Mungu Tuinulie vipawa kama hivi Tena tupate nyimbo nzuri zinazogusa mioyo yetu
@WiselightOfficial8 ай бұрын
ee mungu wimbo huu ulikuwa wap umenikumbusha sana wimbo mzur ,baba wewe nii wakuaminiwa
@mch.deosinkala31208 ай бұрын
Mbarikiwe...nyimbo zenye uvuvio wa Roho mtakatifu
@eliamtinda72228 ай бұрын
Aki umenikumbusha mbali Sana! Barikiwa Sana Jennifer!
@christinamatai24088 ай бұрын
Daaaah nimekumbuka mbali sanaaaa.... mbarikiwe wana wa Mungu
@FatumaElizabete8 ай бұрын
Asanteeeee sana for this song. I will forever kupendaaa wewe datiii na Bahati Bukuku ❤
@eliudmkumbwa56812 ай бұрын
Dah nakumbuka meng sana enz naiskia lak redioni Mungu mkubwa kwa kweli
@ShijjaKizumbi2 ай бұрын
Mambo yamebadilika jaman kwa warembo Hawa mungu nimwema ❤❤😂😂😂
@NyotaBalolane.8 ай бұрын
Mungu ni mwena sana anatowa watu mbali kweli hapa Bahati alikuwa ujauzito nimeona hivo
@lizzykay13218 ай бұрын
My favourite song More blessing upon you mtumishi wa mungu. Watching from Australia 🦘🌏
@ev.amanimwandodavid36538 ай бұрын
Nakumbuka mbali wimbo muzuri kabisa
@user-nv7nl8sn5e2 ай бұрын
Tellement agréable, soyez brutalement bénis grâce à l'œuvre de Dieu que vous accomplissez. Et l'honneur , la gloire et puissance soient rendues à Dieu!!
@user-sv6zy3hc8o8 ай бұрын
Hivi bahati bukuku akiona hii nyimbo. Atamini kwamba ni yeye
@eng.moseso.ongudipe28443 ай бұрын
The message is powerful. God bless Jennifer. God bless Bukuku.
@joycekaishozi11773 ай бұрын
best ever gosp song collabo..hakunaga tena..🎉
@BenjaminKakamasha7 ай бұрын
Miaka mingi imepita kwa jili ya wimbo huu Ila Sasa mgeni youtube
@user-wf2uj5sd5t7 ай бұрын
Mwadamu anabadilika ,rafiki anaweza kubadilika Ni mungu tu anayeweza kubaki na wewe
@SafinaObed8 ай бұрын
Amakweli hakuna mwembamba hapadunian ila maishatyu yanatupiga
@user-jh5ro6ez3d8 ай бұрын
Asante Jennifer Kwa kazi yako sana🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🏽🙏
@spiritual_QNA5 ай бұрын
One of the living gospel music stay blessed @Jennifer
@EmmyVenass3 ай бұрын
It's just wonderful 😮😮😮 god bless more
@beldineayuma45458 ай бұрын
Wakenya twawapenda sana sana, asante Kwa kazi njema, Mungu na aibariki❤❤❤🙏
@eusebiocandidosindano8 ай бұрын
Wimbo msuri sana .asante sana
@chaulei2095 ай бұрын
2024🔥🔥🙏🙏
@meshackjacobmwakalasya5438 ай бұрын
Wimbo naupenda sana huu ,,tunashukuru kwa kutuwekea mama
@filimonmpinge60398 ай бұрын
Watu wametoka mbali jamani daa MUNGU ni mwema 😊
@EsaujohnMayo-xt7tw25 күн бұрын
Nimependa
@anithajaphet45878 ай бұрын
Wimbo wangu pendwa kabisa wa zamani😇
@Maryc2GАй бұрын
Kazi nzuri sana 💪🏽💪🏽🔥🔥
@angeham17385 ай бұрын
Kabisa Mungu habadiliki.mbalikiwe sana watumishi wa mungu.Mungu anatowa mbali saana ashukuliwe.
@HillgreyMunkhondya3 ай бұрын
Baba we niwaku aminiwa unanikumbusha baba yangu uwu wimbo ❤❤
Haaminiki kama n bahati bukuku bt sauti yake haipotei
@NubisonBunera-em7oy8 ай бұрын
Daaaaaa enzi hizo kipindi tunavaa mabwanga saivi sasa mwendo wa modo haijalish baba mchungaj wala mtoto mchungaj au mwimbaji ni modo tu aise kweli utandawaz una mengi
@joycemalima84758 ай бұрын
Mbarikiwe sana one of my favourite song.
@JemsSisya-md8qh8 ай бұрын
Duh hiu wimbo umenikumbusha mbali sana
@failaprince92505 ай бұрын
Vijana mrudiriye mavaliyo yazamaniilondo vazi kaka ubarikiwe kabisa vijana wengine wahoneye kwako
@setrickambeyi253816 күн бұрын
SAWA
@user-kp3hz3qw4m6 ай бұрын
Jenifa na nahati mungu azidi kuwainua zaid maana mnatoa kaz zinatubaliki
@sirielypetrombise5198 ай бұрын
Mzidi sana kubarikiwa watumishi wa MUNGU
@MutambalaSelemaniАй бұрын
Nyimbo izi apana ,zilikuwa Safi wakati yetu
@luganomwanjotile75758 ай бұрын
enzi hizo tunavaa magwanda
@sirielypetrombise5198 ай бұрын
Ahsante sana jamani mke wangu nikupendae
@stellahaule32102 ай бұрын
2024 na bado tupo na Yesu wetu
@jonasbohya73058 ай бұрын
Mimi nakupenda sana unanibariki sana nanyimbo zako
@winyrosevituko66508 ай бұрын
ndoa sitakuja kuuwa watu 😂bukuku amenimaliza
@user-io2rd5eh6t5 ай бұрын
Mungu ni mwema namushukuru melele
@user-io2rd5eh6t5 ай бұрын
Mungo amenities mbali niliitwa tasa na says na watoto wawili
@aderanderwa76238 ай бұрын
Bahati Bukuku saizi kawa mzungu
@gashugijonatan78178 ай бұрын
Asati sana kwa wimbo zuri sana
@WwddffDdssaa-rq3xu4 ай бұрын
❤❤❤Amen. Watu gotokambari
@gres11828 ай бұрын
Si mbarikiwe jamen 🎉🎉🎉
@user-kv9mo8yj3v8 ай бұрын
Wimbo mzur
@NataliaSameeyАй бұрын
Amen and amen 🙏🙏🙏🥰🥰🥰
@dorcaskuvuna8 ай бұрын
Kweli watu hutoka mbali ❤❤
@fearful2548 ай бұрын
Barikiwa dada
@user-qk2dx9qv5t8 ай бұрын
Niyazamani ❤❤
@elizabethchebby26077 ай бұрын
Them days
@FideliaLuboha-ro3hy4 ай бұрын
Mungu atkuzwe
@haidarykufakunoga8869Ай бұрын
UKO wapi Sister Jenny?🙏🙏
@BeathaKogota-cl1ow2 ай бұрын
❤❤🙏🙏
@lindapascalofficial3 ай бұрын
Nice song
@maggiesadock8 ай бұрын
Amen ❤
@merveilleajabu8 ай бұрын
❤❤❤
@user-sr2jq2kd7i8 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@Farajahelene230318 ай бұрын
wow wow
@ev.amanimwandodavid36538 ай бұрын
🇨🇩♥️🇨🇩♥️🇨🇩👏
@faithbahati64688 ай бұрын
❤❤❤❤
@AidaAbdul-pt5dnАй бұрын
Imenibidi nije huku mjini You tube
@Bulozekituza-xz8uv8 ай бұрын
uyu mwimbo unanigusaka sana, nauliza je uyu mwimbo nawamwaka gani?
@veronicaatieno6160
8 ай бұрын
2005
@imakimaro694 ай бұрын
Daaaaah vipaji vitamu sana shida tu hawapo sehemu sahihi hii dini yakikristo sio kabisa
@lucydeogratias3173
3 ай бұрын
Ni kwamba
@josephmirambo9958 ай бұрын
Daudi kumbuka wapi nilikutosha...inaomba kubakia wakushuka sana kila Siku, Jenifer unaona kwenye Mungu alikutosha?
Пікірлер: 84
Niliutafuta huu wimbo sana mtandaoni. Ahsante
2024 muni follow please
Mungu Tuinulie vipawa kama hivi Tena tupate nyimbo nzuri zinazogusa mioyo yetu
ee mungu wimbo huu ulikuwa wap umenikumbusha sana wimbo mzur ,baba wewe nii wakuaminiwa
Mbarikiwe...nyimbo zenye uvuvio wa Roho mtakatifu
Aki umenikumbusha mbali Sana! Barikiwa Sana Jennifer!
Daaaah nimekumbuka mbali sanaaaa.... mbarikiwe wana wa Mungu
Asanteeeee sana for this song. I will forever kupendaaa wewe datiii na Bahati Bukuku ❤
Dah nakumbuka meng sana enz naiskia lak redioni Mungu mkubwa kwa kweli
Mambo yamebadilika jaman kwa warembo Hawa mungu nimwema ❤❤😂😂😂
Mungu ni mwena sana anatowa watu mbali kweli hapa Bahati alikuwa ujauzito nimeona hivo
My favourite song More blessing upon you mtumishi wa mungu. Watching from Australia 🦘🌏
Nakumbuka mbali wimbo muzuri kabisa
Tellement agréable, soyez brutalement bénis grâce à l'œuvre de Dieu que vous accomplissez. Et l'honneur , la gloire et puissance soient rendues à Dieu!!
Hivi bahati bukuku akiona hii nyimbo. Atamini kwamba ni yeye
The message is powerful. God bless Jennifer. God bless Bukuku.
best ever gosp song collabo..hakunaga tena..🎉
Miaka mingi imepita kwa jili ya wimbo huu Ila Sasa mgeni youtube
Mwadamu anabadilika ,rafiki anaweza kubadilika Ni mungu tu anayeweza kubaki na wewe
Amakweli hakuna mwembamba hapadunian ila maishatyu yanatupiga
Asante Jennifer Kwa kazi yako sana🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🏽🙏
One of the living gospel music stay blessed @Jennifer
It's just wonderful 😮😮😮 god bless more
Wakenya twawapenda sana sana, asante Kwa kazi njema, Mungu na aibariki❤❤❤🙏
Wimbo msuri sana .asante sana
2024🔥🔥🙏🙏
Wimbo naupenda sana huu ,,tunashukuru kwa kutuwekea mama
Watu wametoka mbali jamani daa MUNGU ni mwema 😊
Nimependa
Wimbo wangu pendwa kabisa wa zamani😇
Kazi nzuri sana 💪🏽💪🏽🔥🔥
Kabisa Mungu habadiliki.mbalikiwe sana watumishi wa mungu.Mungu anatowa mbali saana ashukuliwe.
Baba we niwaku aminiwa unanikumbusha baba yangu uwu wimbo ❤❤
Nimekuswa na huu wimbo sana nikiwa kwetu kenya
Oo jamani watumishi mlikua wadogo nimependa nimebarikiwa
Haaminiki kama n bahati bukuku bt sauti yake haipotei
Daaaaaa enzi hizo kipindi tunavaa mabwanga saivi sasa mwendo wa modo haijalish baba mchungaj wala mtoto mchungaj au mwimbaji ni modo tu aise kweli utandawaz una mengi
Mbarikiwe sana one of my favourite song.
Duh hiu wimbo umenikumbusha mbali sana
Vijana mrudiriye mavaliyo yazamaniilondo vazi kaka ubarikiwe kabisa vijana wengine wahoneye kwako
SAWA
Jenifa na nahati mungu azidi kuwainua zaid maana mnatoa kaz zinatubaliki
Mzidi sana kubarikiwa watumishi wa MUNGU
Nyimbo izi apana ,zilikuwa Safi wakati yetu
enzi hizo tunavaa magwanda
Ahsante sana jamani mke wangu nikupendae
2024 na bado tupo na Yesu wetu
Mimi nakupenda sana unanibariki sana nanyimbo zako
ndoa sitakuja kuuwa watu 😂bukuku amenimaliza
Mungu ni mwema namushukuru melele
Mungo amenities mbali niliitwa tasa na says na watoto wawili
Bahati Bukuku saizi kawa mzungu
Asati sana kwa wimbo zuri sana
❤❤❤Amen. Watu gotokambari
Si mbarikiwe jamen 🎉🎉🎉
Wimbo mzur
Amen and amen 🙏🙏🙏🥰🥰🥰
Kweli watu hutoka mbali ❤❤
Barikiwa dada
Niyazamani ❤❤
Them days
Mungu atkuzwe
UKO wapi Sister Jenny?🙏🙏
❤❤🙏🙏
Nice song
Amen ❤
❤❤❤
❤❤❤❤❤
wow wow
🇨🇩♥️🇨🇩♥️🇨🇩👏
❤❤❤❤
Imenibidi nije huku mjini You tube
uyu mwimbo unanigusaka sana, nauliza je uyu mwimbo nawamwaka gani?
@veronicaatieno6160
8 ай бұрын
2005
Daaaaah vipaji vitamu sana shida tu hawapo sehemu sahihi hii dini yakikristo sio kabisa
@lucydeogratias3173
3 ай бұрын
Ni kwamba
Daudi kumbuka wapi nilikutosha...inaomba kubakia wakushuka sana kila Siku, Jenifer unaona kwenye Mungu alikutosha?
@JanethMgaya-wt3ze
2 ай бұрын
Kweli ni nzuri sana
Bukuku ako wapi?
@simonmdune9066
8 ай бұрын
😂😂huoni bahati bukuku akiwa mdogo ww
Mungu asbadike leo ata kecha milele na mile❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
@miabwiza4497
8 ай бұрын
Mundesley kumuibia kwamana nimweme😂🎉