Cheed ft Marioo - FOR YOU (Official Music Video)
Музыка
Watch now Official Music Video "FOR YOU" By Cheed featuring Marioo,The Music Video was shot in Dar es Salaam Tanzania,Directed by Hanscana, enjoy now Goodmusic.
NOW AVAILABLE ON MAJOR DIGITAL STORE:
► Smart Link URL: ffm.to/vvklrak
►iTunes: / for-you-feat-marioo-si...
►Spotify: open.spotify.com/album/6f4o3t...
► AppleMusic: / for-you-feat-marioo-si...
►Deezer: www.deezer.com/track/860484872
►Shazam: www.shazam.com/track/50675707...
► Napster: us.napster.com/artist/cheed/a...
►Amazon Music: music.amazon.com/albums/B0846...
►AudioMack: audiomack.com/song/zezeafrica...
►BoomplayMusic: www.boomplaymusic.com/share/m...
►Mdundo: mdundo.com/song/1581513
►MkitoApp: bit.ly/StreamFY
►Mkito: bit.ly/DownloadFY
For More Information Check out Details on The Following Handles
Management + Booking IG: @Kondegang
Contact-Email: cheedmanagement@gmail.com
Connect Cheed on:
Instagram: / officialcheed
Facebook: / officialcheed
Twitter: / cheedofficial
Connect Marioo on:
Instagram: / marioo_tz
Facebook: / thisismarioo
Twitter: / mariootz_
#Cheed #Marioo #foryou
Пікірлер: 3 700
Kichwan umenikaa hakuna wakukutoa baby🔥🔥 good music naomben like 100 za Cheed jamn team kazi💪
Siamini Mimi ndo mwenye likes chache. Kwani nyimbo mbaya? Mbona hamgongi likes? Na ukizingatia mi ndo first viewer au Kings music nanyi mmejifunza tabia ya ubinafsi ??? Gonga likes ata 5 tafadhali I♥️♥️♥️🙏🙏🙏
@selemanstany6177
4 жыл бұрын
Hatuchelewi
@abdulsaid9788
4 жыл бұрын
I got 1 lyk 4rm Abdul in german🤗
@ericrsong4778
4 жыл бұрын
@@abdulsaid9788 wowww
@ericrsong4778
4 жыл бұрын
@@selemanstany6177 ndo maana naeapendaga Kings music fans
@alexmwanjala7658
4 жыл бұрын
Mambo vp lkn mrembo
Tuliorudia zaid ya mara mbil tujuanee apa... Cheed on 🔥🔥
@hassansaid9925
4 жыл бұрын
victor mangowi Mara Mbili tu me nimeenda Kama kumi hv 😂😂😂😂😂😂😂
Ngoma Kali sana na kilichonifrahsha zaid ni ushirikiano wetu kuanzia waimbaji,Producer mpaka Director Congratulations to all's Huu ndo ushirikiano tunao uhitaji sisi mashabik wa mziki mzuri Hatutaki kuskia maneno mengne zaidi ya ushirikiano
Huyu mocco ni genius waukweli..... Good music..❤🔥🔥🔥🔥 its Valentine vibe❤❤❤🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@calvintheone299
4 жыл бұрын
Daaa kings music tunawauwa na tunaxama trend leo
@calvintheone299
4 жыл бұрын
Tunazama trends Leo hiii hiiii😉😉😉😉
@calvintheone299
4 жыл бұрын
💯💯💯💥💥💥💥💥💥💥
Yeebaba mtoto wa mfalume mwenywe akunanga matusi yani sijuti kua team kiba 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😍🙏🙏🙏🙏 Asante sana alikiba
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Idaya Karrimu 👍👍👍👍👍🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🔥
@hidayaking3383
4 жыл бұрын
Usijali tuko pamoja hadi kieleweke
Nyimbo kali video kali mdundo mkali jaman alafu kaka alivyo na hisia kama kweli anamuimbia huyo dada daaaah! Nimeipenda
Cheed the future sasa bongo flava inazaliwa kwa upya..Let's Go Kings wapi Quenss 😁😁
Cheed cheed cheeedeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥 Hapa nacheka tu kwa furaha,,,hizi ni hatari Sana
Hapo ndo ninapo amn Kwel king kiba ni mwalmu wa music hamna kama yy hapa bongo jins alvyo wapika hawa machaly hadi wameiva kbs.. 💪 💪 Pongez nying ziende kwa kiba jmn 💪💪💪💪💪🔥
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
twaha 10 👍🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🔥
@twaha1091
4 жыл бұрын
Kazi ya mwalmu ni ufaul mzr wa wanafnzi wake xo tna haki ya kmpongeza fnd king kiba
Nawakaribisha wale wasioangalia nyimbo za King music wanakosa uhondo, naomba tupublish hii nyimbo nje ya nchi yetu itapromote our music best vocalists
Ila kondeboy alìmmaliza cheed ....cheed akiwa kwa kiba alikuwa mkali 🥉sema ali na harmo hawajui kupiga msanii promotion atambe kabisa🇰🇪CHEED KEEP GOING🔥🔥🔥🖤🖤🖤
Mafundi wakipatana lazima kieleweke huu mwaka atakufa mtu kwa haya madude makali...big love from 🇰🇪
Leo nimewai before 9k viewers. Tuone sasa kama sitapata likes la sivyo team kiba mtakuwa wabaguzi
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Big Msk 🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍👍👍👍👍
@upendozahaki304
4 жыл бұрын
Hongr
.... Cheed x marioo.... Napiga ii cover... Nyimbo tamu kweliiiii.... Totobadi... Mumetisha sanaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥
hivi ni kipi hicho kikichoshikilia namba 1 hakiachii nafasi,,, khaaaaaa,,, wanatuchelewesha tuguse 1 trending
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
HASSAN SAID 👍👍👍👍👍🙏🏼🙏🏼🙏🏼🔥
Wa kwanza nipeni like teamkiba #kingsmusic fore
ngom n🔥🔥🔥🔥 axhee broo cheed na marrio mmeua axhee respect xna pitishen like zenu kma mnamkubal cheedbingo
Naona unachochea mama haupo imetia nanga meli haing'oi duh!!! Am kings music forever aiseee duh!! Nani team hii mwenzangu tuane
Marioo hivi ningekua na tuzo I'd give you for real...#1 fan bila kulazimishwa..mungu akuzidushie
Niliishasema toka mwanzo hawa jamaa ni viumbe wa sayar nyingine kabisa kimusic, Kingz 👑 ni 🔥🔥🔥🔥
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Meshack Samson kabisa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍👍👍👍
@tanzania5030
4 жыл бұрын
bonyeza & subscribe 👉kzread.info/dash/bejne/hXtl2o9_hZeZk9I.html
Cheed ame Flow vizur sana humu ndan kipande cha mwishoni 🔥🔥 🔥🔥 🔥💪💥👑 👑👑 👑
@adamhashimu4462
4 жыл бұрын
yeah kaflow vzur
@fungafungatv448
4 жыл бұрын
Yap
@halisientertainment6489
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eGdmxs6lacrSkrg.html cheed ft marioo official video cover ona jamaa walivo ua umundani
@princesamir628
4 жыл бұрын
Fungafunga TV 🙋♂️🙋♂️
This song is dop, umeua Sana, cheed, Kings music kwa ujumla msiwape nafasi ya kupumua, wanadhani nyimbo zao za matusi zitawafikisha mbali wamejidanganya, hakikisha inayofata ni Kali zIdi ya hii
Tatizo views wanapanda tena wanashuka kiba tatua hili tatizo mzee we ndio boss mzee mbona mnaliangalia sana
Hasa hapa ndo tunajua kuwa king kiba kaja kivingine. Kings music ngoma kila leo
King 👑 music 🎷 ndo habari yao si walitaka tushindane wote kwa gari. Wakati walipokua kwa gari sisi tulikimbia kwa miguu Ila bado tulikua washindani zaidi yao. Sasa tupo na chopa watatuwezea wapi Wafalme 👑 mpo wapiiiii
@emariusrush3285
4 жыл бұрын
Video zenyewe zinaishi milion 1 au 3 Basi
@lucasmwinuka3838
4 жыл бұрын
Hiyo sentence yako haijakamilika malizia👿
@mannuh_chacha4357
4 жыл бұрын
Acha kua mjinga lasima mkitoa kitu mjaribu kujishindanisha
@mouxabetto7806
4 жыл бұрын
Soon watasambaratika 🔥🔥🔥🔥
@mawazotv2185
4 жыл бұрын
@@emariusrush3285 ndio sio za robot kma za upand wa pil hz ni real views mdgo Wang
Mimi shabiki wa harmonize lakini kwa hiiii ngoma umemlaza marioo so cheed upo vizur sana mkuu safii sana ngoma kaliiiii
Nakkubal sana cheed
Hii nyimbo ni dedication kwa Shemeji yenu namtumia sasa hivi na yeye ainjoy mziki mzuri.
@shedymontana1351
4 жыл бұрын
Hatar
@franklyfaustine3880
4 жыл бұрын
Yan mim wasap nshamtumia kaisikiliza akatuma emoj ya lov😍😍 na ya machoz 😭 mavoko na maneno yamemkuna 😀😀😀
@husseinally7052
4 жыл бұрын
@@franklyfaustine3880 🤣🤣🤣🤣🤣
@husseinally7052
4 жыл бұрын
@@shedymontana1351 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@hadijaramadhani1280
4 жыл бұрын
Hii nyimbo iko poah sanaah
Ni 🏃🏃 kama King alivosema ... Nimeona mtandao unasumbua kuunga bundle nimeamua nitumie tu vocha 😁😁 aka kanyimbo mmekutana mafundi ,, Ila cheed umetendea haki beat
Yaan Daah?yaan hakuna nyimbo imeteka moyowang kamahii😍😍😍😍😍😍
moja............... mbili................ tatuuu........... No. 1 ON TRENDING
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
HASSAN SAID 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🔥🔥🔥👍
@edsonnelson4464
4 жыл бұрын
Kuna livideo limoja hapo juu ndo linaharibu ilitakiwa iwe number one on trending
@hassansaid9925
4 жыл бұрын
THE RUSH SHOW ninahasiraaa nalo Sana hilo likideo
Mambo yako KINGS MUSIC kwingne kote ni bure kabisa fekiiiii
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Abasi Lihundu 😂😂😂😂😂👍
Ngoma iko vizur sana...cheed ebhu matafute Coledo bero wa Nigeria kwnza
Watu Bad ndan ya ngoma moja BIngooo na marioo
Vigogo wamekutn jmn dah🙌🙌🔥🔥 ngoma inambamba mpk kwenye mapig y moyo😍😍😍😍
Daaah nashindwa kuelewa kati ya CHEED na K2GA ni nani ataitangaza KINGSMUSIC
@allykaucha4207
4 жыл бұрын
Kuna mnyama mwingine wakuitwa TommyFlavour
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Sule Amber 👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Sule Amber yan hata mm nashindwa kabisa
@ruchiusdeusdediht1286
4 жыл бұрын
Wote
@4realonlinetv169
4 жыл бұрын
Binge
Wap man water et miluon nne kumbe roho inamuuma na tuna studio now hahaha kings music htr sana cheed bingo firee
@barakavundwe5760
4 жыл бұрын
Cheed kauwa sana
@abdulrahim-gf4sm
4 жыл бұрын
Baraka cheed kiba kamuivisha sasa kamuachia sokon
kijana upo vizuri kwa mashahiri makali nomaaaa🔥🔥🔥🔥
Yaan nyimbo inaradha karibu zoteeeeeee sio kama team misifa ambayo kazi yao kubwa ni misifa ya ajabu
Huyu ndiye Harmonize wa Kings Records +254 KENYA 🇰🇪 tushakukubali bro Your Vocals and Lyrical writing is on another league 🔥🙌. Damnnnnnnnnnnn Mario never disappoints at all🔥 Wapi likes za +254 🇰🇪 Tanzania .
@4realonlinetv169
4 жыл бұрын
Mario
@PHABIEUPDATES
4 жыл бұрын
Bro uyo hamonizd mpeleke uko
@princenewton
4 жыл бұрын
@TEAM KIBA TV 😂😂it's never that serious bro
@princenewton
4 жыл бұрын
@@PHABIEUPDATES 😂😂kweli beef nzito
@faithaction2505
4 жыл бұрын
@@princenewton 😀😀acha kabisa
Mamae huu ndio mziki sasa🔥🔥🔥🔥
Kama mapenzi yangu ni mtama nakupa wote donoa! Mtoto Cheed fire!
Hapo naganda mazima kwako sinaujanja uwiiiiiii moyo wawale tulio single tujuane maumivu maana et yamoto mahaba sio poa 😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥 for you 💓💓💓💓👑
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Epifania Mponda daah yan we acha tu
@epifaniamponda2443
4 жыл бұрын
Dogo Shazzy yani inauma wallah hahahahah uwiiii
Cheed kama ww ndo umempoteza marioo kwa level hizi, nakuhona mbali sana.
@tadashaclassic7766
4 жыл бұрын
Aisee marioo leo kakutana
@mbembelatv
4 жыл бұрын
Leo marioo kaktana nacho😂
@abbyjay5940
4 жыл бұрын
Esube Lusema marioo kaimba kidogo tu ila Unaweza kujua kuwa Cheed anaimba ila mario ana talent kubwa sana kapendezesha wimbo, kipande chake ni 💯
@abbyjay5940
4 жыл бұрын
pokea mbembela acha ushabiki, Marioo kaimba vizuri kuliko Cheed ila kapewa kipande kidogo mana yangekuwa mabalaa humu
@mbembelatv
4 жыл бұрын
@@abbyjay5940 ni mtazamo wako huo. Kwng cheed kaua, ila wote wamefanya vzr maana kiukwel kil mt ana uwezo wake tofaut na mwenzake ndo maana ya kushirikiana ili kila mtu apate radha inayomkuna zaid.
Killy,k2ga,cheed Fire ss bado king mwenyew tommy ,abdul Huu mwak wao
Ngoma kali sanaa gonga like kama unakubaliana na mim..
Uyu Dogo walai Uyu aliwai kuimba kwaya anajua ku pangilia maneno na sauti yake duuh well done,plz support this guyz plz plz, watching it from ZAMBIA NDOLA
Wanaoamini cheed humu kauwa twende sawa!
@abbyjay5940
4 жыл бұрын
Fredrick Maji marioo ndo alofanya wimbo uwe mzuri...Verse yake imebeba wimbo kwa tunaojua muziki.
@eddokavenga4391
4 жыл бұрын
ckupingiiiii kabsaaa
@gwakisaezekiel2576
4 жыл бұрын
ABBY JAY wew utakua wcb kwaiyo comment yako sie haituhusu
Daaah, anajua mziki hii ni bonge la ngomaa cheed na marioo zimepatana Bila kusahau beat maker na mixing
Wadau Kama kweli jamaa kaondoka KINGS ndio mwisho Leo kuufuatilia huuu wimboo TUTASAMEHEANA
Wananguuu eeehhh huu ni muda wetu wakuonyesha love kwa kijana wetu cheed
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Nassoro Mussa 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼👍
Nakubali sana tu akuna kipingamizi hapo kings music 🎧 tuko juu jonas from Australia gonga like tuko pamoja
Hapa mwsho umeua cheed... Sikuiz na Nenepa..Tena Naenjoy 😂😂😂😂😂 Like kama umeelewa hapo
Cheed marioo mashala nyimbo nzuri saaaaan sichoki kuyisikiriza 👂👌👌👌❤👏👏👏👏👏💃💃💃💃💃💃
Hii nyimbo imemfanya my love wangu kuhamia nyumban asanten mlioimba.
Marióo kapotezwa vibayaa daahh huyu cheed ni nomaa
@tadashaclassic7766
4 жыл бұрын
Weacha tu nampenda marioo ila humu dah
@joelylucas7945
4 жыл бұрын
Yaani kapotezwa mbaya kama hio verse ya mwisho
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Yogopen master yan marioo anaweza ila hapa kapotezwa kabisa
Nyoma na kilo ni mauaji humu ndani sio melody,audio,video vyote tick 🔥🔥🔥
King music tz cjaona kama king music
Mziki mzuri unaenda Na mda🙌🙌👑 👑
Jaman like kama zote Hii ngoma ni atari sana cheed ndo amekua cheed sasa
Dahaa kings music rahaa sana,nyimbo tamu ,kipande cha mwisho Cheed anaflow vzur dahaa ,let's enjoy good music
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
adam hashimu kwel 👍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@adamhashimu4462
4 жыл бұрын
@@dogoshazzy7032 cheed katisha sana
cheed the melodist.....mario oozing talent..firee!!! 254 naikubali kabsa huu mzuka
Yalaaaaaaah!
We cheed ulichomfanya marioo humu mungu anakuona
@tadashaclassic7766
4 жыл бұрын
Hahahhaa kamkalisha
@mbembelatv
4 жыл бұрын
Marioo kapelee hd kapwaya😂 ila wamepiga poa sn
@abbyjay5940
4 жыл бұрын
hosea dante ah wapi kama unaujua muziki mzuri humu Marioo kaimba vizuri zaidi japo kipande kidogo...Verse ya Marioo👌🏾
@4realonlinetv169
4 жыл бұрын
Balalaaa
@hoseadante5658
4 жыл бұрын
@@abbyjay5940 kaimba kdgo ila nyimbo kaitawala cheed maana mpka sehem ya marioo cheed kaipokea tena yeye
Ngoma ya moto snaa cheed varse ya mwisho ndio umemanisha kwanini upo king'smusic shikamoo cheed aliekubali verse la mwisho gonga like tujuane
@joelylucas7945
4 жыл бұрын
Ni noma mpaka naona nyimbo ni fupi
@suleamber7252
4 жыл бұрын
Verse siujui ame rap daaah kaliii balaaa
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Abuu Mwegelo 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍👍👍
@paulebby1552
4 жыл бұрын
Hii verse ya mwisho mi mazishi
@aishaiddi6955
4 жыл бұрын
@@suleamber7252 haha
Jamani uongo ni dhambi Mimi ni team wcb lakini hili song ni Kali big up kwao
@happykimario7383
4 жыл бұрын
I like
Jamani awa watoto hawana shukrani kwa kweli umetengenezwa kiasi hiki unakuwa msaliti kwa alli kiba kweli dah kweli tenda wema nenda zako daha nimeumia kuangalia hii video
@julietajwang4822
4 жыл бұрын
Don't judge before knowing the reason behind and besides kiba is fine with it
Rispect for kings music,mashairi mazuri sauti nzuri, ukiwa na king lazma Mambo yako yawe ya kifalme falme
watu wanajua kuimba jaman cheed noma sana
Kama mapenz yangu ni mtama Nakupa wote donoa🤘🤘🤘
Wakali wa hizi kazi, mziki mzuri 🔥 🔥 🔥 🔥 litakufa jitu
Team good music...🇰 🇪 npeni likes zangu...
Niko sawasawa! KUSHABIKIA KING MUSIC Tuuweeeeeeee namiziki iliyoenda shule king music daima
Huyu chalii cheed ni kïsanga hili goma marioo simuoni kabisaa
Yaaan lazima tu niweka comment maana 🔥🔥🔥hiii inapendeza Sana kwa ''morning glory''
@genvhehenuue4216
4 жыл бұрын
Haha wakali wa morning glory twende nalo
Kimziki kenya hatufikii wabongo, Hawa ni vijana wanaochipuka kimziki na ni kama wamefika , video kali, audio kali sanaa Nilimpenda cheed na ngoma ya toto na nilipenda marioo na ngoma ya inatosha
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
campus vibe 👍👍👍👍👍🔥
@jaycalliam4956
4 жыл бұрын
upo sawa bro pia sisi ke. tujikaze na tusarport mziiki wetu pia but hii imeweza
2trending soon 1 cheed we kiboko yaan hii song sichoki bhana 2po pamoja king music 4life
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Amani Ngonyani 🔥🔥🔥🔥🔥👍
@edsonnelson4464
4 жыл бұрын
Kuna livideo limoja hapo lipo number moja on trending ndo linaziba
Kings music ni balaa la music wamekuja kiroho mbaya...utaipenda tu
Hatari sana 😁 niliachana na mke wangu ila nilivyomtumia hii song watsap nimemkuta yeye na mabegi yake karudi nyumbani ameniambia niwaishe funguo😁😁😁😁😁 like 10 za king cheed bingo na marioo
@joelylucas7945
4 жыл бұрын
Hahaha noma sana tena ukimaliza verse ya cheed ya maisho unaombea hata mkopo
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Bonye build 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👍
@abasilihundu200
4 жыл бұрын
😆😀😀😀
@jumamlimbende9862
4 жыл бұрын
haha😄😃😄😄😄
@anethjoseph6157
4 жыл бұрын
Mmh kweli jmn au
Kings music for life Cheed heshima yako kaka🤗🤗
Cheed uwe unaimba km ulivyoanza verse ya kwanza sio kutubania pua mnoooo
jmn hii ngoma imenikuna sana nairudia mara mbili mbali .ebu jmn nipe like zenu hpo chini..
Am in love with this song wallah hii ni mara kama ya 40 nairudia like kwa kingsmusic
@marktumain1140
4 жыл бұрын
Tupo wengi tunafanya ivyo ila utashangaa views zinaganda
@dogoshazzy7032
4 жыл бұрын
Fr J King 👍👍👍👍🔥🔥🔥🔥🔥
@gharibually5957
4 жыл бұрын
Mziki mzuri uko king music
Kufikia apo nadhani waliopiga wanaelewa Kings Music ndio chuo kikuu kamili cha mziki kilicho halali kabisa💪💪...+254 Nairobi representing na kama unakumbaliana na kiswahili changu sanifu piga👍👍
@4realonlinetv169
4 жыл бұрын
Hakuna wa kupinga
@amiriramadhan7753
4 жыл бұрын
💯✔
@gabrielshewio6599
4 жыл бұрын
Kiswahili chako kimenyooka haswa, nakubali
Sikuizi nanepa tena na enjoy ni mstari unao nikumbush mbali sanaaaa maisha ya o level kishule shule ni balaa sannaa
Mmetisha mbayaaaa nyie jamaaa aisee , Ngoma Qhaliiiiiiii...
Kings Music For Life! Rwanda Tunawapenda saana KEEP IT UP FOR What YOU ARE DOING! Its Lit
Drop likes twende sawa kama umeielewa hii chemistry ya Cheed na Marioo
Huyu ndo kabisaa sauti kama kabakwa....mimi namkubali ki2ga
@zaituniamiri7803
3 жыл бұрын
Wewe Lisa Msenge kweliww Wewe unawezaa?????
Cjawai kuupenda mziki wako cheed lkn ihi ngoma nimekupenda mpka ww mwenyewe wallah umeua sana king
Daahh!! Amaa kwelii king's music mpo katika mikono salama ya mfalme kibaa🔥🔥🔥
@arphoncesamweli6690
4 жыл бұрын
inaweza sana
@halisientertainment6489
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eGdmxs6lacrSkrg.html cheed ft marioo official video cover ona jamaa walivo ua umundani
@princesamir628
4 жыл бұрын
shabani mikidadi 💪💪💪
Bonge la Nyimbo, ingepata mtu wa Kurap hapo mwisho kama BLUE hivi ingekuwa balaa
@joshuamgahe5556
4 жыл бұрын
IP Zr
@joshuamgahe5556
4 жыл бұрын
mwaaaang IP vzr
@shozylamparboom8393
4 жыл бұрын
Blue Ana maunyama saana angemaliza shughul ila mpaka hapo bado wametishaa saanaa
Naona unachochea Mama haupoi nimetia nanga meli haingoi unanidekeza umenifanya toy wanga bye bye tuko Paradise haika haikataki kutwa namba x zise niko bize nae tukutane next time siku iz nanenepa tena na enjoy yani forever inever eeh oooh aah ooh aah eeh
@karimissa763
4 жыл бұрын
Kingz Foreal Yeeeeebaba
Noma sanaaaaaa
Cheed Umetisha sana 💥💥
Munanitenga sana weka like yako apo tuende sawa kwa bonge la ngoma
Nashukuru wimbo huu umeniponya mapunya na U.T.I Like kwa anaye kubali ushuhuda wangu
Daaaa utapata wapiii muziki mzuri kama king music
Slim cheed bingo we ni next king💪💪 hii song no🔥🔥🔥🔥🔥