"BILA MILIONI 44 SIFANYI SHOW, SIJAWAHI KUONGEA NA DIAMOND, NINA HELA NYINGI" KRG AFUNGUKA
Жүктеу.....
Пікірлер: 94
@mejosofficial11 ай бұрын
I’m the first one to watch this video 🔥🔥🔥🔥🔥
@gb-one643511 ай бұрын
Hela ya Kenya Haina samani Kenya sabb ya vitu kua garama sana karibia mara4 ya bei za Tz Hela ya Kenya inakua na samani ukitoka nayo Kenya labda uje uchenchi upate ya Tz nasio ukitumia hapo hapo Kenya
@mr.romancer9160
11 ай бұрын
😂😂😂hujielewi
@gb-one6435
11 ай бұрын
@@mr.romancer9160 we unajielewa Kwa lipi
@shanifesto9037
11 ай бұрын
@@mr.romancer9160Anajielewa sana tu labda wewe ndio hujajiepewa
@personpeter2221
11 ай бұрын
@@mr.romancer9160kasema ukweli pesa ya kenya inathaman kuliko ya tz but vtu vko bei sana hapa nchin
@nicholasmwangome7979
11 ай бұрын
Kenya watu wako na hela wewe tena iko na thamani sana na Tanzania ndo maana msanii wa Tanzania akipiga show na arudi kwao Anakuwa tajiri 😂😂😂😂
@gb-one643511 ай бұрын
Ukiwa na Milioni 10 ya Kenya ukiwa Kenya hamna tofaut na mtu aliopo Tanzania na akawa na Milioni 10 Hela ya Kenya Haina samani ukiwa Kenya labda uje nayo Tanzania, Maana maisha Yao bizaa na mahitaji yakila siku garama nikubwa sana tofaut na Tanzania mfano mzuri ni kwenye vywakula na hata vinywaji mfano Bia Moja Kenya ni Ksh 250 ukigeuza Kwa Hela ya Tanzania nikama elfu5 hivi wakati Kwa Tanzania elfu5 unaweza kunywa bia nne
@athumanmtavangu4411
11 ай бұрын
True
@jeffulix
11 ай бұрын
Huyu jamaa hana tofauti na mwamposa kbs😂🙌🏽
@Col_mutua
11 ай бұрын
Wewe uelewi trade nyamaza
@mr.romancer9160
11 ай бұрын
😂😂😂hujielewi kabisa
@gb-one6435
11 ай бұрын
@@mr.romancer9160 😆
@Juliana-fx8tr11 ай бұрын
Krg the Don ana pesa nyingi kutoka Kenya
@HamimAbedi-ff5sk11 ай бұрын
Tunawajua wakina otile brown Willy poul karigraph bahati sauti soul nawengine wengi huyu ninani mbona kama mo town sanya wa huku 255 🇹🇿pale big wasafi media
@nikiwejimson8527
11 ай бұрын
Ila umenichekesha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MudathiriMahr-df2wg11 ай бұрын
Kiufupi hujulikan na Tz ndo sehemu pekee yenye vipaji vya mziki hatuwez leta wasanii wa Kenya Bora tumlete Kenner tucheke🤣🤣
@BurundiMedia11 ай бұрын
Uyo jama hana kitu anapenda sana Kiki
@cyberworld9741
4 ай бұрын
Ni sisi tunajua the truth, the guy has invested in Multi millions real estate companies, entertainment industries and construction industries. The most richest Kenyan Artist
@sir_ENOCKMACHA11 ай бұрын
Aaaah huyu demu wake nani 😂😂
@YustoMlay-cv4zb11 ай бұрын
Sikjui
@Juliana-fx8tr11 ай бұрын
Krg mambo imechemka tz
@Babuu20011 ай бұрын
Oiii huyu Chaliii ni Nani?? 😂😂😂..!! Mwambieni Mama yake aje amchukue akanyonye
@dianamonyo196011 ай бұрын
Acha nicheke mm😂😂
@leonardaugustino407211 ай бұрын
Hata laki5 hatukupi
@Stanley.kapumbira11 ай бұрын
Uyu nani nae mbn simfahamu
@worldhappiness118111 ай бұрын
Honestly, no Kenyan Artist is close to Diamond or even harmonize for now.
@InsideBest25k
11 ай бұрын
Kimuziki Ila kihela was wengi tuu
@worldhappiness1181
11 ай бұрын
@@InsideBest25k naam, musically
@user-iq9ww6ku4o11 ай бұрын
Ananyimbo gani mbona hata sijawahi sikia hata moja
@kaayakitomary123311 ай бұрын
Anatafuta kiki tu huyu hatumjui kabisa huyu na hamorapa hawana tofaut
@cally9848
11 ай бұрын
don't compare hamorapa with krg the don
@RashidAhmed-cu2pt11 ай бұрын
Bila kumtaja mondi inakua njaaa tupu😅😅😅😅
@nyunyaboy952311 ай бұрын
Uy mnyasa dgo😅😂😂
@vibetz999111 ай бұрын
Me simjui
@itanzaniaAS11 ай бұрын
How much? 🤣🤣
@alutvshowsmapuga195711 ай бұрын
Oy iyo nani na wawapi
@kijokombao534511 ай бұрын
Huyu ni nani?
@djpassovertz..tunaishimaramoja11 ай бұрын
Interview ni ya mkenya na sio ishu ya exchange rate..Sisi wenyewe watanzania tupo Kenya tushaizoea pesa ya Kenya saiv pesa ya Kenya naona Haina thamani kuliko hata ya tz..coz ugumu wa kuipata ni ule ule na matumiz ya tz yanaunafuu
@aminatanzanya747511 ай бұрын
Mi naon kafanan na MO Sanya sura ila mengine simjuw
@user-jf8wy5lt9h11 ай бұрын
Huyu boya ananzarau akwende huko
@alluminiumexperttz.12mview1311 ай бұрын
10million Kshs ukiwa nayo kenya huna utofauti na mtu mwenye 10million Tshs akiwa Tanzanzania. No need to compare.
@jeffulix
11 ай бұрын
Hapo umenena unajua kuna watu huwa wanaacha akili chooni 😂🙌🏽
@gb-one6435
11 ай бұрын
Yes upo sawa maana maisha Yao bizaa na mahitaji yakila siku garama nikubwa sana tofaut na Tanzania mfano mzuri ni kwenye vywakula na hata vinywaji mfano Bia Moja Kenya ni Ksh 250 ukigeuza Kwa Hela ya Tanzania nikama elfu5 hivi wakati Kwa Tanzania elfu5 unaweza kunywa bia nne
@Princebarcka
11 ай бұрын
@@jeffulix🎉🎉😂🎉😅😊😅😊😅
@kaisarimbisso5011
11 ай бұрын
Pesa inakuwa compared kwenye nguvu yake(purchasing power) ndani ya nchi husika. Hata shilingi ya Kenya inazidi thamani Yeni ya Japan. Waelezeni vizuri viewers wenu
@gb-one6435
11 ай бұрын
@@kaisarimbisso5011 kama nikwa maana hiyo basi Hela ya Tanzania ingekua na nguvu kuliko Hela ya Kenya maana nikiwa na elfu5 ya Tanzania naweza nunua vitu vingi kuliko wewe uliopo Kenya ukiwa na 250 ambayo ndio sawa na elfu5 ya Tz
@amedeuskimario88958 ай бұрын
Huyu nae msanii
@denisjrmgulambwa186611 ай бұрын
Pesa ya kenya ni kubwa but ukija kwa matumizi it's just the same...that is just rates..then after all jamaa hana maisha
@salmaalimusa680911 ай бұрын
Hatumjui mbona
@ezekielmichael94318 ай бұрын
Mwehu huyu jamaa , kiki za kishamba hizo haujui ata kutemgeneza kiki boya
@RashidAlly-ts5ml11 ай бұрын
Kuma uyu ninan kwanza
@official_dicksonmunga11 ай бұрын
Kwanza atamuimbia Nani na Nani anamfahamu bongo😅😅😅
@salmaalimusa6809
11 ай бұрын
Majigambo kibao
@jaffaryhamiddy893911 ай бұрын
Hy msng muong sn mmh😅💔
@philipotieno999611 ай бұрын
KRG😂😂😂 brugger weeeeh
@sporastica717411 ай бұрын
Kwan keny hamna hela huyu bongo ni mwamposa tu
@OLELEMBRICE11 ай бұрын
Huyu ni chawa wa Rayvany apo Kenya
@JacklineNamundengozi
11 ай бұрын
What does Rayvanny have?😂😂😏
@mwasamiramedics266611 ай бұрын
Jamaa labda amejihisi ni Beyonce.
@Whoisthismantalking
11 ай бұрын
No shakira or
@azizakambenga929211 ай бұрын
Kwani ni nani huyu
@aediayumgo854611 ай бұрын
Mpuuzi na kiswahili chako chenye matege
@shangwefisima399311 ай бұрын
Mbona hatumjui ni nani????
@FreeGod36811 ай бұрын
😂😂
@user-tj2pu3mt7m11 ай бұрын
Muongo huyo anahela gani at nyimbo zake hatujawahi sikia
@hallin956111 ай бұрын
who's this man. I don't even ever see this man
@Mdeppo11 ай бұрын
Acha kufananisha diamond na vitu vya kipumbavu we upate collabo na diamond kwa mzik Gan unaoimba kwanza me ndo nimeanza kukuona leo
@kennethbenjamin27511 ай бұрын
Wasanii blah blah sana
@alphaxad775511 ай бұрын
kiufupi abaki na mil 10 yake huko huko halafu tutamsikia kwanza hana hata nyimbo 😂😂😂😂😂😂 kabaya wewe
@iconramar936611 ай бұрын
Ronald ungemuhoji TU Kwa kizungu kiswahili chako kibovu sana
Пікірлер: 94
I’m the first one to watch this video 🔥🔥🔥🔥🔥
Hela ya Kenya Haina samani Kenya sabb ya vitu kua garama sana karibia mara4 ya bei za Tz Hela ya Kenya inakua na samani ukitoka nayo Kenya labda uje uchenchi upate ya Tz nasio ukitumia hapo hapo Kenya
@mr.romancer9160
11 ай бұрын
😂😂😂hujielewi
@gb-one6435
11 ай бұрын
@@mr.romancer9160 we unajielewa Kwa lipi
@shanifesto9037
11 ай бұрын
@@mr.romancer9160Anajielewa sana tu labda wewe ndio hujajiepewa
@personpeter2221
11 ай бұрын
@@mr.romancer9160kasema ukweli pesa ya kenya inathaman kuliko ya tz but vtu vko bei sana hapa nchin
@nicholasmwangome7979
11 ай бұрын
Kenya watu wako na hela wewe tena iko na thamani sana na Tanzania ndo maana msanii wa Tanzania akipiga show na arudi kwao Anakuwa tajiri 😂😂😂😂
Ukiwa na Milioni 10 ya Kenya ukiwa Kenya hamna tofaut na mtu aliopo Tanzania na akawa na Milioni 10 Hela ya Kenya Haina samani ukiwa Kenya labda uje nayo Tanzania, Maana maisha Yao bizaa na mahitaji yakila siku garama nikubwa sana tofaut na Tanzania mfano mzuri ni kwenye vywakula na hata vinywaji mfano Bia Moja Kenya ni Ksh 250 ukigeuza Kwa Hela ya Tanzania nikama elfu5 hivi wakati Kwa Tanzania elfu5 unaweza kunywa bia nne
@athumanmtavangu4411
11 ай бұрын
True
@jeffulix
11 ай бұрын
Huyu jamaa hana tofauti na mwamposa kbs😂🙌🏽
@Col_mutua
11 ай бұрын
Wewe uelewi trade nyamaza
@mr.romancer9160
11 ай бұрын
😂😂😂hujielewi kabisa
@gb-one6435
11 ай бұрын
@@mr.romancer9160 😆
Krg the Don ana pesa nyingi kutoka Kenya
Tunawajua wakina otile brown Willy poul karigraph bahati sauti soul nawengine wengi huyu ninani mbona kama mo town sanya wa huku 255 🇹🇿pale big wasafi media
@nikiwejimson8527
11 ай бұрын
Ila umenichekesha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kiufupi hujulikan na Tz ndo sehemu pekee yenye vipaji vya mziki hatuwez leta wasanii wa Kenya Bora tumlete Kenner tucheke🤣🤣
Uyo jama hana kitu anapenda sana Kiki
@cyberworld9741
4 ай бұрын
Ni sisi tunajua the truth, the guy has invested in Multi millions real estate companies, entertainment industries and construction industries. The most richest Kenyan Artist
Aaaah huyu demu wake nani 😂😂
Sikjui
Krg mambo imechemka tz
Oiii huyu Chaliii ni Nani?? 😂😂😂..!! Mwambieni Mama yake aje amchukue akanyonye
Acha nicheke mm😂😂
Hata laki5 hatukupi
Uyu nani nae mbn simfahamu
Honestly, no Kenyan Artist is close to Diamond or even harmonize for now.
@InsideBest25k
11 ай бұрын
Kimuziki Ila kihela was wengi tuu
@worldhappiness1181
11 ай бұрын
@@InsideBest25k naam, musically
Ananyimbo gani mbona hata sijawahi sikia hata moja
Anatafuta kiki tu huyu hatumjui kabisa huyu na hamorapa hawana tofaut
@cally9848
11 ай бұрын
don't compare hamorapa with krg the don
Bila kumtaja mondi inakua njaaa tupu😅😅😅😅
Uy mnyasa dgo😅😂😂
Me simjui
How much? 🤣🤣
Oy iyo nani na wawapi
Huyu ni nani?
Interview ni ya mkenya na sio ishu ya exchange rate..Sisi wenyewe watanzania tupo Kenya tushaizoea pesa ya Kenya saiv pesa ya Kenya naona Haina thamani kuliko hata ya tz..coz ugumu wa kuipata ni ule ule na matumiz ya tz yanaunafuu
Mi naon kafanan na MO Sanya sura ila mengine simjuw
Huyu boya ananzarau akwende huko
10million Kshs ukiwa nayo kenya huna utofauti na mtu mwenye 10million Tshs akiwa Tanzanzania. No need to compare.
@jeffulix
11 ай бұрын
Hapo umenena unajua kuna watu huwa wanaacha akili chooni 😂🙌🏽
@gb-one6435
11 ай бұрын
Yes upo sawa maana maisha Yao bizaa na mahitaji yakila siku garama nikubwa sana tofaut na Tanzania mfano mzuri ni kwenye vywakula na hata vinywaji mfano Bia Moja Kenya ni Ksh 250 ukigeuza Kwa Hela ya Tanzania nikama elfu5 hivi wakati Kwa Tanzania elfu5 unaweza kunywa bia nne
@Princebarcka
11 ай бұрын
@@jeffulix🎉🎉😂🎉😅😊😅😊😅
@kaisarimbisso5011
11 ай бұрын
Pesa inakuwa compared kwenye nguvu yake(purchasing power) ndani ya nchi husika. Hata shilingi ya Kenya inazidi thamani Yeni ya Japan. Waelezeni vizuri viewers wenu
@gb-one6435
11 ай бұрын
@@kaisarimbisso5011 kama nikwa maana hiyo basi Hela ya Tanzania ingekua na nguvu kuliko Hela ya Kenya maana nikiwa na elfu5 ya Tanzania naweza nunua vitu vingi kuliko wewe uliopo Kenya ukiwa na 250 ambayo ndio sawa na elfu5 ya Tz
Huyu nae msanii
Pesa ya kenya ni kubwa but ukija kwa matumizi it's just the same...that is just rates..then after all jamaa hana maisha
Hatumjui mbona
Mwehu huyu jamaa , kiki za kishamba hizo haujui ata kutemgeneza kiki boya
Kuma uyu ninan kwanza
Kwanza atamuimbia Nani na Nani anamfahamu bongo😅😅😅
@salmaalimusa6809
11 ай бұрын
Majigambo kibao
Hy msng muong sn mmh😅💔
KRG😂😂😂 brugger weeeeh
Kwan keny hamna hela huyu bongo ni mwamposa tu
Huyu ni chawa wa Rayvany apo Kenya
@JacklineNamundengozi
11 ай бұрын
What does Rayvanny have?😂😂😏
Jamaa labda amejihisi ni Beyonce.
@Whoisthismantalking
11 ай бұрын
No shakira or
Kwani ni nani huyu
Mpuuzi na kiswahili chako chenye matege
Mbona hatumjui ni nani????
😂😂
Muongo huyo anahela gani at nyimbo zake hatujawahi sikia
who's this man. I don't even ever see this man
Acha kufananisha diamond na vitu vya kipumbavu we upate collabo na diamond kwa mzik Gan unaoimba kwanza me ndo nimeanza kukuona leo
Wasanii blah blah sana
kiufupi abaki na mil 10 yake huko huko halafu tutamsikia kwanza hana hata nyimbo 😂😂😂😂😂😂 kabaya wewe
Ronald ungemuhoji TU Kwa kizungu kiswahili chako kibovu sana
Kwani huu ninani 🤔🇳🇦🇹🇿
Bughaaa