Baba Levo Ainunua VITA ya Kumng'oa BILLNASS Kwa NANDY na Kukaa Yeye! | SHILOLE Abaki Mdomo Wazi!

Спорт

Baba Levo Ainunua VITA ya Kumng'oa BILLNASS Kwa NANDY na Kukaa Yeye! | SHILOLE Abaki Mdomo Wazi!

Пікірлер: 48

  • @uwitekamimy3431
    @uwitekamimy34313 жыл бұрын

    Ba Levo 💕🤗 hilo neno Ibiharage bisumbi inyama,, Huku 🇧🇮 tunasema hivo hivo 🤔🤣🤣🤣

  • @yusuphhusseni3337

    @yusuphhusseni3337

    3 жыл бұрын

    Haha kweli dadake

  • @Mrtop-we7co

    @Mrtop-we7co

    3 жыл бұрын

    Kwani hao si ni warundi origin yao

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72573 жыл бұрын

    Nimecheka jmn Baba Levo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lenathamagnusmagnus4601
    @lenathamagnusmagnus46013 жыл бұрын

    Bba levo asisheke na mkono walio sikia 😁😁😁

  • @saidsoldier8769
    @saidsoldier87693 жыл бұрын

    Huyu jamaa c alikuwag anaimbaga mbna alaf anahit frexh mbna kawa waajab hv

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy18123 жыл бұрын

    From 🇧🇮 Saudia bab levo Leo nimeona kama uko ndugu yangu mu burund 🤣🤣🤣🤣njo mana watu wa kigom tunajuwa san kama muko ndugu zetu🤣🤣

  • @kysredy6498
    @kysredy64983 жыл бұрын

    Babarevo hadi anaongea kirundi???? Ananifurahishaga sana ❤❤😂😂😂

  • @janetahmed6948
    @janetahmed69483 жыл бұрын

    Huo be levo njo anawachangamcha😂😂😂

  • @IsmailkboY
    @IsmailkboY3 жыл бұрын

    🔥🔥✊🏻

  • @pascoalricardompunga9414
    @pascoalricardompunga94143 жыл бұрын

    Anaongea sana Dada levo

  • @adojay5714
    @adojay57143 жыл бұрын

    Jaman baba levo umenifurahisha et ibhiharagi bhisumbinyama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤪☺️

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila30383 жыл бұрын

    Eti paja la Shishi😂😂 Baba Levo una hahaaa

  • @bakarykarekezi5909
    @bakarykarekezi59093 жыл бұрын

    Baba levo ameongea kiburundi hahahhahahahahha

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81383 жыл бұрын

    Kisamvu show za kimila 😀😃😃

  • @raymondmelele1911

    @raymondmelele1911

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @credo7837
    @credo78373 жыл бұрын

    Hahaha hatamim najiuliza katoa wapi hizo hela

  • @Mrtop-we7co
    @Mrtop-we7co3 жыл бұрын

    Hahahaha eti naanza na njegere kkkk

  • @mr_kajomba_og5719
    @mr_kajomba_og57193 жыл бұрын

    Baba levoooooooooooo

  • @pickfordjustin3432
    @pickfordjustin34323 жыл бұрын

    Ibiharage bisumba Inyama kwetu burundi na kugoma one luangge

  • @nellyathony2281
    @nellyathony22813 жыл бұрын

    Kula kujigalagaza nouma sana baba levo

  • @appollinehakim2573
    @appollinehakim25733 жыл бұрын

    Baba levo unasema kirundi wew ni mrundi

  • @niyonkoreraadronis7712
    @niyonkoreraadronis77123 жыл бұрын

    Baba levo ww ni mrundi alie potea 😀

  • @nassorokamasesela3782

    @nassorokamasesela3782

    3 жыл бұрын

    Baba levooo pambana ndugu yangu

  • @boerussian3364
    @boerussian33643 жыл бұрын

    Aaaah baba levo mwishoo chakula kijae mate mbwa wewe 🖕🖕

  • @oscarmhinda3897

    @oscarmhinda3897

    3 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃

  • @sadanassor4992
    @sadanassor49923 жыл бұрын

    Baba levo 🤣🤣🤣

  • @evaristmrope
    @evaristmrope3 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @sirbinladen786
    @sirbinladen7863 жыл бұрын

    *Habar zenu ndgu zangu naomba nikukarbishen katika masomo yetu yanayohusu tiba za Asili mbali mbali bila malipo yoyote karbuun mjifunze ingia KZread andika sir Binladen 786 yaliyomo kumvuta mpenzi, Tiba ya nguvu za kiume, kumrudisha mpenz, Mvuto wa biashara, Tiba ya mapepo na mengineo mengi karbuun mjifunze*

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane54213 жыл бұрын

    Mjue Kuna wenzenu wamelala njaa ukuu 😢

  • @vanessastafford5120
    @vanessastafford51203 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @hamiskengwa6148
    @hamiskengwa61483 жыл бұрын

    Eti ibhiharagi bhisumba inyama we hanangwa mkosa Akili Apo urabheshe

  • @eliabeliud490
    @eliabeliud4903 жыл бұрын

    Naona Kama baba levo ndo anaetazamwa na kamela Zaid kuliko wengine

  • @semeniadam8886
    @semeniadam88863 жыл бұрын

    tabia mbaya baba leo

  • @mtohasahabu8355
    @mtohasahabu83553 жыл бұрын

    Kiha hicho -ibhiharage bisumbi nyama Yaan humo humo Maharage yanazidi nyama

  • @xmaramoja362
    @xmaramoja3623 жыл бұрын

    Hili jama et Mpaja wa shishi bebe

  • @ndayushimiyerungarunga8712
    @ndayushimiyerungarunga87123 жыл бұрын

    Ibiharagi bisumbi nyama mbona kirundi

  • @janetahmed6948

    @janetahmed6948

    3 жыл бұрын

    Huko kigoma wanaongea kirundi tu

  • @souvenirweber7169

    @souvenirweber7169

    3 жыл бұрын

    Hiyo ni lugha ya kihangaza,kiha na nchi ya Rwanda na burundi lugha zinaendana nadhani ni wazungu waligawa mipaka kigoma na Ngara kusingekuwa Tanzania the some like mtwara na msumbiji.dunia ni yetu viumbe wa Mungu wanadamu waliweka mipaka tu .tulitakiwa tujigaragaze kila sehemu msemo wa baba levo

  • @mdzainb3722
    @mdzainb37223 жыл бұрын

    Mnatemea mate chakula😏😏😏😏😏😏😏

  • @khalidbalala7753
    @khalidbalala77533 жыл бұрын

    Shishi dadangu ww ni mama wa kiisilamu umeolewa nywele na shingo ziko wazi na umeolewa jistiri bc kdgo muogope Mungu hii ni dunia2 wa2 wapita utaenda kuulizwa umejistiri vipi ukiwa ulimwenguni!?

  • @kirupyseleman582

    @kirupyseleman582

    3 жыл бұрын

    Msanii

  • @mohamedmbalazi748

    @mohamedmbalazi748

    3 жыл бұрын

    Achaga wenge ww unaziba kichwa kwingine kunabaki wazi

  • @khalidbalala7753

    @khalidbalala7753

    3 жыл бұрын

    @@mohamedmbalazi748 bado kaka cjakufaham ulicho andika au nimekosea kusema bro

  • @zillawakitaa7140

    @zillawakitaa7140

    3 жыл бұрын

    @mwanashani said jamaana anamaanisha unajifunika kichwa uku ukitongozwa tu twende 😣🙄

  • @amishmuu2104
    @amishmuu21043 жыл бұрын

    Mbn huyu jipua vp

  • @yusuphhusseni3337
    @yusuphhusseni33373 жыл бұрын

    B levooo fund manyumba

  • @Userog254
    @Userog2543 жыл бұрын

    Aliesikia PILAU LA KISAMVU JMN km mimi like

Келесі