CEO Simba azungumzia mustakabali wa kocha Mgunda na kocha mpya

Спорт

“Mwalimu Mgunda yupo sana ndani ya Simba” maneno ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Imani Kajula akizungumzia mustakabali wa kocha Juma Mgunda na ujio wa kocha mpya.
Simba SC ina jambo lake hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam.
#SimbaSC #SimbaNaJamboLao #Simba

Пікірлер: 29

  • @user-xr8wy4mt4j
    @user-xr8wy4mt4jАй бұрын

    Kuna sehemu mnamkatisha nia mzee wa ball litembee mpenzi timu angalau msimu mmoja aonyeshe uwezo wake

  • @abudalaabdumalik9362

    @abudalaabdumalik9362

    Ай бұрын

    Umeongea pointi sana tajir

  • @edchrisbeatz8976
    @edchrisbeatz897629 күн бұрын

    Nimefurahi laliga kurudi azam tv asee itakuwa ni motoo msimu huuu💪🏾💪🏾💪🏾

  • @RamadhanZumba
    @RamadhanZumbaАй бұрын

    Nguvu moja

  • @user-wh2mm1eq2x
    @user-wh2mm1eq2xАй бұрын

    Matola kama atakuwa kwenye benchi la ufundi, Simba sc haichukui ubingwa, kama hamuamini nimekaa paleeeee

  • @EmmaBlev-j8o
    @EmmaBlev-j8o27 күн бұрын

    Viongozi mnazingua sana apa kwa Mugunda na mtazdi kuferi kwa awa makocha wa kigeni

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn897025 күн бұрын

    Akifungwa mechi hata Moja Fukuzeni si jambo la kuchekelea wakati Yanga lengo lake anafungaga zote

  • @SamsonSaruni-s3g
    @SamsonSaruni-s3gАй бұрын

    🦁🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏

  • @gotfriedmwesiga4234
    @gotfriedmwesiga423421 күн бұрын

    Huyu ndo kikwazo kwa Juma Mgunda

  • @georgegregory8414
    @georgegregory8414Ай бұрын

    Mwacheni mgunda kwenye bench kama kocha msaidizi mbona ulaya makocha wanaweza kuwa hata 3

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo840820 күн бұрын

    bado hujajibu swali. mgunda ataungana na timu au laa

  • @alfredbenno3251
    @alfredbenno3251Ай бұрын

    Kama Huna at least D mbili huwezi kuwaelewa Simba!!!

  • @rosemtwango4265
    @rosemtwango4265Ай бұрын

    Wacheza mnaosajiri ni wazuri sana tunawakubari ila ifike wakati viongozi wa simba muelewe kuwa wachezaji wanarogwa na nyma mwiko

  • @EzelonMshembe
    @EzelonMshembe27 күн бұрын

    Nimefurah xan natka nimuon mbape

  • @ambakisyemwanjemba5787
    @ambakisyemwanjemba578729 күн бұрын

    mgunda mnamchukulia poa

  • @rajenderrobert8605
    @rajenderrobert8605Ай бұрын

    Kocha ni Mgunda.

  • @autoimmunesecurity2140
    @autoimmunesecurity2140Ай бұрын

    Ila huu uongozi wa simba kuna mahali mi sielewi

  • @rajenderrobert8605

    @rajenderrobert8605

    Ай бұрын

    Mimi pia

  • @bakarimasanga3634
    @bakarimasanga3634Ай бұрын

    Basi kama kuna kitu Mgunda hana, si mumpeleke shule akamilike ili huo uungwana wake kwenu uwe na tija on a mutual benefits

  • @user-gq8ox7wb7f
    @user-gq8ox7wb7fАй бұрын

    Unaulizwa kitu kingine unajibu utumbo

  • @EliyaMloy-lf7vp
    @EliyaMloy-lf7vpАй бұрын

    Ni hovyo kwa timu kama Simba kuwa na mkurugenzi wa sample ya Imani Kajula, ni uchafu uliokithiri yan

  • @jumamangombe6493

    @jumamangombe6493

    29 күн бұрын

    Uko sahihi, jamaa ni mbabaishaji sana yaani, takataka.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8vАй бұрын

    NYUMA MWIKO

  • @user-gq8ox7wb7f
    @user-gq8ox7wb7fАй бұрын

    Hakuna uongozi hapo ni ubabaishaji tu.yaani lazima matola abaki ili awasaidie kupiga.

  • @abdallahshariff6555

    @abdallahshariff6555

    Ай бұрын

    Kabsaaa,kuna Siri Matola anayo ijuwa,hatumtaki Matola ndio agent Kwa wa hezaji Kwa kuuza mechi

  • @abdallahshariff6555

    @abdallahshariff6555

    Ай бұрын

    Nina maana agent kwa wachezaji Kwa kuuza mechi

  • @DicksonMawinda-zb5bc
    @DicksonMawinda-zb5bcАй бұрын

    Wewe mpira ujui mambo zako ni za kiuni

  • @SalimAl-mahrooqi
    @SalimAl-mahrooqiАй бұрын

    Ndio shida ya management ya simba. Kosha mbovu

  • @SalimAl-mahrooqi
    @SalimAl-mahrooqiАй бұрын

    Bora juma mgunda kuliko huyu kosha mpya

Келесі