CHADEMA TUNACHUKIANA KULIKO CCM ''MIMI NTASEMA UKWELI''MWAMBIGIJA AKOSA UVUMILIVU ACHAFUA HADHARANI.

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 103

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku2 ай бұрын

    Tatizo lipo Chadema.Jitafakarini.Hamfuraishi,japo mnaowafuasi wengi fikirini upya.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын

    Chadema ni kikundi cha wahuni

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    2 ай бұрын

    CCM kikundi cha watekaji na wauaji waliobobea

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o2 ай бұрын

    Hiki chama bdo sanaa kwakweli kitatusambatisha waatz 😢 tusiwe watu wakufuatfuat mkumbo tuwe makinji sana hawa watu ni janja janja wacha wapambane wenyewe kwanza

  • @happyjeremiahmhuli4043

    @happyjeremiahmhuli4043

    2 ай бұрын

    Ccm ndio wenye hii kazi wao wamezoea sasa chadema wakikemea wanakosa gani

  • @user-gy5en6cy8o

    @user-gy5en6cy8o

    2 ай бұрын

    @@happyjeremiahmhuli4043 ww kwa akili yako huko chama chadema kweli kinaweza Şahika dola🫣wajipange sana ila sio kwa sasa in the near future yes but not now 👍

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga65912 ай бұрын

    chuki ni mahali popote siyo ila ukweli lazima usemwe

  • @salummohamed2689
    @salummohamed26892 ай бұрын

    Umetumwa acha uhuni, CHADEMA tuachie tuliokomaa nacho. Na mwache Mwabukusi.

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    2 ай бұрын

    Huyu kwa kauli zake chadema wamfukuze mapema.Hafai hata kidogo.Mwambigija hafai.

  • @samsonsamwel8782

    @samsonsamwel8782

    2 ай бұрын

    Na co muda atahama

  • @yusuphkhalidkadinde6866
    @yusuphkhalidkadinde68662 ай бұрын

    Mnachukiana kwa uroho wa madaraka huyo mbewe yeye nani kafanya chama chake akitaka kugombea mwingine anawekewa zongo

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    2 ай бұрын

    Kwani CCM hii ni yao peke yao?mbona wanaing'ang'ania kuiongoza tangu tupate Uhuru mwaka 1961?unayaona ya Mbowe tu kuwa Mwenyekiti?

  • @V24hrs
    @V24hrs2 ай бұрын

    Chadema ni wahuni ..Sisi tulishakimbiaga kitambo sana

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    2 ай бұрын

    Wahuni wengi wako wapi kati ya Chadema na CCM?

  • @FirstOnline-ul5oh

    @FirstOnline-ul5oh

    2 ай бұрын

    Sasa kiongoz wa chadema freeman mbowe ni mwana ccm pure

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    2 ай бұрын

    Kama ulikimbiaga kitambo,hiyo kazi ya kuifuatilia Chadema inakupataje?Maneno hayo waambie wapumbavu wenzako

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    2 ай бұрын

    @@FirstOnline-ul5oh Akiwa mwanaccm mwenzako,sasa wewe shida yako ninini?Furahia Chadema haipo.

  • @V24hrs

    @V24hrs

    2 ай бұрын

    @@yassinnabwera4273 mpumbavu Mama yako alokuzaa.. kwani hajakufundisha adabu ya kuongea na watu

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise2 ай бұрын

    Chamsingi chadema tuwe makini sana ccm wasitugombanishe

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    2 ай бұрын

    Hawawezi kuigombanisha Chadema,wenyewe kwa wenyewe CCM wanagombana,ingawa kwenye mkusanyiko wa watu mbalmbali kugombana ni jambo lakawaida sana kinachotakiwa ni kuvumiliana ili mfikie malengo mliyojiwekea,

  • @qonquererqanquerer1781

    @qonquererqanquerer1781

    2 ай бұрын

    Kabisa Kabisa

  • @rebeccamwaisoloka5132
    @rebeccamwaisoloka51322 ай бұрын

    Umenena uwazi kabisa

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын

    TATIZO RUZUKU KILA MTU ANATAKA AMZIDI MWENZAKE 😢😢😢😢😢😢😢HAYA WAKIPEWA NCHI WIKI MOJA TU NCHI BANKRUPTCY

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    2 ай бұрын

    Akili yako ni ndogo,kwani CCM wanavyogombana,huwa wanagombea nini?Au unataka kutuaminisha kwamba CCM huwa hawagombani?

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    2 ай бұрын

    @@yassinnabwera4273 CCM WAKO MATURED LAKINI CHADOMO NI WAROPOKAJI NA KUBWEKA TU WAKISUBIRI MATUKIO 🤧🤧🤧🤧🤧🤧

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    2 ай бұрын

    Zaidi ya Trilion 80 nchi hii inadaiwa chini ya CCM,hizo pesa walikopa Chadema?

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    2 ай бұрын

    @@yassinnabwera4273KUNA NCHI ISIOKUWA NA DENI LA TAIFA HII DUNIA AU UNATAKA PADRE SLAA AFANYE MIUJIZA PESA ZIINGIE KWENYE SIMU ZETU 😢😢😢😢😢

  • @yassinnabwera4273

    @yassinnabwera4273

    2 ай бұрын

    @@OmmyJames-xn7ji Hapo ndipo unapoonekana uko mbali na hii dunia,kwa Chadema wakihoji ruzuku yao kwako wewe ni ajabu ila CCM wakikopa Matriolioni ya pesa na kuyaiba,hilo kwako sio tatizo,unajua ni ngumu sana kuipima akili yako na kuupima uelewa wako,endelea na mambo yako,kama hujui matrilioni hayo wanayoiba viongozi wako wa CCM inabidi tuyalipe Watanzania wote bila kujali vyama vyetu,inaonekana Akili yako haina Akili.

  • @francisjohanes3027
    @francisjohanes30272 ай бұрын

    Hiyo ndo CDM black and white big up

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo98702 ай бұрын

    Duh kumbe Chadema hatupendani hii ni hatari sana kwa ustawi wa chama

  • @user-ob9mc5zc1k
    @user-ob9mc5zc1k2 ай бұрын

    Kwa kweli umekomaa kisiasa Mwambigija

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi14862 ай бұрын

    Ni wale wale ila rangi tofauti

  • @user13375
    @user133752 ай бұрын

    Hata kama ukiwa na nguo nzuri ya gharama kubwa kama ni moja tu na ni kauka nikuvae ,haitakufaa ,Tunataka kubadilisha tuu

  • @NDEWARA
    @NDEWARA2 ай бұрын

    Kama mlikuwa hamjui CHADOMO ndiyo hiyo😂😂

  • @simonmwasile4377

    @simonmwasile4377

    2 ай бұрын

    Kumamayo, chadomo mamakò

  • @petromwakipesile9574
    @petromwakipesile95742 ай бұрын

    hayo madongo kwa sugu......mwambigija na sugu hawaivi kbs,,,, ndo maana anakuambia atamuomba mwabukusu akuje kugombea mbeya mjini. kama huna D mbili huwezi kuelewa hii kitu

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r2 ай бұрын

    Kweli Mzee siasa ni kutumia akili sio nguvu Wala matusi nikusoma alama zanyakati

  • @luhanganokapole7759
    @luhanganokapole77592 ай бұрын

    Duh

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si2 ай бұрын

    Du! Shughuli ! Acha Inyeshe tujue panapovuja!

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga51972 ай бұрын

    Mmmmmh ninamashaka na ww ila Chadema chama makin sana acha siasa ndan ya chadema

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya16932 ай бұрын

    angalia huyu asiisambaratishe CHADEMA.

  • @possianokigwinya9988
    @possianokigwinya99882 ай бұрын

    Unashida pole.

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga63902 ай бұрын

    Leta sera brother maneno yamekuwa mengi hta ukiwa mzuri kuongea unaonekana porojo nyingi kuliko kujenga chama

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    2 ай бұрын

    WAKATI wa magu walilalamika HAWAWEZI kufanya mikutano sasa hivi ni chuki na ubaguzi na kejeli hawana sera ila ni watu wa MATUKIO 😢😢😢😢😢😢😢

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын

    Mwambigija anakibomoa chama kwa makusudi ,chadema mfukuzeni huyu mapema.

  • @user-es5hj7dj5i
    @user-es5hj7dj5i2 ай бұрын

    Kumbuka wachafuzi pia wamo wengine ni kutoka huko walikotoka kwa kuchafua kuja kuchafua ili wananchi wasione tofauti

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf2 ай бұрын

    ABAKIYEEE HUKO HUKO MWAMBUKUSI, ACT WAZALENDO HATUMTAKI NG'OOO. ACT WAZALENDO SIO CHAMA CHA MASHOGA NA WAPOTOSHAJI.

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын

    WATU WENGINE WAPUMBAVU SANA WAONDOLEWE KTK CHAMA

  • @LovelyGecko-so6ry
    @LovelyGecko-so6ry2 ай бұрын

    Umesema kweli kabisa ila muda utatoa muelekeo thabiti

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus88932 ай бұрын

    mwambukusi multipurpose anagombea popote pale

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa61592 ай бұрын

    Nasikia kichefichefu nikisikia lifisiyemu humu hatutaki mbogamboga kabisa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa61592 ай бұрын

    Mimi simuamini mwambigija anatumiwa na fisiyemu ni mnafiki chadema mbeya mjin kaeni chonjo

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga23442 ай бұрын

    Hivi kweli chadema mmefikia mahali pa kujidhalilisha kiasi hiki! Hebu kaeni mjitafakari huyo mdudu aliye waingia ashughulikiwe mapema kabla ya kusambaratika

  • @kianda973
    @kianda9732 ай бұрын

    Mmmh....???

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын

    Walaaniwe

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa2 ай бұрын

    Shida yenu ni hiyo hamtakagi kutoka madalakan . Mtu akijitokeza kuchukua fom mnaaza kusema umetoka na chama mbali. Hutaki kuachia madalaka. Mmeishiwa mbinu Acha kujifanya chama NI chako. Ccm wanawapiga bao

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob57952 ай бұрын

    Mnagombanishwa na vichwa vya habari ili mfungue msikilize ili apate point....ni biashara

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya29722 ай бұрын

    Tukisema chadomo ni chama watu flani muwe mnatuelewaa

  • @happyjeremiahmhuli4043
    @happyjeremiahmhuli40432 ай бұрын

    Wahuni kuliko ccm ? Uzuri wa ccmhaup0 hujawajua

  • @jerrymfinanga3773
    @jerrymfinanga37732 ай бұрын

    mbn simjuiii huyuu

  • @geey7893
    @geey78932 ай бұрын

    Jamani mnisaidie Abdul ni nani???

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын

    "Atagombea hapa ni kwao kwani ni Mkinga huyu"hiyo kauli ni ya kibaguzi haifai hata kidogo.Mwambigija umeteleza na umekosea sana.

  • @selemanmoses1310

    @selemanmoses1310

    2 ай бұрын

    Ukweli unaponza sana, OK kosa lake ni lipi..?

  • @zariadunia6328

    @zariadunia6328

    2 ай бұрын

    Hajakosea wakinga waende kwao kuna mnyakyussa anagombea makete😊😊😊

  • @zariadunia6328

    @zariadunia6328

    2 ай бұрын

    Ila Sugu kazi anayo hayo yote ni madongo yake namuhurumia wenye mji wamechoka

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    2 ай бұрын

    @@zariadunia6328 kwani chaguzi zote anachaguliwa hakukuwepo na wanyakyusa.Acha ujinga ww.

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    2 ай бұрын

    @@zariadunia6328 hawajamchoka ila ingekuwa mimi sugu nisingegombea ningemwachia huyo wanaemtaka tuone kama atashinda mbele ya Tulia.

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o2 ай бұрын

    Duh kumbe chadema ni chama dini 😢wasiokua na dini sijui itakuaje😢

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    2 ай бұрын

    Haleluya 😢😢😢😢😢

  • @user-gy5en6cy8o

    @user-gy5en6cy8o

    2 ай бұрын

    @@OmmyJames-xn7ji kwaiyo unakubaliana na mm sio kua chadema wadini 😳

  • @OmmyJames-xn7ji

    @OmmyJames-xn7ji

    2 ай бұрын

    @@user-gy5en6cy8o NI SUMU KWA JAMII 🤧🤧🤧🤧🤧🤧

  • @petermogha7025
    @petermogha70252 ай бұрын

    Nabado utajua

  • @patrickmasele4566
    @patrickmasele45662 ай бұрын

    BUSARA NI KUWAUNGANISHA WANACHAMA WAKO SIO KUWATENGANISHA...

  • @user-jc8el6je5e
    @user-jc8el6je5e2 ай бұрын

    Mbna Kama unamsema sugu braza

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    2 ай бұрын

    Mwabukusi atagombea hapa ni kwao kwani ni mkinga huyu ,hiyo kauli si nzuri na haifai.

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri2 ай бұрын

    NDUGU YANGU KAKA YANGU MBOWE MIMI MDOGO WAKO NINA KUSHAURI KUTOKANA NAHIYO MBWAA KOKO YAKO TUNDULISSU AKUFAI WEWE TUMEKUWA WOTE HAPA MJINI KWA KWA HIKMA NABUSARA HUJUWI KUMTUKANA AO KUMDHAU MTUU SASAHUYO MWANA KIJIJI ATAKUSABABISHIA KUONEKANA KAMA NA WEWE HUJITAMBUWI SIUNAONA WAKATI ALIPO KUWA UBELIGI UKIMBIZINI ULIMBUKENI WAKE WA AJABU

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje85152 ай бұрын

    Mwambigija Ninakuelewa Lkn Umekosea my friend Kusema Mwabukusi Angeenda Act Mngeponea Wap Umekosea Sana Hata Angeenda Act Bado Chadema Inanguvu Wote Tunahitaajiana Kwa Pamoja

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    2 ай бұрын

    Mwambigija hafai.Chadema wamfukuze mapema anatumika.

  • @FrankMwakatundu-cu6bd

    @FrankMwakatundu-cu6bd

    2 ай бұрын

    NA MIMI NINA WASI WASI SANA NAYE HUYU ANAWEZA AKAWA NI NYOKA HATARI SANA!!!!! NA KAMA SI NYOKA BASI HANA HEKIMA MANENO YAKE SI SALAMA KWA CDM HATA KAMA HAYO ANAYO YASEMA YANA UKWELI.

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    2 ай бұрын

    @@FrankMwakatundu-cu6bd uko sahihi .Mwambigija ana mwelekeo wa kukibomoa chama kabisa.yaani kwa kauli zake hizi za hovyo anamwelekeo huo kabisa.

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o2 ай бұрын

    Mwambigija kweli ni mtu wa hovyo Sana Yeye anaona yuko sahihi kuliko wote chadema mbeya

  • @user-kq7ee4vp7o
    @user-kq7ee4vp7o2 ай бұрын

    Kwa ushauri wangu tofauti zenu viongozi mliokusudia kujenga nyumba nyumba embu jaribuni kuyamaliza ndani mnakiuwa iko chama wenyew kwa mikono yenu siyo busara hata kidogo kutoka hadharani nakussemana kijinga kama ivo.

  • @alexmnogi1822
    @alexmnogi18222 ай бұрын

    Wewe sio chadema uskute na wewe unataka umwenyekit ...kuongea kwenyewe hujuh njaaa mbyaaa

  • @user-rg2py2yz4x
    @user-rg2py2yz4x2 ай бұрын

    Wewe.mjinga..umeacha..biashara..ukaaza..siasa..fara

  • @AbelNelson-lt2ql
    @AbelNelson-lt2ql2 ай бұрын

    Tatizo la huyu mnyakyusa mwenzangu ni umimi wake na kumwona sugu kama mkimbizi mbeya, kakimbia tujuyu alikogombea anapambana na sugu kwa hila zake, alafu napenda sana kutumia unyakyusa kumnyanyasa sugu kama mtu asiyefaa kwa ukinga wake ni mambo ya kijinga sana. Niliwambia wafuasi wake kuwa mwambigija hana vision mkimfuata mtaenda na maji chadema ni taasisi kubwa inaweza kumwengua yeyote mleta mitafaruku hawakuelewa badaye walitupwa wote nje ya uongozi wa chama na wengine kutimuliwa.

  • @thobiasmarandu214
    @thobiasmarandu2142 ай бұрын

    That is Being Stupid

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson1992 ай бұрын

    Et waziri mkuu wa mbeya! Mpumbavu mkubwa chama ni tasisi c mali ya mtu ni mali ya watu! Ohooo mnaanza kuchambana wenyewe! Huna akili yoyote we kenge danganyaga wajinga

  • @abubakarimburu9096
    @abubakarimburu90962 ай бұрын

    Chadema mlimuua chacha wangwe kwa uroho wa madaraka na hiyo laana haitawaacha mpaka msambaratike

  • @charleslukumai7875

    @charleslukumai7875

    2 ай бұрын

    Kumbe unao ushahidi wa mauaji, halafu hutaki kuutoa kwa vyombo husika!!? Basi wewe ni mshirika wa hayo mauji, na vyombo husika vinatakiwa vikuchukulie hatua stahiki. Au wewe ni yule kijana wa uvccm Kagera?

  • @davidsimbeye1548
    @davidsimbeye15482 ай бұрын

    Sasa hapo unajenga chama au unakibomoa?

  • @MathewNathan-yb2bz

    @MathewNathan-yb2bz

    2 ай бұрын

    Anakibomoa chama kabisa huyu hafai hata kidogo

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz2 ай бұрын

    Kwani mwabukusi ni mwanachama wa chadema?mwambigija mbona kama ww ni wa hovyo sana.Mwabukusi sio mwanachama wa chadema.Subiri mwabukusi ajiunge chadema ndiyo umsemee ila kwa sasa unakwenda kinyume na taratibu za chama.unaonekana ni mtu mzima lakini huna hekima wala busara.kauli zako za leo hazifai hata kidogo.

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    2 ай бұрын

    Hujuwi siasa kutoka chama hakuhitaji tamko wala barua, ukisimama tu jukwaa la chama kingine maana yake ameachana na chama cha zamani.

  • @paullutegwa-lo7bv
    @paullutegwa-lo7bv2 ай бұрын

    Cotoon

  • @antipasmkude3789
    @antipasmkude37892 ай бұрын

    CHADEMA Muwe Makini na mapandikizi ya Ccm. Wanapandikizwa kuharibu CDM.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo64642 ай бұрын

    Broooooo Nimekukubali....... Natamani niwe mwanafunzi wako katika siasa.... Iwe her kwako..

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga51972 ай бұрын

    Mmmmmh ninamashaka na ww ila Chadema chama makin sana acha siasa ndan ya chadema

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u2 ай бұрын

    Pongez makamanda wetu kwakujitoa kulitetea taifa letu linaenda kubaya

Келесі