USTADHI SAMPA KATEMA

USTADHI SAMPA KATEMA

Nitakusogezea kwa karibu maudhui ya Uislam na Mafundisho yake inshaallah.

Пікірлер

  • @MirajiOmari-k1w
    @MirajiOmari-k1w3 сағат бұрын

    Tup pamja Kuna kitu naumia sanaaa

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak65772 күн бұрын

    ماشاءالله Walipata qabuul za sheikh MHD Ayoub ALLAAH amrahamu

  • @user-yb9cl6fr6l
    @user-yb9cl6fr6l3 күн бұрын

    Hii ilikua bahari ya fani za lugha

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein41803 күн бұрын

    Yaani mawahabi wakitamka sufi wanahisi kama vile ni tusi hahaha

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e4 күн бұрын

    Wallhy siwezi kurudi tena huko katika dhikri za mtindo huu hata kwa dawa 😂😂😂 tulizifanya zama za ujahiliya allah atuongoze ktika hakki mtoke nanyi kwenye hiyo batwil ya twarika ya kisufi

  • @taurehassan7399
    @taurehassan73993 күн бұрын

    Ww ni mwerevu ucrud na Wala wenyewe hawakutaki na Wala haumo na ndomaana huwez kurud huku,hku hwaingii wanafq waingia wakweli wa nyoyo zilizotkta na Allah

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e3 күн бұрын

    @@taurehassan7399 uwiiiiiii kutakatika na allah hizo bidaa dhikri za kupandisha masheitwani kichwani alofundisha mtume gani hizo au kukitungia tuuh hiyo so sahihi kinachotakiwa watu wamuangalie mtume muhammadi sala na salamu zimfikie so kufuta mababu huo ni ujinga

  • @wazirimwanyoka7949
    @wazirimwanyoka79495 күн бұрын

    Maaaaaaashaa

  • @AllyMwazoa
    @AllyMwazoa7 күн бұрын

    Allah mrehemu shekhe Mohamad Ayubu.Msomi alieitumikia Elimu yake.Akawafaa waja na miji ktk nchi yetu

  • @MansourAbubakar-l2b
    @MansourAbubakar-l2b9 күн бұрын

    Mashaa Allah nakumbka maneno ya Babu yangu Muhamed Ayub alipata kusema tuwe moyo mmoja katika viwili wili vingi tusiwe mioyo mingi katika kiwili wili kimoja. Allah amraham Babu yangu

  • @jumadinya3796
    @jumadinya37969 күн бұрын

    ALLAH AMREHEMU SHEIKH WETU AMINA

  • @mohamedhamedseifelsawafi8309
    @mohamedhamedseifelsawafi830911 күн бұрын

    السلام عليكم ورحمة الله وبركاته. Twaomba mwenye swala yake ya tarawehe akiswalisha. Utuekee. Allaah amrehemu shkh wetu mpenzi .

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein418013 күн бұрын

    Mada hizi ni ngumu wale jamaa zetu wa kutukana na kuwatia watu ktk uzushi hawawezi kucomment kitu humu

  • @fatmamussa3061
    @fatmamussa306114 күн бұрын

    Mashallah mashallah

  • @khamisjaafar6860
    @khamisjaafar686014 күн бұрын

    اللهم صلی وسلم وبارك علیه

  • @FatinaShedafa
    @FatinaShedafa14 күн бұрын

    Maashaallah

  • @ruqyhkhames6446
    @ruqyhkhames644615 күн бұрын

    Masha Allah

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim664715 күн бұрын

    MashaAllah na uwe mkweli ukhty wangu katika matendo yako hiyo ni naswaha

  • @nailaomar4810
    @nailaomar481015 күн бұрын

    Mashaallah tabarakarahman

  • @user-ws6jq4in7q
    @user-ws6jq4in7q16 күн бұрын

    tunaomb pia daawa zirushwe kwawingi zaidi inshallah

  • @user-ws6jq4in7q
    @user-ws6jq4in7q16 күн бұрын

    maarifa ninzuri kwakilakitu mashaallha allah aidumishe kwakweli vijanawetu wazid kustafidi kwamalez boraaaa

  • @user-ws6jq4in7q
    @user-ws6jq4in7q16 күн бұрын

    asanten sana maarifa mwaka huuu umefanya vizuri sanaaaaaa

  • @user-kq8lk1cx8g
    @user-kq8lk1cx8g16 күн бұрын

    Maashaallah

  • @FatinaShedafa
    @FatinaShedafa16 күн бұрын

    Maashaallah nakipenda Sana chauo changu yaarabbi kiondoshee kiondoshee mitihani

  • @ZainabHassan-hz4no
    @ZainabHassan-hz4no16 күн бұрын

    Maashaallah m/mungu awepe wepes wt walio hudhuria

  • @user-ws6jq4in7q
    @user-ws6jq4in7q17 күн бұрын

    alhamdulilaah nafrah kuskia saut yaustaz majid

  • @HabibuHassan-r2z
    @HabibuHassan-r2z17 күн бұрын

    الله Awaongoze

  • @user-ws6jq4in7q
    @user-ws6jq4in7q17 күн бұрын

    mashallah hongeren sana ndug zangu mmefanya kaz kubwa kufkia hap

  • @GgjdhYgdjf-pc5wq
    @GgjdhYgdjf-pc5wq17 күн бұрын

    Maashallaa usisahuu na yawakina mama nadhafa piA

  • @ustadhisampakatema3812
    @ustadhisampakatema381217 күн бұрын

    Inshaallah

  • @user-rq3wn2rl8v
    @user-rq3wn2rl8v17 күн бұрын

    Maashallaah

  • @AbdallahBakari-z8f
    @AbdallahBakari-z8f17 күн бұрын

    Mashallah

  • @KuluthumuAmiry
    @KuluthumuAmiry17 күн бұрын

    Mashallah

  • @muftishaban.a.musamombasak6577
    @muftishaban.a.musamombasak657718 күн бұрын

    Mashallaah

  • @KheyriHassani
    @KheyriHassani18 күн бұрын

    Dah

  • @user-vq2du7dv7r
    @user-vq2du7dv7r19 күн бұрын

    MUNGU WAREHEMU MAITI ZETU, WAZAZI WETU,MASHEKH WETU, WATOTO WETU, NDUGU ZETU, MARAFIKI ZETU, NASISI TULIO BAKIA UTUPE MWISHO MWEMA.

  • @sirluuamaze4853
    @sirluuamaze485319 күн бұрын

    هذا جهل وغرور

  • @wazirimwanyoka7949
    @wazirimwanyoka794922 күн бұрын

    شكرا ياغالي

  • @madrassatulihyaa-ilislaami2911
    @madrassatulihyaa-ilislaami291123 күн бұрын

    Naomba namb yko ya whatsapp shkh ili niweze kuzipata zote,.....Naitwa Suleiman Ali Tengeza kutoka Mombasa

  • @ustadhisampakatema3812
    @ustadhisampakatema381222 күн бұрын

    Inshaallah mwl ±255717244882

  • @user-kq8lk1cx8g
    @user-kq8lk1cx8g23 күн бұрын

    Maashaallah

  • @abdulmalicktvabdulmalicktv3750
    @abdulmalicktvabdulmalicktv375024 күн бұрын

    Maashaaallah

  • @NurratyAbdallah-mm1he
    @NurratyAbdallah-mm1he26 күн бұрын

    Mashanllah

  • @KassimuAhamadi06
    @KassimuAhamadi06Ай бұрын

    Alluhumma mghufirie na umrehem

  • @AshuraAhmad
    @AshuraAhmadАй бұрын

    Maashallah

  • @khayrath
    @khayrathАй бұрын

    My fav madrasa

  • @Iqram-rp1ft
    @Iqram-rp1ftАй бұрын

    Allah amjaalie kauli thabit yey pamoj n sis Isha Allah 5:33

  • @AbdallahMussa-zu2wx
    @AbdallahMussa-zu2wxАй бұрын

    10:35

  • @AbdallahMussa-zu2wx
    @AbdallahMussa-zu2wxАй бұрын

    Allah amrahamu amtie jannatul firdaus nuzula aaamiin

  • @kibwanaotto6124
    @kibwanaotto6124Ай бұрын

    Allah atutunzie na Awape umri mrefu Mashekh wetu

  • @twaybaal-khalifah3632
    @twaybaal-khalifah3632Ай бұрын

    Alhamdulillah Sheikh wetu, lakini hajataja Kitabu kinaitwaje hicho

  • @darajanida
    @darajanidaАй бұрын

    kitabu kinaitwa fatawa bni uthaimin ila cna uhakika sana naejuwa ataniweka sawa isha allah

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233Ай бұрын

    Ukiwa msomi raha sana. Maana hakuna kuzungumza kugumu kama kuzungumza mbele ya mashekh wako

  • @user-kq8lk1cx8g
    @user-kq8lk1cx8gАй бұрын

    Hiii Mwalimu rashidi nimeipenda

  • @AbuuAbdillah-tv8yn
    @AbuuAbdillah-tv8ynАй бұрын

    Shukran Sana

  • @user-rm3uk3dj2y
    @user-rm3uk3dj2y2 ай бұрын

    Allah amhifadhi na adhabu zakaburi naampe pepo ya juu