Appy - Sepa (Official Video)

Listen to Appy on
Spotify: open.spotify.com/artist/22CP7...
Apple music: / sepa-single
Itunes: / sepa-single
Boomplay: www.boomplay.com/lyrics/11550...
Audiomack: audiomack.com/appy-28/song/mr...
Follow Appy on
Instagram: / appy_tz
Threads: www.threads.net/@appy_tz
Tiktok: / appytzofficial
#Appy #Sepa
Penzi gani la kushare
Hadhrani la teketea
Ila we you don't care
Ila we you don't care
Yani nakosa Amani
Nyumbani hatuelewani
Unadate nakina nanii
Na unajionyesha
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh yeah
Zunguka magharibi kusini
Kote hutopata kama mi
Amini kwamba
Amini kwamba
Uligeuka mkoloni
Kitanzi shingoni
Ya allah b
Ya allah b
Hivyo hivyo nami nitapata
Penzi sio naleta utata
Mi mwenzio nimechapa lapa
Oh no
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh
Audio produced by Ibrah Jacko
Video Directed by Director Traveller
Appy Booking Info:
happybesttz@gmail.com

Пікірлер: 826

  • @claudyjrjunior8610
    @claudyjrjunior8610 Жыл бұрын

    Kama umeirudia hii nyimbo mara nyingi kama mimi like hapa .🙌

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    Shukran sana kwa support 🙏🙏🙏

  • @ichishinzeh8279

    @ichishinzeh8279

    Жыл бұрын

    @@appytz boomplay mbona haipo?

  • @Tanzania..cashauro

    @Tanzania..cashauro

    Жыл бұрын

    🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 team OMANI 🙏 wapi huku Mambo NI 🔥🔥🔥🔥

  • @parizonofficial4808

    @parizonofficial4808

    Жыл бұрын

    Nimeirudia San huyu mremb anajua kuimba

  • @johnmagambo4444

    @johnmagambo4444

    Жыл бұрын

    Imba wewe ambayo haijarudiwa 🙄@claudy jr

  • @najmahamisi3511
    @najmahamisi3511 Жыл бұрын

    Wangapi tumerudiarudia bwana sauti yake kama Rihanna bwana tz tupo juu sana huu ni mwamba mwengine sauti nzuri hatari sana🤩🤩

  • @rehemalugano2694

    @rehemalugano2694

    Жыл бұрын

    Kweli nimeipenda♥️♥️♥️♥️🥰🥰

  • @asiamlowe9693

    @asiamlowe9693

    Жыл бұрын

    Tupo wengi kama namuona rihanna

  • @valaryceyne4024

    @valaryceyne4024

    Жыл бұрын

    Sema Africa,ata sisi wakenya twa mpenda 🇰🇪👌🔥🔥🔥❤️

  • @faithaction2505

    @faithaction2505

    Жыл бұрын

    Tony braxton

  • @adamhashimu4462

    @adamhashimu4462

    Жыл бұрын

    Dah sjui mara ngap haish utamu

  • @leopord1512
    @leopord1512 Жыл бұрын

    Aseeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 sijawah comment kwa. Any of the musicians tz. ! But. This. Lady. Litt

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @adamutilar3147
    @adamutilar31475 күн бұрын

    Daah hii nyimbo kaimba huyu dada! Kuanzia leo mim ni fany wake forever

  • @florianscarion5085
    @florianscarion5085 Жыл бұрын

    Umenikumbusha enzi za Rihana kwenye ubora wake , so Unic keep up.

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @bwf-TV
    @bwf-TV9 ай бұрын

    Hivi Hawa ROCK STAR hawakuoni au unafiki tu dah!!!more much pain

  • @josephchuwa9884
    @josephchuwa9884 Жыл бұрын

    * ) Sauti Ina mamlaka sana Natoa 💯 * ) Mdudo Ni size Natoa 💯🔥 * ) Video 📸 Ni size pia Natoa 💯+50 # ) Tuje Kwa msanii apo ndo nyumbani Kwa vyote ivyo Natoa 1000 kwake 🔥 # ) Namuona mbali sana Kwangu na Huwa Nina Mamlaka flani ya kuona mbele sana Kwa level yangu Maisha 🔭 Namuona mbali sana #@ Nandy Chukua Dhahabu hii isije dondoka Kwa Maharamia.. ..

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @miriamnoah5887
    @miriamnoah5887 Жыл бұрын

    Kuna watu wanaiba na hawaringi aiseeee.. The voice 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @serengetimediacentre
    @serengetimediacentre Жыл бұрын

    Unajua sana ishi na hii melody

  • @mahengebreezy8665
    @mahengebreezy8665 Жыл бұрын

    daa umeupigaa mwingii nilijua mambele kumbe kibongo kibongo ❤️‍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @radjmanofficiel1062
    @radjmanofficiel1062 Жыл бұрын

    A nother one tz it's something alse but belive me she will go so fore way come from comoros fan 1one

  • @eliasrevocatus1299
    @eliasrevocatus1299 Жыл бұрын

    Nimeusikiliza clouds tv nikaamua kuutafuta huku KZread daah bonge la ngoma ase wimbo bora kwa January hii appy umetisha sana

  • @johnmandog5636
    @johnmandog5636 Жыл бұрын

    Wanasemaje. Et nyimbo nkali 2na like wap? Manzee

  • @lilyg2134
    @lilyg2134 Жыл бұрын

    Nandy angemchukuwa huyu! Sio muimba qaswida

  • @briankibaki9630
    @briankibaki9630 Жыл бұрын

    Hii nayo iko next level....super 🔥 hot

  • @isabellabalinde3153
    @isabellabalinde3153 Жыл бұрын

    WEEE DADA WEWE NIMEKUITA KWA HERUFI KUBWA KIUFUPI UNAJUA KUIMBA MWEEEE BONGE MOJA LA HIT

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @lusekelomnange
    @lusekelomnange Жыл бұрын

    Nyimbo nzuri na nimependa kwa utofauti alikuja nao katoka katika zile style za wadada wengi wasanii wetu second Video ni nzuri sana rangi nakila kitu big up KWETU STUDIO'S....

  • @marymakoye990
    @marymakoye990 Жыл бұрын

    Appy I real like sepa kiukweli everdaya nasikiliza keep it msukuma mwenzangu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @joshuamgeni54
    @joshuamgeni54 Жыл бұрын

    Aisee mnyamwezii wangu umetisha sana sana nilivyoskia kwa ledio nilijua Rihana kaimba kiswahili big up sister God bless you

  • @zahraaabdulmark9407
    @zahraaabdulmark9407 Жыл бұрын

    💯🥰

  • @user-ie1zv3vc3j
    @user-ie1zv3vc3j9 ай бұрын

    We muda ukowapi nimupe hata wuwa Apyy

  • @wisemelodytz589
    @wisemelodytz589 Жыл бұрын

    Asee ni nomaa🔥

  • @arnoldshirima6093
    @arnoldshirima6093 Жыл бұрын

    Hio voice bongo haipo 😍😍tumezoea kusikia kwa kina @juliana kanyomozi mmmmh huyu dada n wamoto sana aisee. Nimeipenda voice na so mchezo ❤❤❤❤

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @musamowino3674
    @musamowino3674 Жыл бұрын

    Huyu dem ni level ya juu sana

  • @timothyelias5938
    @timothyelias5938 Жыл бұрын

    😳❤️👊🏼💪

  • @selemanishabani126
    @selemanishabani126 Жыл бұрын

    Kuna sehemu niliskia kionjo Cha huu wimbo, nikautafta jina sikuupata, Leo kama bahat nmeipata aiseee ni bonge Moja la ngoma, huyu dada akipewa Nafasi nzuri namuona mbali sana, bonge Moja la ngoma

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @leopord1512
    @leopord1512 Жыл бұрын

    ( mixture. Indian rhythm mix. Kwa mbal ikiwa. Ina anza. Then. Comes. Spain rhythm mix. Then kanipeleka kwa shakiraaa sasa. 🔥🔥😩😩😩😩❤️❤️❤️this song aseeeee. Unajua. Mamy 😩😩❤️u 🔥 u lit

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @richardommy1610
    @richardommy1610 Жыл бұрын

    Demi lavato wa bongo.....anajua mpaka kapitilizaaa....appy kajaliwa sauti🥰🥰🥰

  • @kelvincharles4998
    @kelvincharles4998 Жыл бұрын

    Ulikuwa umejificha wapi mama hutupa hizi burudani😍, you are next levels Appy🔥🔥🙌🏽🙌🏽

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    😍😍😍

  • @Tanzania..cashauro

    @Tanzania..cashauro

    Жыл бұрын

    @@appytz wewe ni mtanzania au vipi maana sijakujua @sns sauti na simulizi wahi huku utujubu huyu Dada yako wapi 🤣🤣🤸🤸 Ila nyimbo ❤️❤️

  • @fredynigga6948
    @fredynigga6948 Жыл бұрын

    🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨

  • @mrsami396
    @mrsami396 Жыл бұрын

    Rihana Tz❤❤

  • @michaelthomas5002
    @michaelthomas5002 Жыл бұрын

    usipo hama kwenye njia zako mara amapiano maara cijui singeri kuna siku utakua mtanzania wa kwanza kutuletea Grammy

  • @farhiasuleiman388
    @farhiasuleiman388 Жыл бұрын

    nilisearch hii nyimbo qwa kidhunguuu jamani daah🤣🤣🤣🤣her vocal is something else💜

  • @masmasonick6786
    @masmasonick6786 Жыл бұрын

    Asa hii ndo inatakiwa bongo muwe wakali wengiii we ni mkali mnoo #happy

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    Nashukuru sana

  • @masmasonick6786

    @masmasonick6786

    Жыл бұрын

    ​@@appytz napenda Sana unavyoichezesha vocal Yako usikate tamaa mafanikio yapo mbele kidogo tu ongeza juhudi

  • @jessieburton1342
    @jessieburton1342 Жыл бұрын

    🙌🏾🙌🏾🥰

  • @anajescaludani2384
    @anajescaludani2384 Жыл бұрын

    All the best ssy unafanya mzk mzur

  • @Dhamirs
    @Dhamirs Жыл бұрын

    Kama umetizama hii video kali na uko Zenji pitia hapa weka like tujuane. 👌🏽👌🏽👌🏽

  • @valaryceyne4024

    @valaryceyne4024

    Жыл бұрын

    Mimi 🥰🥰🥰👌

  • @Dhamirs

    @Dhamirs

    Жыл бұрын

    @@valaryceyne4024 Safi sana.

  • @gracejoel354

    @gracejoel354

    Жыл бұрын

    Hatari huyu dada jamani zuchuuuuu andele tu kwikwi zake....😂😂

  • @Dhamirs

    @Dhamirs

    Жыл бұрын

    @@gracejoel354 Kila mmoja ana uzuri wake. Kamwe hawawezi kufanana na ndio utamu wa sanaa.

  • @34wolfman74
    @34wolfman74 Жыл бұрын

    From tik tok here we go

  • @muhidinmussa
    @muhidinmussa Жыл бұрын

    Gud music bibie...tupo pamoja na wew

  • @goldenjunior_tz
    @goldenjunior_tz Жыл бұрын

    Unajua sana my dear

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 Жыл бұрын

    Dar unajuwa 🙌

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Жыл бұрын

    Motoooooo moootoooo🔥🔥🔥

  • @user-eq7lt2jz8u
    @user-eq7lt2jz8u11 ай бұрын

    Talented kubwa sanaaa❤️❤️👏👏👏👏👏

  • @tumsifulema2005
    @tumsifulema2005 Жыл бұрын

    She is ahead of her time...

  • @user-vc3zb1qs3p
    @user-vc3zb1qs3p8 ай бұрын

    Dada wewe ni Tanzania one kwa wadada unajuwa sanaaa napendaa saaaana nyimbooo zakooo kulikooo nyimboo yoyote ileee

  • @fredmashauri210
    @fredmashauri210 Жыл бұрын

    Huyu Demu ni levo zakina Terms kwa Africa asee apush aende mbalii trust me

  • @adamhashimu4462

    @adamhashimu4462

    Жыл бұрын

    Fact

  • @jacksonitembe6512
    @jacksonitembe6512 Жыл бұрын

    unajua sana kontawa kafanya nipate hili banga

  • @mariamkhattak1557
    @mariamkhattak1557 Жыл бұрын

    Yaan anavyoimba utasema haimbi kiswahili uwii hongera dada una saut

  • @zegamblersmusicteam2035
    @zegamblersmusicteam2035 Жыл бұрын

    Hii Ngoma ni very classic 💥

  • @michedwin3213
    @michedwin3213 Жыл бұрын

    Sepa sepa sepa🥁🥁..wimbo inabamba wachatuu…

  • @bahi_bay24
    @bahi_bay24 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @oscarmhinda3897
    @oscarmhinda3897 Жыл бұрын

    Nyie huyu dada ni gifted pure saut inapenya kaza Rihanna hv♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏

  • @leopord1512

    @leopord1512

    Жыл бұрын

    Aseeee sio poa. Mm sio ww ku listen the same song repeatedly 😩😩but. For this. Song. I did. It Aseee and. The rhythmical ina tugusa sana

  • @AshelChija

    @AshelChija

    10 ай бұрын

    Umeisikia ee?? Rihanna mtupu

  • @mwanaidhassan229
    @mwanaidhassan229 Жыл бұрын

    Ata favo akufikii wewe n nouma

  • @manfredsanga5226
    @manfredsanga5226 Жыл бұрын

    Bonge la ngoma nimeikubali sana much respect

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    shukrani sana🙏🙏🙏

  • @dinnaerick

    @dinnaerick

    Жыл бұрын

    Lov upo na saut nzur nmepambana sana kuitafta hii nymbo❤❤

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey98327 ай бұрын

    Afadhali umekuja kutuokoa mana tumechoka na machapati huu ndo mziki tuloumiss kipindi sijui ulikuwa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @ramayonline2281
    @ramayonline228111 ай бұрын

    Namsikia Shakira yule wa Mamtoni humu ndani🎈🙌✅

  • @muhidinmussa
    @muhidinmussa Жыл бұрын

    Sepa sepa

  • @organia1705
    @organia1705 Жыл бұрын

    Dada Appy nataka zile mboga mboga nimezimis big up sana tupo pamoja

  • @selebeka5825
    @selebeka5825 Жыл бұрын

    Rihana mtupu uyu dada

  • @akoth679
    @akoth6796 ай бұрын

    Listened to "Watu Feki" then decided to check out her whole talent❤

  • @vanny_icon
    @vanny_icon Жыл бұрын

    🔥🙌 kibabe Sana 🏃🏽‍♂️

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    shukrani sana

  • @w7mnyamachinga669
    @w7mnyamachinga669 Жыл бұрын

    hii ngoma remix yake hapite marioo moto utawaka ngoma kali sana

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @jamalabdulkadir7067
    @jamalabdulkadir7067 Жыл бұрын

    hii nyimbo nzuri natamani uje kuwa maarufu kama zuchu

  • @peninahnishimwe9797
    @peninahnishimwe9797 Жыл бұрын

    Respect sister uko na sauti tamu,,🔥🔥🔥🔥👌👌👌🙌🙌🙌

  • @selemanishabani126
    @selemanishabani126 Жыл бұрын

    Dada ni Mtanzania au

  • @esterjimmy7573
    @esterjimmy7573 Жыл бұрын

    Appy upo vizuri sanaa...keep it up

  • @aminarajabu5795
    @aminarajabu579510 ай бұрын

    Unaimba kama mambali hakuna mdada mtanzania anayekufikia HAKUNA hata mmoja.

  • @chipdady90
    @chipdady909 ай бұрын

    Dadek ,vocal inanguvu balaa unyamwezi kam wotee ,huu upekee utakupeleka mbali.AMIN KWAMBAAAAAA ,hongeraaa superstaaar wangu.

  • @floriansambagi3952
    @floriansambagi3952 Жыл бұрын

    Ule msemo wa funika kombe mwanaharamu apie sikuhizi ANALIFUNUA time will tell bonge la video vocol safi RIHANNA Mnen✔️

  • @valaryceyne4024
    @valaryceyne4024 Жыл бұрын

    Uuuuuuuh 🔥❤️❤️🥰 umeweza mama mm Masha'Allah 😍 much love from 🇰🇪🇰🇪

  • @ashelsamuel5569
    @ashelsamuel556910 ай бұрын

    Appy utafika mahali ambapo hutaamini kuwa ni wewe unajua sana wewe,kuanzia leo cmu yangu itakuwa na nyimbo zako tu

  • @wisemelodytz589
    @wisemelodytz589 Жыл бұрын

    Oyaa Appy kama tuko mbele vile iyo melody na sauti🔥🔥🔥

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    Shukrani sana 🙏🙏🙏

  • @wisemelodytz589

    @wisemelodytz589

    Жыл бұрын

    @@appytz piga kazi wana tushakuelewa

  • @wisemelodytz589

    @wisemelodytz589

    Жыл бұрын

    @@appytz issue za uandishi wee nicheki tu

  • @janethphilipo1532
    @janethphilipo1532 Жыл бұрын

    Anaimba vizuri sana

  • @paskolsellinorman1786
    @paskolsellinorman1786 Жыл бұрын

    Kazi nzuri sana appy

  • @jelinamasha1365
    @jelinamasha1365 Жыл бұрын

    Mimi Nimerudia

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 Жыл бұрын

    Usikate tamaaa we kajaga utafika mbali sana mziki wako saundi yako iko sokoni.unyama

  • @chiefnyanda9446
    @chiefnyanda9446 Жыл бұрын

    Kazi mzuli Dada umejitaidi

  • @johanesdeogratias5106
    @johanesdeogratias510611 ай бұрын

    Huyo mtoto angekuwa WCB hakika hii nchi pangechimbika I Love uu

  • @beatricepatrick5576
    @beatricepatrick5576 Жыл бұрын

    Woooow song nzr sana kaza budi dada angu...very nice🙏🙏🙏🙏🙏

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    Thank you 🙏🙏🙏

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 Жыл бұрын

    Gd Music 🎶 🎵 👌

  • @johnsantos8682
    @johnsantos8682 Жыл бұрын

    A song from 2035 💥

  • @johnyagat973
    @johnyagat973 Жыл бұрын

    I believe we ni msanii mzuri kwasababu unasaundi kiintaneshino tumezoea wengi mastaa wanao ibuka wanakuja na kuimba kwa kufanana fanana ila wewe at spein wanakumanya

  • @enockmeck2860
    @enockmeck2860 Жыл бұрын

    Ayra star kabisa🔥🔥🔥

  • @ashkomhan6959
    @ashkomhan6959 Жыл бұрын

    Kama mnajua huyu sista anasaut kama rihana kamahamuamin sikiliza wimbo wa rehana diamond❤❤

  • @pintymelodytz913
    @pintymelodytz913 Жыл бұрын

    Ndugu Yangu ❤️🙌🙌🙌🙌

  • @user-yk1ug4bq7c
    @user-yk1ug4bq7cАй бұрын

    Appy upo na talent..watu wakuone basi

  • @sosokadegiant7124
    @sosokadegiant7124 Жыл бұрын

    Whoooaaa malaika wetu kutok rock city is more than talent go on worldwide 🌎

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    Thanks

  • @jastinimushi5992
    @jastinimushi5992 Жыл бұрын

    Ngoma kali kila kitu kikalii uko vizuri sauti unayo 🇹🇿

  • @issakhalfa2291
    @issakhalfa2291 Жыл бұрын

    Dada noma uyu ni rijua mkenya wakat naanza kusikia wakat wa mwanzo n livyo ona Tanzania dar n mefurah san kua na mtu km uyu Tz ❤❤❤

  • @djmikeofficiallion6188
    @djmikeofficiallion618811 ай бұрын

    nakupenda tu bure sauti nayo umebarikiwa jameni..keep up the good work

  • @modestajohansen702
    @modestajohansen702 Жыл бұрын

    Dah we dada MUNGU azidi kubariki kazi zako, navofahamu ni kuwa watu waliopitia msoto wa maisha MUNGU Huwa amewaandalia furaha. Keep moving appy wasukuma tupo juu🤗

  • @mariamusiraju3289
    @mariamusiraju3289 Жыл бұрын

    Nimerudia had nimerudia tena, mashaallha

  • @appytz

    @appytz

    Жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @chalesikaliwaisaya4542
    @chalesikaliwaisaya4542 Жыл бұрын

    Sauti nzuri mpaka mwangu kasinzia kweli

  • @misochmarva8668
    @misochmarva8668 Жыл бұрын

    Ugandan🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 gather for this gud taste for music ❤❤❤

  • @mgasa2020
    @mgasa2020 Жыл бұрын

    Halooo nimetoka kuisikia efm nikaja KZread sitaki achia utamu wa wimbo yaani kama Beyonce I like the way you sing

  • @janelebayo6161
    @janelebayo6161 Жыл бұрын

    Let's support her jamn nimempenda bure ana sauti nzuri kama yangu😉😉😉😉 ila duh yuko vzr

  • @tumsifulema2005
    @tumsifulema2005 Жыл бұрын

    Hii nyimbo kila siku ni mpya..she is ahead of her time,hii level ya lady gaga

  • @freemaboy8326
    @freemaboy8326 Жыл бұрын

    👊👊🔥🔥🔥👌👌🇧🇮🇧🇮 Wakupe ulinzi

  • @issabrocleantz
    @issabrocleantz Жыл бұрын

    Nimeitafuta sana hii nyimbo 🔥🔥 dada unajua 🎶👑🙌🔥 Rihanna tz

  • @jamilajamila9682
    @jamilajamila968211 ай бұрын

    Ooh voice 😍 mashallah 😍 kadogo kama shakira saudi yake🎉sauti ni nzuuuuuri mnoo huyu tunampa 10 starts 🌟 anastahili kwakweli big thumb 👍🏽 ❤