BABA YANGU ANA MALI NYINGI NYIMBO ZA WOKOVU No.178 by DANIEL SIFUNA. (NI MWANA WA MFALME.)
Baba Yangu Ana Mali Nyingi
V1
Baba yangu ana mali nyingi,
Hushika hazina zote mkononi;
Fedha zote na mawe thamani,
Na dhahabu zote ulimwenguni.
chorus
Ni mwana wa Mfalme,
Mwana wa Mfalme;
Pamoja na Yesu,
Ni mwana wa Mfalme.
V2
Mwana wa Baba, Mwokozi wangu,
Alitembea humu ulimwengu;
Bali anatuombea sasa,
Ili tuwe watu wake kabisa.
V3
Nilitupwa mbali duniani,
Nikakubali kuwa mwenye dhambi;
Bali sasa nimeokolewa,
Kweli, jina langu limeandikwa.
V4
Hema au nyumba, sioni shaka,
Makao mazuri nitayapata;
Nikihamishwa na watu wangu,
Nitafurahi na Mwokozi wangu.
#swahili
#gospel
#viral
#trending
#old
#kwaya
#Tenzi za roho
#Nyimbo za wokovu
#swahili worship songs 2024
Пікірлер: 96
Mimi ni Pst Josphat vyema saana mhuduma Nyimbo zako zina ufunuo Mungu akutie nguvu
Napenda sana nyimbo zako
Nyimbo zina baridi saana.
Yesu ndio kila kitu🙏🙏🙏
Amina sana mtumishi nyimbo zako hakika zanibaliki
napenda sana nyimbo zako mungu akubariki sana❤
Bwana azidi kutawala huduma hii sifa zimrudie bwana wetu yesu Cristo
Mungu wetu yuapenda sifa hushuka upesi
Amina Amina Bwana akubariki sana mtumishi nyimbo zako zanibariki sana
Amen barikiwa sana
Barikiwa Sana mtumishi
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤Amen
@ENZEKEELIMACHA
3 ай бұрын
Hongera.
Wimbo huu wanikumbusha mbali،ubarikiwe sana
More blessings. Asante Yesu Amen
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen ❤❤❤
Mbarikiwa sana kiongozi Nyimbo zako huninjenga sana mungu hakuzindishie roho ya uimbanji na njina lako lihesambike mbinguni
More blessings bro 🙏 🙌❤. Keep moving
❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤Amen
Umenikumbisha mbali brother...nazidi kubarikiwa Kwa nyimbo zako,may you God bless you,live long and gain more holy spirit power in this ministry
Amen brother be blessed nice song with a powerful massage
Amen🙏🙏.Barikiwa mtumishi wa Mungu
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤Amen
Nyinbo zako nzuri Mungu akubariki sna mtumishi
@allyiddy919
2 ай бұрын
I like them
Be blessed
Amen❤
AMINA AMINA AMINA nashukuru sana kusikia hizi nyimbo, next utuletee ule unasema kwamba,Enyi wanadamu msifadhaike mioyo amini mungu pia amini nami nyumbani kwa mna makao mengi.Barikiwa sana 🙏🙏
Nyimbo zako huninjenga sana kiongonzi
Amen amen 🙏🙏Kwa nyimbo zako za upako huwa zinanibariki Sana mungu awe nawe
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen amen❤❤❤
I am blessed because of yr good song
Umenikumbusha nikiimba choir nikiwa mdogo barikiwa sana
Amen mungu akuongeze bidii yakuimba bro
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
Asante sana kanisani singekosa kuimba huu wimbo hallelujah
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤ wow amen
Wealth and Riches belongs to you Lord. Amen.
🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Eeish this song is on fire🔥🔥🔥
Be blessed your songs has more teachings
May God bless you more for touching many souls through your songs
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen❤❤❤❤❤
Nyimbo itakika ndio hizi sasa
Well done. Glory for the powerful worship
Ameeeeeeen Glory to Jesus
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
Amen I'm a princess and I fear less! Thenkyou Jesus❤❤❤ for your unfailing Love Amen
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen❤❤❤❤❤
Hallelujah Hallelujah ❤
Mimi ni mwana wa mfalmeeeeeee
Nyimbo zako zimenijenga Sana ndugu ,popote nitembeapo najihisi kuwa dhambizangu zimeondolewa,,,,,, jinalangu limekubalikaaaaa,ubarikiwe zaidi wazaidi
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Aaaamen
Thank you Jesus. Am really blessed.
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
Be blessed too bro, aky nyimbo zako zote zinanijenga tu, big up Ur talent🙏🙏🙏🙏
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Ame amen
Amen
Nice songs good job👍👍👍
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
Amen mtumishi wa Mungu unanibariki sana.
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
God bless you man of God
Ameeeen, Glory be to God
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏
God bless u so much
May God bless you
Stay blessed
Amen auncle ❤❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen my brother
Be blessed 🙏🙏🙏
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen ❤
May God bless you... already to repent 😢
Glory be to God ❤❤❤❤❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen,,mimi nyimbo zako hunibariki sana... barikiwa sana brother❤❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Aaaamen
Blessings brother ❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen❤❤❤❤
Thank you 🙏 God bless you dearly
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen
Aky hzi nyimbo zilikua zikiimbiwa nikiwa mdogo sasa zimepotea kbsa Mungu azidi kukusaidia uzirudishe tena aky zisiishe kabsa
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen
Bwana Yesu asifiwe na barikiwa na nyimbo zako naomba na nyimbo ya BWANA YESU ANAKUJA VUMILIA IPO KWENYE TENZI NUMBER 127 UBARIKIWE
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen Noted
Amina mtumishi barikiwa sana kwa huduma naomba utuletee nyimbo ya wokovu 277 "Nitaogopa nini" nitashukuru huwa inanibariki sana
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
Amen amen Usubiri unakuja
@kizuben
3 ай бұрын
@@danielsifuna7377 Amina sana
Mimi ninakitabu cha Nyimbo za wokovu. Lakini N. 178 ni tafauti na iyi ambae unayaimba. Tatizo ni nini?
Amen ❤
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤
Amen 🙏🙏
@danielsifuna7377
3 ай бұрын
❤❤❤❤
Amen