ASK. DR M. KULOLA.... UJUMBE: NJIA YA UTAKATIFU (MESSAGE: THE WAY OF HOLINESS) part 1

Mkutano wa Amani uliofanyika Mwanza. Neno la Mungu kutoka kitabu cha Nabii Isaya.
(Crusade of Piece executed at Mwanza Region Tanzania. Word of God read from the book of Prophet Isiah )
Isaya 35:8
Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia ya utakatifu; wasio safi hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa ajili ya watu hao; wasafirio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea katika njia hiyo.
Isaiah 35:8
And an highway shall be there, and a way, and it shall be called The way of holiness; the unclean shall not pass over it; but it shall be for those: the wayfaring men, though fools, shall not err therein.
welcome to hear the message from God and also share with your friend.
Thanks a lot. I love you all.

Пікірлер: 5

  • @user-vz3wp7ll1v
    @user-vz3wp7ll1v Жыл бұрын

    mwalimu na mteule wa mungu ,injili hii imebadilisha mahisha yangu

  • @davismathew9414
    @davismathew94143 жыл бұрын

    Amen Amen Amen

  • @mabungopania4865
    @mabungopania48654 жыл бұрын

    Mimi naitwa mabungo, ninahifurahia injili hii,hii ndio yenyewe,hakuna kukanyaga mafuta hapa,lakini apa ni neno la utakatifu tu,full stop( )

  • @Cado_TV.

    @Cado_TV.

    4 жыл бұрын

    Hakika kweli huwezi kuibadili au kuiongezea ili ikamilike.

  • @chrissmichaelmashouda1726
    @chrissmichaelmashouda17264 жыл бұрын

    Huyu mtumishi wa MUNGU mkuu yaan jamani injili haina Kona Kona nyingi yaaaan huyu kapokelewa na YESU KRISTO mbinguni kabisa

Келесі