Boaz Danken- AMESHINDA YESU (official video)
Музыка
#BoazDanken #AmeshindaYesu #NgommaTZ
Song: Ameshinda Yesu means Jesus is the Winner under Emmnuel Live DVD #GodisReal season1
It is Praise song For church of Christ to Cerebrate the Victory of JESUS CHRIST let us Cerebrate JESUS together
©2019 Administered by Ngomma VAS Limited.
Пікірлер: 111
Ameshinda Yesu, mfalme WA amani
How is more Powerful Praising and Worshipping the most High God.., My brother, Tunahitaji watu Kama ww thabiti katika Imani, We are coming back to You...,.......
Yesu ni mshindi Mungu azidi kukuinua katika kazi yake kaka
Upande wetu sisi ni Washindi Tumeshinda pamoja naye💯
Alishinda oohh halleluya
Nakukubari Sana natamani siku moja nitangaze neno la mungu pamoja na wewe kwa njia hata ya kumchezea mungu wetu
Ubarikiwe kaka boaz
Umebarikiwa uwe baraka Nakuelewa sanaaa🇹🇿
Kazi jema sana Boaz my God increase abadantly
AMINAAAAAAAA KUBWAAAAAAAAAAA NIMEPOKEA ADA YA SHULE UUUUUUUU UMESHINDA YESU
Kaka mubarikiwe Sana me nafarijika na injiri yako sana hakika mungu awatunze watumishi wa mungu
Ameshinda Yesu...ameshinda Yesu... Mfalme wa wafalme....amenishindia vita zote....
Amen Ya nguvu Yaa ajabu
Blessed Dankan nitaarifu ukija tena Mwanza napenda pia tamasha ila Niko nje ya mji
Tutamuona Yesu akija na utukufu wake ubarikiwe mtumishi wa kimataifa Boaz danken
Mungu akubariki sana mtumishi, Mimi nabarikiwa sana nauimbaji wako. God bless you.
wakamshinda kwa Neno la ushuhuda. Oooh Hallelujah be blessed.... Brotha Boaz Danken..
HALELUYA, WIMBO HUU ULITOKA ROHINI NA KWA ROHO MKUU WA MUNGU, ZAMA ZAIDI BADO MUNGU ANA MAKUU KWAAJILI YA KIZAZI HIKI
Boaz you are just a blessing to me may God uplift you higher 🤸🤸🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hajawai kushindwa YESU wetu🇰🇪🇰🇪
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana Mr Danken Boaz Nasikia kubarikiwa na kuona tayar nimeshinda jaribu lililo mbele yangu. Kwa damu ya Yesu kuna ushindi na uzima
Nakukubali boss wangu
YESU KRISTO ni mshindi....kupigwa kwake mm nimeshinda.wimbo mzuri b blessed
Asante kwa zawadi nzuri mtumishi wa Mungu @Danken
YESU NI MSHINDI...Halleluyahhhhh.. Yule joka mkubwa katupwa huko
Boaz + 🎸 = Mungu ana watu wake 🙌 Yesu atukuzwe milele.
Haleluya Bwana Ameshinda
ameshinda ndio maana tuko Salama tuliomwamini
Nyimbo zako zinanibariki mtumishii🥰🥰
Ameen ameen,.. Hakika Ameshinda YESU 🙌🙌 Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
Upande wetu sisi ni washindi, tumeshinda pamoja nae ( YESU)
Woow wimbo mzuri sana
Wow wimbo wa kunibariki kweli
Hakika bwana ameshinda🙏
Kwa kupigwa kwake hakika ss tumepona AHSANTE YESU
Powerful man of man of God 🙏
Aminaaa nabarikiwa nilifurahi nilipo kuona sumbawanga pamoja na familia yangu
Ameeeen! Ameshinda Yesu!!! Barikiwa sana Boaz, umeinuliwa sana
This awesome
I like the message for chansons Mungu akubariki sana
TZ brothers & sisters your praise n worship to the King of Kings is on another level. I thank God for all of you. U r a blessing!
Amen kaka mebarikiwa sanaa
Be blessed my brother. Nafarijika sana ninapoona mwimbaji msomi kama wewe ukiendelea kulinda hadhi ya nyimbo za injili na kuto kuichanganya na dunia ya leo
Be blessed Broo I like it
MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI HUU WIMBO UNAMGUSO WA KIPEKEE. UBARIKIWE
Ameshindaaa yesu
Ameshinda Yesu
AMESHINDA YESU KIFO NA KABURI ...... AMEN AMEN 🙏
Hjawah kuxhndwa baba,,,hexhma na utukufu vkurudie ww bwana
Nice song be blessed servant of the most high king
Upande wetu sisi ni tumeshinda pamoja nae kwa kumwamini Yesu kaingia moyo twatawala pamoja nae..... Kuna ukiri mkubwa hapa .Mungu azidi kukutumia mtumishi
@boazdanken
5 жыл бұрын
Glory to Jesus
Barikiwaaa sana mtumishi
Tumeshinda pamoja naye
U bless ma heart my brother😊ur songs are beautiful n powerful
Indeed ameshinda milele na milele. The same power that worked and still works in him today... Is the same power that lives in us.... Ameshinda bwana haleluya
made in heaven...
May Lord bless you...
Munguamekuleta kizazi hiki uwebaraka
Barikiwa
Hallelujah glory to King JESUS CHRIST
Asa Kaka Mungu akubarki
Be blessed Son of God for your nice service
So lovely song....
Ameeeeee
This is a divine revelation from above,be blessed bro Boaz
HALLELUJAH!!!!! GOD bless you
Jesus is Able!!
Boaz,,,stay there!
Ameeen
Amen
Ameshinda Yesu, Ndiyo Ameshinda Halaelluya💥💥💥💥💥💥💥
Nasitumeshinda pamoja nae,kwa damu ya mwanakondoo na kwa neno la ushuhuda wetu
Ameshinda YESU
Amen, Amen, Amen forever and ever 👏
Role model wangu namuomba mungu Siku mmoja nikutane nae
Mtumishi MUNGU akuinue wimbo mzuri na una uwepo
Powerful song Mungu awabariki
@maryowino3336
4 жыл бұрын
Lyrics pls God bless you
Amen hallelujah
Ameshinda Yesu.
Be blessed
so powerful....
Hatua zaidi Mungu azidi kukupa
AMESHINDA YESU
Upande wetu sisi tunaomwamin Bwana Yesu ni wa ushindi
Blessed
Hakuna magonjwa tena
Nimebarikiwa kaka. Bwana aendelee kukuinua sana. Amen
Yaan nabarikiwa na nyimbo zako nikiwa hata nikiwa katika mapito nasikiliza natiwa moyo, ushauri wangu unyenyekevu ndio kila kity
Haleluya what a great God we serve
Asante YESU KRISTO
I like it 😙😙😙😚
Atukuzwe MUNGU daima
Hallelujah 🙌
Good presentation from man of God Boaz Danken
@edwardmshahara3482
5 жыл бұрын
Ameni nimebalikiwa sana
Your good
Powerful Song
@oscarmbossa526
5 жыл бұрын
Yesu ndie nguvu yetu...ameshinda.
Amina🙏❤️
Jifunze kupiga kinanda kzread.info/dron/IAHx89t6dSRxi-EDULBrjA.html
How is more Powerful Praising and Worshipping the most High God.., My brother, Tunahitaji watu Kama ww thabiti katika Imani, We are coming back to You...,.......
Ameshinda Yesu...Sisi tulio ndani yake ni washindi