BALOZI AKOSHWA NA BANDA HILI, ATOA YA MOYONI

DAR ES SALAAM: Balozi wa Uturuki nchini Tanzania Dr Mehment Golluoglu amesema maonesho ya sabasaba ni fursa kubwa kwa Taifa lake kwa kuwa Tanzania ina mazingira mazuri ya kuwekeza lakini pia ni salama.
Dr. Mehment ameyasema hayo baada ya kutembelea maonesho hayo ya 48 yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere sabasaba jijini DSM.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: Spotileo-176...
HabariLeo: habarileo/
DailyNews: dailynewstz/
INSTAGRAM;
HabariLeo: habarileo_tz?ig...
SpotiLeo: spotileo?igshid...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: HabariLeo?s=09

Пікірлер

    Келесі