Yanga itawavuruga wachambuzi kila mwaka. Kumbukeni kuna rotation na pia mechi zinakuwa za aina tofauti tofauti kulingana na timu pinzani inavyocheza. Duniani kote timu ikitaka kufanikiwa kimataifa ni lazima iwe na depth squad na hilo mnalijua sasa Yanga wanasajiri kwa mantiki hiyo mnakuja tena na hoja ya wachezaji kugombea namba daah!
Пікірлер: 1
Yanga itawavuruga wachambuzi kila mwaka. Kumbukeni kuna rotation na pia mechi zinakuwa za aina tofauti tofauti kulingana na timu pinzani inavyocheza. Duniani kote timu ikitaka kufanikiwa kimataifa ni lazima iwe na depth squad na hilo mnalijua sasa Yanga wanasajiri kwa mantiki hiyo mnakuja tena na hoja ya wachezaji kugombea namba daah!