BABA LEVO AFUNGUKA BAADA YA KUPATANA NA HARMONIZE "SIJAFUTA KESI NILIMWAMBIA DIAMOND, ANILIPE FIDIA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 18
@geofreyhilmary94503 ай бұрын
Balozi amezungumzia maisha yake kuliko bidhaa anayotangaza😀😀😀
@enoszaka-tx8qw3 ай бұрын
baba levo unajua sana kazi yako 👏👏
@user-tm8lq3rc1l3 ай бұрын
Huyu ndo blue chawa mwenye akili
@AckriniSikulumbwe200016 күн бұрын
English ya levo bbhana
@omarybakunda25543 ай бұрын
Baba levo piga kazi mi naona una akili
@lodrickmwambene1333 ай бұрын
Maisha sio lazima utoke familia tajiri au msomi sana nikujuwa kujichanganya na kujitoa akili nakutanguliza Mungu baba levo na mwijaku wamefanya hivi na maisha yanaenda sio rahisi mwanaume kumeza pride yako kujishusha kwa mwanaume mwenzako all the best my brother
@chusseboywcb28083 ай бұрын
Kubali sanaaa bimanyumba unamadini sanaaa Hua unaongea kama utani kumbe umemaliza unamadini Sanaa
@walengamwamaua-ws6io3 ай бұрын
Toka huko mtafuta pesa kwa nguvu, hujamsamea mjinga babu
@ISSACCECYTIN3 ай бұрын
BABU LEVO😂😂😂😂😂
@piusnkwale3 ай бұрын
Mbona hamuulizi ishu za mikataba? waandishi bwana.kuna issue za msingi kuliko personal issues.watu wanataka kujua kuhusu hizo tiles,zinapatikana vipi wewe unauliza ishu za njaaa.dah
@mussamalogo5640
3 ай бұрын
Hawa waandishi wa kibongo wanafeli
@ramadhanimtetu3656
3 ай бұрын
Uandishi wa kisasa ni biashara Hawa waandishi wanauliza Yale wanayoona yatauza bidhaa Zao kwa wateja wao watumia MB Mitandaoni kufurahi
@Suleshmond
3 ай бұрын
Mkatataba ni baina ya watu wawili sas wew ni wangapi unataka kujua kuhusu mkatataba
@husseinkonz51923 ай бұрын
Machawa katika ubora wao 😂😂😂
@comsmkemwa26713 ай бұрын
Lugha sasa😂😂😂😂
@bahofufilm3 ай бұрын
BABU LEVO
@bagenihuduma15693 ай бұрын
B levo hao waandishi hawajakuona hiyo kola. Au wana wivu nao
Пікірлер: 18
Balozi amezungumzia maisha yake kuliko bidhaa anayotangaza😀😀😀
baba levo unajua sana kazi yako 👏👏
Huyu ndo blue chawa mwenye akili
English ya levo bbhana
Baba levo piga kazi mi naona una akili
Maisha sio lazima utoke familia tajiri au msomi sana nikujuwa kujichanganya na kujitoa akili nakutanguliza Mungu baba levo na mwijaku wamefanya hivi na maisha yanaenda sio rahisi mwanaume kumeza pride yako kujishusha kwa mwanaume mwenzako all the best my brother
Kubali sanaaa bimanyumba unamadini sanaaa Hua unaongea kama utani kumbe umemaliza unamadini Sanaa
Toka huko mtafuta pesa kwa nguvu, hujamsamea mjinga babu
BABU LEVO😂😂😂😂😂
Mbona hamuulizi ishu za mikataba? waandishi bwana.kuna issue za msingi kuliko personal issues.watu wanataka kujua kuhusu hizo tiles,zinapatikana vipi wewe unauliza ishu za njaaa.dah
@mussamalogo5640
3 ай бұрын
Hawa waandishi wa kibongo wanafeli
@ramadhanimtetu3656
3 ай бұрын
Uandishi wa kisasa ni biashara Hawa waandishi wanauliza Yale wanayoona yatauza bidhaa Zao kwa wateja wao watumia MB Mitandaoni kufurahi
@Suleshmond
3 ай бұрын
Mkatataba ni baina ya watu wawili sas wew ni wangapi unataka kujua kuhusu mkatataba
Machawa katika ubora wao 😂😂😂
Lugha sasa😂😂😂😂
BABU LEVO
B levo hao waandishi hawajakuona hiyo kola. Au wana wivu nao
mtu poa sana B levo baaaaaaaaaaaaa