Caroline Kangogo anatafutwa na polisi kwa tuhuma za mauaji
Caroline Kangogo anatafutwa na polisi kwa tuhuma za mauaji
Kangogo anatuhumiwa kuwaua watu wawili kwa kuwapiga risasi
Anadaiwa kumuua polisi mmoja Nakuru na mtu mwingine Juja
Inadaiwa kuwa anatumia nambari tofauti za simu kuwasiliana
Пікірлер: 150
Imagine how their wives reacted....The realization that your husband cheated,and also got killed.
Wanaume Waachane na mipango ya kando coz mnaacha family zenu taabani jameni😭😭
@ShSh-my8cw
3 жыл бұрын
💔
@priscillakageha1689
3 жыл бұрын
Kabisa dada 😭😭😭
@helenshella6809
3 жыл бұрын
Kabisa
@mercyshiro5808
3 жыл бұрын
True!
@mercynatasha9584
3 жыл бұрын
The wife majeni,
Wanaume acheni umalaya🤣🤣🤣
@rugendorunene545
3 жыл бұрын
Very true... Lakini wajinga ni wengi, wacha waonyeshwe cha mtema kuni.
@aminabashir5843
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@chapelimohkin
3 жыл бұрын
True
Mimi naona nikama huyu Askari ameambukizwa ugonjwa so she is revanging alafu labda ajiue after all,,, wah iko shida 🤔🤔 wanaume nanyi mtatulia na wake wenu
@khanniebaraka1515
3 жыл бұрын
Hapo kweli kabisaa
@rugendorunene545
3 жыл бұрын
I agree with you... It's revenge!
@salyjepkogei60
3 жыл бұрын
Ubaya ya wanaume wako na kichwa lala. Hawatosheki haki
@eunexoproducts9145
3 жыл бұрын
Yeah,, inawezekana
@janekamau8015
3 жыл бұрын
True
Polici ana winda polici that's hard solve they know their codes.. She is a tricky cope
Wacha awauwe tu wote amalize mention yake.ili iwe fundisho kwa wanaume wanaoacha familia zao zikilia,wanaenda kwa maraya
@princeskevi1696
3 жыл бұрын
Sure,but anyway RIP for those lost their lives
Wanaume tulieni na bibi zenu, hii kuchepuka sio sifa hamtosheki kwani bora mufinywee..
@rugendorunene545
3 жыл бұрын
Lakini wajinga ni wengi, wacha waonyeshwe cha mtema kuni!
@ericmwiti7166
3 жыл бұрын
Seems huyu msichana alienda vct akawa positive. Ajui ni nani alimwambukiza and she is on a revenge mission.
Men that have left their families crying, God will catch up with you.
@Honest_Man
3 жыл бұрын
Are you defending her??really?murder
@margaretnjeri2310
3 жыл бұрын
Dont u know that killing is a sin
@rugendorunene545
3 жыл бұрын
I can defend that woman! Wanaume wengine ni washenzi... Let's be honest.
@robertkiplangat2968
3 жыл бұрын
Idefend a lady uyu mwanaume alitafuta Nini Kwa caro na bibi yake ako naye
@cherotichdebra8613
3 жыл бұрын
They are reaping what they sow
So Ndwiga had a wife and yet he was in a hotel room with another woman at 3 PM??🤔🤔 RIP Ndwiga
@alextercisio5477
3 жыл бұрын
Shame on him
@annem2980
3 жыл бұрын
@people voices and Now his tail is between his legs and Done! For good! May Almighty God have mercy on his soul. 🤔
@widekimkung4862
3 жыл бұрын
Tena wawili.
Its easy to silence a gun in a room..how i won't say as an ex soldier..so you can't hear
Hiyo ni funzo Kwa wanaume
@Honest_Man
3 жыл бұрын
This isn't funny
@janewanjiku5673
3 жыл бұрын
@@Honest_Man kabisa mtu akiambiwa atulie na familia yake anaona bibi ni mjinga this the right result
@isaackihonge5
3 жыл бұрын
Funzo kwa wanaume bona huyu mama alikuwa na wanaume wengi hivi ara
@rugendorunene545
3 жыл бұрын
I can defend that woman. Tuseme ukweli wanaume wengine ni washenzi sana.
Waume hovyo kabisa wanakufa kwasababu ya laana za wake zao na watoto wao, hilo ni funzo kwa wanaume lalaya, wakiachana na mipango ya kando na wakitulia na familia zao nakuzitunza Mungu atawahifadhi na wataishi.
Ama alipachikwa ukimwi? I'm just wondering why is she after all men that had intimate relationships with her?
Maybe alijipata na ugonjwa na hajui nani alimpa..balaa kuu
@susanyogo616
3 жыл бұрын
My thoughts too
@Honest_Man
3 жыл бұрын
Usimdefend
@martinmunge2830
3 жыл бұрын
Ukweli
@boniface3710
3 жыл бұрын
Most probably
@karenkiambi3124
3 жыл бұрын
Pia Mimi naona hivo
Weeee 😥😥😥😥
Recce can assist
Fow how long will she run
Waaaahh si ako mombassa uyu ,mdada aky
When love turns sour nothing good can come out of it🙄😭😭😭
@JacintaBosibori-cr8er
4 ай бұрын
Lt4rst😂🎉😢😮😅😅😊
jesus waaaa
Like seriously men take care for your family
Weee Huyu mwanamke mwisho
Wah uyo dem anatafuta na ex wake Wah !
Mngu wangu aki
She is right ✅👏 walhi me my mission nikifika kenya I have too finish someones son that my promise to kenya 🇰🇪😳
@monicahmwkali1209
3 жыл бұрын
Kwa nn
@widekimkung4862
3 жыл бұрын
Really!!?".
@samirabossbaby9789
2 жыл бұрын
Yes
Ata mwingine auliwe mtu anawacha familia yake akienda wapi
Kwani alikua na series of Men???
Wanamtafuta ili wapate pesa kwake lakini sio haki ipatikane 😏😏😏hii Kenya na corruption imekuwa too much
MATIANGI ALIWAKATAZA 🤔
Hii kushika evidence bila gloves?
Ukiona bwana yako anajichaficha ujue alikua ex wake,,wanaume mtapata kichwa
wanaume it's ur high time you concentrate with your family wachaneni Na madem
Huenda Kuna deal walicheza then akatupwa nje,mmmmh
Caroline she under depression(l think ame face a lot of rejections from men(men mipago ya kado mutaacha
@Sadaamberlin8307
3 жыл бұрын
Malaya ww
Hii ndio matiangi alisema..polisi wasioane
@priscillakageha1689
3 жыл бұрын
N hatari saana
@joycegichia5201
3 жыл бұрын
Matiangi knows about problems of the heart...that's why he said so
@shabankolia8204
3 жыл бұрын
Wewe nawe kwani wote walikua police
According to me nikama Kuna uwezekano Kuna Kati ya mwanaume hapo alimwambukiza maradhi but hajui ni nani akaamua kuwaua one by one anyway ni maoni tu am not sure.
@jmathai1418
3 жыл бұрын
Wacha Mushene
Kwa hivo alikua na wapenzi wawili wanaume haiya maisha sio mbaya
most probably the lady learnt some health status which are related to her intimate relationships, people handle such health scare differently... its only sad that killing will only cause more harm!!!
Okwendo ni wa kakamega
Ama ni juu anan ukimwi sahii anamaliza kila mutu amekula iyo samoo ndio ana maliza one by one
@daughterzion8886
3 жыл бұрын
yuko na ugonjwa
Mpenziwe mwingine? Kumbe ni poko?
Seriously, you had a wife
The guy must have ahidden agenda .so she must be interrogated what may be cause of her killing her lovers.
This woman is after revenge? if its not revenge how comes she is only killing those men who had relationship with her"!!
Hii nipoa kwa wanaume malaya
Wauwawe kabisa wanachia bibi pesa ya sukuma wanaenda Kwa club kuchoma manyama acha mungu afanye kazi yake wanaume wanatesa wanawake Sana hiyo tu ndio dawa kuu c kutoa mboro
Waaah huyu n shetan kabisa.. Wanaume tosheka na mke nyumbani.. Ukitaka kulewa kunywa kanunue dukani unywe kwa nyumba yako ila hii starehe imekuwa stara...
Malipo ya uhanyaji, she is just to bring something out although in a wrong way by killing
Apigwe risasi na yeye
@faithkilelo2271
3 жыл бұрын
Wanaume tulieni kwenu
@louiskhan7372
3 жыл бұрын
@@faithkilelo2271 watafuta maneno
Utapatikana tu
In my opinion wamemngojeza Huyu mwanamke HIV hii ni ravaged
How do you say allegedly in Swahili 😒
@faithkanana5262
3 жыл бұрын
inadaiwa
@mariestuff5272
3 жыл бұрын
Yasemekana
Delila
The wages of sin
They are saying that she was a sex worker,, side hustle
Alikodi chuba cha kulala ndo apatane na kifo chake
Nikawa walimambukiza ukimwi na hajuwi alie mpa niyupi ndiposa akaamua kuwauwa poleni
@susanyogo616
3 жыл бұрын
True
@carenchepkurui126
3 жыл бұрын
hio n shida ya Kukaa n wanaume wengi
@rugendorunene545
3 жыл бұрын
I can defend that woman. Tuseme ukweli wanaume wengine ni washenzi sana.
Deadly woman
Huyu aliambukizwa ukimwi.Hajui aliyempa.sasa ni kulipia
@carenchepkurui126
3 жыл бұрын
I think ,n hivyo
@policatewanjiru6308
3 жыл бұрын
Ujakosea
@annahnechesah1301
3 жыл бұрын
True
@brianlyrics2158
3 жыл бұрын
You nailed it
@queenlynne4157
3 жыл бұрын
I think soo
Huyu ni sugu
Wakenya Poleni Sana na huyo Askari aliyechanganyikiwa,siyo bure Kuna linalomtesa,atafutwe kwa ujanja na busara!
@monicahmwkali1209
3 жыл бұрын
Kweli si bure
asidwe sana ananunuliwo lunch na akalipiwo pahali pakulala then akatoeka mahali caro uko mungu asikupe amani haki
@shabankolia8204
3 жыл бұрын
Atamipea amani huyo bingunu direct mark my words
I0
Ni mrembo sana msameeni
Maybe carol is suffer from schizophrenia and going after her exes?