilianmbalozi5664

    4 жыл бұрын

    Amen habakuku 2:1-5

  • @fredymallya6090

    @fredymallya6090

    4 жыл бұрын

    Ambwene nyimbo zako zinanifanya njifunze mungu Kila cku mungu akubariki sana

  • @mackbarnaba9000

    @mackbarnaba9000

    3 жыл бұрын

    Amen 💕

  • @esterkavuta5945

    @esterkavuta5945

    3 жыл бұрын

    @@lilianmbalozi5664 ó

  • @japhetally1976

    @japhetally1976

    3 жыл бұрын

    Ambwene pesa inamwisho tunapenda kudanlodi ilaumefunga fungua kilakitu kitafunguliwa kwako asante

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын

    Ukiikataa OLE, WAKO !! neema ya mungu inatenda mema ndani yako. Mungu anakupa kibali cha kuwa chombo chake. Nuru haizimiki naye ndiye nuru. Inaondoa giza wema unashamiri. 👍 🙏

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын

    Haki husimamisha taifa. Taifa likawa taifa teule na kimbilio la watu kwani watu wote ni sawa mbele za macho ya mungu ambaye ametuumba kwa mfano wake. Tutafute amani katika yote tutendayo ili tuuone wokovu wa mungu. 🙏

  • @user-zg2yx7mf3n
    @user-zg2yx7mf3n5 күн бұрын

    Nice song 4reva

  • @elijahkiama1070
    @elijahkiama10703 жыл бұрын

    Neema ya Mungu izidi kuwa nawe

  • @presseg.6362
    @presseg.63623 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana na nyimbo zako kaka

  • @elishamfinanga9483
    @elishamfinanga94834 жыл бұрын

    Hii ni kati ya nyimbo zako zinazonigusa kijana usiyeringa nimekutana nawe zaidi ya mara mbili Mungu akubariki zaidi kuinua vipawa vilivyomo ndani yako 2020

  • @judithemmanuel9845
    @judithemmanuel98454 жыл бұрын

    Ole wako nchi isiyo na haki ole wako watu wanaodhulumu

  • @tuosimwamengo8670
    @tuosimwamengo86704 жыл бұрын

    Naipenda sana hii nyimbo. Patana haraka na mshitaki. Barikiwa sana mtumishi Ambwene Mwasongwe.

  • @jessygeofrey635
    @jessygeofrey6353 жыл бұрын

    This song hit me different 2020 after passing through a lot ...HAKI YANGU IPO KWA MUNGU,RIGHT? Thanks kaka Ambwene for preaching ubarikiwe!

  • @sarayusufu256
    @sarayusufu2564 жыл бұрын

    Wimbo mzuri kuna cha kujifunza hapa mungu tusaidie

  • @josephmbithi7499
    @josephmbithi74992 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mtumishi Wa mungu

  • @chiefchannelgmailcom
    @chiefchannelgmailcom Жыл бұрын

    Very nice indeed

  • @salomeshadrack8245
    @salomeshadrack8245 Жыл бұрын

    This song will never be forgotten in my life when my husband faced troubles at place of work. Be blessed servant of GOD

  • @AnnaChristian-xy6zz
    @AnnaChristian-xy6zz11 ай бұрын

    Unanibariki sana huu wimbo

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 Жыл бұрын

    This song is the biggest lesson in our life with a lot of blessings

  • @victormsigala4050
    @victormsigala40503 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wimbo huu unaniumiza Sana.

  • @yunislugosi3293
    @yunislugosi32932 жыл бұрын

    Barikiwa Sana ambwene

  • @alexkabale8772
    @alexkabale87723 жыл бұрын

    Wimbo mzuri unaujumbe mzuri,pia napenda dada huyu wambele ananifraisha anavyocheza step mungu awamariki

  • @nasramcharo7381
    @nasramcharo73812 жыл бұрын

    Listening from Dubai, I'm shedding tears 😢 O GOD forgive me, please I just need favour 🙏 and peace of mind 🙏

  • @jacksonmkali6958
    @jacksonmkali69584 жыл бұрын

    Barikiwa xana ambwene napenda xana nyimbo zako ofcoz zinanibariki sanaaaaaaaa. Mungu akutie nguvu uzid kusonga mbele.

  • @aanimalsex9442

    @aanimalsex9442

    4 жыл бұрын

    Jackson ahsant tunabarikiwa

  • @majaliwaiddi2341
    @majaliwaiddi234114 күн бұрын

    Amina sana

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma9054 жыл бұрын

    huu wimbo umenigusa sana kwa kweli. asante mtumishi wa Mungu

  • @muduisrael8464

    @muduisrael8464

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @sarahchiwamba6038
    @sarahchiwamba6038 Жыл бұрын

    Listernig to this song today 31st of August 2022,very Powerful! Thanks Ambwene.

  • @alphayomogunde7828
    @alphayomogunde78289 ай бұрын

    Mmie Alphayo omwega mogunde from kiango village Bombaba sub location Kisii county,i like this song very much.

  • @brightonfrancis4585
    @brightonfrancis45853 жыл бұрын

    Hakika huyu ni Kioo cha wasanii wa nyimbo za injili barikiwa sana hajawahi kuyumbishwa na mihemko ya dunia

  • @subirasaid753
    @subirasaid7534 жыл бұрын

    Hakika wewe ni mtumishi wa mungu nimeufatilia uimbaji wako muda mrefu mungu ameweka kitu ndani yako mtumikie kwa moyo wote usije kengeuka barikiwa sana ambwene

  • @debwadea668

    @debwadea668

    4 жыл бұрын

    Mungu akutunze mtumishi kwa huduma

  • @ellismwaikambo3729

    @ellismwaikambo3729

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @dignanyanana3295
    @dignanyanana32954 жыл бұрын

    I recently discovered you,but man oh man,your a blessing for me at this moment in my life. 💞from TRAVERSE CITY ,MICHIGAN 🙏

  • @alphoncealbart6016
    @alphoncealbart60162 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana na hizi nyimbo zako mtumishi dah mungu akubariki Sana

  • @LastoMwazembequailfarm
    @LastoMwazembequailfarm Жыл бұрын

    Nimeangalia huu Wimbo zaidi ya 50

  • @muponzurikiganjanikulu4398
    @muponzurikiganjanikulu43982 жыл бұрын

    Barikiwa sana nice song

  • @valeriachipeta774
    @valeriachipeta7744 жыл бұрын

    My favourite gospel singer. I lovehim so much

  • @neemasoka5110

    @neemasoka5110

    3 жыл бұрын

    Love song

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja77925 ай бұрын

    Ee Mungu Baba nisaidie nisije kung'ang'aniwa siku ile ya hukumu

  • @wizzydenoble_2254
    @wizzydenoble_22543 жыл бұрын

    so beautiful song full of teachings on repentance

  • @naomimwaisela3312
    @naomimwaisela33122 жыл бұрын

    😭😭😭😭mng nsamh mm mweny dhamb

  • @nancyfamilysharesmoments7634
    @nancyfamilysharesmoments76344 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi Mungu azidi kukuinua juu zaidi kwaviwango vingine

  • @ebenezaestate5045
    @ebenezaestate50454 жыл бұрын

    We jamaa yangu una kipaji napwndaga in navokujaga hapa kinondoni Revival church

  • @musakalago6038
    @musakalago60382 жыл бұрын

    thanks and god bless your art 👋👋👋👋

  • @penuelfullsalvationchurch3350
    @penuelfullsalvationchurch33503 жыл бұрын

    Balkiwa xna mtumish

  • @mosestete9408
    @mosestete9408 Жыл бұрын

    Revelation of our times. Man of God you hit on the head of the nail. Our current political, social and cultural discrimination.

  • @festojuma1230
    @festojuma12304 жыл бұрын

    wimbo huh umenigusa sana nakushukulu mungu kwakumpa kipaji

  • @moshanaaman5588
    @moshanaaman55883 жыл бұрын

    AMINA SAFI SANA

  • @asteriarngweshemi3783
    @asteriarngweshemi37834 жыл бұрын

    Ndani yako kuna hazina ya BWANA Utunzwe na JEHOVAH Ambwene

  • @verynicemasaka9222
    @verynicemasaka92224 жыл бұрын

    Hakika Mungu ni Mkuu sana Ubarikiwe kwa huduma nzuri ya Injili

  • @antonychalamila5051
    @antonychalamila50514 жыл бұрын

    Daa!!!!! Hapo kwenye nalimwona kijana jeuri

  • @antonychalamila5051

    @antonychalamila5051

    4 жыл бұрын

    😢😢😢

  • @levichepkania501
    @levichepkania5014 жыл бұрын

    Am blessed by this song my brother. GOD increase you. Hallelujah

  • @jipesanga4495
    @jipesanga4495 Жыл бұрын

    Nyimbo naangalia kila siku Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu

  • @jeathjp.mwendapeke8207
    @jeathjp.mwendapeke82073 жыл бұрын

    This is so touching .....I just can't say how drawn i become while listening To it....very blessing....:)

  • @renatuskweyamba6460

    @renatuskweyamba6460

    3 жыл бұрын

    Hallelujah

  • @AnnaAnna-yz3dl
    @AnnaAnna-yz3dl4 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi huwanabarikiwa nanyimmbo zako sanaa

  • @exaverymakoyebatromeo3257
    @exaverymakoyebatromeo32573 жыл бұрын

    Chozi la haki nyimbo nzuri kabisa

  • @graciousharuna5272
    @graciousharuna52723 жыл бұрын

    Asante kwa wimbo mzr