BBC News Swahili

Mabondo ya samaki aina ya Sangara ambayo miaka ya nyuma yalionekana kama bidhaa isiyokuwa na faidi kubwa katika eneo la Afrika Mashariki, kwa sasa imeanza kushika kasi baada ya serikali ya Tanzania na China kusaini mkataba maalum wa kuuziana bidhaa hiyo.
-
Mwandishi wa BBC David Nkya alitembelea mkoa wa Mwanza Kaskazini mwa Tanzania.
-
🎥: Frank Mavura
#bbcswahili #tanzania #mwanza

Пікірлер