Bartimayo - Shirati Central choir
wimbo huu umetungwa na mwl Gerald wagumba
ni miongoni mwa nyimbo 10 zilizopo katika album ya toleo la nne{DVD vol 4}
ni wimbo ambao ukiisikiliza kwa makini unakoa
Tafadhali subscribe kwa kubonyeza alama nyekundu pia hyo alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya matukio yote
kwa mawasiliano ya kupata DVD 0759109864
Пікірлер: 35
Barikiwa Sana watoto wa Mungu. Mnapendeza Sana kwa nyimbo zenu
Mungu atukuzwe kwa ujumbe safi
Amina mungu awatie nguvu mfike juu ya mawingu tumlaki bwana mawingun
Mzee nyang'ao mkikuyu wa nyochekee am very proud of you people of God my love of Jesus to be apon of you all
Safi sana wimbo mtamu video clear
@mashakapaulo7721
3 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mkuu
Mungu ni mwema
Ameen mbarkiwe sanaaaa
Mbarikiwe sana Kwa nyimbo zeni baribuni zote jamani,ingelikia kuimba ndo kuokoka kama Yesu amesha Rudi mnanibariki sanasana.
Kua mchungaji wa watu kama hawa ni raha sana
Hongereni Sana kwa kaz nzurii
Karibuni starehe camp meeting August 2023
Mungu awabariki saaaana
@dorcangaga2377
3 жыл бұрын
Aminaaa Bwana azidi kuwatia nguvu
Barikiwa sana kwa wimbo Batimayo hata sisi wengine tu vipofu maana hatujamtambua yesu maishani
Hakika bwana ametenda na atatenda kwa wakati
Mungu atukuzwe kwa wimbo mzuri
The way Batimayo falls down is very funny.i like the faith of Batimayo
Hongereni wimbo mzuri Bwana azidi kuwaongoza
Awonderful song
Nice song May God bless you
Mshikiliehapo kazi safi
Mungu apewe sifa.be blessed all.hi to mama Hannah still singing, keep it up
This song indeed elevates soul.May God bless you greatly.
For the Lord be the glory
kwa sasa watu wanaeingia digital, kama mnaweza tumieni flash kuuza lakini pia hapa youtube itawalipa Zaidi kama mkipata watazamaji wengi na kufikisha idadi inayotakiwa, Hongereni kwa huduma mnayo toa! songeni mbele
@mashakapaulo7721
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sambaza na share kwa watu wengine pia
The song is nice and easy to understand
Mimi pia nikipofu waimani
@shiraticentralsdachoir
3 жыл бұрын
Yesu atakuponya nawe
Ujumbe mzitosana
@agreyalukomfikembali1983
2 жыл бұрын
Mubarikiwe Sana watumishi
@alexwilson7310
2 жыл бұрын
Napenda mnavoimba mubarikiwe sana
by the way kaz this time imetoka qually jina la BWANA litukuzwe amen