BAADA YA ISRAH MWENDA NA MZAMIRU YASIN KUONGEZEWA MKATABA/AHMED ALY AMWAGA MAUA/"WATU WA MAANA"
Спорт
SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC KZread Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Пікірлер: 53
KABLA YA LIGI KUANZA TUWAFANYIE KINGA YA ALBADIRI WACHEZAJI WETU NA TUCHINJE SADAKA YA KONDOO HATA 7 AU VIROGO VINATUHUSU ❤❤❤❤❤❤ TUSICHEKE NA MAADUWI SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Viongoz please naomba mumsajili beyatt lekweiry dogo fundi wa kidunia kina chama 10 ndo sawa nayeye . yupo pale mauritania miaka yake ni 19 tu . ila msimu huu ndo MVP wa ligi kuu mauritania . simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤❤
Simba nguvu moja lazima msimu ujao tusonge mbele kwa kishindo
Mwenda ni kijana mzuri sana
SAFI SANA
Mzamiru Yasin nimchezaji mpole mpambanaji na nimchezaji anaejua nnkuwepo Simba sport nampenda
Eee mwenyez mungu ibalki simba yetu
@user-sl6tn8tn3f
Ай бұрын
❤
@salimmalaka256
Ай бұрын
AMIN THUM'MA AMIN
Kitu wakifanya cmba maneno mengiiiii! Ila wakifanya wengine kimya hatutaki na timu mbona yanga akiacha wachezaji wake hamsemi tuacheni na cmba yetu
😂😂😂😂uwi Yani ammed duuuu
Sifa ndio mpira wa kitanzania ndio maana tunafeli sana
mlete wako ambae si kibonde acheni ushabiki maandazi
Sasa huyu Israel anabaki kufanya Nini Simba
Haruki Waaa goli 😂😂😂😂
sasa jmn kapombe anafanyaj asiyepewa mkon wa kwaheri
ila huyo Babacasa ambaye hajitumi na kukimbua Hafaii Kwa Sola la Leo
Hakuna offer kwa mzamiru nani atahitaji huduma yake na ameifanyia nini simba. A cha kudanganya na sisi tunawajua wachezaji.
Kibu wa nini
Semaji semaji acha kuwasifia wachezaji wafuga majini wako macho,nakingine kipigwe kisomo Cha maana na wazee wetu ili atakae leta fyoko fyoko akione Cha moto
@ousmanesaidy8327
Ай бұрын
Umeongea point
@salimmalaka256
Ай бұрын
HAYO NDIO MAMBO YA KUFANYA
kama hakuna extension nyingine maana yake Chama ameachwa
Kina kapombe bado wapo tu?
Sifaaa nyingiii utendaji sasa mmmmmm
Siombaya
Mlikua wapi kuvunjaa mikatabaa mwishoni mwa MSIMU, ndoo maana tunasemaa UONGOZI MBOVU
@neemamshote9577
Ай бұрын
Ww hata ufanywe nn hurudhikii
@PauloMole-lv4tf
Ай бұрын
bac tukusajili wewe Hill urizike nyau wewe
@taseleli9181
Ай бұрын
@@franccoz94 kwani shida yako ni nini
Wanabaki vibonde wanaondoka wazuri,huko ni kujengaa team au ni kubomoa,mm nilidhani hao wote,ukweli n kwamba hao wachezaji 3 hawanamchango ndani ya simba mim nilidhani wanaondoka wotee ilikujenga team
@peterlawrance1391
Ай бұрын
Unapataje ujasiri wa kusema mzamiru au Israel ni wabovu ni nani mzuri ametoka?? Acheni kudharau wachezaji wa ndani
@user-zp6bf6ks6z
Ай бұрын
Huyo ni utopolo asikupe shidaa
@neemamshote9577
Ай бұрын
Tulia ww achackuropoka!
@festomathias_jnr
Ай бұрын
hao wazuri walioondoka nenda kawasajili kwenye tim yako hao wabovu wanaobaki ndo tumeona sisi wanatufaa
@kanutyusuph4846
Ай бұрын
Tena utopolo mpka mda huu hajalala anatafuta nn tuache na simba yetu nenda jangwani ukasaidiane na vyura wenzako kupga kelele
Sasa uyo mwenda wa kazi gani kaisaidia nn timu
@EsterMwalongo-ox2sk
Ай бұрын
Mwenda yuko vizuri sana hujui tu
@felixrumisha5132
Ай бұрын
unaangaliaga mpira kwanza? tuanzie hapo
@harryrapa6885
Ай бұрын
Kwani lazima ushabikie simba wew nyau