Келесі
- 3:13
- 3,4 МЛН
- 00:13
- 11 МЛН
- 7 күн бұрын
- 2:26:34
- 682 М.
- 6 күн бұрын
- 01:00
- 97 МЛН
- 26 күн бұрын
- 2:47:23
- 8 МЛН
- 16 күн бұрын
- 3:51
- 980 М.
- 3:27
- 720 М.
- 3:34
- 466 М.
- 3:32
- 1,6 МЛН
- 3:55
- 1,9 МЛН
- 3:37
- 16 МЛН
- 3:39
- 836 М.
- 3:39
- 269 М.
- 3:24
- 614 М.
- 2:53
- 16 МЛН
- 3:58
- 880 М.
Пікірлер: 872
Tunao angalia wimbo uu kwa mwaka wa 2024 tujuane kwa likes.
@aliionlinetv8397
4 ай бұрын
Tupo😅
Who's here with me 2024 , God bless y'all 🎉❤❤❤❤❤
kudadeki we Beka utanilipa mb zangu ,,,huwezi nifanya me niangalie wimbo Mara kumi wew,,,daaaaah noma xana
Kandahar twende wote 2024 -2025
Wuwuwu Yeyeye Uuuuuh uuuuuh Baby boo Umenichangacha changanya mpaka umenimaliza eh Baby eeeh umenichangacha changanya wengine naona Giza eh My baby boo Umenichangacha changanya mpaka umenimaliza eh Baby boo umenichangacha changanya wengine naona Giza eeeh Naona Giza×4 Ukinipa Sana nasemanga dozee Peremende yako tamu kote kote Tupendane kifo kitukute wote(mi nawe) Unanifanya mpaka nisikuchoke Kwani dini gani sema niokoke Unataka wapi sema twende wote Mwenzako Niko radhi Chochote mimi nitakupa wee Ili mapaparazi wasijaribu kukugusa eeh Kupanda ndio kazi kushuka rahisi kabisa wee Nifanye kijakazi kwa penzi lako limefika weeh Nangangana na Mimi Kama nguo fiti mwilini Nitameza quinini ukiniacha mi safarini weeh Rangi yako inamulika mulika Kwenye Giza mwanga kimuli muli Uzuri wako wengi unawadatisha Wanagonga mwamba hawafungi goli Najiona Mimi nikikutazama usoni Sasa kioo Cha Nini, unatosha kua ndani Wengine napiga chini namba yako moja amani Petee vaa kidoleni, ndoa tufunge mwakani Mwenzako Niko radhi Chochote mimi nitakupa wee Ili mapaparazi wasijaribu kukugusa eeh Kupanda ndio kazi kushuka rahisi kabisa wee Nifanye kijakazi kwa penzi lako limefika weeh Nangangana na Mimi Kama nguo fiti mwilini Nitameza quinini ukiniacha mi safarini weeh Japo kuja tuishi kwangu wote Japo urafiki sioni kisa Cha makelele Tukikosa kuku tutakula matembele Mboga za majani zinapatikana pia uku
Wapili km unamkubali beka like hapa na reply huyu jamaa ni moto htr
@gillaygershom1709
5 жыл бұрын
Namkubali sana brother angu
bofonga bofonga baba la baba pomoja sana goooooood sio hawa wwanaoimba ujinga ujinga eti nyege nyegezi upuuzi huo pamoja mzee beca.
Yaani sauti na mashairi yanaendana sana. Namkubali sana huyu Beka flavour
@josephinemwangome2100
5 жыл бұрын
Evans Bwire safi beks
@ralfbuanar9118
2 жыл бұрын
This is good song love you beka
Nakuku Bali sana mwenyezimungu atakusaidiya utafikambali
watano from Oman like Tanzania kuna mziki jaman
Walai hii kaliiiii,🔥🔥🔥🔥
Wuko juwu beka yani muziki nasawuti namashahiri binaendana from bujumburura burundi 💋💋💋✌✌👌👌muziki wabutamu lov you😍😍
Kazi kazi jiwe juu ya jiwe we hatali unanichanganya mpaka naona gizaaaaaaaaaaaaaa
Kwajina naitwa Amina Saidi masha Allah BEKA Kwa sauti umejaliwa
Kaka hizi ngoma ebu piga ten kama hizi achana na ukisasa, , ❤❤❤❤
yaan nyimbo zko zotr ni 🔥🔥🔥
nakuombea kwa mungu uwe wa kimataifa zaidi maana unajua na Wala hauimba kawaida ww ni fantastic
Uwaga sipendi kuwa mnafikii Beka umeuwaaa Sanaaa 🔥 🔥 🔥 kwa wanaye ikubal like yako isikosekane apa ili Twend sawaaaaaa
@merrymtenga3983
6 жыл бұрын
Beka upo gud
yaan unazidi kunikonga moyo wangu joomoon beka huu wimbo sichoki kuusikiliza mweeee so nice one
@johnstephen3191
4 жыл бұрын
Otilebloun
@johnstephen3191
4 жыл бұрын
Otilioblown
Have listened to this hit for more than ten times n I can't imagine missing it for a day😍😍
Kaza buti beka fleva kaz nzuri nzuri sana,kila ukitoa ngoma kali jione kama bado hujatoa ngoma Kali ili ufanikiwe zaid ya ha po
Hatari Sana mzee baba Kama unamkubali flavour beka like hapaaaa 🔥 🔥 🔥 🔥
Ni cheche mzee babaz tukikanyaga tunaacha alama 🔥🔥🔥🔥
saf sana . endelea kumpenda mpenz wako hilo ndo wosia wangu. huyo mtoto mzur sana usimwache kisa ustaa wakoo
My every day tune.nakupenda beka #beka karibu 254
❤️❤️❤️io beat na moves zanifanya nishinde tu apa ,,,na sauti pia iko 👌👌👌👌👌 napenda sana nyimbo zako ziko🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jeshi la mtu mmoja nakukubali sana bwana mdogo,kipaji halisi cha muziki
Beka Flavour,kazi nayo kweli kaipiga.kila wakati nahisi kuirudiarudia hii kazi,yaani hapa Kenya sipumui kabsaa.The dance crew iko sawa kabsaaa
Imagine napadwa na feelings nikisikia hii wimbo nikiwa na bae haraka Sana I repeat this song every time,Kali Sana ,ati wasijaribu kukugusa ye,my baby puu I like
Mbui mbui ukayimuka mlongo mlungu awoloki uswanu na yuwe mwayetu music unoa
ninyi ndio tunasema wasanii mnaokuja vizur kwel " kama unamkubali gonga like
@janemikono6573
6 жыл бұрын
Gervas Tweve nice
@evodearfellisian8678
5 жыл бұрын
Sana broo
@gillaygershom1709
5 жыл бұрын
Penda sana uyoooo
@kelvinlyimo7764
4 жыл бұрын
Like iyo kwiyo
@princesstimmy1163
3 жыл бұрын
Napenda nyimbo zako daah
Bek nakukubali miziki yako yani.choma mahali.hongera
Huyu kijana Wachana nayeeeeee.... Big up bro may God protect you......
Hongera kwa kazi nzuri Wazeee piteni na kwa #mr_nay mzigo upo hewani kama unapenda ngono basi fanya dhanaaaaaaaa
am kweli kijana kaficha kakaja moto mbaya kali bro #fiahburn
mboga za majani zinapatkana pia hkuuu😘😘😘😘😘ngoma kalii inatibu mafua na kikohozii😂😂😂
Beka nakupenda sanaaaa yani hii ngoma inaniumizq kinchwaaa
Hua napenda kusikiza san huu wimbo nakumbuka zamani❤🎉
Beka nyoko wewe nasikiliza nyimbo hadi nalia ngoma kali hadi inakera na hiyo sauti ka babu yako😜 i love you❤️
@mussamisinzo4934
9 ай бұрын
Naona kazi nzuri
Sisi mashabiki wako tuna kukubali sana bro
@MariaMaria-jb2yk
4 жыл бұрын
Big up
Tisha xn MZEE BABA #bekaflavour 👏👏👏👏
Beka flavour unajua sana yaaan uko gud Kama utafka mbali
Aaaa hii ngoma Kali san nakupa #salut kwa kz nzr
hello beka am from Kenya 🇰🇪 ilike the way you are determined very hard-working
Kip moving kiooo cha watanzania inshallah
Nifanye kijakazi kwa penz lako nmefika wengne naona kiza 😘😘😘😘😘😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@manmbilo5383
6 жыл бұрын
Naomi Iddy nouuuumaaa
@timothypareso1477
5 жыл бұрын
Wimbo mzur kwel
I'm a Namibian who loves your songs even thou i don't understand the language i love your songs keep going ❤❤❤👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
MB zangu Beka zinaisha na huu wimbo boy dah!!!!
Wow 😲 Noma sana Beka flever kazi nizuri sana god bless you bro 👉🏾👉🏾👉🏾👍👍👍💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻👏👏👏👏👏
Yan huyu m2 nashndwa nimuweke kund gani mana ni wapekee sana anajua mpaka anakera kama unamkbali kama mm gonga #like.twende sawa
Nani anaisikia Mara nyingi Kama mimi I knew the song through my boyfriend am addicted to this song volume yote Hadi jirani anateta wimbo moja 2 dada iishe iianxe
Nakubali san broo mungu azidi kukupa nguvu❤🎉
Beka we ni balaaa umeua sana mzee
mtoto Wa mtu ajitokeze anichanganye aki😂😂😂I just need to darkness it's melting my heart aki
Kwani din gani sema niokoke,,, Kali saana
We unajua sanaa mzee
baba unatisha usikate tamaa ukisogea kidogo we si wa level za hapa
Wew Falaa UNAJUA hadii KERO , kazaa mwanangu
hii song nouma khaaaaa aminia ninja Beka
we kijana una hatar ,,ngoma kali kinyama
aaaah dah mm bby boo hajanichanya unatisha kaka nakukubali mm yaani kazana utafika dogo
Pale Beka anapoungana na dancers wengine kudance, utaipenda duu!!
Huwa naupenda sana huu wimbo big up brother
kama upo 2020 gonga like apa tujuane hii ngoma ilitakiwa iwe bora kidunia
unajitaidiii kijana wanguuu upoo vzr
rosicky sam...tokea kenya kazi poa sana bro
Waaaaa...Maxmaizer wewe ni mnomaaaaa
Kwani dini gani xema niokoke. ,,,,beka nomaaaaa,,,,,,,
Beka my fevourite some times nikiwa na mawazo wen I listen to your music na feel poa my dreams is to see you performing live
Beka unanicanganya bro, keep it lit
Meme ndo imenileta huku...Awesome song.
love from kenya,tamuu
Mdogo wangu Beka umenigusa Sana kwenye hiki kitu🇧🇫🇧🇫🇧🇫+🇰🇪🇰🇪🇰🇪+🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿=Africa
Wish u all be best Beka Fravour Nakkubali sana.
sijui nikupende Veep we. daaa mwaaaaa
From Kenya tumeikubali kazi yake Beka
wao this sound so sweat for beka shine more than this love your songs why a day end without have listen to your song no its can't happen any more.
safi sana mdogo wangu kazi nzuri
nlikua naisubr video ya hii nymbo..keep t up mtu wa kwetu...ifakara one
This is awesome ,,napendaaa hiyo beat joh
Beka nakuombea ueze fika mbali'.good job
Yani nimesubiri sasa sioni jiza naiba naona ndoa eeee asante mwanangu beka video shwari sana sitochoka kuiangalia nakuisambaza kwenye mabaa naona itapendwa sana hata wakongwe wataipenda gonga like kama wewe unapenda mziki wa beka one 4
Nakukunali kakangu kwa kazi safi
Leta kamoja na king 👑 ishiaka yani aslay
hyu kijana ni sheeedah hongera sana
Beautiful melody this one, BekaFlavour.
kiufupi nakukubali beka keep on... moo lov
kazi safii imeweza boooooom💣💣💣🏄🏄🏄.mpatie beka like hapa twende sote pamoja..team wiffi🔫🔫🔫
duh kanyimbo kananibamba ako 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💔💔💔
Woow hii nayo ndio nyengne kati ya zile fav za beka flavour we mkali aki huu mwaka kuja Mombasa upige show bana
From USA salute to beka flavor
wow my beka una tisha sana ww good songs
Loading to 2023 still listening to this song,,I love this guy 💓💓
Waaaah!! I listen to beka's song daily!! N Neva get tired ,sauti!!!!!! Mob love 😍❣️ from kenya
Waallah! Mungu ajibu dua zako inshallah
Am an Etheopian and I love this song though I don't understand language❤
kiukwer dogo unatisha kwa wimbo huu tosha kabisa nakupatia asilimia 100 Na pia mungu akubarik,by Jacob mfinga rukwa
Kwauwezowake allah atafika kazi nzur
Nakukubal sana kaka nakupenda unasaut nzul
Mmm Beka nizalin hizi song mbona ziko moto hivi zko qalii sana hii naile Beka ft mr blue kazi nzuri sana . 4rom Kenya nko hapa