Athari ya gonjwa la hasad- almarhum muft sheikh Hemed bn Jumaa Al-Buhriy.
Жүктеу.....
Пікірлер: 21
@user-su7np6sn7s7 ай бұрын
Masha Allah nilikua nafikiria sana jinsi gani nitapata mawaaidhwa yake Mufti wetu huyu katika uhai wake embu sikiliza utamu wa swauti yake ladha anavyosoma hizo Aya za kur'ani na hadith za Mtume wetu Muhammad Sw Yani hana pupa na wala hatokwi na mishipa ya shingo kama hao wanaotutukania masheikh wetu hawa na wazee wetu kwa ujumla ALLAH akuhifadh wewe na wenzio wote waliokua pamoja na wewe na waliosoma kwako Mana hawa masheikh wa sasa wanaowazarau masheikh wakubwa kama hawa ndo wanazo sana twabia za kujiona wao ndo wanajua sanaa na kututukania masheikh wetu na kuadharau Sasa embu tumsikilizeni Almarhum Mufti wetu Emed bin Jumaa bin Emed katika wakati wake katika ubora zaid kanakwamba yupo hai ALLAH akueke peponi Mzee wetu wewe na wanzako waliopita kwako katika ubora wako ALLAH awarehemu na awape nusra IN SHA ALLAH
@universitylink10 ай бұрын
Napenda kumsikiliza anavyosoma ana sauti nzuri sana na ufasaha wa maneno
@universitylink10 ай бұрын
Allah amlipe janatul firdous nuzulaa alikuwa kigogo haswa
@rezicky Жыл бұрын
Ma Shaa Allah kisa chenye mazingatio Allah Amrahm amtilie nuru Kabir lake Ameen🤲
@khamiskikwape2239 Жыл бұрын
Allah mwingi wa Rehema amrehem sheikh wetu huyu
@lullebolle8087 ай бұрын
Shekh wetu bora
@swalehemrombo9301 Жыл бұрын
Mashallaah Allah amraham mzee wetu huyuu.!! Na wasimamizi wa kazi zake wazitafuze watuweke zaidi na zaidii
@ZQTANZANIA Жыл бұрын
Allahumma nawwir qabrahu
@umsoud33068 ай бұрын
الله يرحمه ويغفر له
@AbdallahMussa-zu2wxАй бұрын
Allah amrahamu amtie jannatul firdaus nuzula aaamiin
@ramaaman402010 ай бұрын
Shukran Shekh
@user-hb8vi9fx6g Жыл бұрын
Mwenyezi mungu AMRAHAM SHEIKH LETU MLEZI WETU
@athumanzanangwa4477 Жыл бұрын
Mashaallah, Allah Akurehemu Sheikh wetu!
@nasirshekhi6070 Жыл бұрын
Yarabb Aameen 🤲
@habibakhalfan1065 Жыл бұрын
Mashaallah_Allah_amuweke_pema_pepini
@Salimajeeb2 жыл бұрын
Mashaallh mashaallh allah amrahamu shekh letu
@mtindikoja8837 Жыл бұрын
Huyu ndio miufti Bora kuwahi kutokea Allah amrehemu
@SalmaMalik-gm6jf3 ай бұрын
My grandpa so sad tumezaliwa kukuona😢Allah ampe jannatul firdaus
Пікірлер: 21
Masha Allah nilikua nafikiria sana jinsi gani nitapata mawaaidhwa yake Mufti wetu huyu katika uhai wake embu sikiliza utamu wa swauti yake ladha anavyosoma hizo Aya za kur'ani na hadith za Mtume wetu Muhammad Sw Yani hana pupa na wala hatokwi na mishipa ya shingo kama hao wanaotutukania masheikh wetu hawa na wazee wetu kwa ujumla ALLAH akuhifadh wewe na wenzio wote waliokua pamoja na wewe na waliosoma kwako Mana hawa masheikh wa sasa wanaowazarau masheikh wakubwa kama hawa ndo wanazo sana twabia za kujiona wao ndo wanajua sanaa na kututukania masheikh wetu na kuadharau Sasa embu tumsikilizeni Almarhum Mufti wetu Emed bin Jumaa bin Emed katika wakati wake katika ubora zaid kanakwamba yupo hai ALLAH akueke peponi Mzee wetu wewe na wanzako waliopita kwako katika ubora wako ALLAH awarehemu na awape nusra IN SHA ALLAH
Napenda kumsikiliza anavyosoma ana sauti nzuri sana na ufasaha wa maneno
Allah amlipe janatul firdous nuzulaa alikuwa kigogo haswa
Ma Shaa Allah kisa chenye mazingatio Allah Amrahm amtilie nuru Kabir lake Ameen🤲
Allah mwingi wa Rehema amrehem sheikh wetu huyu
Shekh wetu bora
Mashallaah Allah amraham mzee wetu huyuu.!! Na wasimamizi wa kazi zake wazitafuze watuweke zaidi na zaidii
Allahumma nawwir qabrahu
الله يرحمه ويغفر له
Allah amrahamu amtie jannatul firdaus nuzula aaamiin
Shukran Shekh
Mwenyezi mungu AMRAHAM SHEIKH LETU MLEZI WETU
Mashaallah, Allah Akurehemu Sheikh wetu!
Yarabb Aameen 🤲
Mashaallah_Allah_amuweke_pema_pepini
Mashaallh mashaallh allah amrahamu shekh letu
Huyu ndio miufti Bora kuwahi kutokea Allah amrehemu
My grandpa so sad tumezaliwa kukuona😢Allah ampe jannatul firdaus
Tuekeeni mihadhara yake yote please
10:35
Ukati kuna elimu na Adabu huo c leo