Sawa kaka clam nakubali sana 💐🌹🌼🌷chukua mauwa yako))))
@ZuhuraMajaliwa
Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 ayoooo ya kwako
@user-xf1by9je1f8 ай бұрын
Clam Vevo nkupenda sana n hyo misemo yko😂😂mwambie huy mwenzio true love is never forced😅I love also Sasha bcz is seriously forcused to studies en strong girl😮😊
@annaki31810 ай бұрын
Mambo mazuriii mzigo pambe ... CLAM VEVO forever and Ever ❤❤❤❤ tunaompenda clam tulike hapana.
@user-td5oe6gl4r
10 ай бұрын
ikobomba
@user-pi3fz9zz2k
10 ай бұрын
Jani kale kangoma kaimba nani ambako cramu aliimba pale kati
@blessedsuma847110 ай бұрын
CLAM, mim ni mmoja kati ya wanaokufatilia sana kwa mema lakini, napenda kaz zako na kilakitu chema kukuhusu, Mungu azidi kukupa kipawa na uzidi kufanya vizuri, naomba tu hii series isiwe inachelewa kwasababu nimoja ya series kati ya zakp nyingi niliyovutiwa nayo, Keep up the good work brother.
@kidomawe
9 ай бұрын
Ok❤❤❤
@ElishachegeraMoise10 ай бұрын
Clam Vevo ni mmoja kati ya Wana comedy wanaona fanya vizuri ichini Tanzania Mimi nafatiliya vidéo zako toka ichini Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@niyonkurumanasse300310 ай бұрын
Very talented Clam. Much love from Burundi
@ibrahimuselemani407610 ай бұрын
Tuko hapa mzgo tumeunasa BOSS,Likes kwako mkuu tunaenjoy kaz zako ubarikiwe…Gonga likes za upendo kwa CLAM 😊❤
@Amede-dd6ij
10 ай бұрын
Kwakweli wanastahili pongezi mbarikiwe sana tena sana
@ElikanaGelad-gc2ll
10 ай бұрын
Kali hii asee big boss sjui nisemeje
@neemmlingo729
10 ай бұрын
❤❤❤
@ElikanaGelad-gc2ll
10 ай бұрын
Hatuchoki tupo pamoja nasemaj nasemaje
@innocentyohana9283
10 ай бұрын
Dah kwer Bila kasol na kinyongo hongala sanaa clam umeuwa
@damianmhagama439810 ай бұрын
Clam ni msanii wa daraja la juu sana hakika kazi yako ni Bora sana. Series nzuri sana yaani pale ulipokuwa unawaimbia wenzako mpaka machozi yalinitoka, maana nilipata hisia ya uhusika halisi. Imeonyesha kuwa mapenzi sio pesa tu. Sasha kasema anahitaji mtu mwenye Nidhamu Akili na Unyenyekevu. Hakika hii ni kazi nzuri kazi Bora stori nzuri yaani kila kitu kizuri hata makofi aliyopigwa mwakatobe nayo mazuri yalikuwa na yamepakwa poda
Number one love you from Australia nipeni like zangu jamana 🥰🥰
@official_harmsmunga10 ай бұрын
I just love the scene mheshimiwa akirudisha hela, kama TZ kupo hivi Kenya tuna changamoto kubwa sana
@vicenteanastaciomarcelino380810 ай бұрын
Nakupa tuzo ya mwigisaji bora Clam 🔥🔥🔥, from Mozambique 🇲🇿🇲🇿
@unleloo761610 ай бұрын
Good series Kwa haraka haraka tuki analysis. Dhamira tulizoona Mapenzi , matumizi mazuri ya uongozi tumemuona Mzee dude , anastahili kupewa ubunge hata hawamu ijayo, ingawa mtoto anamuaribia , pia matumizi mabaaya yahela , hii series n zuri sana na Wala haichagui umri nice nice nice wahusika wooote wanajua sanaaaa nasubiria ya 3 pigen kazi kikubwa n afya na uzima
@givenrichard809410 ай бұрын
Mwamba huyu apa .... Asante Studio...Asant Rizwan..... You are the best....🎉🎉🎉 Chapat Maharage 😅 @clam vevo
@MUMOJAMES-er8cu10 ай бұрын
You are doing a great job my friend, big up from Kenya
@RehemaNgunda-xt2kg
5 ай бұрын
Good luck to you Clam
@mutembojean978910 ай бұрын
Kiukweli na enjoy sana na my best friend ongera sana clam ila ntenzi penda nami niingize
@yohanandiga338910 ай бұрын
Nimeipenda kamati ya roho mbaya, nimeipenda stail ya Clam, then nimempenda huyo mdada tabasau lake kw Clam 🔥
@rich.kizza10
10 ай бұрын
wahuni wamecheza kweli
@Hajizaidin10 ай бұрын
kazi zuri Sana clam muendelezo usichelewe bas❤❤
@user-fc8tg2oh1s10 ай бұрын
Team clam jamn like hapa
@dianachebe819310 ай бұрын
Nakupenda sana clam na ningependa japo siku Moja ni act na wewe ❤❤❤ much love from kenya
@Abdallah-pi6nv10 ай бұрын
Nilipitia hali hii nikiwa shule wakati ambao sikuwa na amani ni mwingi kuliko niliofurahi watu walikua wakifurahi nikilia 😌😌😌big up clam 💝💝
@BBBTv-om9qz10 ай бұрын
First to watch from Kenya nipewe likes zangu
@user-fz1mh5fs1g6 ай бұрын
pure talent 🇰🇪
@user-id1cr7kl8g10 ай бұрын
oyawee 50CENTwatz yassa the great anakupa hongela uko guda semama nn hii comedy iko guda masimen🤩😍😇
@baylatmoz0610 ай бұрын
❤❤Sijawai kuwona comedian kama brother Clam vevo ❤ is very talented❤🎉 much love from Mozambique🇲🇿
@davidjoaojacob847joaojac-gn7eo
10 ай бұрын
lakini mwenyewe anadai sio comedian bali ni muigizaji
@abdoullysufian-rr7ls
9 ай бұрын
Greatfull
@Ammarloliso
6 ай бұрын
😅ety hiiii
@yohanamwashumbi7281
6 ай бұрын
Nimuigizaj bora very talent clam❤❤tanzania w love u❤🎉
@TatuStarphod-wl9us
5 ай бұрын
👍💫🤗 good for you so ukozizuli
@Rayizohclassic10 ай бұрын
Jamani wakwanza from kenya lamu like zangu pliiiz❤😢😢
@FaithChemutai-m8s4 күн бұрын
I love the way clam vevo act may God bless him and protect him
@abasihimidi69359 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza kufuatilia kazi za @Clamvevo... Na Best Friend hakika imefana. Ningependa kuona ikiendelea maana maudhui haya yanatupa mtazamo mpya na mafunzo ya kila siku.. KAZI NZURI ❤❤
@cleophasmutembei10 ай бұрын
Iyo moment ya kuokota pesa imebamba sana Anyway wapi likes za clam Vevo wadauu
@HassanCoyo10 ай бұрын
*Wa KWANZA Mimi kama unaikubali team Clam VEVO gonga like zao na kwangu pia ❤*
@AlbatiMadona
10 ай бұрын
Kaka kweli unakosaga Kazi za kufanya ujue video Karibu zote wewe unakuwaga wa kwanza
Napenda clip jamani clam kazi nzuri alafu isitoshe nasubiria kuona kilichotokea baadaye
@jindwasam10 ай бұрын
sincerely speaking, clam is more of an artist in this continent.. God bless you big brother.. you're bringing a great change in this industry.. Tanzania is so much blessed..🔥🔥
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Huu kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
@bakarihamisi5712
10 ай бұрын
Big up Sana Clam Yuko juu
@user-ic4di2vm7h
10 ай бұрын
@@bakarihamisi5712 san
@neemaandrew241910 ай бұрын
nimekua wakwanza leo.....kama mnampenda clam gonga like
@niyonizeyeflorencefofo448410 ай бұрын
Jamani clam nakwambia una wezo❤tuna penda kazi Yako gutoka burundi 🇧🇮
@xyloodaemperor10 ай бұрын
Big up clam vevo you never disappoint and if iwas to rate this in % i would give it 101% and am really waiting for part 3 and the new season of big boss yani sema motoooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥# best friend ❤
@OFFICIALDJDZEKOG10 ай бұрын
Wa kwanza Leo from Texas Dallas nipeni likes zangu ❤
@EzraOsiemo10 ай бұрын
Namba one kutoka 🇰🇪 kutazama [ BEST FRIEND 2 ],,nipeeni likes kama wampenda CLAM na team yake
Sio Kwa mbio hizi Ili nimewahi bhanaa💃♥️♥️🔥ila sijapentaaa uyo zumbwe anavyomfanya baba clam daaah maskini wanateseka sana😥😥 Kuna watu wanaishi ivo maskini😥🙌
@Biddady27610 ай бұрын
Napenda kaz zako na nzur hongera mno ila tuwahishie episode 3 jaman
@Yvesmsafiri10 ай бұрын
Yaani kweli mwakatobe uwaga ananiuwa😂 sana, maisha yanaban kuliko chupi , yaani kila sériés ambayo clam atacheza mwakatobe asikosekani
@user-fs7hl6vg2p10 ай бұрын
Umetishaass mwamba clammmm veeeeeeeeeevooooo
@timothypengejoshua869210 ай бұрын
Kutokea Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 wakwanza kabisa Clam embu like basi comment ya drcongo
@samiuhassan815310 ай бұрын
Nimekuwa WA kwanza Naomba like jamn napenda sana hii moveee mieee
@avickojunior9 ай бұрын
Fun wa clam vevo never disappoint ❤❤❤❤ wapi likes zaidi yake 😢😢😢is Avicko Junior
@ElizabethNyoni-jo9gi
7 ай бұрын
Love, you
@MatekaFrancisАй бұрын
Bambi like this man❤❤ like u❤😮 good continue with that talent my God bless you❤🎉
@mugo507510 ай бұрын
Pure talent. Asante CLAM VEVO kwa comedy zako . Big fan from KENYA 🇰🇪
@mugambiandrew999710 ай бұрын
Clam kindly we need behind the seen pia. This looks 🔥🔥🔥 uuuuuuuuu😅😅
@sadikinyembo10 ай бұрын
I'm from Kinshasa DRC, you do great your job... Keep up the good work
@babajerry04010 ай бұрын
Sisi wafuatilizi wa #clam vevo...tumeona big boss yote sai tupo best friend wapi likes huku mnifuatilie nami mnipe support nami niheat watu wa TZ tafadhali
@johnynathan585510 ай бұрын
Painful story bro u make me cry 😢 but much love clam gang
@user-sv6cw1kw6t10 ай бұрын
Nimeipenda sanaah kazi yko ,, Ngoma enyewe inaitwaje
@cleophaxgeremy21489 ай бұрын
Guys such a good position you are brother Cram,,,,,and the rest you all played well,,by the i just request the name for the artist who sang that back ground song in this video please,i want to download it and feel it's soooooothhhhh,from kenya.
Hakika hii mafunzo inatafunza hivi tusiwai dharau Masikini kwa sababu kuna siku mwenyezi Mungu 🙏atamfungulia mlango wazi! Mwenyezi mungu akusaidie clam 🙏🙏
@Jaydannychawaboy.10 ай бұрын
Ningali fatilia shughuli zako Clam Cris... Nakubali sana na najua sipo pekee yangu wenzangu mko wapi heba acha juane kwenye comment ❤❤❤
@mauabby134810 ай бұрын
Clam wewe huna Baya mungu akupe umri kijana uzidi kutupa mautamu❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
@johncr414910 ай бұрын
Clam ni good artist Mungu aendeleh kukupa nguvu ya kupambn 🙏🙏🙏
@nsengumuremyisylvester495010 ай бұрын
shemeji kwa kwli mutanisamehe siwezi nikarudisha pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaani kama kunawaigizaji wanawo nifulahisha huu dada ni mmoja wao.nampenda sana nafulahia anavyo cheza anavyo igiza👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
@user-co2dg9te1l10 ай бұрын
Good job from meru county kenya wapi likes
@andrewamoss185210 ай бұрын
Daaah CLAM umeamua bhn sasa umekuwa na akili ya utu uzima unafanya hadi watu wakubwa wanatoa machozi kwa hii co big up mungu aendelee kukutunza et utoe vitu vizuriiii🎉😢
@LynxBaraka-eu3by6 ай бұрын
Story developer salute kwakoo de story is very cutie 🎉😊❤...
@owenvevo41110 ай бұрын
Nawakubali sana aiseee, furaha kumuona KIM tena ❤❤❤😅
@josephswana728610 ай бұрын
Best Friend IKO vizuri sana clam Vevo, nakupenda❤ sana bro kutoka Congo 🇨🇩
@user-oh2xw7zb6j10 ай бұрын
Nakubal bro Kaz zako ni hatari kwahivo naamini wewe ni fundi. By Air Kidd
@YUSUFUMOHAMEDI-dt6zv10 ай бұрын
Mungu akutangulie CLAM kazi zako ni nzuri, binafsi napenda sana sana kuzifuatilia kazi zako🤝🤝
@usumanezana177510 ай бұрын
Clam wewe ni fundi ❤❤❤ nakubali kazi kabisa na Allah aendelee kuwalinda nyinyi wote ❤❤❤
@Saidiebengotv-gf7nu10 ай бұрын
Leo mimi wa Kwanza from Namibia , nipeni likes zangu
Пікірлер: 2 600
Jamani wale tulio kuwepo kwenye big boss na sasa tupo best friend piga like twende sawa 🔥🤞🚀👆
@user-bb7vw6pw7r
10 ай бұрын
Tupo sana
@leahwanjiku5466
10 ай бұрын
Kabisa
@occymoccy539
10 ай бұрын
Tupooo🎉🎉🎉🎉🎉
@cookwithbelli
10 ай бұрын
👋
@Jali-et8py
10 ай бұрын
Tupo
Tangu niwe fan wa clam sjawahi pata like zaidi ya mbili...😢
@NasserShayo-tn6vo
10 ай бұрын
Mhhhhhh hahahahahahahaha pole YAKO😂😂😂😂😂
@kiplimo411
10 ай бұрын
@@NasserShayo-tn6vo wueeh 😂🙌
@AminaMlungula
10 ай бұрын
@@NasserShayo-tn6vo in
@mamasb8154
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ZuleikhaKassim-tu4zt
9 ай бұрын
Nimeipenda clam
Mwamba upewe maua yako upo good sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 tunataka part 3 clam usicheleweshe
Hongera clam vevo, ebu niseme kwamba wewe ndio wakwanza kucheza movies in all african continent❤❤❤❤
Kama unakiri kuwa clam amekuja kuifufua bongo movie mpe maua yake hapa❤❤
@bensonmwangeje2824
10 ай бұрын
🎉🎉
@lilyjellday
10 ай бұрын
❤
@ikramlatyathumani8365
10 ай бұрын
🌹
Wale wakuu tumeongozana toka Penzi la Mzimu tukaenda Big Boss na sasa tupo hapa Best Friend, weka tick tukisonga 💥❤🚀♨️
@user-dw7yb6hq4q
9 ай бұрын
✌️
@cloudenock6167
9 ай бұрын
📢📢📢
@MhamadHaashim
4 ай бұрын
Mamb
@EsperanceNzeyimana-wu8ks
2 ай бұрын
Ivi tuko kwenye snake boy
Best actor in tanzania clam vevo like kwangu japo 10
Most talented actor that's your definition much love from Canada 🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Wakwanza mimi Leo nipeni like zangu❤❤❤ love from Norway 🇳🇴 🔥🔥🔥🔥
@alexmaganda7081
10 ай бұрын
Acha Tamaa wewe like umefanya kazi gani
@akimbashirwa9371
9 ай бұрын
@@alexmaganda7081acaungese wewe😂😂
👏👏👏👏 wa kwanza ku trop comment, excellent sana clam vevo 🎉🎉🎉
Jamani iyi nikali kbs bro clam piga like yako hapa😂😂😂
Tuko sambamba kabisa tokea big boss.... Hadi best friend .. kazi Safi @clam natazama kutoka mombasa Kenya 🇰🇪 one love
This episode has really made me to shade my tear alot. our parents they can do anything for us to stay well.
@adamabrhani
10 ай бұрын
Me to sister
@marandoruzali1946
10 ай бұрын
Really
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Fr6 kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
@CaptainMulindi
10 ай бұрын
Thats true
@moshikasalenge6174
10 ай бұрын
Me more
❤Heko kutoka Kenya 254🇰🇪🇰🇪 kwa kweli unafanya kazi nzuri kaka big boss season 2 tumeingoja bro zidi kusonga kaka Mungu akuchunge tuzidi kukutazama♥️
Tears rolled down my cheeks 😥😥😥😥
Sasha has fallen to Clam... I enjoy watching it...never disappoint someone 💣
Kenya unapendwa kaka, kwanza hii series mpya twaifwatilia mnoo❤❤❤, long live clam vevo❤
Kama na wewe ni kama mimi uliyekuwa unaisubilia kwa hamu gonga like 👍 hapa 😂😂
@ibrahimshabani7512
10 ай бұрын
👻
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Gyy kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
@HarunaKijazi
10 ай бұрын
Kijazi
@HarunaKijazi
10 ай бұрын
Kijazi fenicha
Sawa kaka clam nakubali sana 💐🌹🌼🌷chukua mauwa yako))))
@ZuhuraMajaliwa
Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 ayoooo ya kwako
Clam Vevo nkupenda sana n hyo misemo yko😂😂mwambie huy mwenzio true love is never forced😅I love also Sasha bcz is seriously forcused to studies en strong girl😮😊
Mambo mazuriii mzigo pambe ... CLAM VEVO forever and Ever ❤❤❤❤ tunaompenda clam tulike hapana.
@user-td5oe6gl4r
10 ай бұрын
ikobomba
@user-pi3fz9zz2k
10 ай бұрын
Jani kale kangoma kaimba nani ambako cramu aliimba pale kati
CLAM, mim ni mmoja kati ya wanaokufatilia sana kwa mema lakini, napenda kaz zako na kilakitu chema kukuhusu, Mungu azidi kukupa kipawa na uzidi kufanya vizuri, naomba tu hii series isiwe inachelewa kwasababu nimoja ya series kati ya zakp nyingi niliyovutiwa nayo, Keep up the good work brother.
@kidomawe
9 ай бұрын
Ok❤❤❤
Clam Vevo ni mmoja kati ya Wana comedy wanaona fanya vizuri ichini Tanzania Mimi nafatiliya vidéo zako toka ichini Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Very talented Clam. Much love from Burundi
Tuko hapa mzgo tumeunasa BOSS,Likes kwako mkuu tunaenjoy kaz zako ubarikiwe…Gonga likes za upendo kwa CLAM 😊❤
@Amede-dd6ij
10 ай бұрын
Kwakweli wanastahili pongezi mbarikiwe sana tena sana
@ElikanaGelad-gc2ll
10 ай бұрын
Kali hii asee big boss sjui nisemeje
@neemmlingo729
10 ай бұрын
❤❤❤
@ElikanaGelad-gc2ll
10 ай бұрын
Hatuchoki tupo pamoja nasemaj nasemaje
@innocentyohana9283
10 ай бұрын
Dah kwer Bila kasol na kinyongo hongala sanaa clam umeuwa
Clam ni msanii wa daraja la juu sana hakika kazi yako ni Bora sana. Series nzuri sana yaani pale ulipokuwa unawaimbia wenzako mpaka machozi yalinitoka, maana nilipata hisia ya uhusika halisi. Imeonyesha kuwa mapenzi sio pesa tu. Sasha kasema anahitaji mtu mwenye Nidhamu Akili na Unyenyekevu. Hakika hii ni kazi nzuri kazi Bora stori nzuri yaani kila kitu kizuri hata makofi aliyopigwa mwakatobe nayo mazuri yalikuwa na yamepakwa poda
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Fryb kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
@geofreydanny1037
10 ай бұрын
Eti makofi mazuri 😅😅😂😂
@issahayoub7666
10 ай бұрын
Mnafiki mkubwaa wewe
@user-do8ze4ot5q
10 ай бұрын
adi makofi mzur duh😂😂😂😂
@user-do8ze4ot5q
10 ай бұрын
sijapenda
Nakukubali sana vevo wee ni mwamba kak🎉🎉🎉😂😂😂❤😊😊😅😅
Vevooooooo,,,,sema yeyoooo Niko interested na series zako❤❤❤ kama unamkubal gonga likeeee
Clam is an International Actor the Best African male actor you deserve the 👑 crown
wa kwnza Kuwatch Kama Unamkubali Clam vevo gonga likes hapa🎉🎉🎉
@saidbaraka8996
10 ай бұрын
Part three😅
Pokeà Congratulations kutoka NAIROBI,Naona unapita hyo level ya Kanumba #Clamvevo ni moto
Nakukubali sana cram vevo pengo la kanumba nahakika utaliziba mungu yupo
This guy is very talented 🙌🏿🙌🏿
@Kingtiger98
10 ай бұрын
T8 kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
Number one love you from Australia nipeni like zangu jamana 🥰🥰
I just love the scene mheshimiwa akirudisha hela, kama TZ kupo hivi Kenya tuna changamoto kubwa sana
Nakupa tuzo ya mwigisaji bora Clam 🔥🔥🔥, from Mozambique 🇲🇿🇲🇿
Good series Kwa haraka haraka tuki analysis. Dhamira tulizoona Mapenzi , matumizi mazuri ya uongozi tumemuona Mzee dude , anastahili kupewa ubunge hata hawamu ijayo, ingawa mtoto anamuaribia , pia matumizi mabaaya yahela , hii series n zuri sana na Wala haichagui umri nice nice nice wahusika wooote wanajua sanaaaa nasubiria ya 3 pigen kazi kikubwa n afya na uzima
Mwamba huyu apa .... Asante Studio...Asant Rizwan..... You are the best....🎉🎉🎉 Chapat Maharage 😅 @clam vevo
You are doing a great job my friend, big up from Kenya
@RehemaNgunda-xt2kg
5 ай бұрын
Good luck to you Clam
Kiukweli na enjoy sana na my best friend ongera sana clam ila ntenzi penda nami niingize
Nimeipenda kamati ya roho mbaya, nimeipenda stail ya Clam, then nimempenda huyo mdada tabasau lake kw Clam 🔥
@rich.kizza10
10 ай бұрын
wahuni wamecheza kweli
kazi zuri Sana clam muendelezo usichelewe bas❤❤
Team clam jamn like hapa
Nakupenda sana clam na ningependa japo siku Moja ni act na wewe ❤❤❤ much love from kenya
Nilipitia hali hii nikiwa shule wakati ambao sikuwa na amani ni mwingi kuliko niliofurahi watu walikua wakifurahi nikilia 😌😌😌big up clam 💝💝
First to watch from Kenya nipewe likes zangu
pure talent 🇰🇪
oyawee 50CENTwatz yassa the great anakupa hongela uko guda semama nn hii comedy iko guda masimen🤩😍😇
❤❤Sijawai kuwona comedian kama brother Clam vevo ❤ is very talented❤🎉 much love from Mozambique🇲🇿
@davidjoaojacob847joaojac-gn7eo
10 ай бұрын
lakini mwenyewe anadai sio comedian bali ni muigizaji
@abdoullysufian-rr7ls
9 ай бұрын
Greatfull
@Ammarloliso
6 ай бұрын
😅ety hiiii
@yohanamwashumbi7281
6 ай бұрын
Nimuigizaj bora very talent clam❤❤tanzania w love u❤🎉
@TatuStarphod-wl9us
5 ай бұрын
👍💫🤗 good for you so ukozizuli
Jamani wakwanza from kenya lamu like zangu pliiiz❤😢😢
I love the way clam vevo act may God bless him and protect him
Kwa mara ya kwanza kufuatilia kazi za @Clamvevo... Na Best Friend hakika imefana. Ningependa kuona ikiendelea maana maudhui haya yanatupa mtazamo mpya na mafunzo ya kila siku.. KAZI NZURI ❤❤
Iyo moment ya kuokota pesa imebamba sana Anyway wapi likes za clam Vevo wadauu
*Wa KWANZA Mimi kama unaikubali team Clam VEVO gonga like zao na kwangu pia ❤*
@AlbatiMadona
10 ай бұрын
Kaka kweli unakosaga Kazi za kufanya ujue video Karibu zote wewe unakuwaga wa kwanza
@matombotv1507
10 ай бұрын
kula chuma iko😮😮
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Gdt kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
@anesansibert2968
9 ай бұрын
@@AlbatiMadona 😂😂😂😂
@AlbatiMadona
9 ай бұрын
@@anesansibert2968 Hahahahahaha
Napenda clip jamani clam kazi nzuri alafu isitoshe nasubiria kuona kilichotokea baadaye
sincerely speaking, clam is more of an artist in this continent.. God bless you big brother.. you're bringing a great change in this industry.. Tanzania is so much blessed..🔥🔥
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Huu kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
@bakarihamisi5712
10 ай бұрын
Big up Sana Clam Yuko juu
@user-ic4di2vm7h
10 ай бұрын
@@bakarihamisi5712 san
nimekua wakwanza leo.....kama mnampenda clam gonga like
Jamani clam nakwambia una wezo❤tuna penda kazi Yako gutoka burundi 🇧🇮
Big up clam vevo you never disappoint and if iwas to rate this in % i would give it 101% and am really waiting for part 3 and the new season of big boss yani sema motoooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥# best friend ❤
Wa kwanza Leo from Texas Dallas nipeni likes zangu ❤
Namba one kutoka 🇰🇪 kutazama [ BEST FRIEND 2 ],,nipeeni likes kama wampenda CLAM na team yake
@Monissa1132
10 ай бұрын
Season 1 ilifanyika lini
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Hyu kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
Big up Clam bro nafurahi sana nkiona kazi zako one day ntakuona tu namimi unipe njia
Unafanya kazi nzuri sana CLAM,kiukweli tunaenjoy na kujifunza pia,,,💪🙏
Safi sana clqm hii ngoma imeenda shule kama ilivyo kazi Safi
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Hyi kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
Dahh,,, clam for real its a touching story line cant wait for ep 3
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Gyi kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
Clan Vevo muito obrigado e continua Deus abençoe
Muingizaji bora east Africa Clam vevo❤❤❤
Sio Kwa mbio hizi Ili nimewahi bhanaa💃♥️♥️🔥ila sijapentaaa uyo zumbwe anavyomfanya baba clam daaah maskini wanateseka sana😥😥 Kuna watu wanaishi ivo maskini😥🙌
Napenda kaz zako na nzur hongera mno ila tuwahishie episode 3 jaman
Yaani kweli mwakatobe uwaga ananiuwa😂 sana, maisha yanaban kuliko chupi , yaani kila sériés ambayo clam atacheza mwakatobe asikosekani
Umetishaass mwamba clammmm veeeeeeeeeevooooo
Kutokea Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 wakwanza kabisa Clam embu like basi comment ya drcongo
Nimekuwa WA kwanza Naomba like jamn napenda sana hii moveee mieee
Fun wa clam vevo never disappoint ❤❤❤❤ wapi likes zaidi yake 😢😢😢is Avicko Junior
@ElizabethNyoni-jo9gi
7 ай бұрын
Love, you
Bambi like this man❤❤ like u❤😮 good continue with that talent my God bless you❤🎉
Pure talent. Asante CLAM VEVO kwa comedy zako . Big fan from KENYA 🇰🇪
Clam kindly we need behind the seen pia. This looks 🔥🔥🔥 uuuuuuuuu😅😅
I'm from Kinshasa DRC, you do great your job... Keep up the good work
Sisi wafuatilizi wa #clam vevo...tumeona big boss yote sai tupo best friend wapi likes huku mnifuatilie nami mnipe support nami niheat watu wa TZ tafadhali
Painful story bro u make me cry 😢 but much love clam gang
Nimeipenda sanaah kazi yko ,, Ngoma enyewe inaitwaje
Guys such a good position you are brother Cram,,,,,and the rest you all played well,,by the i just request the name for the artist who sang that back ground song in this video please,i want to download it and feel it's soooooothhhhh,from kenya.
@mrsfahad5693
8 ай бұрын
Benny shizzol SIPO HURU
The best serie in Tanzania at the moment 🇿🇲🇿🇲🇿🇲
@Kingtiger98
10 ай бұрын
Gtu kzread.info/dash/bejne/fpWGsJWulqmxg7w.htmlsi=pP4mrmaTiOQsCwwz
Huyu wimbo hadi nimesha ukariri tayari naupenda kinoma yani ❤
@yumbihussein
10 ай бұрын
Kwanza nani mwenye aliimba iyo nyimbo jina nisaidieni
@chadracknshimirimana4761
10 ай бұрын
@@yumbihussein niwa Benny Shizzol unaitwa kama ikitokea
@fatumasuleiman6989
10 ай бұрын
@@chadracknshimirimana4761umejibu kitendawili.changu❤
Clam mm nilikua naomba uipangilie kama big boss
❤❤❤❤❤❤🎉🎉 poa kazi nzuri
Hakika hii mafunzo inatafunza hivi tusiwai dharau Masikini kwa sababu kuna siku mwenyezi Mungu 🙏atamfungulia mlango wazi! Mwenyezi mungu akusaidie clam 🙏🙏
Ningali fatilia shughuli zako Clam Cris... Nakubali sana na najua sipo pekee yangu wenzangu mko wapi heba acha juane kwenye comment ❤❤❤
Clam wewe huna Baya mungu akupe umri kijana uzidi kutupa mautamu❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
Clam ni good artist Mungu aendeleh kukupa nguvu ya kupambn 🙏🙏🙏
shemeji kwa kwli mutanisamehe siwezi nikarudisha pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaani kama kunawaigizaji wanawo nifulahisha huu dada ni mmoja wao.nampenda sana nafulahia anavyo cheza anavyo igiza👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
Good job from meru county kenya wapi likes
Daaah CLAM umeamua bhn sasa umekuwa na akili ya utu uzima unafanya hadi watu wakubwa wanatoa machozi kwa hii co big up mungu aendelee kukutunza et utoe vitu vizuriiii🎉😢
Story developer salute kwakoo de story is very cutie 🎉😊❤...
Nawakubali sana aiseee, furaha kumuona KIM tena ❤❤❤😅
Best Friend IKO vizuri sana clam Vevo, nakupenda❤ sana bro kutoka Congo 🇨🇩
Nakubal bro Kaz zako ni hatari kwahivo naamini wewe ni fundi. By Air Kidd
Mungu akutangulie CLAM kazi zako ni nzuri, binafsi napenda sana sana kuzifuatilia kazi zako🤝🤝
Clam wewe ni fundi ❤❤❤ nakubali kazi kabisa na Allah aendelee kuwalinda nyinyi wote ❤❤❤
Leo mimi wa Kwanza from Namibia , nipeni likes zangu