Cheed ft Marioo - FOR YOU (Official Music Video)

Музыка

Watch now Official Music Video "FOR YOU" By Cheed featuring Marioo,The Music Video was shot in Dar es Salaam Tanzania,Directed by Hanscana, enjoy now Goodmusic.
NOW AVAILABLE ON MAJOR DIGITAL STORE:
► Smart Link URL: ffm.to/vvklrak
►iTunes: / for-you-feat-marioo-si...
►Spotify: open.spotify.com/album/6f4o3t...
► AppleMusic: / for-you-feat-marioo-si...
►Deezer: www.deezer.com/track/860484872
►Shazam: www.shazam.com/track/50675707...
► Napster: us.napster.com/artist/cheed/a...
►Amazon Music: music.amazon.com/albums/B0846...
►AudioMack: audiomack.com/song/zezeafrica...
►BoomplayMusic: www.boomplaymusic.com/share/m...
►Mdundo: mdundo.com/song/1581513
►MkitoApp: bit.ly/StreamFY
►Mkito: bit.ly/DownloadFY
For More Information Check out Details on The Following Handles
Management + Booking IG: @Kondegang
Contact-Email: cheedmanagement@gmail.com
Connect Cheed on:
Instagram: / officialcheed
Facebook: / officialcheed
Twitter: / cheedofficial
Connect Marioo on:
Instagram: / marioo_tz
Facebook: / thisismarioo
Twitter: / mariootz_
#Cheed #Marioo #foryou

Пікірлер: 3 700

  • @Victor-ix4ml
    @Victor-ix4ml4 жыл бұрын

    Kichwan umenikaa hakuna wakukutoa baby🔥🔥 good music naomben like 100 za Cheed jamn team kazi💪

  • @ericrsong4778
    @ericrsong47784 жыл бұрын

    Siamini Mimi ndo mwenye likes chache. Kwani nyimbo mbaya? Mbona hamgongi likes? Na ukizingatia mi ndo first viewer au Kings music nanyi mmejifunza tabia ya ubinafsi ??? Gonga likes ata 5 tafadhali I♥️♥️♥️🙏🙏🙏

  • @selemanstany6177

    @selemanstany6177

    4 жыл бұрын

    Hatuchelewi

  • @abdulsaid9788

    @abdulsaid9788

    4 жыл бұрын

    I got 1 lyk 4rm Abdul in german🤗

  • @ericrsong4778

    @ericrsong4778

    4 жыл бұрын

    @@abdulsaid9788 wowww

  • @ericrsong4778

    @ericrsong4778

    4 жыл бұрын

    @@selemanstany6177 ndo maana naeapendaga Kings music fans

  • @alexmwanjala7658

    @alexmwanjala7658

    4 жыл бұрын

    Mambo vp lkn mrembo

  • @victormangowi7970
    @victormangowi79704 жыл бұрын

    Tuliorudia zaid ya mara mbil tujuanee apa... Cheed on 🔥🔥

  • @hassansaid9925

    @hassansaid9925

    4 жыл бұрын

    victor mangowi Mara Mbili tu me nimeenda Kama kumi hv 😂😂😂😂😂😂😂

  • @titomakuya2607
    @titomakuya26074 жыл бұрын

    Ngoma Kali sana na kilichonifrahsha zaid ni ushirikiano wetu kuanzia waimbaji,Producer mpaka Director Congratulations to all's Huu ndo ushirikiano tunao uhitaji sisi mashabik wa mziki mzuri Hatutaki kuskia maneno mengne zaidi ya ushirikiano

  • @mwendwamjukuu9468
    @mwendwamjukuu94684 жыл бұрын

    Huyu mocco ni genius waukweli..... Good music..❤🔥🔥🔥🔥 its Valentine vibe❤❤❤🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @calvintheone299

    @calvintheone299

    4 жыл бұрын

    Daaa kings music tunawauwa na tunaxama trend leo

  • @calvintheone299

    @calvintheone299

    4 жыл бұрын

    Tunazama trends Leo hiii hiiii😉😉😉😉

  • @calvintheone299

    @calvintheone299

    4 жыл бұрын

    💯💯💯💥💥💥💥💥💥💥

  • @hidayaking3383
    @hidayaking33834 жыл бұрын

    Yeebaba mtoto wa mfalume mwenywe akunanga matusi yani sijuti kua team kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😍🙏🙏🙏🙏 Asante sana alikiba

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Idaya Karrimu 👍👍👍👍👍🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🔥

  • @hidayaking3383

    @hidayaking3383

    4 жыл бұрын

    Usijali tuko pamoja hadi kieleweke

  • @kelvinaevarist440
    @kelvinaevarist4404 жыл бұрын

    Nyimbo kali video kali mdundo mkali jaman alafu kaka alivyo na hisia kama kweli anamuimbia huyo dada daaaah! Nimeipenda

  • @juliuskombania9807
    @juliuskombania98074 жыл бұрын

    Cheed the future sasa bongo flava inazaliwa kwa upya..Let's Go Kings wapi Quenss 😁😁

  • @hassansaid9925
    @hassansaid99254 жыл бұрын

    Cheed cheed cheeedeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥 Hapa nacheka tu kwa furaha,,,hizi ni hatari Sana

  • @twaha1091
    @twaha10914 жыл бұрын

    Hapo ndo ninapo amn Kwel king kiba ni mwalmu wa music hamna kama yy hapa bongo jins alvyo wapika hawa machaly hadi wameiva kbs.. 💪 💪 Pongez nying ziende kwa kiba jmn 💪💪💪💪💪🔥

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    twaha 10 👍🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🔥

  • @twaha1091

    @twaha1091

    4 жыл бұрын

    Kazi ya mwalmu ni ufaul mzr wa wanafnzi wake xo tna haki ya kmpongeza fnd king kiba

  • @rashidshekiondo7219
    @rashidshekiondo72194 жыл бұрын

    Nawakaribisha wale wasioangalia nyimbo za King music wanakosa uhondo, naomba tupublish hii nyimbo nje ya nchi yetu itapromote our music best vocalists

  • @maleek11flacko
    @maleek11flacko Жыл бұрын

    Ila kondeboy alìmmaliza cheed ....cheed akiwa kwa kiba alikuwa mkali 🥉sema ali na harmo hawajui kupiga msanii promotion atambe kabisa🇰🇪CHEED KEEP GOING🔥🔥🔥🖤🖤🖤

  • @solomoncharo1908
    @solomoncharo19084 жыл бұрын

    Mafundi wakipatana lazima kieleweke huu mwaka atakufa mtu kwa haya madude makali...big love from 🇰🇪

  • @muska4real
    @muska4real4 жыл бұрын

    Leo nimewai before 9k viewers. Tuone sasa kama sitapata likes la sivyo team kiba mtakuwa wabaguzi

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Big Msk 🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍👍👍👍👍

  • @upendozahaki304

    @upendozahaki304

    4 жыл бұрын

    Hongr

  • @perfectionistke5489
    @perfectionistke54894 жыл бұрын

    .... Cheed x marioo.... Napiga ii cover... Nyimbo tamu kweliiiii.... Totobadi... Mumetisha sanaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hassansaid9925
    @hassansaid99254 жыл бұрын

    hivi ni kipi hicho kikichoshikilia namba 1 hakiachii nafasi,,, khaaaaaa,,, wanatuchelewesha tuguse 1 trending

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    HASSAN SAID 👍👍👍👍👍🙏🏼🙏🏼🙏🏼🔥

  • @4realonlinetv169
    @4realonlinetv1694 жыл бұрын

    Wa kwanza nipeni like teamkiba #kingsmusic fore

  • @peterkasimba3841
    @peterkasimba38414 жыл бұрын

    ngom n🔥🔥🔥🔥 axhee broo cheed na marrio mmeua axhee respect xna pitishen like zenu kma mnamkubal cheedbingo

  • @machichaally
    @machichaally4 жыл бұрын

    Naona unachochea mama haupo imetia nanga meli haing'oi duh!!! Am kings music forever aiseee duh!! Nani team hii mwenzangu tuane

  • @amandakayitesi4447
    @amandakayitesi44474 жыл бұрын

    Marioo hivi ningekua na tuzo I'd give you for real...#1 fan bila kulazimishwa..mungu akuzidushie

  • @meshacksamsonmexher3377
    @meshacksamsonmexher33774 жыл бұрын

    Niliishasema toka mwanzo hawa jamaa ni viumbe wa sayar nyingine kabisa kimusic, Kingz 👑 ni 🔥🔥🔥🔥

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Meshack Samson kabisa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍👍👍👍

  • @tanzania5030

    @tanzania5030

    4 жыл бұрын

    bonyeza & subscribe 👉kzread.info/dash/bejne/hXtl2o9_hZeZk9I.html

  • @fungafungatv448
    @fungafungatv4484 жыл бұрын

    Cheed ame Flow vizur sana humu ndan kipande cha mwishoni 🔥🔥 🔥🔥 🔥💪💥👑 👑👑 👑

  • @adamhashimu4462

    @adamhashimu4462

    4 жыл бұрын

    yeah kaflow vzur

  • @fungafungatv448

    @fungafungatv448

    4 жыл бұрын

    Yap

  • @halisientertainment6489

    @halisientertainment6489

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/eGdmxs6lacrSkrg.html cheed ft marioo official video cover ona jamaa walivo ua umundani

  • @princesamir628

    @princesamir628

    4 жыл бұрын

    Fungafunga TV 🙋‍♂️🙋‍♂️

  • @renatusjoseph5939
    @renatusjoseph59394 жыл бұрын

    This song is dop, umeua Sana, cheed, Kings music kwa ujumla msiwape nafasi ya kupumua, wanadhani nyimbo zao za matusi zitawafikisha mbali wamejidanganya, hakikisha inayofata ni Kali zIdi ya hii

  • @fredabeid5955
    @fredabeid59554 жыл бұрын

    Tatizo views wanapanda tena wanashuka kiba tatua hili tatizo mzee we ndio boss mzee mbona mnaliangalia sana

  • @richardefrem4043
    @richardefrem40434 жыл бұрын

    Hasa hapa ndo tunajua kuwa king kiba kaja kivingine. Kings music ngoma kila leo

  • @lucasmwinuka3838
    @lucasmwinuka38384 жыл бұрын

    King 👑 music 🎷 ndo habari yao si walitaka tushindane wote kwa gari. Wakati walipokua kwa gari sisi tulikimbia kwa miguu Ila bado tulikua washindani zaidi yao. Sasa tupo na chopa watatuwezea wapi Wafalme 👑 mpo wapiiiii

  • @emariusrush3285

    @emariusrush3285

    4 жыл бұрын

    Video zenyewe zinaishi milion 1 au 3 Basi

  • @lucasmwinuka3838

    @lucasmwinuka3838

    4 жыл бұрын

    Hiyo sentence yako haijakamilika malizia👿

  • @mannuh_chacha4357

    @mannuh_chacha4357

    4 жыл бұрын

    Acha kua mjinga lasima mkitoa kitu mjaribu kujishindanisha

  • @mouxabetto7806

    @mouxabetto7806

    4 жыл бұрын

    Soon watasambaratika 🔥🔥🔥🔥

  • @mawazotv2185

    @mawazotv2185

    4 жыл бұрын

    @@emariusrush3285 ndio sio za robot kma za upand wa pil hz ni real views mdgo Wang

  • @mussasalum6571
    @mussasalum65714 жыл бұрын

    Mimi shabiki wa harmonize lakini kwa hiiii ngoma umemlaza marioo so cheed upo vizur sana mkuu safii sana ngoma kaliiiii

  • @yassinmohamed8241
    @yassinmohamed82414 жыл бұрын

    Nakkubal sana cheed

  • @husseinally7052
    @husseinally70524 жыл бұрын

    Hii nyimbo ni dedication kwa Shemeji yenu namtumia sasa hivi na yeye ainjoy mziki mzuri.

  • @shedymontana1351

    @shedymontana1351

    4 жыл бұрын

    Hatar

  • @franklyfaustine3880

    @franklyfaustine3880

    4 жыл бұрын

    Yan mim wasap nshamtumia kaisikiliza akatuma emoj ya lov😍😍 na ya machoz 😭 mavoko na maneno yamemkuna 😀😀😀

  • @husseinally7052

    @husseinally7052

    4 жыл бұрын

    @@franklyfaustine3880 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @husseinally7052

    @husseinally7052

    4 жыл бұрын

    @@shedymontana1351 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hadijaramadhani1280

    @hadijaramadhani1280

    4 жыл бұрын

    Hii nyimbo iko poah sanaah

  • @beautfultanzania2596
    @beautfultanzania25964 жыл бұрын

    Ni 🏃🏃 kama King alivosema ... Nimeona mtandao unasumbua kuunga bundle nimeamua nitumie tu vocha 😁😁 aka kanyimbo mmekutana mafundi ,, Ila cheed umetendea haki beat

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj2 жыл бұрын

    Yaan Daah?yaan hakuna nyimbo imeteka moyowang kamahii😍😍😍😍😍😍

  • @hassansaid9925
    @hassansaid99254 жыл бұрын

    moja............... mbili................ tatuuu........... No. 1 ON TRENDING

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    HASSAN SAID 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🔥🔥🔥👍

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    4 жыл бұрын

    Kuna livideo limoja hapo juu ndo linaharibu ilitakiwa iwe number one on trending

  • @hassansaid9925

    @hassansaid9925

    4 жыл бұрын

    THE RUSH SHOW ninahasiraaa nalo Sana hilo likideo

  • @abasilihundu200
    @abasilihundu2004 жыл бұрын

    Mambo yako KINGS MUSIC kwingne kote ni bure kabisa fekiiiii

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Abasi Lihundu 😂😂😂😂😂👍

  • @halidbora398
    @halidbora3984 жыл бұрын

    Ngoma iko vizur sana...cheed ebhu matafute Coledo bero wa Nigeria kwnza

  • @ramadhanitambwe1457
    @ramadhanitambwe14574 жыл бұрын

    Watu Bad ndan ya ngoma moja BIngooo na marioo

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia10244 жыл бұрын

    Vigogo wamekutn jmn dah🙌🙌🔥🔥 ngoma inambamba mpk kwenye mapig y moyo😍😍😍😍

  • @suleamber7252
    @suleamber72524 жыл бұрын

    Daaah nashindwa kuelewa kati ya CHEED na K2GA ni nani ataitangaza KINGSMUSIC

  • @allykaucha4207

    @allykaucha4207

    4 жыл бұрын

    Kuna mnyama mwingine wakuitwa TommyFlavour

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Sule Amber 👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Sule Amber yan hata mm nashindwa kabisa

  • @ruchiusdeusdediht1286

    @ruchiusdeusdediht1286

    4 жыл бұрын

    Wote

  • @4realonlinetv169

    @4realonlinetv169

    4 жыл бұрын

    Binge

  • @abdulrahim-gf4sm
    @abdulrahim-gf4sm4 жыл бұрын

    Wap man water et miluon nne kumbe roho inamuuma na tuna studio now hahaha kings music htr sana cheed bingo firee

  • @barakavundwe5760

    @barakavundwe5760

    4 жыл бұрын

    Cheed kauwa sana

  • @abdulrahim-gf4sm

    @abdulrahim-gf4sm

    4 жыл бұрын

    Baraka cheed kiba kamuivisha sasa kamuachia sokon

  • @cjesus9741
    @cjesus97414 жыл бұрын

    kijana upo vizuri kwa mashahiri makali nomaaaa🔥🔥🔥🔥

  • @PaschalDMwaka
    @PaschalDMwaka4 жыл бұрын

    Yaan nyimbo inaradha karibu zoteeeeeee sio kama team misifa ambayo kazi yao kubwa ni misifa ya ajabu

  • @princenewton
    @princenewton4 жыл бұрын

    Huyu ndiye Harmonize wa Kings Records +254 KENYA 🇰🇪 tushakukubali bro Your Vocals and Lyrical writing is on another league 🔥🙌. Damnnnnnnnnnnn Mario never disappoints at all🔥 Wapi likes za +254 🇰🇪 Tanzania .

  • @4realonlinetv169

    @4realonlinetv169

    4 жыл бұрын

    Mario

  • @PHABIEUPDATES

    @PHABIEUPDATES

    4 жыл бұрын

    Bro uyo hamonizd mpeleke uko

  • @princenewton

    @princenewton

    4 жыл бұрын

    @TEAM KIBA TV 😂😂it's never that serious bro

  • @princenewton

    @princenewton

    4 жыл бұрын

    @@PHABIEUPDATES 😂😂kweli beef nzito

  • @faithaction2505

    @faithaction2505

    4 жыл бұрын

    @@princenewton 😀😀acha kabisa

  • @starmullon4932
    @starmullon49324 жыл бұрын

    Mamae huu ndio mziki sasa🔥🔥🔥🔥

  • @elishathomas2805
    @elishathomas28054 жыл бұрын

    Kama mapenzi yangu ni mtama nakupa wote donoa! Mtoto Cheed fire!

  • @epifaniamponda2443
    @epifaniamponda24434 жыл бұрын

    Hapo naganda mazima kwako sinaujanja uwiiiiiii moyo wawale tulio single tujuane maumivu maana et yamoto mahaba sio poa 😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥 for you 💓💓💓💓👑

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Epifania Mponda daah yan we acha tu

  • @epifaniamponda2443

    @epifaniamponda2443

    4 жыл бұрын

    Dogo Shazzy yani inauma wallah hahahahah uwiiii

  • @Eastafrica661
    @Eastafrica6614 жыл бұрын

    Cheed kama ww ndo umempoteza marioo kwa level hizi, nakuhona mbali sana.

  • @tadashaclassic7766

    @tadashaclassic7766

    4 жыл бұрын

    Aisee marioo leo kakutana

  • @mbembelatv

    @mbembelatv

    4 жыл бұрын

    Leo marioo kaktana nacho😂

  • @abbyjay5940

    @abbyjay5940

    4 жыл бұрын

    Esube Lusema marioo kaimba kidogo tu ila Unaweza kujua kuwa Cheed anaimba ila mario ana talent kubwa sana kapendezesha wimbo, kipande chake ni 💯

  • @abbyjay5940

    @abbyjay5940

    4 жыл бұрын

    pokea mbembela acha ushabiki, Marioo kaimba vizuri kuliko Cheed ila kapewa kipande kidogo mana yangekuwa mabalaa humu

  • @mbembelatv

    @mbembelatv

    4 жыл бұрын

    @@abbyjay5940 ni mtazamo wako huo. Kwng cheed kaua, ila wote wamefanya vzr maana kiukwel kil mt ana uwezo wake tofaut na mwenzake ndo maana ya kushirikiana ili kila mtu apate radha inayomkuna zaid.

  • @jameskomba2627
    @jameskomba26274 жыл бұрын

    Killy,k2ga,cheed Fire ss bado king mwenyew tommy ,abdul Huu mwak wao

  • @dizoboy7256
    @dizoboy72564 жыл бұрын

    Ngoma kali sanaa gonga like kama unakubaliana na mim..

  • @samuellevy2564
    @samuellevy25644 жыл бұрын

    Uyu Dogo walai Uyu aliwai kuimba kwaya anajua ku pangilia maneno na sauti yake duuh well done,plz support this guyz plz plz, watching it from ZAMBIA NDOLA

  • @Manfilly
    @Manfilly4 жыл бұрын

    Wanaoamini cheed humu kauwa twende sawa!

  • @abbyjay5940

    @abbyjay5940

    4 жыл бұрын

    Fredrick Maji marioo ndo alofanya wimbo uwe mzuri...Verse yake imebeba wimbo kwa tunaojua muziki.

  • @eddokavenga4391

    @eddokavenga4391

    4 жыл бұрын

    ckupingiiiii kabsaaa

  • @gwakisaezekiel2576

    @gwakisaezekiel2576

    4 жыл бұрын

    ABBY JAY wew utakua wcb kwaiyo comment yako sie haituhusu

  • @eliudkitenge3687
    @eliudkitenge36874 жыл бұрын

    Daaah, anajua mziki hii ni bonge la ngomaa cheed na marioo zimepatana Bila kusahau beat maker na mixing

  • @nurumwangoka7424
    @nurumwangoka74244 жыл бұрын

    Wadau Kama kweli jamaa kaondoka KINGS ndio mwisho Leo kuufuatilia huuu wimboo TUTASAMEHEANA

  • @chollo_simba_tz8892
    @chollo_simba_tz88924 жыл бұрын

    Wananguuu eeehhh huu ni muda wetu wakuonyesha love kwa kijana wetu cheed

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Nassoro Mussa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼👍

  • @jacques_polite
    @jacques_polite4 жыл бұрын

    Nakubali sana tu akuna kipingamizi hapo kings music 🎧 tuko juu jonas from Australia gonga like tuko pamoja

  • @actionmovies4646
    @actionmovies46464 жыл бұрын

    Hapa mwsho umeua cheed... Sikuiz na Nenepa..Tena Naenjoy 😂😂😂😂😂 Like kama umeelewa hapo

  • @nadeenalbornde1484
    @nadeenalbornde14844 жыл бұрын

    Cheed marioo mashala nyimbo nzuri saaaaan sichoki kuyisikiriza 👂👌👌👌❤👏👏👏👏👏💃💃💃💃💃💃

  • @omaniallybakari2372
    @omaniallybakari23724 жыл бұрын

    Hii nyimbo imemfanya my love wangu kuhamia nyumban asanten mlioimba.

  • @yogopenmaster2607
    @yogopenmaster26074 жыл бұрын

    Marióo kapotezwa vibayaa daahh huyu cheed ni nomaa

  • @tadashaclassic7766

    @tadashaclassic7766

    4 жыл бұрын

    Weacha tu nampenda marioo ila humu dah

  • @joelylucas7945

    @joelylucas7945

    4 жыл бұрын

    Yaani kapotezwa mbaya kama hio verse ya mwisho

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Yogopen master yan marioo anaweza ila hapa kapotezwa kabisa

  • @dastanmsosa5724
    @dastanmsosa57244 жыл бұрын

    Nyoma na kilo ni mauaji humu ndani sio melody,audio,video vyote tick 🔥🔥🔥

  • @sickeemily4633
    @sickeemily46334 жыл бұрын

    King music tz cjaona kama king music

  • @totoyamungu
    @totoyamungu4 жыл бұрын

    Mziki mzuri unaenda Na mda🙌🙌👑 👑

  • @joelhenery4590
    @joelhenery45904 жыл бұрын

    Jaman like kama zote Hii ngoma ni atari sana cheed ndo amekua cheed sasa

  • @adamhashimu4462
    @adamhashimu44624 жыл бұрын

    Dahaa kings music rahaa sana,nyimbo tamu ,kipande cha mwisho Cheed anaflow vzur dahaa ,let's enjoy good music

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    adam hashimu kwel 👍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @adamhashimu4462

    @adamhashimu4462

    4 жыл бұрын

    @@dogoshazzy7032 cheed katisha sana

  • @israelravine7067
    @israelravine70674 жыл бұрын

    cheed the melodist.....mario oozing talent..firee!!! 254 naikubali kabsa huu mzuka

  • @tztech9105
    @tztech91054 жыл бұрын

    Yalaaaaaaah!

  • @hoseadante5658
    @hoseadante56584 жыл бұрын

    We cheed ulichomfanya marioo humu mungu anakuona

  • @tadashaclassic7766

    @tadashaclassic7766

    4 жыл бұрын

    Hahahhaa kamkalisha

  • @mbembelatv

    @mbembelatv

    4 жыл бұрын

    Marioo kapelee hd kapwaya😂 ila wamepiga poa sn

  • @abbyjay5940

    @abbyjay5940

    4 жыл бұрын

    hosea dante ah wapi kama unaujua muziki mzuri humu Marioo kaimba vizuri zaidi japo kipande kidogo...Verse ya Marioo👌🏾

  • @4realonlinetv169

    @4realonlinetv169

    4 жыл бұрын

    Balalaaa

  • @hoseadante5658

    @hoseadante5658

    4 жыл бұрын

    @@abbyjay5940 kaimba kdgo ila nyimbo kaitawala cheed maana mpka sehem ya marioo cheed kaipokea tena yeye

  • @abuumwegelo4283
    @abuumwegelo42834 жыл бұрын

    Ngoma ya moto snaa cheed varse ya mwisho ndio umemanisha kwanini upo king'smusic shikamoo cheed aliekubali verse la mwisho gonga like tujuane

  • @joelylucas7945

    @joelylucas7945

    4 жыл бұрын

    Ni noma mpaka naona nyimbo ni fupi

  • @suleamber7252

    @suleamber7252

    4 жыл бұрын

    Verse siujui ame rap daaah kaliii balaaa

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Abuu Mwegelo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍👍👍

  • @paulebby1552

    @paulebby1552

    4 жыл бұрын

    Hii verse ya mwisho mi mazishi

  • @aishaiddi6955

    @aishaiddi6955

    4 жыл бұрын

    @@suleamber7252 haha

  • @mjoradaudi8415
    @mjoradaudi84154 жыл бұрын

    Jamani uongo ni dhambi Mimi ni team wcb lakini hili song ni Kali big up kwao

  • @happykimario7383

    @happykimario7383

    4 жыл бұрын

    I like

  • @revocatusemmanuel9880
    @revocatusemmanuel98804 жыл бұрын

    Jamani awa watoto hawana shukrani kwa kweli umetengenezwa kiasi hiki unakuwa msaliti kwa alli kiba kweli dah kweli tenda wema nenda zako daha nimeumia kuangalia hii video

  • @julietajwang4822

    @julietajwang4822

    4 жыл бұрын

    Don't judge before knowing the reason behind and besides kiba is fine with it

  • @elisharaphael9032
    @elisharaphael90324 жыл бұрын

    Rispect for kings music,mashairi mazuri sauti nzuri, ukiwa na king lazma Mambo yako yawe ya kifalme falme

  • @kelvinproches948
    @kelvinproches9484 жыл бұрын

    watu wanajua kuimba jaman cheed noma sana

  • @elimuathuman4609
    @elimuathuman46094 жыл бұрын

    Kama mapenz yangu ni mtama Nakupa wote donoa🤘🤘🤘

  • @mwanaidosanga5547
    @mwanaidosanga55474 жыл бұрын

    Wakali wa hizi kazi, mziki mzuri 🔥 🔥 🔥 🔥 litakufa jitu

  • @solomoncharo1908
    @solomoncharo19084 жыл бұрын

    Team good music...🇰 🇪 npeni likes zangu...

  • @othumanmaulid7406
    @othumanmaulid74064 жыл бұрын

    Niko sawasawa! KUSHABIKIA KING MUSIC Tuuweeeeeeee namiziki iliyoenda shule king music daima

  • @thasboy1947
    @thasboy19474 жыл бұрын

    Huyu chalii cheed ni kïsanga hili goma marioo simuoni kabisaa

  • @preciouspam9118
    @preciouspam91184 жыл бұрын

    Yaaan lazima tu niweka comment maana 🔥🔥🔥hiii inapendeza Sana kwa ''morning glory''

  • @genvhehenuue4216

    @genvhehenuue4216

    4 жыл бұрын

    Haha wakali wa morning glory twende nalo

  • @franklinkinzi9138
    @franklinkinzi91384 жыл бұрын

    Kimziki kenya hatufikii wabongo, Hawa ni vijana wanaochipuka kimziki na ni kama wamefika , video kali, audio kali sanaa Nilimpenda cheed na ngoma ya toto na nilipenda marioo na ngoma ya inatosha

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    campus vibe 👍👍👍👍👍🔥

  • @jaycalliam4956

    @jaycalliam4956

    4 жыл бұрын

    upo sawa bro pia sisi ke. tujikaze na tusarport mziiki wetu pia but hii imeweza

  • @amaningonyani2775
    @amaningonyani27754 жыл бұрын

    2trending soon 1 cheed we kiboko yaan hii song sichoki bhana 2po pamoja king music 4life

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Amani Ngonyani 🔥🔥🔥🔥🔥👍

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    4 жыл бұрын

    Kuna livideo limoja hapo lipo number moja on trending ndo linaziba

  • @artemisneoy9596
    @artemisneoy95964 жыл бұрын

    Kings music ni balaa la music wamekuja kiroho mbaya...utaipenda tu

  • @dr.bonye1
    @dr.bonye14 жыл бұрын

    Hatari sana 😁 niliachana na mke wangu ila nilivyomtumia hii song watsap nimemkuta yeye na mabegi yake karudi nyumbani ameniambia niwaishe funguo😁😁😁😁😁 like 10 za king cheed bingo na marioo

  • @joelylucas7945

    @joelylucas7945

    4 жыл бұрын

    Hahaha noma sana tena ukimaliza verse ya cheed ya maisho unaombea hata mkopo

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Bonye build 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍

  • @abasilihundu200

    @abasilihundu200

    4 жыл бұрын

    😆😀😀😀

  • @jumamlimbende9862

    @jumamlimbende9862

    4 жыл бұрын

    haha😄😃😄😄😄

  • @anethjoseph6157

    @anethjoseph6157

    4 жыл бұрын

    Mmh kweli jmn au

  • @iddynuru5169
    @iddynuru51694 жыл бұрын

    Kings music for life Cheed heshima yako kaka🤗🤗

  • @Alvinjoely91
    @Alvinjoely914 жыл бұрын

    Cheed uwe unaimba km ulivyoanza verse ya kwanza sio kutubania pua mnoooo

  • @stanleymsomba9441
    @stanleymsomba94414 жыл бұрын

    jmn hii ngoma imenikuna sana nairudia mara mbili mbali .ebu jmn nipe like zenu hpo chini..

  • @frjking2504
    @frjking25044 жыл бұрын

    Am in love with this song wallah hii ni mara kama ya 40 nairudia like kwa kingsmusic

  • @marktumain1140

    @marktumain1140

    4 жыл бұрын

    Tupo wengi tunafanya ivyo ila utashangaa views zinaganda

  • @dogoshazzy7032

    @dogoshazzy7032

    4 жыл бұрын

    Fr J King 👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gharibually5957

    @gharibually5957

    4 жыл бұрын

    Mziki mzuri uko king music

  • @justusngwambu448
    @justusngwambu4484 жыл бұрын

    Kufikia apo nadhani waliopiga wanaelewa Kings Music ndio chuo kikuu kamili cha mziki kilicho halali kabisa💪💪...+254 Nairobi representing na kama unakumbaliana na kiswahili changu sanifu piga👍👍

  • @4realonlinetv169

    @4realonlinetv169

    4 жыл бұрын

    Hakuna wa kupinga

  • @amiriramadhan7753

    @amiriramadhan7753

    4 жыл бұрын

    💯✔

  • @gabrielshewio6599

    @gabrielshewio6599

    4 жыл бұрын

    Kiswahili chako kimenyooka haswa, nakubali

  • @theoneclever940
    @theoneclever9402 жыл бұрын

    Sikuizi nanepa tena na enjoy ni mstari unao nikumbush mbali sanaaaa maisha ya o level kishule shule ni balaa sannaa

  • @phmmkimbizi9898
    @phmmkimbizi98984 жыл бұрын

    Mmetisha mbayaaaa nyie jamaaa aisee , Ngoma Qhaliiiiiiii...

  • @gadthecreator9575
    @gadthecreator95754 жыл бұрын

    Kings Music For Life! Rwanda Tunawapenda saana KEEP IT UP FOR What YOU ARE DOING! Its Lit

  • @patrickmashauri7045
    @patrickmashauri70454 жыл бұрын

    Drop likes twende sawa kama umeielewa hii chemistry ya Cheed na Marioo

  • @lissatitus391
    @lissatitus3914 жыл бұрын

    Huyu ndo kabisaa sauti kama kabakwa....mimi namkubali ki2ga

  • @zaituniamiri7803

    @zaituniamiri7803

    3 жыл бұрын

    Wewe Lisa Msenge kweliww Wewe unawezaa?????

  • @khalidypately4459
    @khalidypately44594 жыл бұрын

    Cjawai kuupenda mziki wako cheed lkn ihi ngoma nimekupenda mpka ww mwenyewe wallah umeua sana king

  • @shabanimikidadi1205
    @shabanimikidadi12054 жыл бұрын

    Daahh!! Amaa kwelii king's music mpo katika mikono salama ya mfalme kibaa🔥🔥🔥

  • @arphoncesamweli6690

    @arphoncesamweli6690

    4 жыл бұрын

    inaweza sana

  • @halisientertainment6489

    @halisientertainment6489

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/eGdmxs6lacrSkrg.html cheed ft marioo official video cover ona jamaa walivo ua umundani

  • @princesamir628

    @princesamir628

    4 жыл бұрын

    shabani mikidadi 💪💪💪

  • @hamisimkongo1543
    @hamisimkongo15434 жыл бұрын

    Bonge la Nyimbo, ingepata mtu wa Kurap hapo mwisho kama BLUE hivi ingekuwa balaa

  • @joshuamgahe5556

    @joshuamgahe5556

    4 жыл бұрын

    IP Zr

  • @joshuamgahe5556

    @joshuamgahe5556

    4 жыл бұрын

    mwaaaang IP vzr

  • @shozylamparboom8393

    @shozylamparboom8393

    4 жыл бұрын

    Blue Ana maunyama saana angemaliza shughul ila mpaka hapo bado wametishaa saanaa

  • @kingzforeal7967
    @kingzforeal79674 жыл бұрын

    Naona unachochea Mama haupoi nimetia nanga meli haingoi unanidekeza umenifanya toy wanga bye bye tuko Paradise haika haikataki kutwa namba x zise niko bize nae tukutane next time siku iz nanenepa tena na enjoy yani forever inever eeh oooh aah ooh aah eeh

  • @karimissa763

    @karimissa763

    4 жыл бұрын

    Kingz Foreal Yeeeeebaba

  • @devymwanjala1123
    @devymwanjala11234 жыл бұрын

    Noma sanaaaaaa

  • @bongomusic4604
    @bongomusic46044 жыл бұрын

    Cheed Umetisha sana 💥💥

  • @joshatetendeje8128
    @joshatetendeje81284 жыл бұрын

    Munanitenga sana weka like yako apo tuende sawa kwa bonge la ngoma

  • @saidikibumba8209
    @saidikibumba82094 жыл бұрын

    Nashukuru wimbo huu umeniponya mapunya na U.T.I Like kwa anaye kubali ushuhuda wangu

  • @josephsilvester3349
    @josephsilvester33494 жыл бұрын

    Daaaa utapata wapiii muziki mzuri kama king music

  • @lyimokidudu4245
    @lyimokidudu42454 жыл бұрын

    Slim cheed bingo we ni next king💪💪 hii song no🔥🔥🔥🔥🔥

Келесі