chat.whatsapp.com/KX2HMBj3Z5v8LjwVGi15zY JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP
@faudhiasaidi36692 ай бұрын
Akina kaka mnayefanya mambo ya kheri kama haya Mwenyezi mungu awazidishie kila la kheri
@ummySheikh722 ай бұрын
MashaAllah Fabi na Adam, sasa tufanye ukarabati wa nyufa japo hapo ni kwa mama yake bibi sio mbaya, na milango ya vyumbani kwao na floo basi au zaidi plasta basi.
@aziza90932 ай бұрын
Nimefurah kumnunuliy bibi aliyotowa Allah amuzidishey
@woah.africa992 ай бұрын
Wangemsaidia nyumba marekebisho haitaki gharama kubwa kuko wazi sana juu na kuekewa plasta
@ashashaban64842 ай бұрын
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AWALIPE KILA LA KHER WOTE MLOSHILIKI
@halimamfaume19252 ай бұрын
MashaAllah ❤❤❤ Mungu awabariki wote waliomsaidia bibi afadhali na yeye alale kwenye kitanda kizuri na godoro nzuri ❤
@hamidaalhabsi85682 ай бұрын
Hongera bibi kupata kitanda usingizi utakuwa mnono sana
@salhkasmm5582 ай бұрын
Huu niwajibu waserikali kwa raia wake kujenga nyumba safi kwa raia wake masikini nakuwaekea vitu kama hivi.
@veronicaUrio-wv5vj2 ай бұрын
Fab na Adam malipo yenu kwa mungu baraka kama zote
Yaan pengine lile juba lingine kamuachia mama fahadi ila ataki kusema
@SalmaSamiry2 ай бұрын
Mashaallah allahumma barik kila alie toa mungu amzidishie kila la kheri ila fabi usiwe unamuuliza bibi kuhusu mambo ya maji rani pengine wana sim kubwa wakiona wasije kimtenga na yeye haoni sio vema mungu awabariki fabi na adam
@harerimanaaisha7613Ай бұрын
Mansha'Allah Mansha'Allah
@ibraoman27452 ай бұрын
Mashallah ila hii Familia molla ameijaza barak
@husnathabiti4114
2 ай бұрын
Kwakwel
@user-xk7vy4gb6g2 ай бұрын
Hongera sana Fabian na team yako ukiwa na Adam Mungu awabariki sana 🙏🙏🙏
Пікірлер: 98
chat.whatsapp.com/KX2HMBj3Z5v8LjwVGi15zY JIUNGE KWENYE GROUP LETU LA WHATSAPP
Akina kaka mnayefanya mambo ya kheri kama haya Mwenyezi mungu awazidishie kila la kheri
MashaAllah Fabi na Adam, sasa tufanye ukarabati wa nyufa japo hapo ni kwa mama yake bibi sio mbaya, na milango ya vyumbani kwao na floo basi au zaidi plasta basi.
Nimefurah kumnunuliy bibi aliyotowa Allah amuzidishey
Wangemsaidia nyumba marekebisho haitaki gharama kubwa kuko wazi sana juu na kuekewa plasta
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AWALIPE KILA LA KHER WOTE MLOSHILIKI
MashaAllah ❤❤❤ Mungu awabariki wote waliomsaidia bibi afadhali na yeye alale kwenye kitanda kizuri na godoro nzuri ❤
Hongera bibi kupata kitanda usingizi utakuwa mnono sana
Huu niwajibu waserikali kwa raia wake kujenga nyumba safi kwa raia wake masikini nakuwaekea vitu kama hivi.
Fab na Adam malipo yenu kwa mungu baraka kama zote
Jaman bibi atafutiwe nguo jamn kusali iyoo iyo kushindia iyo iyo 😢😢😢
@user-po8hz7xw9j
2 ай бұрын
Tutoe michango
@mirnababy5012
2 ай бұрын
Yaan pengine lile juba lingine kamuachia mama fahadi ila ataki kusema
Mashaallah allahumma barik kila alie toa mungu amzidishie kila la kheri ila fabi usiwe unamuuliza bibi kuhusu mambo ya maji rani pengine wana sim kubwa wakiona wasije kimtenga na yeye haoni sio vema mungu awabariki fabi na adam
Mansha'Allah Mansha'Allah
Mashallah ila hii Familia molla ameijaza barak
@husnathabiti4114
2 ай бұрын
Kwakwel
Hongera sana Fabian na team yako ukiwa na Adam Mungu awabariki sana 🙏🙏🙏
Bibi nimekupenda saanna MashaAllah Alhamdulillah Unafurahisha
Fab mungu akubaliki sana❤❤❤
Alhamdulilah jinsimnavowapafuraha watuwenehuzuni mungu awapenifuraha wrote wachanguyaji na kinafabi awapefuraha duniyanina akhera
MashaAllah mashaAllah
Hapa kuna wezi usishangae wana plan kuiba pia, Allah akulinde bibi❤
mama omary kumbe wa kwetu kabisa nimejua baada ya kuongea lugha
Allah awabariki wote waliochangia Insha'Allah na awabarikie Fabian na Adam
Mashallah alhamdulillah Allah akuzidishie imani zaidi kaka fahadi na adam❤❤
@evaamedeus430
2 ай бұрын
Sio fahadi ni fabiani
Bibi na me nimejenga mlamleni nitakua nakuja kukutembelea😂🥰
Allah amuhifadhi kiukwel naumia sana bali ipo ck Allah atajanirudhuku na mie niwe miongon mwa kumpatia chochote
Maashallah kazi nzury
Bibi kasema yaleo kali😂😂😂ila haileweshi
Uyu wakwangu sifa kapoteza sifa moja tuu apendi kufokewa
Fabi na Adamu Allah awalipe kheri na waliotoa Allah awazidishie palipo punguwa
Mungu awabariki fabi na adam
Allah awazidishie kheri wote wanaofanikisha mambo ya kheri
Ma shaallah Allah awalipe kher
Dah...maskin kafunga kanga dirishan
Fabi vip hali ya yule mama Samiry
😂😂😂😂😂 mashalla bibiunachekesha
Manshallah tabarakallah Allah awalip
Masha ALLAH ❤❤
Kila kheri hakuna hata bajaji basi sihatari hiyo
Ndugu yangu panya watautafuna huwoo
Bibi ana story kachangamka Mashaalah
Bafo pillow ,na bibi simumupeleke hossy hayo macho
Mungu akubariki fabi
Mashlllah❤
Mlango unahitajika ataibiwa hapo na omari nae apate kitanda jamni pia faby msisitize usafi wa nyumba
Bibi watu kusema ni kazi yao wewe simama kwa Allah akulinde na hasad
❤❤
Bibi uwe makini usiku waleo utaanguka ukilala maan liko juu juu
❤❤❤❤❤❤ manshallaah tabarakallaah
Bib mcheshi mwenyewe bas usk kwa stroy hawa
A/alleykm mwanangu Fabi tuma namba yako ya wasp please nataka tuwasiliane
Maskini bibi tumsaidie hiyo nyumba mbovu hata itengenezwe ipo wazi kitanda kizuri nyumba inaanguka
@Official83640
2 ай бұрын
Sio kwake ni nyumba ya familia mama yake mzazi ndy kwake hapo kwahy achangiwe apate kiwanja labda ajengewe vyumba viwili
Kumbe bibi anakaa mlamleni
Fabi japonica nyumba sio yk tumuekee mlango
Ata mm namuuliza yule mama samili mbona kimya atumuoni ata ajibu fabi
Fabi kitanda kama hicho bei gani?
@mirnababy5012
2 ай бұрын
Vinauzwaga laki2nanusu au 3
Bibi angalia wachumba dilishan usiku
@ZsbAlbarwani
2 ай бұрын
😂
BIBI KANIFURAHISHA NA MANEMO YAKE
😂😂😂kicheleee
Fabiwewenabibiyako
Kichele😂😂😂😂😂😂😂
Bibi Najuta kuja kukukopa duh ushanitoa mtandaoni 😂😂😂😂😂😂😂😂😜🤸🤸🤸
@Dafetty
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ZsbAlbarwani
2 ай бұрын
😂😂😂
Sapoti gani wakati hujibu unachoulizwa
@Muslim-gs6rn
2 ай бұрын
😂😂😂😂umeongea kwa hi hisia
Hamn saut
fabi kitanda beigani
nimekipeda kitanda chabibi
Ukenunuwakapeti
Fabian ivi ukijibu comment unaishiwa nn? Yule mama wa mlimani uliachana nae ? Ulianza msingi chumba sebuleni?
@husnathabiti4114
2 ай бұрын
Mbona kwenye group Anajibu njoo kwa group lake
@ummySheikh72
2 ай бұрын
Kwelii Eeh! Fabi tupejibu pls
@AshuuSaid-ke1kx
2 ай бұрын
Unajiungaje na group
@zuweinaalhabsya8773
2 ай бұрын
@@husnathabiti4114aje kujiunga kwenye ilo group?
mbona hamna sauti au ni kwangu tuu
@aishaarusha894
2 ай бұрын
Ni kwako
@husnathabiti4114
2 ай бұрын
Wewe tu
Mbona bado hamjanunulia mito?
@Fatima1234-wl1nu
2 ай бұрын
masikini ulituma hela ya mito na wajanunua😢
@MawaddaKhamis-zh3kc
2 ай бұрын
@@Fatima1234-wl1nu😂😂😂 mecheka
@Fatima1234-wl1nu
2 ай бұрын
@@MawaddaKhamis-zh3kc Shogile Cheka bandama lisisinyae ongeza cku ya kuishi
Wallah ninamapazia aina2 natafuta wakumgaia lkn niko zanzibar
@HusnaOmarry
2 ай бұрын
Mtafutecfabi utumishe fabi atayapokea,,
@ruqaiamohammed345
2 ай бұрын
Mtumie faby kwenye 🛥
@ZainabAbdullah-bc6pu
2 ай бұрын
Mbona Zanzibar wapo wenye uhitaji kipenz
@Fatima1234-wl1nu
2 ай бұрын
watu wanatuma kutoka nche za nje sembuse Zanzibar?
@AshuuSaid-ke1kx
2 ай бұрын
@@Fatima1234-wl1nu au sio?
Bibi mmbeyaa jmni 😂😂mpka rahaa
Msimlaumu ni bibi tu