Beatrice Muhone: Baba alitumia fimbo kunilea / Nilianza kufundisha Sunday School / Sikufanya SendOff
Beatrice Muhone: Baba alitumia fimbo kunilea / Nilianza kufundisha Sunday School / Sikufanya Send Off
#KuelekeaYeriko #UpendoMedia #AmaniKwaWote
Beatrice Muhone: Baba alitumia fimbo kunilea / Nilianza kufundisha Sunday School / Sikufanya Send Off
#KuelekeaYeriko #UpendoMedia #AmaniKwaWote
Пікірлер: 19
My love una neema. Umemaliza 1989 na muonekano bado huu. Beatrice you have to increase strength to worship halloo. Nakupenda na nyimbo zako aisee na ipo siku tutaonana kwenye injili
Beatrice ana kipaj kikubwaa na sanaa ya mzik bado inamuhitaj amekaa kimya sana tunahitaj atoe nyimbo na Mungu kampa urembo
Nimefurahi kumuona dada Beatrice,, nilikuwa nasali nae saint James Anglican Church arusha wakati huo akiwa anaimba kwaya ya tumaini mwaka 2002🥺🥺
JAMAN dada BEATRICE, hongera sana 🙏,MUNGU akupiganie ktk huduma yako,
Haleluya. Beatrice una muonekano mzuri sana kwani waliohitimu darasa la saba 1989 wengi waliishachoka na wamezeeka. You are so beautiful semeji yangu. Mungu alikuchagua tangu ukiwa mdogo. Hongera kwa viwango ulivyofikia. Mungua kuinue zaidi ya hapo.
Nafurahi kumuona tena Beatrice, ni muda mrefu umepita na sikujua yuko wapi na anaendeleaje...!
Wow
Hongera mama
Je Béatrice Muhone ndiye aliimba kwa choir ya Shangilieni Tumuini ambao waliimba Nuhu mtu WA Mungu ?
Beatrice ni kweli umefanya kazi ya Mungu Sana lkn km bado Hadi Leo unajipamba hivyo geuka haraka ndugu yangu ... Ule Ufalme hutauingia achana na mapambo ya Yezebeli tafuta shuhuda ZA walioenda mbinguni na kuzimu hasa Aston Adam Mbaya wenye kujipamba km ww wamejaa kuzimu na kazi walimfanyia Mungu tena zilizokubwa kuliko ww! Mungu anataka original yy ndiye aliyemuumba mwafika, mhindi, mwarabu, Mzungu nk
Dada yangu mpendwa upo?kwenye sim nimejaza nyimbo zako zinanihuisha sana