ARAFA NI SEHEMU SIO SIKU BAKWATA MSIPOTEZE WATU

#Tafadhali_Gusa_SUBSCRIBE_ilikupata_mazuri_yajayo

Пікірлер: 58

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73772 ай бұрын

    Allah akuhifadhi Tunafaidika na masomo yaaa Shekh Muhammad Is'haka

  • @HakimRamadan-kl1hx
    @HakimRamadan-kl1hxАй бұрын

    Twamuoba Allah akuhifazi na fitna za bakwata......aaaaamin

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37642 ай бұрын

    Darsa za sheikh Is"haaq ni zenye faida ,na ni za kielimu mno!! ALLAHU AKUHIFADHW

  • @HakimRamadan-kl1hx
    @HakimRamadan-kl1hxАй бұрын

    Maansha Allah akhiii nimekupenda kwajili ya Allah ❤

  • @JumaBacarAli
    @JumaBacarAli2 ай бұрын

    ALLAH akuifadhi shekhe katika sunna!

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike75682 ай бұрын

    shukraan shekh Allah Akulipe kher

  • @AllyAllyKupaza
    @AllyAllyKupazaАй бұрын

    Vijisent vitawauwa

  • @jumafaki2891
    @jumafaki28912 ай бұрын

    moja jumlisha moja au moja mara moja mfano ulotoa ni moja mara moja suali ikiwa hija hakuna inamaana na arafa hakuna je tusifunge arafa tunaonba jibu

  • @saynabmohammed6263

    @saynabmohammed6263

    2 ай бұрын

    Wasioenda hija wafunge

  • @ramadhanisulemani9016

    @ramadhanisulemani9016

    2 ай бұрын

    Hili ndio jibu hatuwez funga arafa kama hakuna hija

  • @HamisHango
    @HamisHango2 ай бұрын

    Arafa ni moja sio Kila watu na arafa Yao hayo walkuwa wakituambi kabla watu Sina kuja

  • @MohammedAbdulkadir-zp3ld
    @MohammedAbdulkadir-zp3ld2 ай бұрын

    Wewe shehe kama arafa ni pahala basi waambie wafuasi wafuge mwaka mzima kwasababu hapo arafa hapaondoki mwaka mzima papo siku zote .

  • @AbdallaJabal-jj1sm
    @AbdallaJabal-jj1sm2 ай бұрын

    Hela zasumbuwa mashekhe

  • @kassongokittapa7762
    @kassongokittapa77622 ай бұрын

    Hawa Masheikh Ubwabwa shida sana! Hakuna asiyejuwa kuwa Arafa ni Eneo! Suala ni hapo Arafa huwa PANAFANYIKA harakati zipi za KIIBADA, na zinafanyika SIKU GANI! Tatizo la KUKARIRI!

  • @rashidissa5887

    @rashidissa5887

    2 ай бұрын

    Wewe hata bado hajasema la maana. Huna la kutupa tukajadili.

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan14522 ай бұрын

    HADITHI NI SIKU YA ARAFA, ILA UNATUAMBIA FUNGA NI SEHEMU YA ARAFA 😂. sema hujakosea sana tu kwasababu ya ikhtilafu. FARADHI NI KUTOTENGANA NA MUFTI WA NCHI

  • @ramadhanisulemani9016

    @ramadhanisulemani9016

    2 ай бұрын

    Hoja yak dhaifu mno kaka

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    2 ай бұрын

    @@ramadhanisulemani9016 kwasababu nimejibu kwa ufupi. Huwezi kujua maana

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed62632 ай бұрын

    Hujaekewa kwa mwezi wa arafa itabidi uwafate uendano na Arafa

  • @bapetapo3997
    @bapetapo39972 ай бұрын

    اذالم ترى الهلال فسلم لرجال الراوهم بالابصار

  • @abuukauthar525
    @abuukauthar5252 ай бұрын

    mashaallah Allah akubaarik shekhe

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb2 ай бұрын

    Kwa hiyo kwa kuwa zinafanyika siku hiyo unayoifahamu, ndio kila mmoja wetu duniani afungamane na Wasaudia? Tatizo kubwa ni pungufu wa Elimu wa mzunguko wa Dunia hii unakwendaje.

  • @RIZIKIRASHIDI-te3cc
    @RIZIKIRASHIDI-te3cc2 ай бұрын

    Hakika huyu sheikh akiambiwa kwamba ni mragurwakoma itakuwa ni sahihi zaidi

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga7892 ай бұрын

    Sasa kwani bakwata ndie anae Sema au wanawazuwoni Tena ni wengi tu na sio tz nchi nyingi Sana hata huko arAbuni hukumu kama hii ya bakwata sasa wewe umepata wapi hayo

  • @azmam53
    @azmam532 ай бұрын

    Hapa hapana hoja bali ni kihoja. 😂😂😂😂😂😂 DUHH

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d2 ай бұрын

    Wewe Mzee huna elimu nenda ukasome masheghe wote wa maka Fatuwa Yao ni kwamba watu wafunge kuendana Miandamo ya nchi zao

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata1702 ай бұрын

    Acheni umadhehebu kumbe Shida ni uelewa wenu tu mdogo, Hakuna funga ya bila Siku, Kama Arafa ni eneo jee wanafunga funga ya mahali au ya Siku ile ya Arafa?

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy2 ай бұрын

    Hamna kitu hapo nenda kasome

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl2 ай бұрын

    Kwa uelewa huu shekhe tunafunga mahali au ni mushikeli ? Na shekhe nini tafsiri neno بعد زوال يوم عرف ؟ siwewe ndio unafundisha kua kunasiku ya arafa halafu arafa siosiku unatufundisha tufunge sikuyatisa na tuite saumu ya sikuya arafa swali ,nini tafsiri ya neno arafa?na kwanini iwesiku ya Tisa nasi Sikh yeyote ilimradi mtu amesimamahapo? Je, unajua kua mahujaji husimama katika viwanja vya arafa na sio sehem ya arafa ?au nena vya unalitafsirije ? Asante shekhe Mimi mwanafunzi ninae kufuatilia mafundisho yako ,kunamahali hua nashindwa kukuelewa nisaidie

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim66472 ай бұрын

    Sheikh unazungumzia Sehemu ama funga

  • @EnthusiasticAtv-gn6pb
    @EnthusiasticAtv-gn6pb2 ай бұрын

    Hawana Elimu ya mzunguko wa Dunia hii inakwendaje. Sasa mtu ambaye hana Elimu ya mzunguko wa Dunia, anawezaje kuzungumzia Usahihi wa kutekeleza Ibada ya siku ya Arafa?

  • @jumafaki2891
    @jumafaki28912 ай бұрын

    una wasiwasi na hadithi fungeni siku ya arafa au ilikua mahali pa arafa au tendo la arafa hebu tufafanulie tupate kujifunza

  • @HamisHango
    @HamisHango2 ай бұрын

    Shekhe uko vizu watu wabishi ima ujinga

  • @abdiomar6832
    @abdiomar68322 ай бұрын

    Ukupurukaji ibada ya funga haifungamani na sehemu bali inafungamana na siku hija ndo sehemu Makka Funga ni siku mzeee

  • @adamcity9441
    @adamcity94412 ай бұрын

    We mzee wacha kupoteza watu kwa ufahamu wako mbovu sasa hio Arafa ni mahali kweli lakini huwezi kwenda kusimama Arafa isipokua tarehe 9 kwa muandamo sahihi, kwa hivyo Arafa ni mahali husika kwa tarehe maalum na hio tarehe ni 9 na wala si tarehe yoyote ile . Funga ni tarehe 9 na kila nchi na muandamo wake. Na ukitaka kufunga kwasababu ya mahali basi funga mwaka mzima kwasababu Arafa hio mahali ipo mwaka mzima haiondoki.

  • @rashidissa5887

    @rashidissa5887

    2 ай бұрын

    Adam pamoja na kumpoda huyo Sheikh nakubaliana nawe kufunga ni tarehe 9 huko Macca japo kwengineko itakuwa tarehe 20, 2, 18, 8au yoyote muradi siku hiyo ni Arafa huko walioko mahujaji.Bwana Mtume nae ndie aliyetwambia siku hiyo iwe sisi wengine tumefunga

  • @MuhidiniNassor

    @MuhidiniNassor

    2 ай бұрын

    ​​@@rashidissa5887Nakukumbusha huwezi kufunga kwa tarehe za saudia na kama inatakiwa zizingatiwe tarehe za saudia kabla ya mawasiliano ya kidijitel watu wote waliofanya makosa kwani walikua wakifunga kwa kufuata miandamo si saudia sayansi haitoibadilisha mifumo ya dini yetu Mpaka qiyama kitasimama

  • @MussaMbegu
    @MussaMbegu2 ай бұрын

    Dhul Hijja si mfungo tatu bali ni mwezi wa mwisho wa mwaka wa Kiislam.

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37642 ай бұрын

    Itafikia muda hawa BAKWATA watsema wao wanaujua uislam kumshinda mtume na maswahaba zake!!au waseme wao wana uislam wao tofauti na uisilam alikokuja nao mtume صلى الله عليه وسلم! Na watu wajinga watafuata kwa hayo!! Allah ATUNUSURU na Fitna za watu wa BID'A (BAKWATA)

  • @MuhidiniNassor
    @MuhidiniNassor2 ай бұрын

    KICHWA CHA HABARI KIMEFELI KAMA KAKIANDIKA MTU WA ELIMU ARAFA NI ISMU ZAMANI NAISMU MAKANI(اسم الزمان واسم المكان)

  • @ramadhanisulemani9016

    @ramadhanisulemani9016

    2 ай бұрын

    Kichwa cha habar kipo sawa

  • @swalehabdulrahman4118
    @swalehabdulrahman41182 ай бұрын

    UNAZEEKA VIBAYA MASKIN WEE MZEE

  • @jumafaki2891
    @jumafaki28912 ай бұрын

    watu wakisimama arafa watu wa youkland washaiacha siku hiyo wao wanaielekea siku nyengine Kwa hiyo maisha wao arafa kufunga hawataidiriki Abadan yataka ufahamu hivo usijidharaulishe kiasi chote hicho kua na akili babu weye

  • @mohamedswaleh6778

    @mohamedswaleh6778

    2 ай бұрын

    Kasome acha kukurupuka mungu kasema dhaalika fadhlu llahi yuutihi manyashaau

  • @mohamedswaleh6778

    @mohamedswaleh6778

    2 ай бұрын

    Kusoma amsomi ujinga2

  • @azmam53

    @azmam53

    2 ай бұрын

    ​@@mohamedswaleh6778 Huyo babu yako ni kihoja 😂😂😂😂

  • @mohamedswaleh6778

    @mohamedswaleh6778

    2 ай бұрын

    @@azmam53 kuliko xheeh wenu wa bakwata

  • @mohamedswaleh6778

    @mohamedswaleh6778

    2 ай бұрын

    @@azmam53 ataka waislamu wenzake wafungwe kix nkutangaz mwez uyo ni muislamu au ni walioumuu

  • @RashidMohammed-us9ny
    @RashidMohammed-us9ny2 ай бұрын

    Wewe mzee bado ujinga unto. Knew tusikilize vyema tunacho kifundisha halafu ndio ujibu. Macho yako hakubali unacho kisema

  • @jumafaki2891
    @jumafaki28912 ай бұрын

    inasuniwa kufunga siku ya arafa na sio arafa arafa ni sehemu na husinama watu he wazimu si kazi kukutokea kazi ni kupia huwo wazimu hivo Kuna mtu na akili yake anaekufahamu ama kama una wanafuzi basi wote ni vichaa kama wewe

  • @abdimjema6025

    @abdimjema6025

    2 ай бұрын

    Unatukana mashekh? Hata kama kakosea, je, hiyo ndio lugha sahihi? Hebu rudi kwanza ukajifunze nidhamu ndugu ndipo uje kukosoa. Hata kama uko sahihi huwezi kupata thawabu kwa lugha hiyo! Wallahu aalam.

Келесі