BREAKING: Zitto Kabwe Atangaza Maamuzi Magumu, Upinzani Waunga Mkono
BREAKING: Zitto Kabwe Atangaza Maamuzi Magumu, Upinzani Waunga Mkono
Leo Januari 03, 2019, Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe, Katibu Mwenezi wa CUF, Salim Bimani pamoja na viongozi wengine wa vyma mbalimbali vya upinzani wanazungumza na wanahabari wakiwa katika makao makuu ya Chauma Makumbusho jijini Dar.
Katika mkutano wake Zitto na vyama vingine vya upinzani wamethibitisha kuwa wamefungua kesi katika Mahakama kuu ya Tanzania kwa ajili ya kupinga muswada wa sheria ya vyama vya siasa kujadiliwa na Bunge kwa minajiri ya kuupitisha kuwa sheria.
Zitto amesema katika kesi hiyo wanamshtaki Mwanasheria Mkuu wa Serikali na si Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
#ACTWAZALENDO #ZITTOKABWE
Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 297
Tunafurahi kuona mkitumia taaluma zenu vyema! Mbarikiwe!
Ahsante zitto kabwe Mungu awajalie mfanikiwe walau Democrasia ipatikane nchini mwetu
@cutealaufy9508
5 жыл бұрын
Ameen
@jimmysalm3954
5 жыл бұрын
Amen
@zamirumaftaa6532
5 жыл бұрын
ili watanzania tujue kwamba kweli selikali ya ccm haina ufisadi iachie uhuru wa vyama vya siasa ufanye kazi kwanini ana zuia zuia kwanini jaribuni kujiuliza kwanini
Mungu Wa Mbinguni awatangulie katika Safari mliyoianza!
@samwelieliasy9653
5 жыл бұрын
Hapa kazi 2 maneno yenu ya ovyo
@joesmike2369
5 жыл бұрын
Mungu hawezi watangulia wanafiki kama hawa .wanajifanya watetezi kumbe wezi tu . Hv unajua zito anamiliki utajiri wa kiwango Gani? Na aliupataje
@seifkoshuma5518
5 жыл бұрын
JOES MIKE ... KAMA AMEIBA MBONA ASIPELEKWE MAHAKAMANI? USIWE NA HOJA NYEPESI KIASI HICHO.
@joesmike2369
5 жыл бұрын
@@seifkoshuma5518 wezi wa fikra
ni hatua nzuri sana Mungu asimame nanyi na ktk kuipigania haki yetu ya kikatiba kila la heri mh.
Ni hatua nzuri, na ni mara nyingi mmekuwa mkiazimia mambo muhimu kaya haya ila mnakuwa mkiishia njiani,. nawasihi viongozi wetu, hii si safari ya mmoja walwa wawili, shikamaneni vema na kwa umoja wenu-wananchi tuko nyuma tukiwafuata kwa ujumla wetu. Mh. Zitto nakuthamanisha sana MP wangu.
safiiiiiiii
Viongozi wanaapa kuilinda katiba na Mwishoni wanasema Ee Mwenyezi Mungu nisaidie,wakitoka hapo wanaenda kuongoza kwa matamko yao.Kwa mtindo huo Mungu hawezi kubariki sababu tunamdhihaki Mungu.
@mzeechidi3378
5 жыл бұрын
Huna jipya,we ni kibaraka tu!
@eliceelly9067
5 жыл бұрын
Wewe ni mpuuzi hadi chenji.Mpaka Leo hii hujui Nani ni vibaraka? Vibaraka ni wale wanaouza gesi yetu kienyeji,ni wale wanao ingia mikataba mibovu kuuza rasilimali zetu,ni Wale wanao tumia Vyombo Vya ulinzi kuminya haki.
Wtanyoooka tu hawa wanazuia mambo ambayo yako kisheriaa,,,,,,,mzee wa Blue uko vizuriii sana hii tunashindaaa mapema tu.
Swadakta!
Zitto kabwe my pressident after 10 years
Na ninyi hatuwaamini sana coz huwa mnapenda uchichezi, mda wote mnahitaji watanzania tuwachukie viongozi wetu, sasa tunasema iviii! TUNAIPENDA TANZANIA NA TUNAWAPENDA VIONGOZI WETU, TUNAHITAJI MAENDELEO SIS NA SIO DEMOCRASIA, NYIE KIPAUMBELE CHENU NI DEMOCRASIA NA HATUWATAKI SASA! From chadema fans to real Tanzanian
Wote mnaombeza zito ni makasuku kama walivyo wabunge Wa ccm hamjitambui
Kazi kwenu mazwazwa wa ccm mtakoma ukupita mswaada huo uwaachi salama
mimi mwananchi wa kawaida kabisa nimekuelewa na nakuunga mkono
Uko sawa ztto
Toeni maoni km watu mliosoma, acheni uchama,uchama, unaponda upinzani waziwazi kuonesha wewe ni chama gani!! unapotoa maoni uwe na balance, haiwezikani hawa wote wakawa hawana akili.
I wish you all the best .
Nimekuelewa vzr sana Comred zito zuber kabwe
Siku zote anayetangaliza uchama hawez kuelewa mambo muhim kama haya elim zetu hazitusaidii kutu ovyo kabisa mnaimbeza zito
@ibrahimgwasma235
5 жыл бұрын
usitake akili zetu zifanane na zako pamoja na zito,,,, kila mmoja na kile anachokiamini,,,, huwezi lazimisha mawazo ya wengine ifanane na yako
@dicksonlusinde2830
5 жыл бұрын
@@ibrahimgwasma235 kumbe mnalitambua hilo mbona mnalazimisha kilamt aseme ndio mzee
@leyiibrahim6148
5 жыл бұрын
M Mwenywefi
Hakuna Democracy unajali business zako only Mr Zitto
Upuuzi2.hapa kazi 2.achani unafiki wenu.
Sioni sababu ya Rais kuminya uhuru wa wanasiasa coz anafanya vizur kutetea wanyonge ila kwa hiki cha kuminya democrasia inampunguzia sifa
Huwa najiuliza tu.Hivi ni Kweli haiwezekani kuleta maendeleo bila kuvunja katiba yetu?
Kama hujui unakoelekea ni vigumu sana kuchagua njia sahihi utakayotumia. Hawa wanaongea wanaona mbali sana, mimi nawaona kama super Genious, kama wewe unaangalia maisha leo huwezi kuelewa wanachoongea.
Wewe Zito acha kelele muache rais wetu hapige kazi nani hakusikilize ww msaliti mkubwa ww kwendraaaaaaaaa kule zito kabweeeeee kalime kigoma.
@brycesonmwedipando2822
5 жыл бұрын
Faith mfuata upepo wewe.HUJUI CHOCHOTE NYAMAZA WANAUME WAONGEEEEEEEEEE
watz ni shida sana, hatujui hata umuhimu wa vyama vya upinzani nchini, ubadilike au turudi kwenye chama kimija
GLOBAL TV,I respect you but how can you keep the word "livey" on the clip while it's of January?
Mungu awalaani wote wanaopanga mbinu mbovu kwa maslahi Yao Na kusahau maisha ya umma . Ni aibu kuweka vikwazo Kila wapinzani wanapotowa ushauri katika Bunge. Sasa CCM wanahangaika hawajuwi nini cha kufanya. Wamevuruga Na Sasa wanajivuruga wenyewe mwisho wa CCM umefika Na wala wasimlaumu mtu. Watanzania tuwe pamoja kuimaliza CCM. Kesi ni nyepesi sana maana ysliowasilishwa yote ni sahihi. Majagi kazi yao ni nyepesi mmno. Tunachosubiri ni utekelezaji. Mungu tubariki katika kufanikisha.
Sasa wanachama wa nini Sasa ndio vurugu hizo ambazo hatupendi.
Hapa Kazi tu magufuli piga kazi baba
Nawaona vilaza wasiojua umuhim wa mfumo wa vyama vingi wanabweka,,, Rais akisimamia maendeleo ya watanzania katika hali ya kuzingatia katiba na haki za binadam,na akatulinda wanainchi wake yatakuwa MAENDELEO YENYE MANUFAA.
@ngurumanmwita8554
5 жыл бұрын
nyungu uko vizuri!!!
@dicksonlusinde2830
5 жыл бұрын
Yungwe
@cationdaniel5635
5 жыл бұрын
Senior Nyungu masikini ww huoni maisha kama ni magumu miongon mwa wa tz
@seniornyungu9718
5 жыл бұрын
@@cationdaniel5635 hilo lipo wazi, jitahid kuelewa comment yangu.
@enockkubimba7321
5 жыл бұрын
Senior Nyungu mbona hueleweki wewe umeona raisi anafuata katiba acha ujinga pumbavu
Kashitaki UN bac. Sijakusikiapo kusifia maendeleo yyte ya Utawala huu wala ulopita. Haumuogopi mungu wee kijana????? Au hunadini?????
mlizoea sana tulieni mtapigwa viboko ninyi ,wengine hata mkiafuta ma vyama yenu sisi hatuna hasara
Kesho ni nzur
Hata mswada huu wakiboya wakukandamiza sisi wenyewe tunaushangilia kweli? maana ata sisi CCM tutaumia vilele mimi nawaunga mkono wapinzan kwa maslay ya Tz chama baadae
Uko sahh kiongoz mwanasheria mkuu lazima aajibishwe kwa mujibu wa katiba ya jamhuli ya muungano wa tanzania
@philbertkiiza647
5 жыл бұрын
Saide Chokoza Saide Chokoza mmk
@costantinejoseph4907
5 жыл бұрын
Saide Chokoza Saide Chokoza itawezekana mkuu mana dola niyao
safi sana tunawaunga mkono
washabiki ni wengi humu
Kuna watu wanacoment lakini hawapo Tanzania na Wala hawaelewi kinachoendelea kwasbb rangi ya damu yao ni kijani
Inabidi mpelekwe Semina elekezi. Watanzania wanatakiwa wafanye kazi za kujiletea maendeleo. "HAPA KAZI TU" Hamjaelewa! Siyo kila siku kushinda kwenye Mikutano kama nilivyo zoea huko nyuma.
Struggle for success
Wewe zito hivi unaakili kweli chadema walikufukuza kama shetani Leo unajipendekeza kama malaika! Wewe umepoteza hadhi yako.
mwana lisa josefu ndala ninani uyo kaka zito
Hayo ni mawazo yako yalikushina chadema utayaweza àct umebaki kama mpiga kelele darasani wakati wezako wanasoma
Kwa nini msijitahidi mkakaa kimya mkaacha Magu akamaliza muda wake km ulivyo utamaduni wetu tz halafu hizo ndizo zikawa hoja zenu kwenye uchaguzi ili ziwape kura kuliko kufanya mambo mengi yatakayoichafua tz yetu nzuri mnawahi nini, pakivurugika ni kwa faida ya nani
Kwakweli nasema kama kweli ccm wengekuwa wanaupendo na Watu wa Taifa hili, basi misuada kama hii hawangewa kuikubali na kuipitisha.
Zitto kafanye mkutano kwenye jimbo lako kigoma sio kubana pua kwenye mitandao
Sukuma ndani
MUSIBA njoo bado asikii huyu jamaa😀😀😀
Tusithubutu kurudi nyuma kuruhusu Nchi iongozwe ki LELEMAMA eti tunataka kuwapa fursa WACHUUZI WARAGHAI WANAUMA WAKIPULIZA DANGANYATOTO YA KUPIMA AKILI ZA UTETEZI WA SERIKALI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Sisi wananchi tunataka maendeleo na huduma bora hatutaki mikutano ya ukawa wala ya ccm Tena kwenye mashelia msituhusishe.
Museven Bobi Wine oyeeeeeh...
ninyi mbwa Wa ccm mnataka kuturudisha kwenye chama kimoja mshindwe kabisa
Unatakiwe ushitakiwe kwa uchochezi na inaonekana mumechoka kimawazo musituharibiee inchi
We zito mbona unakichwa kigumu kama kongoro chama chenu ndio kimechoka kimeishiwa choka mbaya sera zenyewe pumba
Huyu nusu muha nae anatangaza maanuzi magumu mpaka lini? Na yatamsaidia Nini? Huu ubishi wake unaleta hisia za kuwa na damuya ki Burundi maana sisi ndio watu tusiokubali na kuona kile kinacho onekana. Yani wabishi Hadi kukataa hata uzarendo wako na Nchi yako hali hii utaikuta kwa mu burundi. Mchunguzeni Sana.
bora niwekimya
Akatangaze maamuzi magumu kwa mke wake. Zito Ni nan kwan
Cc tunataka maendeleo alio maanisha mzee wa taifa mwl.Nyerere, Zito huwa sikuelewi sijui kwa nn🤔🤔🤔
@musamalilo8902
3 жыл бұрын
Mburura hawezi kumuelewa zito
Come on please, stop this behaviour
Hamna jipya
Ballots or bullets our government of the people by the people for the people shall not perish
Magufuli anania njema na Tanzania kwani anafanya mazuri mwacheni Rais afanyekazi.
me napita
Duh Tanzania MTIHAN 2
Mnatuchanganya maana mlisema kuwa hamumtambui ,,,,,,lkn anawalipa posho mshahara
Walevi niinyi
Wewe unayemwelewa nenda akuajili umusaidie fara we maendeleo tunayaona unatueleza ujinga gani huo nenda huko
Nchi hii bana
@emlongetcha88
5 жыл бұрын
Inashangaza mno
Mnatupigia kelele ili iweje sasa kwan sisi ndo majaji tutakaoamua kesi
MZEE UMWESHA CHOKA HIYO NJAA INAKUSUMBUA
Mi sio mwana siasa wala mwanachama wa chama chochote,ila nilicho elewa nikwamba Demokrasia imefinywa kisela!!!.
IPO siku yataisha
Huna lolote act ishakufa unatapatata mshapoteza mvuto wa kisiasa hats hicho unachojaribu kukifanya kwa mgongo mashitaka ni kiki. Pole sana Tanzania ya leo hakuna fala tena . Tafuteni ajira nyingine . Tushapata rais mzalendo Mungu atupe nini tena. Magufuli mbele kwa mbeleeee
Kama hujui unakokwenda hakika huwezi kupotea na kila mahali ulipo kwako ni njiani. Sina uhakika sana kama Watanzania wengi wanajua wanakokwenda.
@harunaluwambo7050
5 жыл бұрын
Kweli democrasia kwa Zito unataka mpaka uwe rais wa nchi hii? Au unasumbuliwa na tamaa ya madaraka
hivi huyu ziro a. K. a zito hana kazi ya kufanya. Demokrasia imekuwa democrasia,. Hila na wivu zitakukondesha bure. Watanzania sio mazezeta kama unavyodhani. na hii ndio tapatapa yako ya mwisho, uchaguzi ujao tutakufyekelea mbali. wala hutasikika tena.
@paulmnama9405
5 жыл бұрын
Kitoki Sospeter we si shoga wew hiv mahoga si hua hawajielew
Mbona mnapuguzi raisi wetu
Mdomo umekua mkubwa kwa sababu ya kuongea pumba uongo umeisha jenga ata banda la ngombe za Tanzania
Mtaishia kubwabwaja tu. Zito utaishia kuwashika masikio hao ulionao hapo wanaishia kukusikiliza kwa ujinga wako na kuwahadaa wananchi. Zito, jambo gani ulilolianzisha ukalifikisha mwisho na tukaliona lina matokeo chanya? Zito acha undezi..!
Tunapenda sana maendeleo ya nchi yetu lakini tunamuomba Rais wetu aendelee kuienzi demokrasia iliyoachwa na Rais wetu mstaafu mheshimiwa Jakaya. Kama ni nguvu ya dola yote anayo yeye mikononi mwake so aendelee na shughuli za ujenzi wa taifa hatukumchagua ili apoteze muda na hao wapinzani. Tunamuomba atujengee nchi yetu mpaka sasa hivi anakodi zetu nyingi sana zisije zikachacha bure baba. Waache upinzani na uhuru wao halafu na wewe pia jipange kimyakimya na chama chako hiyo ndiyo demokrasia. Halafu watu wengine humu acheni ushabiki wa kijinga kwani nani aliesema hatumpendi Rais wetu? Tunampenda Rais wetu na tunaona jinsi anavyopambana kuijenga nchi so tuache ushabiki demokrasia ndio kitovu cha amani mahali popote pale duniani.
Yan tz wa2 wanapgania vyama vyao ili wapate chn ya tumbo nyie mnakurupuka
Nishakuelewa zito naona kale kampango ka kuteketeza vyama umekaanza
Bd sijaelewa; chama kimekatazwa kufanya mikutano au mbunge amekatazwa kufanya mkutano?
tumewachoka hamna jipya kelele tu
Mwenye akili ni yule anae tambua haki na aside na akili ni yule asiee tambua haki akili ya kuambiwa changanya na yako hakuna duniani mkamilifu ila katiba ni muongozo WA wanannchi lakini baadhi ya vyama wana vunja he katiba ni ya chama au ya wananch
Zitto bhana akili zake zipo karibu na mavi
@aggreymgallah6250
5 жыл бұрын
Emmanuel Leopod senge ww
RAIS WA KIFALME!!!!!
nmechoka, achen jpm afanye kazi
hivi nyie CCM mbona mnakuwa kama siyo kenge! kuna kitu gani cha kupinga hapo kwa mazingira ya siasa hasa kwa vyama vya upinzani
Mkongo kwenye ubora wake...Nyegezi Mwanza
@emlongetcha88
5 жыл бұрын
Tanzania hakuna alie ota kama mti. Muulize babu yako asili yake wapi?
Bwege wewe sasa imechoka nn hivi hamna kazi za kufanya! !sisi vyama cjui siasa hazitusaidii tuachotaka miundo inaonekana basi msituletee uzezeta hapa
MH, RAIS MAGUFULI CHAPATA KAZI BABA ACHANA NAO WAHUNI WA KINA KASUKU HAO
Kazi ni kwa mahakama zetu kama zitapokea maagizo toka juu,maana imezoeleka hivyo,anyway tusubiri.
@stevenmpangalampangallah1520
5 жыл бұрын
Zitto we ni pimbi ,nenda kashtaki kwenu congo
@stevenmpangalampangallah1520
5 жыл бұрын
Mbona hukumshitaki raisi wako j kabila
@kilala.k.5786
5 жыл бұрын
@@stevenmpangalampangallah1520 @hahahahahahahahaha tena jipimbi lakicongo
We zitoo kwanza we ni mnafkiii kabisaaaaa sisi atuwasikilizi kabisa tuna imani na magufuriii wetu kesi zenu pelekeni kwa wake zenu na mama zenuu hapa kazi tu
Upinzani hauna jipya. Piga kazi JPM Watanzania tuna kuelewa.
MZEE KANYOWE MIDEVU YAKO UNATISHIA AMANI
Vyama vya Upinzani tulia msilete maswala ya kutetea tumbo lenu.. Maana hapo kelele zote ni mkutano wa hadhara ambayo mlikuwa mnapata kutembeza bakuli la kuendesha vyama vyenu... Sisi tunataka maendeleo tu ...JPM pigs kazi....
@uledihassan6065
5 жыл бұрын
Kweli kabisa ukiwa ccm wewe ni Zidumu fikra za mwenyekiti huwezi kutumia kabisa akili yako
Ivi wewe zito kabwe kila mara ni kulalamika tu maisha yako kama una hisi tabu si urudi kwenu congo uka ishi Bila matatizo
@cationdaniel5635
5 жыл бұрын
Mohd Rahbi fara ww utakufa maskin MTU anatetea mambo ya mhimu afu we unatoa pumba kenge ww
@paulsasuma8713
5 жыл бұрын
+Cation Daniel Wewe naye Fala
ZITTO NI DICTETA MKUBWA
Wapigania democrasia tuko pamoja.