CHID BENZ:HAKUNA MJI BILA MASHOGA/WANASOMESHA WATOTO

Ойын-сауық

Video inayofuata bofya hapa • CHID BENZ-DIAMOND ANAN...

Пікірлер: 411

  • @harunfamily3278
    @harunfamily32785 жыл бұрын

    umeongea point sana chid benz japo watu wanakuona kama umedata ila uko vizur sanaaa

  • @mophayajoseph5031

    @mophayajoseph5031

    5 жыл бұрын

    Harun Family point IP kwa mfano au na we auna malinda nn ndo maan unasapot ujing

  • @harunfamily3278

    @harunfamily3278

    5 жыл бұрын

    msikilize mwishon kaongea nin? watu wanasnich sana kwa wa2 ili kupata kipato, kuhus malinda kaboronga lakn mwishon kaongea point

  • @tadeimwaipaja1191

    @tadeimwaipaja1191

    5 жыл бұрын

    Point of king kow!

  • @Gmalen
    @Gmalen5 жыл бұрын

    Huyu fala kadumaa mwili ila akili za watu 6🔥🔥 One love Chidd

  • @MrMtulivu
    @MrMtulivu5 жыл бұрын

    Nimemuelewa sana huyu chidi benz kama umemuelewa piga LIKE yako hapo. Miminiko ulaya bu hua nawafatilia sana nyinyi wa MBONGO. Haki.

  • @stabagama608

    @stabagama608

    5 жыл бұрын

    Yuko vizuri

  • @lilakhhassan6896

    @lilakhhassan6896

    5 жыл бұрын

    Ume muelewa kwa kua ww shoga

  • @linusrohomoja8856

    @linusrohomoja8856

    5 жыл бұрын

    hatujakuuliza uko wap

  • @MrMtulivu

    @MrMtulivu

    5 жыл бұрын

    @@linusrohomoja8856 I say I leave in Europe because I help people to come in Europe for job that's why do you understand me so if you don't have anything to say stop your mouth stupid. If you want to know how I am take this my number and text me on WhatsApp+393892090638.

  • @MrMtulivu

    @MrMtulivu

    5 жыл бұрын

    @@lilakhhassan6896 listen me very well I am from Kenya but i live in Europe and I'm the one I help people to come in Europe for job I am not gay ok. this is my number and speak with me straight don't speak stupid things on internet like this you get my point? if you understand English reply if you don't understand English tell me to write in Swahili because I know Tanzania people doesn't speak English stupid. +393892090638

  • @philiposhilingi7288
    @philiposhilingi72885 жыл бұрын

    interview za kiutu uzima kama dalasani ulikuwa mbulula hauwezi kuelewa watu walio solve mathematics ndio wanao elewa hii enterview

  • @wilonjahatua2067
    @wilonjahatua20675 жыл бұрын

    Me nimekuelewa sana chid benz kama nawewe umemuelewa ungana namimi hapa

  • @festom5349

    @festom5349

    5 жыл бұрын

    3

  • @abuubakrachani1943
    @abuubakrachani19435 жыл бұрын

    all ina all uyo jamaa anaakili sana...sema maish ndivo yalivo ....hata mm ninaewez kumona chidi kama kapotea pia na mm nimepotea kwa upande mwengin,so inabakia pale pale hakuna mkamilifu. .....tujihd katika maish sio vizur kukithir hata kwenye kufanya jambo......hta liwe la ibada

  • @kimjey0012
    @kimjey00125 жыл бұрын

    Chidi nakukubali sana unaongea point 100% kuhusu juu ya maisha ya mwanadam. Upendo heshima na kusaidiana au kunyenyuana kwa namna moja au nyengine uko sawa kaka big up 👊M/mungu akutangulie na ww pia IPO siku utarudi kama zamani jukwani Chidi chidi chidi Benz. ✌

  • @hadija846

    @hadija846

    5 жыл бұрын

    ✌💕Love you Chid🙏

  • @abrahamlucas6792
    @abrahamlucas67925 жыл бұрын

    Leo nimemskiliza huyu chidi yuko very smart

  • @antonfaru3600
    @antonfaru36005 жыл бұрын

    Binafsi sijawhi ona mbali na maigizo MTU anaongea kama hvi ,honesty jamaa amejaliwa maneno ,Mimi sijawh ona,

  • @twahajsalim7913
    @twahajsalim79135 жыл бұрын

    chanya kwa asilimia nyingi, hasi kiduuuuuuuchu dah! chid u r genius man

  • @abdulrahmanhassan3825
    @abdulrahmanhassan38255 жыл бұрын

    Hahaha Ndio manaa hawamuwezi kwenye michano sio kwa kuongea hivyo ila nampenda sanaa 👑 kingkong

  • @zebdayleonard8599
    @zebdayleonard85995 жыл бұрын

    mbona kama mshkj yko saw mnaosema amedata msicoment!

  • @moseya0479
    @moseya04795 жыл бұрын

    Daaaah, chidi nakukubali sana maneno yako. Reasoning capacity yako iko juu tu sana

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume62805 жыл бұрын

    chid chid uko sasahihi sanaaa chidi umeongea pointi sanaaa chid ujakoseaa kabisaa

  • @mashadaudi8862
    @mashadaudi88625 жыл бұрын

    yaan umeongea pwent kaka 😘😘😘😘😘

  • @frankjohn0714
    @frankjohn07145 жыл бұрын

    Uyo jamaa Anaongea point san sem

  • @mashadaudi8862
    @mashadaudi88625 жыл бұрын

    chi chi chiiiiid Benz MTT wa ilala 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌washa moto uwake mungu akuwek miaka yote uludi kam zaman😢

  • @jaquubjummah7538

    @jaquubjummah7538

    5 жыл бұрын

    Waaah... Kila kitu chidi amesema kweli

  • @hadija846

    @hadija846

    5 жыл бұрын

    Amiin 🙏

  • @chingaboy5561
    @chingaboy55615 жыл бұрын

    Child aaaah kumbe unaona mbali Leo nimekusoma

  • @chatablacktz8962
    @chatablacktz89625 жыл бұрын

    Huuniukweli kabisa nasiokwamba anaongea uongo wabongo navisa hatujambo

  • @alexandermoses3854
    @alexandermoses38545 жыл бұрын

    Always benzi liko fiti kuliko vits na visuzuki carry...... Chidi uko vizur Sana

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta62585 жыл бұрын

    Daaah Ila mbona kama kuna point kaongea

  • @mackenziengolo7mabula132
    @mackenziengolo7mabula1325 жыл бұрын

    Ndugu mtazamaji naona anameza mate tu, kazi imekua nyepesi tu,kama upo field basi utapata chakwenda kumuadisia lecturer

  • @nackplankton1669

    @nackplankton1669

    5 жыл бұрын

    mackenzie richard hahahahahaaaa kabisaaa

  • @frankgaspar690
    @frankgaspar6905 жыл бұрын

    mliomsoma chid beenzino gonga like

  • @wemakalam3233
    @wemakalam32335 жыл бұрын

    Hongera chidi benz nimeipenda bure waambie na kimeleweka hahaha kazi ipo.

  • @beatricekamengekamenge5543
    @beatricekamengekamenge55435 жыл бұрын

    Point sanaa chid benz

  • @jonacmwalonde3016
    @jonacmwalonde30165 жыл бұрын

    sana my bro chid benz

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi36555 жыл бұрын

    Ni Mtu mwenye utimamu wa akil tu,ndiyo atamuelewa Chid Benz,Chid Benz kaongea point za msingi

  • @ayoayoo1222
    @ayoayoo12225 жыл бұрын

    Aliekwenda kufata interview kapewa ushauri 😂😂😂

  • @naynavitalis262

    @naynavitalis262

    5 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @aishanamatovu9584

    @aishanamatovu9584

    5 жыл бұрын

    Hii comment dah

  • @regnardrajuh3079

    @regnardrajuh3079

    5 жыл бұрын

    Daaa Interviewer kapewa ushauri

  • @nsiyasingu9013

    @nsiyasingu9013

    5 жыл бұрын

    Ngumi Nzito 😂😂😂

  • @remyndaribike3964

    @remyndaribike3964

    5 жыл бұрын

    Umetisha aiseee apewa ushauri kabisa 😂

  • @dontown4707
    @dontown47075 жыл бұрын

    sema tu unataka show mzee baba unateseka sana

  • @halimaomari7589
    @halimaomari75895 жыл бұрын

    Well said, umeongea point..bravooo

  • @mtiwigalakhenga913
    @mtiwigalakhenga9135 жыл бұрын

    Chid uko vizuri sema Hatuna umoja watanzania tunapenda kuona Fulani kashuka tuanze kumtangaza kwa watu

  • @mashaurimashala6254
    @mashaurimashala62544 жыл бұрын

    Chid benzi akifanyiwa interview inabidi alipwe na media husika. Watu tunaangalia sana interview za Chid

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd48645 жыл бұрын

    Nimeipenda hii interview umegusa maeneo mengi saana wala haiitajiki uulizwe swali lolote maana kila kitu unamaliza na kila mtu analizika. Wewe kweli ni icon ya bongo flavour. Kweli umepona na uko njema kabisa....

  • @youngwizz3539
    @youngwizz35395 жыл бұрын

    Broo nimekuelewa kinoooma, unaongea vitu vyapointi ile mbaya Big up bro

  • @hasanishabani5304
    @hasanishabani53045 жыл бұрын

    daaahh ety hana jina alafu ni mmbeya nimecheka mpaka basi km umeipenda hiyo like twende sawa

  • @antonfaru3600
    @antonfaru36005 жыл бұрын

    The beautiful ones are not yet born "Ayi kwei Armah"

  • @mwashalisaidi1766
    @mwashalisaidi17664 жыл бұрын

    Chidi baba saluti kwako Wewe Ni wajuuuuuu daa nzima

  • @ismailmchia5509
    @ismailmchia55095 жыл бұрын

    nakukubali sana brother CHID

  • @moseya0479
    @moseya04795 жыл бұрын

    Au sio , Dudu baya asijisahau .....ajue ako na watoto

  • @samzedykaz6799
    @samzedykaz67995 жыл бұрын

    Kama umemwelewa chid gonga like hapa

  • @edrickniwamanya439
    @edrickniwamanya4395 жыл бұрын

    Noma sana

  • @lucasabunuas4662
    @lucasabunuas46625 жыл бұрын

    Uko sawa mzee baba

  • @ajuayejumaomari7577
    @ajuayejumaomari75775 жыл бұрын

    Genius sana

  • @kingandreemmanuel7908
    @kingandreemmanuel79085 жыл бұрын

    Nakuitaaa Mr : ..... Chidy... Maishaa safariiii....kaka.....unawezaaa endeleaaa kukaza Star.....wa juzi..janaa.na.hata kesho kutwaaa bro

  • @kingandreemmanuel7908

    @kingandreemmanuel7908

    5 жыл бұрын

    No one like you bro...

  • @michaelrambo6207
    @michaelrambo62075 жыл бұрын

    Hahahaha raha ya interview na chid yeye ndo anakua presenter

  • @tegamaishokatundu6201
    @tegamaishokatundu62015 жыл бұрын

    Binafsi kuna ushauri nimeuchukua wa muhimu sana katika maisha ya kila.Siku. asante

  • @zubedamrombo8792
    @zubedamrombo87925 жыл бұрын

    duuuh jomon kumbe chid upo vzr sn yaan unajielewa sanaa

  • @elbassam5352
    @elbassam53525 жыл бұрын

    Dah nakubali

  • @irenegudluck1214
    @irenegudluck12145 жыл бұрын

    Tunasnitchiana ili tupate hatushirikiani ili tupate ‘’ 💫🙌🏻

  • @sililonhandula1634
    @sililonhandula16345 жыл бұрын

    Nomaaa sanaaa mzeiyaaaa

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji57595 жыл бұрын

    Chid nimempenda bure anauelewa mkubwa sana ingawa watu wanamzalau

  • @zilumbishi5525
    @zilumbishi55255 жыл бұрын

    Nimekubali sana maneno yako chid

  • @aliceamanya6457
    @aliceamanya64575 жыл бұрын

    Well spoken

  • @allyliponda8657
    @allyliponda86575 жыл бұрын

    Tisha sana kingkong. Uko vzr bro na una maneno ya busara bro

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla905 жыл бұрын

    Dah !! chidi anamaneno mengi mdomoni mpaka analose point man...Sema real nigga kitu konkiii

  • @ibrahimuhamzab.7129
    @ibrahimuhamzab.71295 жыл бұрын

    Aaah Jamaaa kaongea Points nyingi saaaana

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane53035 жыл бұрын

    Afya yako naona inaendelea vzr mashallah naiman ume acha dawa ssa

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya83585 жыл бұрын

    Nataman upone uwishi kama Zamani daa wew mtu mwenye akili nyingi

  • @kitabwana9741

    @kitabwana9741

    5 жыл бұрын

    Kiukweli mtu asiye elewa chd hanauwelewa sema chid ana akili nyingi . Madawa tuyalani

  • @jolinejoelychiefsenge9399

    @jolinejoelychiefsenge9399

    5 жыл бұрын

    Yani me nampenda mpaka sijielewi namshukuru mungu saiv ana elekea kuacha kurudi kwenye Hali yake😘❤️

  • @abdullahrashid6297

    @abdullahrashid6297

    5 жыл бұрын

    Amina Yahya Amiin in shaa Allah Allah haleeq

  • @abdulrahmanibrahim6283

    @abdulrahmanibrahim6283

    5 жыл бұрын

    Amina ebu nichek plz nakuomba +97450580766 WhatsApp me please

  • @youngramajrtz2215

    @youngramajrtz2215

    5 жыл бұрын

    Amina Yahya amina ww umenisemea maneno yangu niliotaka niseme ❤❤💪💪

  • @thomasndayishimiye4471
    @thomasndayishimiye44715 жыл бұрын

    Chid benz upo sawa kabisa..

  • @obeidjoseph3610
    @obeidjoseph36104 жыл бұрын

    Salute chid benzino

  • @kassimidi7146
    @kassimidi71465 жыл бұрын

    Kama umemuona chidi ana nywele kwapani gonga like apo

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare5 жыл бұрын

    Unaongea point bro!!!!but seems apo kama ulikuwpo maeneo 😁 BIG UP BRO

  • @nimrodmareges3131
    @nimrodmareges31315 жыл бұрын

    Ipo cku Mungu atakusimamia Chid

  • @aminaolver365
    @aminaolver3655 жыл бұрын

    Jamani waandishi wahabari mnaroho 😂😂😂 nanikasikia hayo matusiii naomba tujuane kwakulike

  • @nelsonbarnabas6988
    @nelsonbarnabas69885 жыл бұрын

    Bravo Chid soo

  • @mpwanihalisi158
    @mpwanihalisi1585 жыл бұрын

    Duh!chidi kwenye interview hii,nimesikia album nzima!talent ipo,akipata mtu amuekee ngangari mbona yuko juu!

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu5 жыл бұрын

    jaman Chid anajua kama unajielewa utajua nini anasema

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane53035 жыл бұрын

    Nakupendaga sana

  • @sheilatezura535
    @sheilatezura5355 жыл бұрын

    Mh.jamani. mungu isaidie jamii yako

  • @raymondmboro7445
    @raymondmboro74455 жыл бұрын

    Pwent Benzi

  • @giftelia5535
    @giftelia55355 жыл бұрын

    Mhubiri child Benz

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 Жыл бұрын

    Super

  • @ommyathumani7264
    @ommyathumani72645 жыл бұрын

    Jamaa anaongea point sana harafu anapuumzi sana anaongea bila kituo yuko poa sana

  • @fiqhikika6716
    @fiqhikika67165 жыл бұрын

    Chidiii benziiiìi mzee wa essay😀

  • @sesiliam4473
    @sesiliam44735 жыл бұрын

    Kene kipengele cha ku-snitchiana 🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro14525 жыл бұрын

    Big up bro umeongea point

  • @ayubudanda2698
    @ayubudanda26984 жыл бұрын

    Fact tupu jamaaa anaongea juu Sana chid benzinon

  • @mwayogomsesero8825
    @mwayogomsesero88255 жыл бұрын

    Jamaa anaongea sana duuh avuti ata pumzi

  • @mrcalculator6588

    @mrcalculator6588

    5 жыл бұрын

    anafny freestyle aoengei wangemwambia achane tu

  • @mumithedon8971
    @mumithedon89715 жыл бұрын

    big up

  • @dissartv4806
    @dissartv48065 жыл бұрын

    point sna

  • @frankmahena4933
    @frankmahena49335 жыл бұрын

    chid ana akili sana Ila zina cheza cheza

  • @maryammakungu8800
    @maryammakungu88005 жыл бұрын

    pole chidi kila kitu kina mwisho wake

  • @josephmakonga3201
    @josephmakonga32015 жыл бұрын

    chid benzinooooo

  • @gregorylucas3771
    @gregorylucas37715 жыл бұрын

    Mbona ye afanyi ushonga ili mziki usepe good kwako mwanae akiwa shoga atamwacha aendeleze ushonga kwan Anna kaz nyingine zakufanya tofaut na hizo arafu mnasema anaongea point FAC dawa

  • @ligmmohd8112
    @ligmmohd81125 жыл бұрын

    Dah, 🤔🤔🤔🤔🤔 husiwaze vitu kwa negative nyingi waza vitu kwa positive nyingi,asante chid nilikuwa nawaza vitu kwa negative nyingi sana, dah asante bhana.

  • @hamisimarandu5627
    @hamisimarandu56275 жыл бұрын

    Safi

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion75155 жыл бұрын

    Kiongozi malizia iliyobaki story nzuri mno

  • @abdulchikut6553
    @abdulchikut65535 жыл бұрын

    Da! Nimekuelewa sana Chad, da!

  • @obeidjoseph3610
    @obeidjoseph36104 жыл бұрын

    Jamaa yupo vizur

  • @ismailimakwisa3647
    @ismailimakwisa36475 жыл бұрын

    chid umeonge poent sana

  • @samuelsabina3430
    @samuelsabina34304 жыл бұрын

    Chidy we mkali kaka nakupenda ile kichizi

  • @victorreds9325
    @victorreds93255 жыл бұрын

    Chid tumekuelewa leo umeongea point nzuri ...ila jitahd sana pia uache drugs..uko vizur

  • @amansuleiman4779
    @amansuleiman47795 жыл бұрын

    Iliii jamaaa noma kama umeeelewa gonga like

  • @abdullay3166
    @abdullay31665 жыл бұрын

    Nikiskiza interview za huyu jamaa lazima nifaidike na kitu

  • @siwonikewilliam8832
    @siwonikewilliam88325 жыл бұрын

    Point

  • @kautharally8556
    @kautharally85565 жыл бұрын

    Chid ingawaje baadhi ya watu wanakuona umewehuka lkn kwa points ulizoongea .stopisha ivyo vitu ili urejeshe heshma yako

  • @milengemussa3511
    @milengemussa35115 жыл бұрын

    Kinywa cha chid kinanuka lakini maneno yake ni dhahabu bagap 🙌🙌🙌👅👅

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli36505 жыл бұрын

    Jamaaa kweli,kadumaa mwili ila upstars yuko vzuri sn

  • @testmyphone1305
    @testmyphone13055 жыл бұрын

    Kichaa NAMBA D

  • @emilytv9526
    @emilytv95265 жыл бұрын

    I lala KING KONG na kukubali sana *Chid benz*

Келесі