CEO Simba azungumzia mustakabali wa kocha Mgunda na kocha mpya
Спорт
“Mwalimu Mgunda yupo sana ndani ya Simba” maneno ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula akizungumzia mustakabali wa kocha Juma Mgunda na ujio wa kocha mpya.
Simba SC ina jambo lake hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam.
#SimbaSC #SimbaNaJamboLao #Simba
Пікірлер: 29
Kuna sehemu mnamkatisha nia mzee wa ball litembee mpenzi timu angalau msimu mmoja aonyeshe uwezo wake
@abudalaabdumalik9362
Ай бұрын
Umeongea pointi sana tajir
Nimefurahi laliga kurudi azam tv asee itakuwa ni motoo msimu huuu💪🏾💪🏾💪🏾
Nguvu moja
Matola kama atakuwa kwenye benchi la ufundi, Simba sc haichukui ubingwa, kama hamuamini nimekaa paleeeee
Viongozi mnazingua sana apa kwa Mugunda na mtazdi kuferi kwa awa makocha wa kigeni
Akifungwa mechi hata Moja Fukuzeni si jambo la kuchekelea wakati Yanga lengo lake anafungaga zote
🦁🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏
Huyu ndo kikwazo kwa Juma Mgunda
Mwacheni mgunda kwenye bench kama kocha msaidizi mbona ulaya makocha wanaweza kuwa hata 3
bado hujajibu swali. mgunda ataungana na timu au laa
Kama Huna at least D mbili huwezi kuwaelewa Simba!!!
Wacheza mnaosajiri ni wazuri sana tunawakubari ila ifike wakati viongozi wa simba muelewe kuwa wachezaji wanarogwa na nyma mwiko
Nimefurah xan natka nimuon mbape
mgunda mnamchukulia poa
Kocha ni Mgunda.
Ila huu uongozi wa simba kuna mahali mi sielewi
@rajenderrobert8605
Ай бұрын
Mimi pia
Basi kama kuna kitu Mgunda hana, si mumpeleke shule akamilike ili huo uungwana wake kwenu uwe na tija on a mutual benefits
Unaulizwa kitu kingine unajibu utumbo
Ni hovyo kwa timu kama Simba kuwa na mkurugenzi wa sample ya Imani Kajula, ni uchafu uliokithiri yan
@jumamangombe6493
29 күн бұрын
Uko sahihi, jamaa ni mbabaishaji sana yaani, takataka.
NYUMA MWIKO
Hakuna uongozi hapo ni ubabaishaji tu.yaani lazima matola abaki ili awasaidie kupiga.
@abdallahshariff6555
Ай бұрын
Kabsaaa,kuna Siri Matola anayo ijuwa,hatumtaki Matola ndio agent Kwa wa hezaji Kwa kuuza mechi
@abdallahshariff6555
Ай бұрын
Nina maana agent kwa wachezaji Kwa kuuza mechi
Wewe mpira ujui mambo zako ni za kiuni
Ndio shida ya management ya simba. Kosha mbovu
Bora juma mgunda kuliko huyu kosha mpya