Beka Flavour - Naona kiza (Official Video )

Музыка

Пікірлер: 872

  • @Kashindi-Lotengya
    @Kashindi-Lotengya4 ай бұрын

    Tunao angalia wimbo uu kwa mwaka wa 2024 tujuane kwa likes.

  • @aliionlinetv8397

    @aliionlinetv8397

    4 ай бұрын

    Tupo😅

  • @Giant349
    @Giant3496 ай бұрын

    Who's here with me 2024 , God bless y'all 🎉❤❤❤❤❤

  • @hassansaid9925
    @hassansaid99256 жыл бұрын

    kudadeki we Beka utanilipa mb zangu ,,,huwezi nifanya me niangalie wimbo Mara kumi wew,,,daaaaah noma xana

  • @benjaminsteven7350
    @benjaminsteven73506 ай бұрын

    Kandahar twende wote 2024 -2025

  • @tuyizereghadi1619
    @tuyizereghadi16198 ай бұрын

    Wuwuwu Yeyeye Uuuuuh uuuuuh Baby boo Umenichangacha changanya mpaka umenimaliza eh Baby eeeh umenichangacha changanya wengine naona Giza eh My baby boo Umenichangacha changanya mpaka umenimaliza eh Baby boo umenichangacha changanya wengine naona Giza eeeh Naona Giza×4 Ukinipa Sana nasemanga dozee Peremende yako tamu kote kote Tupendane kifo kitukute wote(mi nawe) Unanifanya mpaka nisikuchoke Kwani dini gani sema niokoke Unataka wapi sema twende wote Mwenzako Niko radhi Chochote mimi nitakupa wee Ili mapaparazi wasijaribu kukugusa eeh Kupanda ndio kazi kushuka rahisi kabisa wee Nifanye kijakazi kwa penzi lako limefika weeh Nangangana na Mimi Kama nguo fiti mwilini Nitameza quinini ukiniacha mi safarini weeh Rangi yako inamulika mulika Kwenye Giza mwanga kimuli muli Uzuri wako wengi unawadatisha Wanagonga mwamba hawafungi goli Najiona Mimi nikikutazama usoni Sasa kioo Cha Nini, unatosha kua ndani Wengine napiga chini namba yako moja amani Petee vaa kidoleni, ndoa tufunge mwakani Mwenzako Niko radhi Chochote mimi nitakupa wee Ili mapaparazi wasijaribu kukugusa eeh Kupanda ndio kazi kushuka rahisi kabisa wee Nifanye kijakazi kwa penzi lako limefika weeh Nangangana na Mimi Kama nguo fiti mwilini Nitameza quinini ukiniacha mi safarini weeh Japo kuja tuishi kwangu wote Japo urafiki sioni kisa Cha makelele Tukikosa kuku tutakula matembele Mboga za majani zinapatikana pia uku

  • @officialmtangakingkassimu5291
    @officialmtangakingkassimu52916 жыл бұрын

    Wapili km unamkubali beka like hapa na reply huyu jamaa ni moto htr

  • @gillaygershom1709

    @gillaygershom1709

    5 жыл бұрын

    Namkubali sana brother angu

  • @hassangulamu3937
    @hassangulamu39375 жыл бұрын

    bofonga bofonga baba la baba pomoja sana goooooood sio hawa wwanaoimba ujinga ujinga eti nyege nyegezi upuuzi huo pamoja mzee beca.

  • @evansbwire8512
    @evansbwire85126 жыл бұрын

    Yaani sauti na mashairi yanaendana sana. Namkubali sana huyu Beka flavour

  • @josephinemwangome2100

    @josephinemwangome2100

    5 жыл бұрын

    Evans Bwire safi beks

  • @ralfbuanar9118

    @ralfbuanar9118

    2 жыл бұрын

    This is good song love you beka

  • @JuhudiOmari
    @JuhudiOmari3 ай бұрын

    Nakuku Bali sana mwenyezimungu atakusaidiya utafikambali

  • @rahimajuma688
    @rahimajuma6886 жыл бұрын

    watano from Oman like Tanzania kuna mziki jaman

  • @joelkiroge9761
    @joelkiroge9761 Жыл бұрын

    Walai hii kaliiiii,🔥🔥🔥🔥

  • @aasdfghrehema7204
    @aasdfghrehema72044 жыл бұрын

    Wuko juwu beka yani muziki nasawuti namashahiri binaendana from bujumburura burundi 💋💋💋✌✌👌👌muziki wabutamu lov you😍😍

  • @nyikarappa8604
    @nyikarappa86046 жыл бұрын

    Kazi kazi jiwe juu ya jiwe we hatali unanichanganya mpaka naona gizaaaaaaaaaaaaaa

  • @mspwjjjso6261
    @mspwjjjso62612 жыл бұрын

    Kwajina naitwa Amina Saidi masha Allah BEKA Kwa sauti umejaliwa

  • @officialzmusic
    @officialzmusic6 ай бұрын

    Kaka hizi ngoma ebu piga ten kama hizi achana na ukisasa, , ❤❤❤❤

  • @anrvanaodequeen7116
    @anrvanaodequeen71166 жыл бұрын

    yaan nyimbo zko zotr ni 🔥🔥🔥

  • @paulsantanatzee8301
    @paulsantanatzee83016 жыл бұрын

    nakuombea kwa mungu uwe wa kimataifa zaidi maana unajua na Wala hauimba kawaida ww ni fantastic

  • @lemashonthomas5062
    @lemashonthomas50626 жыл бұрын

    Uwaga sipendi kuwa mnafikii Beka umeuwaaa Sanaaa 🔥 🔥 🔥 kwa wanaye ikubal like yako isikosekane apa ili Twend sawaaaaaa

  • @merrymtenga3983

    @merrymtenga3983

    6 жыл бұрын

    Beka upo gud

  • @edinasimon6534
    @edinasimon65346 жыл бұрын

    yaan unazidi kunikonga moyo wangu joomoon beka huu wimbo sichoki kuusikiliza mweeee so nice one

  • @johnstephen3191

    @johnstephen3191

    4 жыл бұрын

    Otilebloun

  • @johnstephen3191

    @johnstephen3191

    4 жыл бұрын

    Otilioblown

  • @hellengideon2423
    @hellengideon24233 жыл бұрын

    Have listened to this hit for more than ten times n I can't imagine missing it for a day😍😍

  • @hamisibale4654
    @hamisibale46546 жыл бұрын

    Kaza buti beka fleva kaz nzuri nzuri sana,kila ukitoa ngoma kali jione kama bado hujatoa ngoma Kali ili ufanikiwe zaid ya ha po

  • @youngboy2200
    @youngboy22006 жыл бұрын

    Hatari Sana mzee baba Kama unamkubali flavour beka like hapaaaa 🔥 🔥 🔥 🔥

  • @PWANIMUSICUPDATES
    @PWANIMUSICUPDATES2 жыл бұрын

    Ni cheche mzee babaz tukikanyaga tunaacha alama 🔥🔥🔥🔥

  • @estherjonas4630
    @estherjonas46306 жыл бұрын

    saf sana . endelea kumpenda mpenz wako hilo ndo wosia wangu. huyo mtoto mzur sana usimwache kisa ustaa wakoo

  • @salomejoseph
    @salomejoseph6 жыл бұрын

    My every day tune.nakupenda beka #beka karibu 254

  • @maureenkibs7330
    @maureenkibs73303 жыл бұрын

    ❤️❤️❤️io beat na moves zanifanya nishinde tu apa ,,,na sauti pia iko 👌👌👌👌👌 napenda sana nyimbo zako ziko🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @yustochitema8201
    @yustochitema82015 жыл бұрын

    Jeshi la mtu mmoja nakukubali sana bwana mdogo,kipaji halisi cha muziki

  • @justinonyancha5169
    @justinonyancha51696 жыл бұрын

    Beka Flavour,kazi nayo kweli kaipiga.kila wakati nahisi kuirudiarudia hii kazi,yaani hapa Kenya sipumui kabsaa.The dance crew iko sawa kabsaaa

  • @milyakitsa3066
    @milyakitsa30664 жыл бұрын

    Imagine napadwa na feelings nikisikia hii wimbo nikiwa na bae haraka Sana I repeat this song every time,Kali Sana ,ati wasijaribu kukugusa ye,my baby puu I like

  • @sylvanusinjomango2169
    @sylvanusinjomango21696 жыл бұрын

    Mbui mbui ukayimuka mlongo mlungu awoloki uswanu na yuwe mwayetu music unoa

  • @gervastweve8612
    @gervastweve86126 жыл бұрын

    ninyi ndio tunasema wasanii mnaokuja vizur kwel " kama unamkubali gonga like

  • @janemikono6573

    @janemikono6573

    6 жыл бұрын

    Gervas Tweve nice

  • @evodearfellisian8678

    @evodearfellisian8678

    5 жыл бұрын

    Sana broo

  • @gillaygershom1709

    @gillaygershom1709

    5 жыл бұрын

    Penda sana uyoooo

  • @kelvinlyimo7764

    @kelvinlyimo7764

    4 жыл бұрын

    Like iyo kwiyo

  • @princesstimmy1163

    @princesstimmy1163

    3 жыл бұрын

    Napenda nyimbo zako daah

  • @ashurakapinga9148
    @ashurakapinga91484 жыл бұрын

    Bek nakukubali miziki yako yani.choma mahali.hongera

  • @tomkwoba1577
    @tomkwoba15776 жыл бұрын

    Huyu kijana Wachana nayeeeeee.... Big up bro may God protect you......

  • @ommytrueboykimwaga7129
    @ommytrueboykimwaga71296 жыл бұрын

    Hongera kwa kazi nzuri Wazeee piteni na kwa #mr_nay mzigo upo hewani kama unapenda ngono basi fanya dhanaaaaaaaa

  • @Obelia_sea_fur
    @Obelia_sea_fur6 жыл бұрын

    am kweli kijana kaficha kakaja moto mbaya kali bro #fiahburn

  • @teddyludigija2371
    @teddyludigija23716 жыл бұрын

    mboga za majani zinapatkana pia hkuuu😘😘😘😘😘ngoma kalii inatibu mafua na kikohozii😂😂😂

  • @ashasalum5948
    @ashasalum59486 жыл бұрын

    Beka nakupenda sanaaaa yani hii ngoma inaniumizq kinchwaaa

  • @user-qm3ve8ox2u
    @user-qm3ve8ox2u10 ай бұрын

    Hua napenda kusikiza san huu wimbo nakumbuka zamani❤🎉

  • @tulinavehussein5733
    @tulinavehussein5733 Жыл бұрын

    Beka nyoko wewe nasikiliza nyimbo hadi nalia ngoma kali hadi inakera na hiyo sauti ka babu yako😜 i love you❤️

  • @mussamisinzo4934

    @mussamisinzo4934

    9 ай бұрын

    Naona kazi nzuri

  • @careneluzito1013
    @careneluzito10136 жыл бұрын

    Sisi mashabiki wako tuna kukubali sana bro

  • @MariaMaria-jb2yk

    @MariaMaria-jb2yk

    4 жыл бұрын

    Big up

  • @romanticbeautysaloon8883
    @romanticbeautysaloon88836 жыл бұрын

    Tisha xn MZEE BABA #bekaflavour 👏👏👏👏

  • @rashiddihuka1236
    @rashiddihuka12366 жыл бұрын

    Beka flavour unajua sana yaaan uko gud Kama utafka mbali

  • @zunguboyzungu3088
    @zunguboyzungu30886 жыл бұрын

    Aaaa hii ngoma Kali san nakupa #salut kwa kz nzr

  • @ogegavincent1831
    @ogegavincent1831 Жыл бұрын

    hello beka am from Kenya 🇰🇪 ilike the way you are determined very hard-working

  • @Game-nj3br
    @Game-nj3br2 жыл бұрын

    Kip moving kiooo cha watanzania inshallah

  • @mauaiddy7033
    @mauaiddy70336 жыл бұрын

    Nifanye kijakazi kwa penz lako nmefika wengne naona kiza 😘😘😘😘😘😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @manmbilo5383

    @manmbilo5383

    6 жыл бұрын

    Naomi Iddy nouuuumaaa

  • @timothypareso1477

    @timothypareso1477

    5 жыл бұрын

    Wimbo mzur kwel

  • @fiolakaipiti5607
    @fiolakaipiti56073 жыл бұрын

    I'm a Namibian who loves your songs even thou i don't understand the language i love your songs keep going ❤❤❤👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥

  • @andrew0502
    @andrew05026 жыл бұрын

    MB zangu Beka zinaisha na huu wimbo boy dah!!!!

  • @sikabwelehani
    @sikabwelehani6 жыл бұрын

    Wow 😲 Noma sana Beka flever kazi nizuri sana god bless you bro 👉🏾👉🏾👉🏾👍👍👍💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻👏👏👏👏👏

  • @udakuudakutv7176
    @udakuudakutv71766 жыл бұрын

    Yan huyu m2 nashndwa nimuweke kund gani mana ni wapekee sana anajua mpaka anakera kama unamkbali kama mm gonga #like.twende sawa

  • @milyakitsa3066
    @milyakitsa30664 жыл бұрын

    Nani anaisikia Mara nyingi Kama mimi I knew the song through my boyfriend am addicted to this song volume yote Hadi jirani anateta wimbo moja 2 dada iishe iianxe

  • @user-qm3ve8ox2u
    @user-qm3ve8ox2u9 ай бұрын

    Nakubali san broo mungu azidi kukupa nguvu❤🎉

  • @gilbertgobeta3118
    @gilbertgobeta31186 жыл бұрын

    Beka we ni balaaa umeua sana mzee

  • @Lionessann
    @Lionessann2 жыл бұрын

    mtoto Wa mtu ajitokeze anichanganye aki😂😂😂I just need to darkness it's melting my heart aki

  • @christinajames5680
    @christinajames56806 жыл бұрын

    Kwani din gani sema niokoke,,, Kali saana

  • @princeallykitambonomaasana1761
    @princeallykitambonomaasana17616 жыл бұрын

    We unajua sanaa mzee

  • @rashidshekiondo7219
    @rashidshekiondo72196 жыл бұрын

    baba unatisha usikate tamaa ukisogea kidogo we si wa level za hapa

  • @stanleyndelwa7491
    @stanleyndelwa74916 жыл бұрын

    Wew Falaa UNAJUA hadii KERO , kazaa mwanangu

  • @blessedtwinsseke7161
    @blessedtwinsseke71616 жыл бұрын

    hii song nouma khaaaaa aminia ninja Beka

  • @mdbclassic1403
    @mdbclassic14036 жыл бұрын

    we kijana una hatar ,,ngoma kali kinyama

  • @nyabokemabuka6321
    @nyabokemabuka63216 жыл бұрын

    aaaah dah mm bby boo hajanichanya unatisha kaka nakukubali mm yaani kazana utafika dogo

  • @andrew0502
    @andrew05026 жыл бұрын

    Pale Beka anapoungana na dancers wengine kudance, utaipenda duu!!

  • @marypaschal1945
    @marypaschal19454 жыл бұрын

    Huwa naupenda sana huu wimbo big up brother

  • @lenatiusjonas5464
    @lenatiusjonas54644 жыл бұрын

    kama upo 2020 gonga like apa tujuane hii ngoma ilitakiwa iwe bora kidunia

  • @djbizo425
    @djbizo4256 жыл бұрын

    unajitaidiii kijana wanguuu upoo vzr

  • @evansnabutete4902
    @evansnabutete49023 жыл бұрын

    rosicky sam...tokea kenya kazi poa sana bro

  • @elvinhokenya3078
    @elvinhokenya30785 жыл бұрын

    Waaaaa...Maxmaizer wewe ni mnomaaaaa

  • @mtironyangaresi7083
    @mtironyangaresi70836 жыл бұрын

    Kwani dini gani xema niokoke. ,,,,beka nomaaaaa,,,,,,,

  • @everlynemurunga6174
    @everlynemurunga61745 жыл бұрын

    Beka my fevourite some times nikiwa na mawazo wen I listen to your music na feel poa my dreams is to see you performing live

  • @wisehunt
    @wisehunt6 жыл бұрын

    Beka unanicanganya bro, keep it lit

  • @dennismugendi3787
    @dennismugendi37875 жыл бұрын

    Meme ndo imenileta huku...Awesome song.

  • @tonymwenyew6849
    @tonymwenyew68494 жыл бұрын

    love from kenya,tamuu

  • @benardmwashi6289
    @benardmwashi62895 жыл бұрын

    Mdogo wangu Beka umenigusa Sana kwenye hiki kitu🇧🇫🇧🇫🇧🇫+🇰🇪🇰🇪🇰🇪+🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿=Africa

  • @lovehassan7217
    @lovehassan72175 жыл бұрын

    Wish u all be best Beka Fravour Nakkubali sana.

  • @gloryanney9837
    @gloryanney98376 жыл бұрын

    sijui nikupende Veep we. daaa mwaaaaa

  • @pharisjane6856
    @pharisjane68566 жыл бұрын

    From Kenya tumeikubali kazi yake Beka

  • @kagamba254
    @kagamba2546 жыл бұрын

    wao this sound so sweat for beka shine more than this love your songs why a day end without have listen to your song no its can't happen any more.

  • @hoseamgaya7074
    @hoseamgaya70746 жыл бұрын

    safi sana mdogo wangu kazi nzuri

  • @finah791
    @finah7916 жыл бұрын

    nlikua naisubr video ya hii nymbo..keep t up mtu wa kwetu...ifakara one

  • @avynines1754
    @avynines17544 жыл бұрын

    This is awesome ,,napendaaa hiyo beat joh

  • @nickymeel986
    @nickymeel9866 жыл бұрын

    Beka nakuombea ueze fika mbali'.good job

  • @4yayasmusic394
    @4yayasmusic3946 жыл бұрын

    Yani nimesubiri sasa sioni jiza naiba naona ndoa eeee asante mwanangu beka video shwari sana sitochoka kuiangalia nakuisambaza kwenye mabaa naona itapendwa sana hata wakongwe wataipenda gonga like kama wewe unapenda mziki wa beka one 4

  • @nicks_kenya6703
    @nicks_kenya67033 жыл бұрын

    Nakukunali kakangu kwa kazi safi

  • @peterkiio6925
    @peterkiio6925 Жыл бұрын

    Leta kamoja na king 👑 ishiaka yani aslay

  • @neimahakram1458
    @neimahakram14586 жыл бұрын

    hyu kijana ni sheeedah hongera sana

  • @JustVideoLifeTV
    @JustVideoLifeTV6 жыл бұрын

    Beautiful melody this one, BekaFlavour.

  • @abdalahgsang3473
    @abdalahgsang34736 жыл бұрын

    kiufupi nakukubali beka keep on... moo lov

  • @josebrownbongo9777
    @josebrownbongo97776 жыл бұрын

    kazi safii imeweza boooooom💣💣💣🏄🏄🏄.mpatie beka like hapa twende sote pamoja..team wiffi🔫🔫🔫

  • @TizoHaule
    @TizoHaule6 жыл бұрын

    duh kanyimbo kananibamba ako 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💔💔💔

  • @ckukuu8404
    @ckukuu84046 жыл бұрын

    Woow hii nayo ndio nyengne kati ya zile fav za beka flavour we mkali aki huu mwaka kuja Mombasa upige show bana

  • @keynglawrence4852
    @keynglawrence48522 жыл бұрын

    From USA salute to beka flavor

  • @janettantine9076
    @janettantine90766 жыл бұрын

    wow my beka una tisha sana ww good songs

  • @jamesmusyoka7021
    @jamesmusyoka7021 Жыл бұрын

    Loading to 2023 still listening to this song,,I love this guy 💓💓

  • @elssiekabuga9345
    @elssiekabuga9345 Жыл бұрын

    Waaaah!! I listen to beka's song daily!! N Neva get tired ,sauti!!!!!! Mob love 😍❣️ from kenya

  • @yvonnemasombo5548
    @yvonnemasombo55482 жыл бұрын

    Waallah! Mungu ajibu dua zako inshallah

  • @breetmalombe6522
    @breetmalombe6522 Жыл бұрын

    Am an Etheopian and I love this song though I don't understand language❤

  • @jacobmuhanyi276
    @jacobmuhanyi2766 жыл бұрын

    kiukwer dogo unatisha kwa wimbo huu tosha kabisa nakupatia asilimia 100 Na pia mungu akubarik,by Jacob mfinga rukwa

  • @alimakanz5030
    @alimakanz50306 жыл бұрын

    Kwauwezowake allah atafika kazi nzur

  • @meresianachristian1063
    @meresianachristian10632 жыл бұрын

    Nakukubal sana kaka nakupenda unasaut nzul

  • @m2kumbom2kumbo56
    @m2kumbom2kumbo566 жыл бұрын

    Mmm Beka nizalin hizi song mbona ziko moto hivi zko qalii sana hii naile Beka ft mr blue kazi nzuri sana . 4rom Kenya nko hapa

Келесі