2024 still banging this song❤.. Mika Mwamba aliisuka hii ngoma balaa balaa
@salimkisoma6513 Жыл бұрын
2023 June, still banging. Mika Mwamba aliitendea maajabu hi ngoma na imekuwa ni immortal track
@ZuhuraAlly-ql5sbАй бұрын
Nikisikiza hii song namkumbuka my bro alikua akiimba street na marafiki zake wakiwa wanasoma bonden sec ars duu kitambo sana
@alimombasa4Ай бұрын
2024 still 🔥🔥🔥
@ivankipobota3162 Жыл бұрын
Popote ulipo mwenyezi mungu akubariki Na akulinde Na akujalie afya njema Na Kama umeacha kuimba uko juu Bado
@tgeofrey18 күн бұрын
Mika Mwamba anasema hi ilienda one take tuu
@habibnjowele77513 жыл бұрын
Lead vocals by : Ahmed Dola aka Balozi . Back vocals: Ahmed Dola Beats: Miika Mwamba Syncronization: Miika Mwamba Arranger: Miika Mwamba Sound Engineer : Miika Mwamba Producer: Miika Mwamba Executive Producer: Ahmed Dola, Studio : FM , KINONDONI , DAR ES SALAAM , TANZANIA
@BongoZaKitambo55
Жыл бұрын
Mika Mwamba alikuwa Ni Mbad Kwenye Kutengeneza beats ambazo zimefanya ngoma hizo Kuishi mpaka leo
@obbymweucy4424
2 ай бұрын
Daah Mika mwamba alikua mbele ya muda aisee this beat is sick man😅😅
@ammaherman3391 Жыл бұрын
Aisee utadhani kaimba hii ngoma Jana tu....bado ina hit kinoma
@hasanissantambarasamata34193 жыл бұрын
Wee balozi ebu achia ngoma kali Kama hii mbona kimya sana
@francismulokozi34832 жыл бұрын
Duh! Kungekua na social media kipindi hichi, Tz tungekua mbali kimziki
Wangapi wamekuja baadae kuona kipindi cha refresh wasafi
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Hizi ndio ngoma kali maamae
@emmanuelmayunga1518
2 жыл бұрын
OG meeen
@stevenmhina3569 Жыл бұрын
You would think Dr.Dre made this beat, way ahead of time
@uzaziplus3334
Жыл бұрын
My question is who copied, miika mwamba au Dr. Dre, still imetoka 2001 hii ya balozi sijui imetoka lini.
@mcfidel2927
Жыл бұрын
@@uzaziplus3334 ya balozi imetoka 2003
@obbymweucy4424
2 ай бұрын
True
@westcijosh
Ай бұрын
Mikka mwamba alimuiga dr dre @@uzaziplus3334
@gipsonmwankobela2825Ай бұрын
ngoma Kali Sana
@albert1088Ай бұрын
BALOZI...........Shout out to you bro.!!
@noahkyando84012 жыл бұрын
Hii ni ngoma na nusu aiseee📌 March 2022 gonga like apa
@issamahanji9838
2 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana
@kibasamohamedi80293 жыл бұрын
Ngoma itaendelea kudumu mpk mwisho wa dunia, haichosho naisikiliza Mara nyingi
@movielecture63662 жыл бұрын
Beat lake ni ngumu kuamin Kama ni mbongo katengeneza, miika mwamba respect
@patrickbyeshulilo4945
2 жыл бұрын
very true
@OGKITAMBOTV
2 жыл бұрын
Mika Mwamba Si Mbongo Mzee Wangu Huyo Ni Mzungu
@ramadhansaid778
Жыл бұрын
Hii bit ni kopi na kupesti kwa dr drei
@ZeProDJay
2 ай бұрын
Mikka Mwamba hakua mbongo kaka ni mzungu pure kutoka Finland huko
@paulmartin30643 жыл бұрын
Ngoma Hatari sana Daah, Come Back Balozi
@omymohd19272 жыл бұрын
Hakuna siku alifuta shasho studio Kama aliporekodi goma hili zigo balaa fire huu sio wimbo hili bomu
@emmanuelmayunga1518
2 жыл бұрын
One take yooo....sauti yenye mamlaka
@marcosaleh65392 жыл бұрын
Hakuna tena kama hii mamaee.......14/03/2022
@emmanuelmayunga1518
2 жыл бұрын
OG
@kaisijamaldini2358 Жыл бұрын
Back the day yuko wap balozi
@paulmboje267711 ай бұрын
Producer:Mikka Mwamba, one take Hatar sana huyu jamaa
@hasanissantambarasamata34193 жыл бұрын
Balozi kwanini umetoa ngoma kali alafu umepotea?
@charlschito68672 жыл бұрын
Hatari sna ' muziki ni kitu cha pekee ... Balozi vp ! yaani umegairi kbs kufanya muziki !! WATU wako tunakumbuka SNA kazi zko hizi ' Dini na Dunia kila mmoja atabeba mzigo wke kwnye Gunia , hzi mashairi tulikuwa tunaandika kwnye daftari za shule kipindi kile ' form One.... '' Any way dat why ukaitwa WAKATI..''
@ZeProDJay2 ай бұрын
Mzungu Mikka Mwamba alisuka beat aisee achana na hawa kina s2kizzy 😂😂😂
@habibnjowele7751
5 күн бұрын
Maproducer wa siku hizi beats zao very shallow na wanasaidiwa sana na makompyuta lakini wapi!
@user-iw2jl3zu1o5 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 hip hop hiyo siyo ya sasa wanakata mauno tu
@hossam3121 Жыл бұрын
All the way 2023 nimegundua hili pilau
@omymohd19272 жыл бұрын
Ukisikiliza goma hili utamaliza mb zako maana halichoshi
@masumbukoiddiy86764 жыл бұрын
Mzee ngoma hii kazi ilifanyika bwana tuwache mchezo
@hasanissantambarasamata3419
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@Frazztraveller10 ай бұрын
The best of all time
@jwizzygang66804 жыл бұрын
balozi ukowap hip hop hakuna tena
@nassoromelele7339 Жыл бұрын
beat, vocal, lines🫡
@mohamedhamisi9766Ай бұрын
Nyimbo ya kikubwa sana salute sana bro balozi
@gibbs13202 жыл бұрын
2021 September....still listening 🎧 to this song.
@augustinotesha77739 ай бұрын
Mika Mwamba was a beast
@ibrahimmohamed199410 ай бұрын
Daaah hizi nyimbo ni hazina aiseee enzi hizo ndio kulikuwa na waimbaji.
@danta77182 жыл бұрын
Kinachonifurahisha humu vocal imejaa sana kwny mic
@paulmwangoka8 ай бұрын
barozi noma sana itabamba miaka naenda ludi🔥🔥
@juliusmbaga50633 жыл бұрын
Uyu jamaa alikuwa hatari
@danta77182 жыл бұрын
Hadi mm bado naisikiliza hadi sasa 2021/9
@daudiniyonsaba11134 ай бұрын
Hawa ma Mc's #1. 2024-03-09 bado nawakubali sana!
@iddombogo3445 Жыл бұрын
2023 Feb
@husseinjarufu5047 Жыл бұрын
Deplowmatz 🔥🔥🔥💪💪👊
@FujoohTV Жыл бұрын
🎉 chechereee jamani bongo raha sana
@yusuphmligiliche83532 ай бұрын
❤❤❤
@habibnjowele77515 күн бұрын
JINA: MIIKKA ALEKSANTERI KARI aka MIIKKA MWAMBA KUZALIWA: 1971 KAZI: MTAYARISHAJI MUZIKI ASILI: FINLAND ELIMU : SHAHADA YA UZAMILI KWENYE UHANDISI WA SAUTI NA MWANGA ( SOUND ENGINEERING NDIYE ALIYETAYARISHA HII NYIMBO
@boniphacebenjamin792911 ай бұрын
Noma sana broo
@ErickRichard-nw9ry9 ай бұрын
Daaaash mmmmamaa333
@kaisijamaldini23585 ай бұрын
Baloziii nipo ubalozini
@estasiashiringa10383 ай бұрын
Baloziii😊😊
@onionpeeling582211 ай бұрын
Timeless -
@VassoSolomon-kw4hk Жыл бұрын
Uyu jamaa nikimsikiaga aoipewa kolabo ata na eminem eminem anaweza kalushwa .balozi nouma
@daudcharles220 Жыл бұрын
2023
@moziidavchonchi33383 жыл бұрын
2021🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@iddombogo3445 Жыл бұрын
January 2023
@blogtz4654 Жыл бұрын
Balozi 🔥
@chezarygeorge26663 жыл бұрын
2020 natia chata hapa
@idrisahussein3413 жыл бұрын
Mikamwamba
@MOHAMEDCLIFF3 ай бұрын
Still banging
@ramadhankhamis14933 жыл бұрын
Kaka unajua kuimba acha mchezo
@elishagozbet96232 жыл бұрын
UKO WAPI BALOZI
@kaisijamaldini23586 ай бұрын
Mikka mwamba 🎉
@juveillatv2 жыл бұрын
Rudi kwenye Utamaduni
@adv.claverymlowe47912 жыл бұрын
January 2022
@billionaresadx75053 жыл бұрын
2021
@ministervg.katabwa34332 жыл бұрын
2022
@KHALIFaDONI Жыл бұрын
العربي الوحيد😂❤
@pascallatino6473 Жыл бұрын
2023..❤
@ngasikajoel95762 жыл бұрын
Bro respond kubwasana Joe nipo Dar es salaam korogwe fresh
Пікірлер: 90
2024 still banging this song❤.. Mika Mwamba aliisuka hii ngoma balaa balaa
2023 June, still banging. Mika Mwamba aliitendea maajabu hi ngoma na imekuwa ni immortal track
Nikisikiza hii song namkumbuka my bro alikua akiimba street na marafiki zake wakiwa wanasoma bonden sec ars duu kitambo sana
2024 still 🔥🔥🔥
Popote ulipo mwenyezi mungu akubariki Na akulinde Na akujalie afya njema Na Kama umeacha kuimba uko juu Bado
Mika Mwamba anasema hi ilienda one take tuu
Lead vocals by : Ahmed Dola aka Balozi . Back vocals: Ahmed Dola Beats: Miika Mwamba Syncronization: Miika Mwamba Arranger: Miika Mwamba Sound Engineer : Miika Mwamba Producer: Miika Mwamba Executive Producer: Ahmed Dola, Studio : FM , KINONDONI , DAR ES SALAAM , TANZANIA
@BongoZaKitambo55
Жыл бұрын
Mika Mwamba alikuwa Ni Mbad Kwenye Kutengeneza beats ambazo zimefanya ngoma hizo Kuishi mpaka leo
@obbymweucy4424
2 ай бұрын
Daah Mika mwamba alikua mbele ya muda aisee this beat is sick man😅😅
Aisee utadhani kaimba hii ngoma Jana tu....bado ina hit kinoma
Wee balozi ebu achia ngoma kali Kama hii mbona kimya sana
Duh! Kungekua na social media kipindi hichi, Tz tungekua mbali kimziki
True hip hop,sauti vocal Lina mamlaka da! Hatar sanaaaa 🔥...Dolla soul
Wangapi wamekuja baadae kuona kipindi cha refresh wasafi
Hizi ndio ngoma kali maamae
@emmanuelmayunga1518
2 жыл бұрын
OG meeen
You would think Dr.Dre made this beat, way ahead of time
@uzaziplus3334
Жыл бұрын
My question is who copied, miika mwamba au Dr. Dre, still imetoka 2001 hii ya balozi sijui imetoka lini.
@mcfidel2927
Жыл бұрын
@@uzaziplus3334 ya balozi imetoka 2003
@obbymweucy4424
2 ай бұрын
True
@westcijosh
Ай бұрын
Mikka mwamba alimuiga dr dre @@uzaziplus3334
ngoma Kali Sana
BALOZI...........Shout out to you bro.!!
Hii ni ngoma na nusu aiseee📌 March 2022 gonga like apa
@issamahanji9838
2 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana
Ngoma itaendelea kudumu mpk mwisho wa dunia, haichosho naisikiliza Mara nyingi
Beat lake ni ngumu kuamin Kama ni mbongo katengeneza, miika mwamba respect
@patrickbyeshulilo4945
2 жыл бұрын
very true
@OGKITAMBOTV
2 жыл бұрын
Mika Mwamba Si Mbongo Mzee Wangu Huyo Ni Mzungu
@ramadhansaid778
Жыл бұрын
Hii bit ni kopi na kupesti kwa dr drei
@ZeProDJay
2 ай бұрын
Mikka Mwamba hakua mbongo kaka ni mzungu pure kutoka Finland huko
Ngoma Hatari sana Daah, Come Back Balozi
Hakuna siku alifuta shasho studio Kama aliporekodi goma hili zigo balaa fire huu sio wimbo hili bomu
@emmanuelmayunga1518
2 жыл бұрын
One take yooo....sauti yenye mamlaka
Hakuna tena kama hii mamaee.......14/03/2022
@emmanuelmayunga1518
2 жыл бұрын
OG
Back the day yuko wap balozi
Producer:Mikka Mwamba, one take Hatar sana huyu jamaa
Balozi kwanini umetoa ngoma kali alafu umepotea?
Hatari sna ' muziki ni kitu cha pekee ... Balozi vp ! yaani umegairi kbs kufanya muziki !! WATU wako tunakumbuka SNA kazi zko hizi ' Dini na Dunia kila mmoja atabeba mzigo wke kwnye Gunia , hzi mashairi tulikuwa tunaandika kwnye daftari za shule kipindi kile ' form One.... '' Any way dat why ukaitwa WAKATI..''
Mzungu Mikka Mwamba alisuka beat aisee achana na hawa kina s2kizzy 😂😂😂
@habibnjowele7751
5 күн бұрын
Maproducer wa siku hizi beats zao very shallow na wanasaidiwa sana na makompyuta lakini wapi!
🎉🎉🎉🎉 hip hop hiyo siyo ya sasa wanakata mauno tu
All the way 2023 nimegundua hili pilau
Ukisikiliza goma hili utamaliza mb zako maana halichoshi
Mzee ngoma hii kazi ilifanyika bwana tuwache mchezo
@hasanissantambarasamata3419
3 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
The best of all time
balozi ukowap hip hop hakuna tena
beat, vocal, lines🫡
Nyimbo ya kikubwa sana salute sana bro balozi
2021 September....still listening 🎧 to this song.
Mika Mwamba was a beast
Daaah hizi nyimbo ni hazina aiseee enzi hizo ndio kulikuwa na waimbaji.
Kinachonifurahisha humu vocal imejaa sana kwny mic
barozi noma sana itabamba miaka naenda ludi🔥🔥
Uyu jamaa alikuwa hatari
Hadi mm bado naisikiliza hadi sasa 2021/9
Hawa ma Mc's #1. 2024-03-09 bado nawakubali sana!
2023 Feb
Deplowmatz 🔥🔥🔥💪💪👊
🎉 chechereee jamani bongo raha sana
❤❤❤
JINA: MIIKKA ALEKSANTERI KARI aka MIIKKA MWAMBA KUZALIWA: 1971 KAZI: MTAYARISHAJI MUZIKI ASILI: FINLAND ELIMU : SHAHADA YA UZAMILI KWENYE UHANDISI WA SAUTI NA MWANGA ( SOUND ENGINEERING NDIYE ALIYETAYARISHA HII NYIMBO
Noma sana broo
Daaaash mmmmamaa333
Baloziii nipo ubalozini
Baloziii😊😊
Timeless -
Uyu jamaa nikimsikiaga aoipewa kolabo ata na eminem eminem anaweza kalushwa .balozi nouma
2023
2021🔥🔥🔥🔥🔥🔥
January 2023
Balozi 🔥
2020 natia chata hapa
Mikamwamba
Still banging
Kaka unajua kuimba acha mchezo
UKO WAPI BALOZI
Mikka mwamba 🎉
Rudi kwenye Utamaduni
January 2022
2021
2022
العربي الوحيد😂❤
2023..❤
Bro respond kubwasana Joe nipo Dar es salaam korogwe fresh
Never again
IF THIS GONNA DIE YALL KILL ME
Ngoma ya wakati wote hachuji