Barakah The Prince - Nimekoma (Official Video) SMS SKIZA 7919015 to 811
Музыка
#BarakahThePrince #AfricanPrince #Nimekoma
Nimekoma by Barakah The Prince (C) (BML) BANA MUSIC LAB.
Nimekoma is OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
Link ffm.to/barakahtheprince
For Bookings: AfricanPrinceTz@gmail.com
Follow The Barakah The Prince on:
/ barakahtheprince_
/ afrikanprince_
Barakah Andrew (born February 13, 1994), better known by his stage name Barakah The Prince, is a Bongo Flava recording artist, singer and song writer from Tanzania.
Born and raised in Mwanza City, by his parents Andrew Odiero (father) and Risper (mother).
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 1 500
Naomba like wote tunae mpenda uyu jamaaaaaa@@@@100%
Huyu jamaa ni Msanii, Yaani mpende mkatae 😂😂🇰🇪
@mbembelatv
4 жыл бұрын
Nikweli jamaa anajua ila ndoivo ukiwanyea fans wako ndo mambo hugeuka ju chin, maana fans ndio watakaokufanya song lako liende au libume haujalish nyimbo nzr au mbovu😅
Aiseh..mkenya hapa ila naikubali sana hii NIMEKOMA ya Baraka👍nipeni LIKE tusonge..💥💥
@sananepaul6029
3 жыл бұрын
Aisee we we nifundi sematu Sina nambaako ningekutumia chochote daah aisee 💕💕
Haipiti mwezi bila kuangalia ngoma za baraka😮
Weeeh weeeh nani wale walikua wakisema Baraka ka kwisha,, He is Dope ;) Artist zaidi Sana
Ki ukweli huyu jamaa anakipaji na anajuwa sana tu. Sijawi kuacha kumshabikia na kusema popote kabisa. He is very talented young man trust me.
@cwedertza3975
4 жыл бұрын
Sekeyi Fabian zaid ya kipaji Baraka fundi
@cwedertza3975
4 жыл бұрын
Sekeyi Fabian zaid ya kipaji Baraka fundi
@frijotrueboymedia
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d4Z6pqOohrmYl6Q.html
Uyu jamaa noma sana Mungu ampe maisha marefu ili aendelee kufanya mengi zaidi
Hapa umeimba kwel, ckubaligi kwa kujivimbisha ila hapa kwa dundo hili salute
😁😁tuliokua tunanunua MB kila siku tuipate dundo tujuane apa👇
@frijotrueboymedia
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d4Z6pqOohrmYl6Q.html
@eliaskakeme1452
4 жыл бұрын
Kuimba wala aujui kaimbe kwaya tu
@shakirahussen3296
4 жыл бұрын
Fidy Mgeyekwa wapi my
@djkmantz
4 жыл бұрын
hatar
@baracksaidy477
4 жыл бұрын
Jembe mukali nakubali sana sema wa wanga wengi sana 2kaze mukar
Hili song hata lispoingia kwenye trending No:1 KZread lakin itatrend No:1 home kwangu barakh 🔥🔥🔥
@frijotrueboymedia
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d4Z6pqOohrmYl6Q.html
@kilimotechnology
4 жыл бұрын
Boniface Juma very true
@diegohija1804
4 жыл бұрын
Hahahahaha kwangu pia hahahah
@hawasandale5595
4 жыл бұрын
nakuunga mkono Boniface hii song nimeikubali balaaa
@allymdachi6550
4 жыл бұрын
Umeona naitazama sichok aisee
Baraka nimekoma kuwashabikia wasojua,,kumbe upo fundi wakutunga nakuimba,,your teacher
Mapenzi rungu mwiba ni kweli nimekoma. ......fire🌋🌋🌋🌋🌋🌋
Nikweli huu wimbo uko real sana, bcoz u meaning nzito na yakilasiku maishani mwa kila binadamu
Barakah bonge la ngoma bonge audio bonge la msanii nimekukubari kaka🙏😁😁
Prince napenda nyimbo zako na msg zako na beats zako kivyako I salute you bro.
Kuna watu wanasema Baracka kaishiwa wanalogwa kweli
Ninaamini katika falsafa zako brother,,we don stop ,,good music for life,,,ur my role model,,,ninapata energy ya kuipigania ndoto yangu ya kuwa msanii mkubwa kupitia kazi zako nzuri pamj na ubunifu wako,,,ur the African prince ,,tanzanite melodies🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝👋👋👋👋👋🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
@heatztech4037
3 жыл бұрын
Hingoma nsipendab
Huyu ndie baraka ninayemjua mm umenikumbusha kuleeeee. Endelea kukaza mjomba
Cjawahi huchoshwa na nyimbo za Baracka, big up.
Sichoki kuitazama tunaosujudiya mapenzi Tujuaneeeee
anaempenda baraka gonga like hapa
@mariyammariyam8722
4 жыл бұрын
Love it
wanaomkubali baraka ninaomba like zenu
@amiriyisumairi5131
4 жыл бұрын
Namkubali san
@valemasharia9559
3 жыл бұрын
Kitu bro
Walai uyu jamaa nakubali mashairi yake yaani Ngoma mpango mzima
BARAKA, cjawai juta kwa songs unazo toa dah! Maashallah NIMEKOMA Kaeni😭
@issamuhando2847
2 жыл бұрын
Anajuwa dogo huyu
Usiache kuipambania ndoto yako unajuwa saaana endelea kutuonyesha kuwa haubahatishi
@frijotrueboymedia
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d4Z6pqOohrmYl6Q.html
Blood unajua sanaa 🔥🔥🔥 izi on and off zinakishusha sana mashabiki zako tupo unafel wap
taja wimbo wa huyu jamaa ambao hajataja neno [moyo]
Braza uko sawa,, umwrejea kwenye industry na dude Kali,, dososha zingine kama hii,
Mapenz hayana komando💪💪
Good job brother!Hakika wewe ni msanii mzuri. Ongeza nidhamu na kujituma zaidi 👏🏼🙏
Bonge la Ngoma🔥🔥🔥🔥I wish jamaa angekua mkenya mana wabongo wanafki hamuumpi shavu..
Huyu msukuma anajua hajawahi kuniangusha kabisa never
Tuliokoma Kama baraka like hapa
@cwedertza3975
4 жыл бұрын
Zaina Msangi jamaaa anaweza
@actonnathan9458
4 жыл бұрын
Zaina Msangi zaina😪
@frijotrueboymedia
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d4Z6pqOohrmYl6Q.html
@vailethvalentine4487
4 жыл бұрын
Nimeianglia mala 10 hainichoshi
@vailethvalentine4487
4 жыл бұрын
Tuwakiridhe pande za mwanza🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏
My favourite musician who never dissappoints♥️🇧🇭🇰🇪
Baraka unaweze mzee wimbo nmeskiliza nkawa naurudia kama mara kumi lakn hata siuchoki
Huyu jamaa anajua sana sema sijui anachelewa wapi
Good music🔥🔥🔥🔥
Nimekoma🙌🙌🙌
I still wonder why this one missed a million views plus. I still go back to it. Love it. ❤
Leo nimesikiliza uzuri nyimbo barakah unajua sanaa
Kaz mzur Kaka
Narudia tena na tena kuiplay yaani ujumbe mzito
Thank you Spotify 😊❤
Yamesumbua moyo wanguuu
My all time artist....good music
Nimekoma na mapenz ya leo
Baraka amerudi kaaa nyashiski...enyewe ni vizuri kuji quarantine ki mziki alafu baaada unalipuka puh!!!!nimekoma pia...
Oya Big Umetisha💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Return of good music
@im_peter8197
3 жыл бұрын
I agree with you
Yakanifanya nikonde kama nina ngoma nimekoma!!!
Jamani tuitendee haki pini hili..... 😎😎😎
Jamaa anatupia kinoma, kama ww ni shabiki gonga like apa
@neemaphilipo520
3 жыл бұрын
Namupenda
CANT WAIT......
Big up bro ngoma kali kinoma then huu ni ualisia kabisaa nakukubar sana hom boy,
Naomba wimbo kinachofata uwe kama siwezi maana naipenda saana
am inlove with this Song... Deeply inlove... That Tone of ur tongue Barakah... Ur the best... The sound oooh
@naimmaina2067
4 жыл бұрын
Mambo mbaya mapenzi tunaikimbia
Tumpe nafasii jmn ngoma kali
Wewe Nimukali Kijana Pambana
Bonga Mojaa la hitsong naaminia Baraka uko juu kakaa
Wa 12 kukomenti. ✌
@cwedertza3975
4 жыл бұрын
Luka Nyange M hahahaha
Noma sanaa bonge moja la track na kichupa kiqariii dadeq
Dah hua mziki wamapenz unaujua sana baracka tuko wengi sana
Mm kama mm nimekoma tena nimekoma kabisa big up baraka
Cjawahi pata like jaman, wangap tumekoma
@pendosabaya6255
3 жыл бұрын
Pole kaka
@halimahussein4752
3 жыл бұрын
Nimekoma mwenzenu
@kaeniyahya7536
3 жыл бұрын
Nimekoma dah!
You the best
@shamsiasakate9960
4 жыл бұрын
Sanaaa
Nakuzingatia san ss uyu Ndo baraka ninaemjua mm bonge moja la ngoma
nyimbo Kali inafundisha xn ktk maisha ya mapenzi
Kama unaamin alicho kiimba ni kwel achia like kwa tulio guswa😭😭😭😭
weeeeeeee bonge ya ngoma mzeeeeee the prinnce
Kila mtu anafungu lake hapa duniani Baraka bado yupo kwenye ubora wake💪
Sana namkubali San ilakapotea kwenyegem vip😭😭
Baraka da prince.. He never dissapoints❤️❤️his songs always bring me to tears 😭.. Big up🔥🔥
Good music still alive
Baraka mbona umepotea xana msela wangu,!! Ngoma Kali nzur!!
Jaman nimeiona huku tayar big up da prince
Don’t even think about what anybody saying about your talent , you own your destiny so don’t look back , keep the good work and everything will be brighter then later ! I wish you a great success in your future project . This one is 🔥🔥🔥🔥👏🏻👏🏻👏🏻. Keep the fire burning .
I love your songs
Noma sana huyu jamaa
Wewe ndiyo fundi wangu Baraka da Prince niliyemmiss cku nyingi goma kali linatuburudisha na kutuondoa hofu ya janga hili la korona japo wote 2zid kuchukuwa hatua kadri 2navyoelevya na wataamu wetu wa afya.
This guy is back to his old golden days 🔥 nice song ,nice video. Just be consistent now nakukubali brother
@cwedertza3975
4 жыл бұрын
shakes salim mtu yule yule kipaji kikubwa idea kubwa
Such an underrated artist!
Baraka da prince...tunapenda sana unavyoimbaa
I love you my song... Nimekoma.. 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌
This song is dope 2021 my January's favorite love from Bungoma Kenya 🇰🇪
Kwanini Baraka una change sana your KZread channel? Hit song. Na kama uko na mimi. Nipe like yako
@RICHDACHRIS
4 жыл бұрын
@B 95 tv pole kwake
@somoechicccopa3498
4 жыл бұрын
Noma
@shalifashabani1703
4 жыл бұрын
Mimi sikomi
Ohooo mwenzenuu nikomaaa nipendaa sina
Alafu ili dude n club banger kabisaaaaaaa
Nitalipa hata dada yanguu😁😁
Barakaa🔥🔥
Bado niko hapa 2024
Uwez aminiii nilidanganywa nipo peke yanguuuuuu
#Baraka is the best artist in Tanzania 🔥🔥🔥
Love! love the song🤗💣💥we missed u tuu sana,with this quarantine can't get bored with this song😊much love n stay safe out there everyone
Ufundi sio kuranda mbao tu hata msukuma kunyoosha magoma kama haya ni zaid ya ufundi keep it up bro prince
Uyu msenge mzk anajua na mimi nlmic sana aina ya mzk wake mana nyimbo zake nkmdedicate manz lazma nmng'oe😍❤️💝🔞🔥
oi watuuu mbona kimya wasio mpenda huyu Jamaa Kati ya mafundi hapa tZ Hutu is best lakin ntafrahi Sana Kama Italian collabo na rayvvany boy
@frijotrueboymedia
4 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/d4Z6pqOohrmYl6Q.html
@shakirahussen3296
4 жыл бұрын
WIL7 VEVO tena anajuwa atari
@rc4370
4 жыл бұрын
Huyu kiburi anacheza na kingkiba
Love the song 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥☄️☄️☄️☄️
Naipend sana inymbo sichok kusikirza mana yashantokeaga ayooo 2po pamoja sanaaaa kaka una weza sanaaaaa
Hii ngoma nikali sana barakah umetutendea haki mashabiki wako
Is back 🔥🔥🔥🔥🙏