Kwahakika mum nyimbo zako zanbariki sana.Mim n Mike dancer kutoka Mombasa karibu Mombasa tena tulishawai onana Kitui Kwa mkuta wa Injili
@webermary8993 ай бұрын
Hawaelewi mpango wa Mungu kwao, hawaelewi kusudi la Mungu kwako, wanatazama kibinadamu. Usiwalaumu, siku moja wataelewa.
@christermelaka56895 жыл бұрын
Yaani dada jennifer upo vizuri nakupenda sana wimbo mzuri sana,mungu azidi kukuinua
@marymenza30435 жыл бұрын
Kama kuna muimbaji anavaa kiheshima ni ww love you mum
@julianamatiku2551
3 жыл бұрын
He
@hillarynyaata.51773 ай бұрын
Mimi ni muimbaji na pia napenda nyimbo zako sana
@Devotha-vl6hk Жыл бұрын
Wimbo uko poa Sana adi nimelia Asante jenipha😂
@salimzaidi92035 жыл бұрын
Acha wanidharau ipo siku moja waelewa amina dada jenifa nabarikiwa na wimbo huu
@robertkoinangekilelo21724 ай бұрын
Napenda wimbo zako Jennifer MUNGU akubariki sana dada
@tuikezeezra131510 ай бұрын
Mungu azidi kukuinua nyimbo zako na Maigizo Yako napenda sana.
@graceada2881 Жыл бұрын
Yani barikiwa saaaana nyimbo zako zina nibariki saana🙏🙏🙏😥👌👌👌👌👌👌👌👌🥰
@NicolausObadiaАй бұрын
Barikiwa Sana dad'a naguswa na nyimbozako dada
@josephinemuhonja7435 жыл бұрын
Hakika. Mungu analokusudi na kila mtu
@salma5016 Жыл бұрын
Always nyimbo zake ziko na message mungu akuajalie mama
@user-wf2uj5sd5t10 ай бұрын
Unabariki Sana dada kwa nyimbo zako one day wataelewa Amina
@user-rq5pj7ss1r5 ай бұрын
Asante Sana Dada yangu ktk waimbaji Tz ambao mna heshima zenu mmojawapo Ni ww Huns skendo.mavaz yako mazr.
@fridamwantandi89213 жыл бұрын
Jamani napataje huu wimbo audio napataje Safi Sana my sister hongera Sana Mungu akuinue viwango vingine nakupenda jamani
@philomenamesimesi2738 Жыл бұрын
Mungu akubariki dada Jennifer Nyimbo zako zanibariki sana mesi kutoka Kenya
@pemanuel66334 жыл бұрын
Acha wakuzarau nyimbo zako zinanibariki sana tena sana
@hagaindumule1724 Жыл бұрын
MUNGU azidi kukuinua,huwa unaimba kwa ajili ya utukufu wa MUNGU.
@selemanshidda9688 Жыл бұрын
''Let them look down upon you, but one day they will understand....'' =====Acha wakudharau lakini siku moja wataelewa...
@brigittemusondoli6139 Жыл бұрын
Huu wimbo ni mtamu kila siku hongera sana kwakazi nzuri dada Jennifer
@danielmalami27732 жыл бұрын
Hongera Sana Dada maana sio unaimba Bali unafundisha kwa anaelewa
@adelaidesimani7273 жыл бұрын
Mama CD zako tafadhali tungependa zifike Hapa Kenya.
@lilianakinyi73893 жыл бұрын
Wimbo mzuri pia napenda kuva kwako mummy
@danielkalori5373 Жыл бұрын
Hapo ni ukweli kabisa siku moja wataelewa yale Mungu anayatenda
@nicholaskhainza48025 жыл бұрын
Acha wanidharau siku moja wataelewa...Amina... Ahsante kwa kutubariki,Mungu azidi kuibariki huduma yako na maisha yako kwa jumla...lots of love from+254
@fanuelomede5206
4 жыл бұрын
Kweli siamini mungu yuko
@lylianwanyama4294 Жыл бұрын
Amen 🙏 siku moja wataelewa mungu akiniinua, huu wimbo hunifaraji sana juu mm nadharauliwa na familia yangu et nilioleka kw mtu hana shamba😭😢
@mbaejoseph8501
Жыл бұрын
Ndo hao hao baadae watakuheshimu😊 Siku moja wataelewa.💯
@lylianwanyama4294
Жыл бұрын
@@mbaejoseph8501 Amen 🙏 🙌 👏 ❤
@perissikuku34965 жыл бұрын
Wimbo wa wakati,,,nkmekuwa natoa machozi sababu ya hao wasioelewa mpango wa mungu kwangu. Wimbo wako umenifariji asante sana. Acha mungu akutumie.
Umebarikiwa dada,hajawahi kosea,nyimbo Zako zanibariki Sana,😘 much love from ±254
@user-lu1lw9py4v Жыл бұрын
Napenda nyimbo zako mama.
@danielirenge35294 жыл бұрын
nakupenda sana "dath" jennifer ngendi, wewe ni mwembaji wangu wa kikristo ambae anani bebe ki roho na nyimbo zako. mungu aku ongezee kipaji hicho. nakupenda sana.
@celestinekalima12713 жыл бұрын
This song has made my hrt blesssed ,may God keep you for long
@MariaMaria-gq4kd5 жыл бұрын
Mungu azidi kuku inua dada
@floramajoro45155 жыл бұрын
Ubarikiwe Mumy naomba cd naipataje
@wakadasawa4314 Жыл бұрын
Barikiwa mutumishi wa Mungu
@innocentmerci6698 Жыл бұрын
Muimbaji maalumu ibarikiwe kwa hii uduma
@kassidpandu98064 жыл бұрын
Sijawahi kuzichoka nyimbo zako na hasa sauti yako
@mrishoramadhani11425 жыл бұрын
Mungu tu ndiye anayejua. Kwakweli hawaelewi.
@frankkibago9610
4 жыл бұрын
Ameen
@luhekelondelwa97143 жыл бұрын
Acha wakidharau siku moja wataelewa
@barackcharles17104 жыл бұрын
Ubalikwe Sana Jenifer
@veronicakauye20874 жыл бұрын
nyimbo hii inatia moyo, barikiwa Jenifa kwa utunzi mzuri
@amandadahlin16742 жыл бұрын
Ma fille Jennifer Mgendi, j'aime bien tes chansons, ca sonne bien avec le rythme congolais. je suis congolais.
@zahaljamal45205 жыл бұрын
Babu kubwa kumekucha safi sana
@charitysamwel38235 жыл бұрын
Uwapendeee tu hata wakudharauuu siku moja wataelewaaa ubarikiweeee
@paulineitenyo11705 жыл бұрын
Barikiwa saana dada Jane kwa ujumbe poa.Umenipa moyo.
@AliJabir-xi4em3 жыл бұрын
Waliopinga maono yangu miaka hiyo Leo wananipigia magoti huu wimbo umethibitisha
@AliJabir-xi4em3 жыл бұрын
Jennifer Mgendi is a great singer
@elizamsilikasi19525 жыл бұрын
Unavaa vzr, Love you mama
@danielkalori5373 Жыл бұрын
Ujumbe mzito unaoguza moyo
@dorahndabona63945 жыл бұрын
Hongera sana dada mungu azidi kukuinua nimebarikiwa nawimbo wako 😘😘😘
@anjelineaoor41402 жыл бұрын
Achaa wanidhara siku mmoja watashaanga nimebarika aje huyu maskini ,lakini mpango wa mtu ni Yesu ndio anajua ,asante Jenifer huu wimbo nimejifunza kwa sana ubarikiwe🙏🙏🙏
@user-ux8lc2bc9j9 ай бұрын
Mungu azidi kukutuza jen
@leonardkajuna1213 Жыл бұрын
Jennifer ubarikiwe sana!
@michaelkihaga87735 жыл бұрын
Huduma zur Dada angu
@santanabii53743 жыл бұрын
Inspiring song ❤️❤️❤️acha wakudharau ,,siku moja wataelewa,,usilasimishe wakupende,keep it up dada
@nsengiyumvashabani53744 жыл бұрын
Batajua ubalikiwesana jennifer
@jeanneleya13162 ай бұрын
One of my favorite 😊
@laurenciavicent8877 Жыл бұрын
Amina mtumishi ubarikiwe sana
@celeselina98115 жыл бұрын
Ni mzuri sana
@perrywanjiru27545 жыл бұрын
Asante MUNGU kwa umbari umenitoa na Mahali unanipeleka nakunjonja tuu wewe MUNGU wangu wimbo mzili sana mawaza ya MUNGU sikama ya mwanandamu Jeremiah 29 :11
@jacklinegakii2717 Жыл бұрын
May God bless you for your song,umeniwekaguvu sana my mom ,nimesikia ww pia ni mama jackline pia mm ni jackline nice night ,keep up
@kambonesakomunsingo70693 ай бұрын
I love it It's join
@imbayihaggai52332 жыл бұрын
Dada ubarikiwe kwa kurejesha tumaini la wengi.
@paulsaimon87505 жыл бұрын
Ameen siwez lazmisha wanitambuwe,ila siku moja wataelewa wacha wanidharau hawajui nilikotoka watajuaje niendako?
@marypaul56475 жыл бұрын
napendaga sana nyimbo zako Dada yangu Mungu azd kukutumia Jen
Amen my dear sister nyimbo zako Hua sinanibariki kila nikikuona nakumbuka wema ni akiba nikitaka kukata tama kutenda mema nakumbu movie na wimbo wako wa wema ni akiba be blessed 🙏🙏🙏🙏
@Cj-od8jj4 жыл бұрын
I don't like Christian music on KZread but I love this one ❤
@katawasanga38674 жыл бұрын
Hii nzuri mungu akibariki
@farajamichael24395 жыл бұрын
Balikiwa sana dada
@alesiakayoka12035 жыл бұрын
Amina ,Uko sahihi kabisa Dada Jenipher
@happyfaniarogasiani25325 жыл бұрын
ni walewaleee ,Barikiwa sana Dada Jeni nakupenda bureeee
@julesngama25084 жыл бұрын
Ubarikiwe saaaaaaana dada mu Yesu. Mavazi yako ni top class kwa Mama mwenye wanaye mujuwa Mungu
Пікірлер: 285
Kwahakika mum nyimbo zako zanbariki sana.Mim n Mike dancer kutoka Mombasa karibu Mombasa tena tulishawai onana Kitui Kwa mkuta wa Injili
Hawaelewi mpango wa Mungu kwao, hawaelewi kusudi la Mungu kwako, wanatazama kibinadamu. Usiwalaumu, siku moja wataelewa.
Yaani dada jennifer upo vizuri nakupenda sana wimbo mzuri sana,mungu azidi kukuinua
Kama kuna muimbaji anavaa kiheshima ni ww love you mum
@julianamatiku2551
3 жыл бұрын
He
Mimi ni muimbaji na pia napenda nyimbo zako sana
Wimbo uko poa Sana adi nimelia Asante jenipha😂
Acha wanidharau ipo siku moja waelewa amina dada jenifa nabarikiwa na wimbo huu
Napenda wimbo zako Jennifer MUNGU akubariki sana dada
Mungu azidi kukuinua nyimbo zako na Maigizo Yako napenda sana.
Yani barikiwa saaaana nyimbo zako zina nibariki saana🙏🙏🙏😥👌👌👌👌👌👌👌👌🥰
Barikiwa Sana dad'a naguswa na nyimbozako dada
Hakika. Mungu analokusudi na kila mtu
Always nyimbo zake ziko na message mungu akuajalie mama
Unabariki Sana dada kwa nyimbo zako one day wataelewa Amina
Asante Sana Dada yangu ktk waimbaji Tz ambao mna heshima zenu mmojawapo Ni ww Huns skendo.mavaz yako mazr.
Jamani napataje huu wimbo audio napataje Safi Sana my sister hongera Sana Mungu akuinue viwango vingine nakupenda jamani
Mungu akubariki dada Jennifer Nyimbo zako zanibariki sana mesi kutoka Kenya
Acha wakuzarau nyimbo zako zinanibariki sana tena sana
MUNGU azidi kukuinua,huwa unaimba kwa ajili ya utukufu wa MUNGU.
''Let them look down upon you, but one day they will understand....'' =====Acha wakudharau lakini siku moja wataelewa...
Huu wimbo ni mtamu kila siku hongera sana kwakazi nzuri dada Jennifer
Hongera Sana Dada maana sio unaimba Bali unafundisha kwa anaelewa
Mama CD zako tafadhali tungependa zifike Hapa Kenya.
Wimbo mzuri pia napenda kuva kwako mummy
Hapo ni ukweli kabisa siku moja wataelewa yale Mungu anayatenda
Acha wanidharau siku moja wataelewa...Amina... Ahsante kwa kutubariki,Mungu azidi kuibariki huduma yako na maisha yako kwa jumla...lots of love from+254
@fanuelomede5206
4 жыл бұрын
Kweli siamini mungu yuko
Amen 🙏 siku moja wataelewa mungu akiniinua, huu wimbo hunifaraji sana juu mm nadharauliwa na familia yangu et nilioleka kw mtu hana shamba😭😢
@mbaejoseph8501
Жыл бұрын
Ndo hao hao baadae watakuheshimu😊 Siku moja wataelewa.💯
@lylianwanyama4294
Жыл бұрын
@@mbaejoseph8501 Amen 🙏 🙌 👏 ❤
Wimbo wa wakati,,,nkmekuwa natoa machozi sababu ya hao wasioelewa mpango wa mungu kwangu. Wimbo wako umenifariji asante sana. Acha mungu akutumie.
Amina Amina dadaangu ujumbe mzuri mno ubarikiwe sana.Wataelewaje unakokwenda wakati hawajui ulikotoka?
MUNGU azidi kukuinua nakupenda sana dada Jenifa
Dada yangu, kwa kweli unanibaliki saaana,,, Hii nyimbo sasa hahahah Asante sana kabisa
Kweri siku moja wataelewa tuu
Amina Amina siku moja wataelewa.
Tumemisi move itolee basi mimi nishabiki yako m/mungu azidi kukusimamia
Ubarikiwe.sana.dada.
Nyimbo zako zinatia faraja sana Dada zangu
Ubarikiwe jennifer kwa wimbo mzuri
Acha watuzarau lakn Munguu wetu atatutendea mambo memaa
Mungu akubariki akuzidishie kipaji chako❤❤❤
Wacha watudharau lakini tunajipa moyo na Mungu atatutendea
❤❤❤❤❤❤mutaerew tuu siku ikifika
nikweli dadaangu ujumbe nimeupenda
Super natural history never gets old nice song tulia moyo
Jenifer mgendi asee Mungu akulinde uishi miaka yoooote
I thank God for these far amenilinda kwa mengi sana
Umbo lak n zur nd maan unaon anavaa vzr
Shukurani ubarikiwe unasauri nzuri
Amen kwa Jina La yesu Kristo aliye bwana na mwokozi wetu amen
Naapenda huyu madam,anaimba akimaanisha ,sauti tamu kweli.god bls
Amen 🙏 🙏 🙏, nimebarikiwa kabisa.
Songa mbele dada Ubarikiwe
Be blessed with your educated songs
Big up jennifa mungu aendele kukubaliki
Ujumbe ni mzuri sana
Umebarikiwa dada,hajawahi kosea,nyimbo Zako zanibariki Sana,😘 much love from ±254
Napenda nyimbo zako mama.
nakupenda sana "dath" jennifer ngendi, wewe ni mwembaji wangu wa kikristo ambae anani bebe ki roho na nyimbo zako. mungu aku ongezee kipaji hicho. nakupenda sana.
This song has made my hrt blesssed ,may God keep you for long
Mungu azidi kuku inua dada
Ubarikiwe Mumy naomba cd naipataje
Barikiwa mutumishi wa Mungu
Muimbaji maalumu ibarikiwe kwa hii uduma
Sijawahi kuzichoka nyimbo zako na hasa sauti yako
Mungu tu ndiye anayejua. Kwakweli hawaelewi.
@frankkibago9610
4 жыл бұрын
Ameen
Acha wakidharau siku moja wataelewa
Ubalikwe Sana Jenifer
nyimbo hii inatia moyo, barikiwa Jenifa kwa utunzi mzuri
Ma fille Jennifer Mgendi, j'aime bien tes chansons, ca sonne bien avec le rythme congolais. je suis congolais.
Babu kubwa kumekucha safi sana
Uwapendeee tu hata wakudharauuu siku moja wataelewaaa ubarikiweeee
Barikiwa saana dada Jane kwa ujumbe poa.Umenipa moyo.
Waliopinga maono yangu miaka hiyo Leo wananipigia magoti huu wimbo umethibitisha
Jennifer Mgendi is a great singer
Unavaa vzr, Love you mama
Ujumbe mzito unaoguza moyo
Hongera sana dada mungu azidi kukuinua nimebarikiwa nawimbo wako 😘😘😘
Achaa wanidhara siku mmoja watashaanga nimebarika aje huyu maskini ,lakini mpango wa mtu ni Yesu ndio anajua ,asante Jenifer huu wimbo nimejifunza kwa sana ubarikiwe🙏🙏🙏
Mungu azidi kukutuza jen
Jennifer ubarikiwe sana!
Huduma zur Dada angu
Inspiring song ❤️❤️❤️acha wakudharau ,,siku moja wataelewa,,usilasimishe wakupende,keep it up dada
Batajua ubalikiwesana jennifer
One of my favorite 😊
Amina mtumishi ubarikiwe sana
Ni mzuri sana
Asante MUNGU kwa umbari umenitoa na Mahali unanipeleka nakunjonja tuu wewe MUNGU wangu wimbo mzili sana mawaza ya MUNGU sikama ya mwanandamu Jeremiah 29 :11
May God bless you for your song,umeniwekaguvu sana my mom ,nimesikia ww pia ni mama jackline pia mm ni jackline nice night ,keep up
I love it It's join
Dada ubarikiwe kwa kurejesha tumaini la wengi.
Ameen siwez lazmisha wanitambuwe,ila siku moja wataelewa wacha wanidharau hawajui nilikotoka watajuaje niendako?
napendaga sana nyimbo zako Dada yangu Mungu azd kukutumia Jen
Hujawah kukosea dada penda sana singida oyeeeee nzua wakupele maono zaid.
Amen my dear sister nyimbo zako Hua sinanibariki kila nikikuona nakumbuka wema ni akiba nikitaka kukata tama kutenda mema nakumbu movie na wimbo wako wa wema ni akiba be blessed 🙏🙏🙏🙏
I don't like Christian music on KZread but I love this one ❤
Hii nzuri mungu akibariki
Balikiwa sana dada
Amina ,Uko sahihi kabisa Dada Jenipher
ni walewaleee ,Barikiwa sana Dada Jeni nakupenda bureeee
Ubarikiwe saaaaaaana dada mu Yesu. Mavazi yako ni top class kwa Mama mwenye wanaye mujuwa Mungu
Ameen Ubarikiwe sana