🔴 BIBI HARUSI MTARAJIWA AWATETEMESHA UKUMBI MZIMA

Фильм және анимация

Пікірлер: 57

  • @masagama3771
    @masagama37717 ай бұрын

    MashaAllah yuko vizuri kwa kumtukuza mungu

  • @africandarling6925
    @africandarling69258 ай бұрын

    Pambee kwel kweli bi HARUSI WETU BINTI YETUUU❤❤❤❤❤ MAAAAAA MWAAAAA🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    7 ай бұрын

    🥰🥰😍😍❤️❤️❤️ asantee sanaa

  • @AgnesMakasi-wo3ut
    @AgnesMakasi-wo3ut7 ай бұрын

    Hongea uzampendeza zumbe

  • @rehemamlowa2722
    @rehemamlowa27227 ай бұрын

    Mabibi harusi wa zamani full kuinamisha USO kwa adabu na unyenyekevu . Laki wasasa hivi mmmmh! Full umapepe. Jamani vibe zaidi linatakiwa liwe kwa muoaji na sio muolewaji! Mmeipata hiyo!!😂😂😂

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    7 ай бұрын

    Wivu tu zaman hizo vp, kwan lzm ukoment😏😏 kwendraa

  • @user-wd7xw6dl8b

    @user-wd7xw6dl8b

    7 ай бұрын

    Na umesema zaman Mambo yanachange

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    7 ай бұрын

    @@user-wd7xw6dl8b ❤️

  • @uhurujan2244

    @uhurujan2244

    7 ай бұрын

    ​@@user-nt9jt1uf3p😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @blandinadeogratius6130

    @blandinadeogratius6130

    7 ай бұрын

    Hiyo Ni Siku maalumu kwa mwanamke lazima awe na vibe lakini Siku ya ndoa lazima machozi yamwagike

  • @user-gd1cf3gc4f
    @user-gd1cf3gc4f7 ай бұрын

    Uko vizur kwel mungu amefanya but iyoooo gaun apo kifuan hapana kpenz wameharbu ipo juu juu tyu

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    7 ай бұрын

    Ndo ishatokea fundi kafanya yake utafanyajee???? Hakuna anayependa kitu kibayaa, Pia kama hujawah kuharibiwa nguo na fundi bs hongera Kikubwa Mungu amefanya

  • @fadhilamahamoud7413
    @fadhilamahamoud74137 ай бұрын

    Hongea n,gweshu

  • @rehemamlowa2722
    @rehemamlowa27227 ай бұрын

    Mabibi harusi wa siku hizi ndio wanachachawa kuliko ma bwana harusi . Inaoneka huwa mnalazimishia ndoa na mkizipata ndio inakuwa hivi. Kazi kweli kweli 😂😂😂😂

  • @aseraadrian5717

    @aseraadrian5717

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @magrethAndrea-mb9bi

    @magrethAndrea-mb9bi

    6 ай бұрын

    bibi arus wa siku hiz hawana uturivu ata kidogo

  • @magrethAndrea-mb9bi

    @magrethAndrea-mb9bi

    6 ай бұрын

    Mie huwa sifurahiswi ata kidogo

  • @MercyNyongesah
    @MercyNyongesah8 ай бұрын

    Singles continue clapping until our time❤❤❤

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    7 ай бұрын

    Wakat wa Mungu utafika kipenz🥰🥰

  • @user-or8yo2wj9v
    @user-or8yo2wj9v3 ай бұрын

    Mtukuze mungu sana dada

  • @user-kx3hi6te7c
    @user-kx3hi6te7c6 ай бұрын

    Waoooo alijua kuyaludi bi harusi jamn nimemupend bule

  • @user-nt9jt1uf3p
    @user-nt9jt1uf3p8 ай бұрын

    Mambo ni moto, Nikwel Mungu amefanyaa... asante kwa picha kali na video kalii upo vzr @johnjo

  • @johnjo_brand

    @johnjo_brand

    8 ай бұрын

    Asanteh sana tunashukuru pia kwa kutuamini

  • @user-ed5ev5pc5s

    @user-ed5ev5pc5s

    8 ай бұрын

    MC Mungu akutunze daima nimekuelewa vizuri Sana unajua kusimama kwenye kazi Yako.

  • @user-li9us4zk3c
    @user-li9us4zk3c2 ай бұрын

    ongera my clatemat wng

  • @Elizabethyassin-sy5bm
    @Elizabethyassin-sy5bm6 ай бұрын

    kweli kabisa hawapati shida kwa sababu wanajuana kabla ya kuoana daah

  • @gladesglades6578
    @gladesglades65787 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @user-pe6nw2fp5o
    @user-pe6nw2fp5o6 ай бұрын

    Bibi harusi wa zamani walikuwa wanainamisha vichwa chini wanawaza huyu anae nios mzigo wake nitauwezaaaa? Walio wengi siku hizi wanakuwa wameshajuana na mumewe hivyo vibe kama loteee

  • @linahmlay8512

    @linahmlay8512

    6 ай бұрын

    Kwaiyo mtu unapaswa ununue usifuraie chochote wazamani ulikua unalazimishwa

  • @saumbliz8983

    @saumbliz8983

    6 ай бұрын

    Wamefanya umalaya mpaka wakachoka,,walikata Tama zakupata ndoa ndio mana hata hawana haya hawaoni aibu kabla jawajafika mji wa wenyewe

  • @HappyCello-fy4bd

    @HappyCello-fy4bd

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 ndio maana nko hapa na heshimu Ile kitu husema usiwahi pea mtu zawadi imefunguliwa glory be to God 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @leilasaid3623

    @leilasaid3623

    3 ай бұрын

    😂😂😂 ndio maan wew utakua unafikiria tyu unakoenda waenda kukutana na mtu ambae humjui sasa huyu kakiachia mno ​@@linahmlay8512

  • @user-es7lz9fp4b

    @user-es7lz9fp4b

    3 ай бұрын

    Sasa aibu ya Nini maana wakwe wakitaka kukuaibisha wanakuaibisha tu

  • @GladysAtieno-jl8sj
    @GladysAtieno-jl8sj7 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @rechosagumo8971
    @rechosagumo89717 ай бұрын

    Ameen

  • @barakadaniel9484
    @barakadaniel94846 ай бұрын

    🎉bibi harus kapendeza lakn gauni juu ka over role

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂 sanaa yn ila nashukuru mwaya imeshaisha salama

  • @user-id3qp6mc2x
    @user-id3qp6mc2x6 ай бұрын

    Barikiwa

  • @user-yt9uj5cf5c
    @user-yt9uj5cf5c7 ай бұрын

    Kkariiyo

  • @halimaphiniasibwire9688
    @halimaphiniasibwire96887 ай бұрын

    Kweli unaringa

  • @MaunduAngelyne-wr7xd
    @MaunduAngelyne-wr7xd6 ай бұрын

    Cograts

  • @user-jz1vd9bq1n
    @user-jz1vd9bq1n7 ай бұрын

    😢😢😢

  • @mrsabdul-mz8hh
    @mrsabdul-mz8hh8 ай бұрын

    😂Jiachie maaa haijirejei tn❤

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    7 ай бұрын

    ❤️

  • @esteralan5241
    @esteralan52417 ай бұрын

    Gauni😢😢😢

  • @user-ed5ev5pc5s
    @user-ed5ev5pc5s8 ай бұрын

    Oyooooooooooo ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    8 ай бұрын

    Atar sanaaaa 😍😍🥰

  • @user-nq2gl9fj9x
    @user-nq2gl9fj9x7 ай бұрын

    Uko'vzr

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    7 ай бұрын

    Asante diaa

  • @user-nt9jt1uf3p

    @user-nt9jt1uf3p

    7 ай бұрын

    🥰

  • @esteralan5241
    @esteralan52417 ай бұрын

    Na iko kigodoro kimetuna

  • @jovinathaphilipo6385

    @jovinathaphilipo6385

    7 ай бұрын

    Yan wew 😂😂😂 nimecheka kwa saut wakati Niko peke yangu😂😂😂

  • @edinamathews7717
    @edinamathews77177 ай бұрын

    Nguo mbona Kama oversize kifuan

Келесі