Beatrice Muhone na Mume wake : Hatujawahi Kuachana | Bado tuna Mtumikia Mungu | Nyimbo Mpya zinafika
Sikiliza Bethel Radio
bethelradio.co.tz
Connect with Bethel Radio
/ bethelradiotz
/ bethelradiotz
/ bethelradiotz
Contacts (Mawasiliano): +255 764 582 584
Give | M-Pesa: 0764 582 584 ( Bethel Media)
Пікірлер: 129
Beatrice yaani mimi uliniponya hapokwahapo kupitia wimbo wako wa kijito cha utakaso sauti yangu ilikauka kwa wiki mbili lakini nilipowasha TV tu nikakutana na wimbo wako ndipo nikawa natamani kuimba nikaona machozi yananitoka, Mara kitu kikaniambia imba nikaimba na sauti ikafunguka, haleluyaaaaaa
Mmenibariki sanaa sana kuliweka wazi hili jambo. Kwani mmemfedhehesha shetani. Jina la Bwana libarikiwe.
Ohooo. Barikiwa mama nakumbuka nikiwa Congo wakatihuo mwaka ilio pita wimbo habarinjema rahangu nakumbuka hongerasaaaana mama. Kwasas nipo Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🎧👈👈
Uyu dada at kabla sijaokoka nyimbo,zake nilianza kuzisikilza zilianza kunitengenezea iman y WOKOVU.kwel nlikuwa nackilza ndan nalia Sana nasema kumbe YESU yupoo.woow mpka nmekuj KUOKOKA 2011.nikawa simuoni Tena simsikii nyimbo zake .dah nliumia.kumbe uyo my sister wooow nmefurahi sana kupitia nyimbo nmeokoka.YESU ameingia ndan yangu ninaishi nae jina la YESU litukuzwe 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@beatricemhone7558
Жыл бұрын
Aaawww nimefurahia ushuhuda wako sifa kwa Yesu Soon utanisikia mtumishi
Lakini wewe ulikuwa umekwenda wapi, tunakupenda sana hapa Rwanda. Nyimbo zako zinajaa Roho mtakatifu!
Mmenibariki mnoooo Mungu awabariki sana muwaone wana wa wana wenu
Muhone Asante kwakuludi nilikupenda Sana nyimbo zako zinanijenga kiroho,Mungu azidi kualinda.
@salomemchewa5187
2 жыл бұрын
Mama anajua kujipenda
Kazi zako ni nzuri Mungu azibariki
This is so powerful. Interview inapendeza ionwe na wengi zaidi
Mtumishi wa kweli anajulikana tu asante sana dada yangu mpendwa asante yesu kwa kumtunza huyu hata sasa,nilishakata tamaa nikazani umeshamuacha yesu kumbe bado uponae ubalikiwe kiukweli nakupenda sana hasa wakati huu ninapokuona umesimama katika kristo nyimbo zako bado ninazo na naziona mpya kila itwapo leo.
@beatricemhone
Жыл бұрын
Siwezi Mwacha huyu Yesu hata iweje 🙏🏽
Beatrice Muhone ,Mungu akubaliki sana wimbo wako,habari jema nilikuwa nausikiliza sana sana ukaniletea utulivu moyoni ,wakati Mume wangu aliniacha akachukua mjane kumtunza na watoto wake ,Mungu akanisaindia kupitis huo wimbo.asante sana .
@beatricemhone
9 ай бұрын
Hallelujah 🔥 🔥 🔥 mshike Yesu
Amen, Mungu awenanyi daima nawapenda sana majirani zangu
Your music is such a blessing. God bless you. Jotham from Kenya
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Thank you so much be blessed.
Nakupenda sana nimekua nikisikiliza nikiwa mdogo haipiti siku sijaikia na kuona nyimbo zako...Baba angu alinirithisha kukusikiliza ww tunakupenda sana mpaka sasa nimekuwa mkubwa nakupenda Mungu akubariki sana sana
@beatricemhone7558
Жыл бұрын
Asante sana barikiwa mtumishi
@beatricemhone
9 ай бұрын
Yesu apokeee hizi sifa!!!!❤❤❤
Uko vizuri dada na ungetoa hio mikucha bandia na huo mzigo kichwani hakika ungekua vizuri zaidi
@maryandason1815
2 жыл бұрын
Na mapambo yote aache YESU anapenda tubaki n asil yetu mapambo yote yanatoka kwa malkia yezebel.
@zakiamseka9698
Жыл бұрын
Hahaha
Naitwa Mponda niko Mombasa Kenya ,nampongeza huyu dada nimefurahi saaana kumwona tena
Godfrey mahukuru Mungu kwa kupata mke. Kuna tofauti ya mke na mwanamke wewe una mke ambae Mungu ameweka baraka zako hapo
@beatricemhone
9 ай бұрын
Hallelujah 🔥 ❤
@beatricemhone
9 ай бұрын
Yesu apewe utukufu wote
wajinawangu beatrice. mymodel.
We miss you Beatrice, please be back
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Am Back just stay Tuned and please follow my social media page for more info
@emmanuelhaule7635
2 жыл бұрын
@@beatricemhone7558 I'll be happy to get your usernames for the social media
@emmanuelhaule7635
Жыл бұрын
@@beatricemhone7558 naomba nisaidie namna ya kupata nyimbo zako za album ya AMEJIBU AHADI.
@beatricemhone7558
Жыл бұрын
Oooh Uko mkoa gani wewe kwani
Mungu azidi kukuinua sana my love
Be back dada we miss you sana!
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Am back just stay tune be blessed
Amina tumepokea, mhuu!! Ebu waimbaji.walioachana kwa kibur wajifunze kwa mtumishi bethlice
Nilisikia nyimbo zake nikiwa USA.Kama intercessor huyu ni baraka kwa watu wa maombi
Kweli dadangu Roho wa Bwana yuko pamoja nawe unanibariki sanaaaa
@zefrinwambura1004
3 жыл бұрын
Nimewapenda tangu Shangilieni kwaya enzi hizoooo Congole kwenu
Yaaaani wewe dada sina cha kusema kabisa mungu ni mwema mbarikiwe sana
Not easy to believe, but we should know That it is possible. EIMEN.
@beatricemhone
9 ай бұрын
JESUS
Hongera sn Watumishi wa Mungu! Nimeona umuhimu wa kujua neno la Mungu...Tabia za mazoea na ukawaida ndio umeleta udini kwenye dini...
@beatricemhone
9 ай бұрын
AME❤
kweli MUNGU mkuu saa hii Beatrice anamuheshimu mume wake na kumpenda daah... MUNGU ashukuriwe pia pole na hongera kwa uvumilivu mtumishi wa MUNGU GODFREY MUHONE
@pericykiko6198
2 жыл бұрын
Ilikuaje kabla
@janethsadock4559
2 жыл бұрын
😀😀😀
@beatricemhone
9 ай бұрын
Jesus ❤
Hakika shemeji yangu uyasemayo yanajenga. Ubarikiwe kwa tasnia ya ndoa haina wataalamu wakiroho waliopo ni wale wa Dunia ambao hawawezi kudaidia mambo ya Rohoni.
@beatricemhone
9 ай бұрын
Nitaanza mafundisho very soon ya Ndoa endelea kunifuatilia
Nyimbo zako zinanibariki sana❤
Kwa kwelinimepona. Ubarikiwe sana
@beatricemhone
9 ай бұрын
YESU SIFA ZAKO
Wow amazing God bless you i would love to meet both of u wow be blessed
@beatricemhone
9 ай бұрын
WELCOME 🙏
OLALLAA MTUMISHI WA MUNGU KABISA. NYIMBO ZAKO ZINANISAIDIA COURRAGE MAMA
Lakini naomba nambari ambayo nitaweza kuwasiliana hasa hayo mafundisho
Ameen!
Daaah kipindi nasoma nilikuwa naisikiliza album ya ingoje ahadi ya huyu dada ilikuwa inanitia moyo na ilinisaidia sanaaa Mungu amempa kitu kikubwa sana
@beatricemhone7558
Жыл бұрын
Amen barikiwa sana Mtumishi
Dada Beatrice tunakuhitaji huku Rwanda
@beatricemhone
9 ай бұрын
I'm so excited ❤
Blessed couple. True marriage is a secret of God.
@beatricemhone
9 ай бұрын
Is Jesus
Barikiwa mpendwa.
I love them.
@beatricemhone
9 ай бұрын
❤
Mungu awabaliki Sana
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Amen asante
Mbarikiwe mno interview ni Njema
Barikiwa mtumishi
@beatricemhone
9 ай бұрын
Amen 🙏
Beatrice i love you mpenzi. Natamanii kufanya kazi na wewe mnoo. Nakupenda Dada Bite,i mean it
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Asante sana . Ni follow kwenye mitandao ya kijamii Facebook na Instagram
@beatricemhone
9 ай бұрын
Karibu❤
Nimejifunza Mengi ,blessed couple
@beatricemhone
9 ай бұрын
Utukufu wote kwa Yesu ❤
Nimejifuza kwako kitu kisuli Sana Mungu akubaliki sana
Hapo kwenye ndoa hapo ndo umenifanya nitaman saaaan kumpata mwenza anaemjuwa mungu zaid kuliko kawaida
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Amen Sifa kwa Yesu
Ubarikiwe sana kama unajari ndoa yako unamjari mumeo utafika mbali sana
@lovenessinakelasanaa5477
3 жыл бұрын
Nawapenda sn,mungu aendelee kuwasimamia,♥️♥️
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Amen asante
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
@@lovenessinakelasanaa5477 Amen
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
asnte sana barikiwa
Nimepona sana
@beatricemhone
9 ай бұрын
Amen
Mungu ni mwema saaana tupe ujumbe tena
Interviewer uko vizuri lakini punguza yeah yeah wakati watu wanazungumza itapendeza zaidi please
VERY TOUCHING INTERVIEW
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
awwww thank you so much
@beatricemhone
9 ай бұрын
Glory be to Jesus
Mbarkiwe sn
Mungu awabariki sana. Miaka 26 si midogo. Mungu amewafanikisha!
@beatricemhone
9 ай бұрын
AMEN
@beatricemhone
9 ай бұрын
AMEN
We miss you so much
@beatricemhone7558
Жыл бұрын
This year soon utanisikia
One of My Favorite, Tunasubiri Dada☺️☺️
@paulinalala3949
3 жыл бұрын
Nakupenda sana dada
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Amen barikiwa mtumishi
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
@@paulinalala3949 Amen watafaulu wote kwani Mungu alishaweka ahadi kuwa watoto wetu watakuwa vichwa na wala sio mkia kwahiyo usiogope ufaulu ni wako.
This couple❤
@beatricemhone
9 ай бұрын
Amen
Nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu awabariki japo nimechelewa kuona video
@beatricemhone
9 ай бұрын
Endelea kunifuatilia soon kwa mafundisho ya ndoa
Theres some hidden inside about this couple, I doubt one Thing why many peoples asked about divorce?I'm sure was some thing back the door.mungu awatunze.
@beatricemhone
9 ай бұрын
Glory be to Jesus ❤❤
Jamani tulikumis ulikuwa wapi?
@thawabuunique9154
3 жыл бұрын
Dada nakupenda ww! Mpaka bas! Naomba nikuone Yana nakupenda
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
@@thawabuunique9154 Asante sana ipo siku Yesu atatukutanisha
@rubefabi8366
Жыл бұрын
Utafanya mengi kwa jina la Yesu hata sauti ya Bwana utaisikia lakini siku ukifa mlango wa mbinguni utakuwa mgumu sana kufunguka sababu yule mshitaki wetu atakudai mawigi yake na mapambo yake. Na muda wa kusema sorry utakuwa umekwisha.
Ni interview ya mda mrefu, lkn kuna upande imeniponya!
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Amen Sifa kwa Yesu
Nyimbo iko wap ssa,youTube haupo
@beatricemhone7558
2 жыл бұрын
Usijali soon itawekwa
Amen
Men unaanzaje kum cheat ama kuacha mwanamke kama uyu
Naomba kujua kama Beatrice Muhone amewahi kuimba kwenye kwaya ya st. James Tumaini kwaya... hasa ule wimbo wa alitengeneza safina....
@calvinraymond8375
7 ай бұрын
Ndio ni Yeye
Beatrice ni mrembo
@beatricemhone
9 ай бұрын
Mrembo wa Yesu hakika
@obedidamasi3537
2 ай бұрын
@@beatricemhone mi nakupenda sio kwasababu ya urembo wake bali nampenda kwakuwa anamcha Mungu. Nimeanza kumfuatilia enzi za Shangilien Arusha
naomba uniadd kwenye group dada Bite, 0719156442
0719156442 naomba United kwenye group dada Bite
Hakika nami nimepona mtumishi wa Mungu@ Beatrice Muhone. Yesu akuzidishie Hekima na Maarifa na Unyenyekevu mkubwa.
@beatricemhone7558
Жыл бұрын
Amen Mtumishi sifa kwa Yesu