Bartimayo - Shirati Central choir

wimbo huu umetungwa na mwl Gerald wagumba
ni miongoni mwa nyimbo 10 zilizopo katika album ya toleo la nne{DVD vol 4}
ni wimbo ambao ukiisikiliza kwa makini unakoa
Tafadhali subscribe kwa kubonyeza alama nyekundu pia hyo alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya matukio yote
kwa mawasiliano ya kupata DVD 0759109864

Пікірлер: 35

  • @fredrickmatinde7944
    @fredrickmatinde79447 ай бұрын

    Barikiwa Sana watoto wa Mungu. Mnapendeza Sana kwa nyimbo zenu

  • @mugetamanyama8382
    @mugetamanyama8382 Жыл бұрын

    Mungu atukuzwe kwa ujumbe safi

  • @claudiasimeo2370
    @claudiasimeo23703 жыл бұрын

    Amina mungu awatie nguvu mfike juu ya mawingu tumlaki bwana mawingun

  • @robertsimiyu-bn9ld
    @robertsimiyu-bn9ld3 ай бұрын

    Mzee nyang'ao mkikuyu wa nyochekee am very proud of you people of God my love of Jesus to be apon of you all

  • @dribrahimchenza
    @dribrahimchenza3 жыл бұрын

    Safi sana wimbo mtamu video clear

  • @mashakapaulo7721

    @mashakapaulo7721

    3 жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana mkuu

  • @risperbosbori155
    @risperbosbori1553 жыл бұрын

    Mungu ni mwema

  • @miriamdaudi4363
    @miriamdaudi43632 жыл бұрын

    Ameen mbarkiwe sanaaaa

  • @janedraba5949
    @janedraba59492 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana Kwa nyimbo zeni baribuni zote jamani,ingelikia kuimba ndo kuokoka kama Yesu amesha Rudi mnanibariki sanasana.

  • @fredrickmatinde7944
    @fredrickmatinde79447 ай бұрын

    Kua mchungaji wa watu kama hawa ni raha sana

  • @eunicegerald732
    @eunicegerald7323 жыл бұрын

    Hongereni Sana kwa kaz nzurii

  • @markodhiambo2650
    @markodhiambo2650 Жыл бұрын

    Karibuni starehe camp meeting August 2023

  • @mashakapaulo7721
    @mashakapaulo77213 жыл бұрын

    Mungu awabariki saaaana

  • @dorcangaga2377

    @dorcangaga2377

    3 жыл бұрын

    Aminaaa Bwana azidi kuwatia nguvu

  • @aliceagoodsongnicevoices4855
    @aliceagoodsongnicevoices48553 жыл бұрын

    Barikiwa sana kwa wimbo Batimayo hata sisi wengine tu vipofu maana hatujamtambua yesu maishani

  • @roryayetuonlinetv8578
    @roryayetuonlinetv85783 жыл бұрын

    Hakika bwana ametenda na atatenda kwa wakati

  • @paulnamba1002
    @paulnamba10023 жыл бұрын

    Mungu atukuzwe kwa wimbo mzuri

  • @ruthachieng8063
    @ruthachieng8063 Жыл бұрын

    The way Batimayo falls down is very funny.i like the faith of Batimayo

  • @seyaorongo7466
    @seyaorongo74663 жыл бұрын

    Hongereni wimbo mzuri Bwana azidi kuwaongoza

  • @markongoso4405
    @markongoso4405 Жыл бұрын

    Awonderful song

  • @NashonMbumba5
    @NashonMbumba53 жыл бұрын

    Nice song May God bless you

  • @wkctv9835
    @wkctv98353 жыл бұрын

    Mshikiliehapo kazi safi

  • @jeremiahoumaonditi8285
    @jeremiahoumaonditi82853 жыл бұрын

    Mungu apewe sifa.be blessed all.hi to mama Hannah still singing, keep it up

  • @huronayienda6660
    @huronayienda66603 жыл бұрын

    This song indeed elevates soul.May God bless you greatly.

  • @mariadotto5352
    @mariadotto53523 жыл бұрын

    For the Lord be the glory

  • @basakikiboye7759
    @basakikiboye77593 жыл бұрын

    kwa sasa watu wanaeingia digital, kama mnaweza tumieni flash kuuza lakini pia hapa youtube itawalipa Zaidi kama mkipata watazamaji wengi na kufikisha idadi inayotakiwa, Hongereni kwa huduma mnayo toa! songeni mbele

  • @mashakapaulo7721

    @mashakapaulo7721

    3 жыл бұрын

    Ubarikiwe sambaza na share kwa watu wengine pia

  • @ruthachieng8063
    @ruthachieng8063 Жыл бұрын

    The song is nice and easy to understand

  • @johnokanyawafula3776
    @johnokanyawafula37763 жыл бұрын

    Mimi pia nikipofu waimani

  • @shiraticentralsdachoir

    @shiraticentralsdachoir

    3 жыл бұрын

    Yesu atakuponya nawe

  • @johnokanyawafula3776
    @johnokanyawafula37763 жыл бұрын

    Ujumbe mzitosana

  • @agreyalukomfikembali1983

    @agreyalukomfikembali1983

    2 жыл бұрын

    Mubarikiwe Sana watumishi

  • @alexwilson7310

    @alexwilson7310

    2 жыл бұрын

    Napenda mnavoimba mubarikiwe sana

  • @shiraticentralsdayouthchoir
    @shiraticentralsdayouthchoir3 жыл бұрын

    by the way kaz this time imetoka qually jina la BWANA litukuzwe amen