ATIWA MBARONI KWA MAUAJI YA RAFIKI YAKE NA KUMUIBIA MILIONI 61, KAMANDA AFUNGUKA ILIVYOKUWA

Mussa Khamis Bakari alimaarufu kama buda mkazi wa Temeke Dar es salaam anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumuaa Abdallah Twahir Selemeni mkazi wa Chanika baada ya kufanya tukio hilo mtuhumiwa alichukua mwili wa marehemu na kuutupa pembezoni mwa barabara itokayo Cheka kuelekea beach Kichangani baada ya hapo akachukua kadi ya benki ya marehemu na kwanyakati tofauti tofauti alianza kutoa pesa hizo
Taarifa hio imetolewa leo Julai 11,2024 na Kamanda wa Polisi Jumanne Muliro alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano kituo cha Central Polisi Dar es salaam

Пікірлер: 19

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro517423 күн бұрын

    Siku hizi rafiki yako ni Mungu wako tu.

  • @JacksonChikopole-um6kn
    @JacksonChikopole-um6kn20 күн бұрын

    Hongereni jeshi la polisi kwa kazi nzuri

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson446423 күн бұрын

    Ila polisi wakiamua hata ungejificha wapi watakupata tu

  • @user-md7bq3ew4e
    @user-md7bq3ew4e23 күн бұрын

    Pesa una nn mpaka tunatoana uhai? Ee Mungu uliye hai utusamehe sisi wenye dhambi.

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi23 күн бұрын

    Ndomana mimi sina rafiki 😂😂

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt23 күн бұрын

    TamaaZingine.SubhanaAllah.sasa.kapatanini

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s23 күн бұрын

    Rafiki staki kwa kweli

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman23 күн бұрын

    Hongera jeshi letu kwa kazi nzuri

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson966323 күн бұрын

    Chamsingi mambo ya pesa usimshilikishe rafiki wala jilani

  • @tupegigwensajigwa2629
    @tupegigwensajigwa262923 күн бұрын

    Rafiki hakika hakuna kabisa wengi ni chatu

  • @arafahhh5574
    @arafahhh557423 күн бұрын

    Mungu kamlaani kauwa pesa hajazitumia na inshalkah jela ya milele ataingia

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt23 күн бұрын

    Ukidharirisha.Allah.Anakudharirisha.pasupasu

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi23 күн бұрын

    Rafikiako die hadui wa miasha yako usimwamini sana

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda461923 күн бұрын

    Rafiki mkia wa fisi wallahi!

  • @SalmanMughal-lq5lt

    @SalmanMughal-lq5lt

    23 күн бұрын

    Innalilah.weee.rafiki.mnafiki

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter820023 күн бұрын

    Walichome hadharani

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e23 күн бұрын

    Anyongwe

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl23 күн бұрын

    Buda kweri wakala wa sweitwani huyo nae anyongwetu basi wakakutanehuko maana huyo umbwa hanaatahuruma. Unamuua rafikiyako kweri

  • @JacksonChikopole-um6kn
    @JacksonChikopole-um6kn20 күн бұрын

    Hongereni jeshi la polisi kwa kazi nzuri

Келесі