CHAMA NI MAGUGU, MO DEWJI KAAMUA KUFANYA USAFI “ILA IMETUUMA KWENDA YANGA”

Пікірлер: 52

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa27732 күн бұрын

    Mm naona sawa tu chama kwenda yanga make anatuletea mauza uza

  • @joshuakitunzi9500

    @joshuakitunzi9500

    2 күн бұрын

    Kbs aondoke bhn

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5ztКүн бұрын

    Sawa Gugu linaenda kufanya kazi mjiandae kisaikolojia

  • @mikidadymohammedy7603
    @mikidadymohammedy76032 күн бұрын

    Mm kwangu naona sawa tu.

  • @kennedymafole
    @kennedymafole2 күн бұрын

    mimi ni yanga laikini nakubali GB64 anajua mpira na ana facts nzuri, anapaswa kupewa nafasi kubwa katika matawi na influence.

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso2 күн бұрын

    Nenda chama hatukudai,asante sana mwamba wa lusaka

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001Күн бұрын

    Msimu ujao MAKOLO mkiburuzwa, huyu huyu ataanza kulaumu viongozi walimuacha Chama...msipende kuweka nadhiri msizoweza kutimiza, maneno meeengi pa pa pa pa pa , bwege wewe

  • @DaluChiwinga
    @DaluChiwinga2 күн бұрын

    Pole kaka

  • @user-yq7gz7qo6d
    @user-yq7gz7qo6d2 күн бұрын

    Jamaa ana akili sn apewe nafasi na wamsikiluze mara kwa mara anaongea point naomba kuwasilisha

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433Күн бұрын

    SIYO KWELIIII!

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001Күн бұрын

    Si ulisema utahama Kwa MAKOLO na kwenda Azam ikiwa Chama atahamia YANGA..🤣🤣🤣

  • @bigjizee4130

    @bigjizee4130

    2 сағат бұрын

    Kabisa huyu jamaa alikuwa anaongea utadhani hana kichwa 😂

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131Күн бұрын

    Tupo na Mkwala hao wengine ni Mangugu

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga51912 күн бұрын

    Ngoja mda ufike tutaona kama chama ni gugu au ni mchezaji.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael73382 күн бұрын

    Alisema atahamia Azam, tunamsubiri ahamie Azam😂😂😂😂

  • @mbtlforofficesolution4926
    @mbtlforofficesolution4926Күн бұрын

    Tunajifariji na hatujajipanga nikama tunaanza kutengeneza Timu....hivi tunaweza fika malengo tuliyojipangia...au ndiyo ule msemo sizitaki hizi mbichi

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433Күн бұрын

    duh huyu jamaa mbona leo kawa mpole sanaaaaaa...?

  • @user-ip2we5uc7n
    @user-ip2we5uc7nКүн бұрын

    WEWE ULISEMA CHAMA AKIENDA YANGA UTAACHA KUSHABIKIA MPIRA, LEO UNAONGEA NINI TENA

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282Күн бұрын

    Kweli watz kiswahili mingi du tunaweza kukusikiliza mpk kesho asubh kwa vile hutaki kukubali kuwa we uliroka.Du Watz kweli kiswahili mingi😅

  • @IdrisaNasor
    @IdrisaNasorКүн бұрын

    Simba ikifanya vbya uyu uyu ndio atakaekuja kulalamikaaa kwann viongozii wmemuachaa chamaaaa😅😂😂

  • @NyasanaTv-ol4ix
    @NyasanaTv-ol4ix2 күн бұрын

    Imekuuma nini chama aliikuta simba katoka watakuja wengine zaidi yake mtoto akifa kwahiyo ndo unakata tamaa kulala mkeo eti ukimzaa na huyo atakufa jamani amkeni zama za kukaa na mchezaji miaka mingi ni tatizo kubwa sana yanga wenyewe hawawezi kumpa chama miaka mingi hapo ikizidi ni miwili hatozidi hapo huyo chimba anaenda kusitafia soka lake yanga kashachoka huyo

  • @Prosperkaluta

    @Prosperkaluta

    2 күн бұрын

    Hata wewe imekuuma

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia79402 күн бұрын

    Mzee wa Azam kapoa sana 😂😂😂ila Gb64 simba kindakindaki

  • @joachimkanoni7518
    @joachimkanoni75182 күн бұрын

    Assist ya chama kwa Okrah 1_1

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558Күн бұрын

    Ahadi ni deni

  • @KarimSaidi-pn8nw
    @KarimSaidi-pn8nwКүн бұрын

    Toka apa

  • @salehestambul5535
    @salehestambul55352 күн бұрын

    Jamaa kapoa saaana leo.

  • @mansourmzalla6696
    @mansourmzalla66962 күн бұрын

    Wewe Fanya uende azam tunaomba ahadi itimizweeeeeeee

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu58068 сағат бұрын

    Ww kabla ya yote vua jezi ya makolo Vaa ya Azam SI ulisema utaama Simba kenge we

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA2 күн бұрын

    Huyu hayuko VIZURI JUU ya hili kapagawa

  • @DeborahSaitoti-oy7fm
    @DeborahSaitoti-oy7fm2 күн бұрын

    Mazoea kazn matokeo yake ni hyo kila siku chama mgomo kila siku yeye tu acha nanaye sema chama ikiwezekana

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati95992 күн бұрын

    Yan unaumia yanga kuchukua magugu sasa si ufurahi na ngao ya jamii mnakutana nae huyohuyo chama kulaanina

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282Күн бұрын

    Acha kujitetea unaropoka bw uliona ulilala mahabusu.aaa we vipi bwashe? Kubali uliropoka yaishe bw.😂

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba2 күн бұрын

    Hapo unatuburuza chama hajamuacha ukweli ni kwamba chama kaicha simba huo ndio ukweli ata ww unalijua hilo.

  • @jovnroma
    @jovnroma2 күн бұрын

    Mungu ni mwema sana acha Chama atupishe kwanza

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq2 күн бұрын

    AnMdomo huyu alisema Chama hawez kwenda,yanga hashaushiki na chips

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs2 күн бұрын

    Amepoa😂😂😂😂

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba2 күн бұрын

    Nyie waandish mtakuja kuuwa watu sio busara kumuita huyu jama na kuanza kumuhoji maswala ya simba wakati mnajua fika ana majonzi, mlitakiwa mumpe muda wa kupumzika badala yake mngempa kitanda apumzike kwa siku ya leo than baada ya week kupita ndio mumuhoji hicho kinacho endelea hiv sasa.

  • @alphoncealmack9240
    @alphoncealmack92402 күн бұрын

    Huyu jamaa hata sijui kwanini anapewa mike kuhojiwa 😂😂😂😂 huwa hajitambui kabisa yupo kama king'amuzi vile😂😂😂 si alisema Yanga haina uwezo kumsajili Yanga

  • @DanielChaula

    @DanielChaula

    Күн бұрын

    😂😂😂

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq2 күн бұрын

    Ogelea,Chama yooooko Chama ni mama yKo mam yako yeyewe alichepka akamuacha bb yako jifikirie kbla ya kuongea yoooko yakooo

  • @fauzishabani2622

    @fauzishabani2622

    2 күн бұрын

    kirusi kimeondoka

  • @Sostere98
    @Sostere982 күн бұрын

    Simba tunataka vijana wenye moto

  • @nicodemuswidambe5132

    @nicodemuswidambe5132

    2 күн бұрын

    Mo anamoto

  • @johnjulliusntwenya4713
    @johnjulliusntwenya47132 күн бұрын

    hahahahah

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe51322 күн бұрын

    Huwa unalopoka tu ili ushabikiwe. Huna jipya rudia clip yako uliyoongea ovyo. Pumbafuu!

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe51322 күн бұрын

    Waongo nyie kawagomea acha kusema mmeflash hiyo ni laana. Mnamlamba miguu mo kashindwa kulipa acha kusema mlikuwa hammtaki. Rejea clip zako leo unakuja na miwani yako unatudanganya. Pumbafuuu!

  • @mosesdavid-vm5hk
    @mosesdavid-vm5hk2 күн бұрын

    HUYU SIO GB 64 NAYEMJUA MIMI

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba2 күн бұрын

    Kushindwa kubaya sasa furaha utaipata wapi? Wakati kipenzi cha makolo leo chama anaitwa gugu hebu mkumbusheni swali kati ya chama na pakome nani zaidi.

  • @AminaAmina-cr8jq
    @AminaAmina-cr8jq2 күн бұрын

    AnMdomo huyu alisema Chama hawez kwenda,yanga hashaushiki na chips

Келесі