Bingwa wa kuogelea ZANZIBAR "Naogelea kwa miaka 25/Nimebeba MAITI 5"/Atoa sababu ya VIFO hivyo
Ойын-сауық
Bingwa wa kuogelea Forodhani visiwani Zanzibar ameelezea jinsi taaluma hiyo ya Diving inavyopendwa visiwani humo. Majanga ya vifo vya watu katika miaka 25 ya kuogelea kwake, mchango wa Serikali n.k
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Zanzibar #Forodhani
Пікірлер: 15
nimeipenda iyo
Serikali kama inasapoti jambo hili walitakiwa waweke Life guard,watu ambao kazi yao nispecial nikuokoa watu
Farasi 😅😅😅mpuuzi kweli hyu hjawahi kuw serious 🤣🤣🤣
Jambo Zanzibar
Uko vzr full kujiamini
Broo unajita ww bingwa wa kuogelea daa ukisema hvo sisi wngne tunamanisha unatutambia Mimi niko tayari kuandaa mashindano ya kuogelea na wewe na uknizid nitakulipa pesa ukiwa tayari nifate mbweni beach nyuma ya hoteli madina al tul bahar na jungle paradise nimezalwa pemba na ninauzowefu wa kuogelea kwa muda wa miaka ishirini 25 ukwa tyar nigate ukniulzia t utanipata
@abdillahfaki8446
Жыл бұрын
Hiyooo hajui kuogelea broo Pemba kuna watu wanaogelea haswaaa wakojani yy anajigamba Kwa Forodhani ambapo hapan hata maji anaogelea hapo hapo
@jaffjeff6912
3 ай бұрын
@rajakhamis8902 nakupataje swimmer
I wish 😂
kikosichochote kimchukue
@mwanaishazain7985
2 жыл бұрын
Kikosi gani na hao wa mji mkongwe si unajua
Sasa miaka 25 na wenyewe wanakaa wadogo jmn bongo sihami ng'o
@mwangiakila8020
2 жыл бұрын
Ukwel
@zuhuramuhanga5400
2 жыл бұрын
Wana anza wakiwa wa dogo miaka mi 5
@khalifaali2613
2 жыл бұрын
Zanzibar ni nyumbani tunajua watoto wadogo wanaogelea kwa hiyo sio ajabu mtoto wa miaka7 kujua kuogelea