"BILA MILIONI 44 SIFANYI SHOW, SIJAWAHI KUONGEA NA DIAMOND, NINA HELA NYINGI" KRG AFUNGUKA

Пікірлер: 94

  • @mejosofficial
    @mejosofficial11 ай бұрын

    I’m the first one to watch this video 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @gb-one6435
    @gb-one643511 ай бұрын

    Hela ya Kenya Haina samani Kenya sabb ya vitu kua garama sana karibia mara4 ya bei za Tz Hela ya Kenya inakua na samani ukitoka nayo Kenya labda uje uchenchi upate ya Tz nasio ukitumia hapo hapo Kenya

  • @mr.romancer9160

    @mr.romancer9160

    11 ай бұрын

    😂😂😂hujielewi

  • @gb-one6435

    @gb-one6435

    11 ай бұрын

    @@mr.romancer9160 we unajielewa Kwa lipi

  • @shanifesto9037

    @shanifesto9037

    11 ай бұрын

    ​@@mr.romancer9160Anajielewa sana tu labda wewe ndio hujajiepewa

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    11 ай бұрын

    ​@@mr.romancer9160kasema ukweli pesa ya kenya inathaman kuliko ya tz but vtu vko bei sana hapa nchin

  • @nicholasmwangome7979

    @nicholasmwangome7979

    11 ай бұрын

    Kenya watu wako na hela wewe tena iko na thamani sana na Tanzania ndo maana msanii wa Tanzania akipiga show na arudi kwao Anakuwa tajiri 😂😂😂😂

  • @gb-one6435
    @gb-one643511 ай бұрын

    Ukiwa na Milioni 10 ya Kenya ukiwa Kenya hamna tofaut na mtu aliopo Tanzania na akawa na Milioni 10 Hela ya Kenya Haina samani ukiwa Kenya labda uje nayo Tanzania, Maana maisha Yao bizaa na mahitaji yakila siku garama nikubwa sana tofaut na Tanzania mfano mzuri ni kwenye vywakula na hata vinywaji mfano Bia Moja Kenya ni Ksh 250 ukigeuza Kwa Hela ya Tanzania nikama elfu5 hivi wakati Kwa Tanzania elfu5 unaweza kunywa bia nne

  • @athumanmtavangu4411

    @athumanmtavangu4411

    11 ай бұрын

    True

  • @jeffulix

    @jeffulix

    11 ай бұрын

    Huyu jamaa hana tofauti na mwamposa kbs😂🙌🏽

  • @Col_mutua

    @Col_mutua

    11 ай бұрын

    Wewe uelewi trade nyamaza

  • @mr.romancer9160

    @mr.romancer9160

    11 ай бұрын

    😂😂😂hujielewi kabisa

  • @gb-one6435

    @gb-one6435

    11 ай бұрын

    @@mr.romancer9160 😆

  • @Juliana-fx8tr
    @Juliana-fx8tr11 ай бұрын

    Krg the Don ana pesa nyingi kutoka Kenya

  • @HamimAbedi-ff5sk
    @HamimAbedi-ff5sk11 ай бұрын

    Tunawajua wakina otile brown Willy poul karigraph bahati sauti soul nawengine wengi huyu ninani mbona kama mo town sanya wa huku 255 🇹🇿pale big wasafi media

  • @nikiwejimson8527

    @nikiwejimson8527

    11 ай бұрын

    Ila umenichekesha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MudathiriMahr-df2wg
    @MudathiriMahr-df2wg11 ай бұрын

    Kiufupi hujulikan na Tz ndo sehemu pekee yenye vipaji vya mziki hatuwez leta wasanii wa Kenya Bora tumlete Kenner tucheke🤣🤣

  • @BurundiMedia
    @BurundiMedia11 ай бұрын

    Uyo jama hana kitu anapenda sana Kiki

  • @cyberworld9741

    @cyberworld9741

    4 ай бұрын

    Ni sisi tunajua the truth, the guy has invested in Multi millions real estate companies, entertainment industries and construction industries. The most richest Kenyan Artist

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA11 ай бұрын

    Aaaah huyu demu wake nani 😂😂

  • @YustoMlay-cv4zb
    @YustoMlay-cv4zb11 ай бұрын

    Sikjui

  • @Juliana-fx8tr
    @Juliana-fx8tr11 ай бұрын

    Krg mambo imechemka tz

  • @Babuu200
    @Babuu20011 ай бұрын

    Oiii huyu Chaliii ni Nani?? 😂😂😂..!! Mwambieni Mama yake aje amchukue akanyonye

  • @dianamonyo1960
    @dianamonyo196011 ай бұрын

    Acha nicheke mm😂😂

  • @leonardaugustino4072
    @leonardaugustino407211 ай бұрын

    Hata laki5 hatukupi

  • @Stanley.kapumbira
    @Stanley.kapumbira11 ай бұрын

    Uyu nani nae mbn simfahamu

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness118111 ай бұрын

    Honestly, no Kenyan Artist is close to Diamond or even harmonize for now.

  • @InsideBest25k

    @InsideBest25k

    11 ай бұрын

    Kimuziki Ila kihela was wengi tuu

  • @worldhappiness1181

    @worldhappiness1181

    11 ай бұрын

    @@InsideBest25k naam, musically

  • @user-iq9ww6ku4o
    @user-iq9ww6ku4o11 ай бұрын

    Ananyimbo gani mbona hata sijawahi sikia hata moja

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary123311 ай бұрын

    Anatafuta kiki tu huyu hatumjui kabisa huyu na hamorapa hawana tofaut

  • @cally9848

    @cally9848

    11 ай бұрын

    don't compare hamorapa with krg the don

  • @RashidAhmed-cu2pt
    @RashidAhmed-cu2pt11 ай бұрын

    Bila kumtaja mondi inakua njaaa tupu😅😅😅😅

  • @nyunyaboy9523
    @nyunyaboy952311 ай бұрын

    Uy mnyasa dgo😅😂😂

  • @vibetz9991
    @vibetz999111 ай бұрын

    Me simjui

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS11 ай бұрын

    How much? 🤣🤣

  • @alutvshowsmapuga1957
    @alutvshowsmapuga195711 ай бұрын

    Oy iyo nani na wawapi

  • @kijokombao5345
    @kijokombao534511 ай бұрын

    Huyu ni nani?

  • @djpassovertz..tunaishimaramoja
    @djpassovertz..tunaishimaramoja11 ай бұрын

    Interview ni ya mkenya na sio ishu ya exchange rate..Sisi wenyewe watanzania tupo Kenya tushaizoea pesa ya Kenya saiv pesa ya Kenya naona Haina thamani kuliko hata ya tz..coz ugumu wa kuipata ni ule ule na matumiz ya tz yanaunafuu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya747511 ай бұрын

    Mi naon kafanan na MO Sanya sura ila mengine simjuw

  • @user-jf8wy5lt9h
    @user-jf8wy5lt9h11 ай бұрын

    Huyu boya ananzarau akwende huko

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview1311 ай бұрын

    10million Kshs ukiwa nayo kenya huna utofauti na mtu mwenye 10million Tshs akiwa Tanzanzania. No need to compare.

  • @jeffulix

    @jeffulix

    11 ай бұрын

    Hapo umenena unajua kuna watu huwa wanaacha akili chooni 😂🙌🏽

  • @gb-one6435

    @gb-one6435

    11 ай бұрын

    Yes upo sawa maana maisha Yao bizaa na mahitaji yakila siku garama nikubwa sana tofaut na Tanzania mfano mzuri ni kwenye vywakula na hata vinywaji mfano Bia Moja Kenya ni Ksh 250 ukigeuza Kwa Hela ya Tanzania nikama elfu5 hivi wakati Kwa Tanzania elfu5 unaweza kunywa bia nne

  • @Princebarcka

    @Princebarcka

    11 ай бұрын

    @@jeffulix🎉🎉😂🎉😅😊😅😊😅

  • @kaisarimbisso5011

    @kaisarimbisso5011

    11 ай бұрын

    Pesa inakuwa compared kwenye nguvu yake(purchasing power) ndani ya nchi husika. Hata shilingi ya Kenya inazidi thamani Yeni ya Japan. Waelezeni vizuri viewers wenu

  • @gb-one6435

    @gb-one6435

    11 ай бұрын

    @@kaisarimbisso5011 kama nikwa maana hiyo basi Hela ya Tanzania ingekua na nguvu kuliko Hela ya Kenya maana nikiwa na elfu5 ya Tanzania naweza nunua vitu vingi kuliko wewe uliopo Kenya ukiwa na 250 ambayo ndio sawa na elfu5 ya Tz

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario88958 ай бұрын

    Huyu nae msanii

  • @denisjrmgulambwa1866
    @denisjrmgulambwa186611 ай бұрын

    Pesa ya kenya ni kubwa but ukija kwa matumizi it's just the same...that is just rates..then after all jamaa hana maisha

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa680911 ай бұрын

    Hatumjui mbona

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael94318 ай бұрын

    Mwehu huyu jamaa , kiki za kishamba hizo haujui ata kutemgeneza kiki boya

  • @RashidAlly-ts5ml
    @RashidAlly-ts5ml11 ай бұрын

    Kuma uyu ninan kwanza

  • @official_dicksonmunga
    @official_dicksonmunga11 ай бұрын

    Kwanza atamuimbia Nani na Nani anamfahamu bongo😅😅😅

  • @salmaalimusa6809

    @salmaalimusa6809

    11 ай бұрын

    Majigambo kibao

  • @jaffaryhamiddy8939
    @jaffaryhamiddy893911 ай бұрын

    Hy msng muong sn mmh😅💔

  • @philipotieno9996
    @philipotieno999611 ай бұрын

    KRG😂😂😂 brugger weeeeh

  • @sporastica7174
    @sporastica717411 ай бұрын

    Kwan keny hamna hela huyu bongo ni mwamposa tu

  • @OLELEMBRICE
    @OLELEMBRICE11 ай бұрын

    Huyu ni chawa wa Rayvany apo Kenya

  • @JacklineNamundengozi

    @JacklineNamundengozi

    11 ай бұрын

    What does Rayvanny have?😂😂😏

  • @mwasamiramedics2666
    @mwasamiramedics266611 ай бұрын

    Jamaa labda amejihisi ni Beyonce.

  • @Whoisthismantalking

    @Whoisthismantalking

    11 ай бұрын

    No shakira or

  • @azizakambenga9292
    @azizakambenga929211 ай бұрын

    Kwani ni nani huyu

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo854611 ай бұрын

    Mpuuzi na kiswahili chako chenye matege

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima399311 ай бұрын

    Mbona hatumjui ni nani????

  • @FreeGod368
    @FreeGod36811 ай бұрын

    😂😂

  • @user-tj2pu3mt7m
    @user-tj2pu3mt7m11 ай бұрын

    Muongo huyo anahela gani at nyimbo zake hatujawahi sikia

  • @hallin9561
    @hallin956111 ай бұрын

    who's this man. I don't even ever see this man

  • @Mdeppo
    @Mdeppo11 ай бұрын

    Acha kufananisha diamond na vitu vya kipumbavu we upate collabo na diamond kwa mzik Gan unaoimba kwanza me ndo nimeanza kukuona leo

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin27511 ай бұрын

    Wasanii blah blah sana

  • @alphaxad7755
    @alphaxad775511 ай бұрын

    kiufupi abaki na mil 10 yake huko huko halafu tutamsikia kwanza hana hata nyimbo 😂😂😂😂😂😂 kabaya wewe

  • @iconramar9366
    @iconramar936611 ай бұрын

    Ronald ungemuhoji TU Kwa kizungu kiswahili chako kibovu sana

  • @alfanifaraji
    @alfanifaraji11 ай бұрын

    Kwani huu ninani 🤔🇳🇦🇹🇿

  • @robertwafula3100
    @robertwafula310011 ай бұрын

    Bughaaa

Келесі