Appy - Sepa (Official Video)
Listen to Appy on
Spotify: open.spotify.com/artist/22CP7...
Apple music: / sepa-single
Itunes: / sepa-single
Boomplay: www.boomplay.com/lyrics/11550...
Audiomack: audiomack.com/appy-28/song/mr...
Follow Appy on
Instagram: / appy_tz
Threads: www.threads.net/@appy_tz
Tiktok: / appytzofficial
#Appy #Sepa
Penzi gani la kushare
Hadhrani la teketea
Ila we you don't care
Ila we you don't care
Yani nakosa Amani
Nyumbani hatuelewani
Unadate nakina nanii
Na unajionyesha
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh yeah
Zunguka magharibi kusini
Kote hutopata kama mi
Amini kwamba
Amini kwamba
Uligeuka mkoloni
Kitanzi shingoni
Ya allah b
Ya allah b
Hivyo hivyo nami nitapata
Penzi sio naleta utata
Mi mwenzio nimechapa lapa
Oh no
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sina habari na we
Ni bora niseme
Eeh bhana mi sielewi
Eeh bhana mi sielewi
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh
Sepa sepa sepa
Moyo umeutesa sana inatosha
Sepa sepa sepa sepa sepa
Wouh
Audio produced by Ibrah Jacko
Video Directed by Director Traveller
Appy Booking Info:
happybesttz@gmail.com
Пікірлер: 826
Kama umeirudia hii nyimbo mara nyingi kama mimi like hapa .🙌
@appytz
Жыл бұрын
Shukran sana kwa support 🙏🙏🙏
@ichishinzeh8279
Жыл бұрын
@@appytz boomplay mbona haipo?
@Tanzania..cashauro
Жыл бұрын
🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲 team OMANI 🙏 wapi huku Mambo NI 🔥🔥🔥🔥
@parizonofficial4808
Жыл бұрын
Nimeirudia San huyu mremb anajua kuimba
@johnmagambo4444
Жыл бұрын
Imba wewe ambayo haijarudiwa 🙄@claudy jr
Wangapi tumerudiarudia bwana sauti yake kama Rihanna bwana tz tupo juu sana huu ni mwamba mwengine sauti nzuri hatari sana🤩🤩
@rehemalugano2694
Жыл бұрын
Kweli nimeipenda♥️♥️♥️♥️🥰🥰
@asiamlowe9693
Жыл бұрын
Tupo wengi kama namuona rihanna
@valaryceyne4024
Жыл бұрын
Sema Africa,ata sisi wakenya twa mpenda 🇰🇪👌🔥🔥🔥❤️
@faithaction2505
Жыл бұрын
Tony braxton
@adamhashimu4462
Жыл бұрын
Dah sjui mara ngap haish utamu
Aseeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 sijawah comment kwa. Any of the musicians tz. ! But. This. Lady. Litt
@appytz
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
Daah hii nyimbo kaimba huyu dada! Kuanzia leo mim ni fany wake forever
Umenikumbusha enzi za Rihana kwenye ubora wake , so Unic keep up.
@appytz
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
Hivi Hawa ROCK STAR hawakuoni au unafiki tu dah!!!more much pain
* ) Sauti Ina mamlaka sana Natoa 💯 * ) Mdudo Ni size Natoa 💯🔥 * ) Video 📸 Ni size pia Natoa 💯+50 # ) Tuje Kwa msanii apo ndo nyumbani Kwa vyote ivyo Natoa 1000 kwake 🔥 # ) Namuona mbali sana Kwangu na Huwa Nina Mamlaka flani ya kuona mbele sana Kwa level yangu Maisha 🔭 Namuona mbali sana #@ Nandy Chukua Dhahabu hii isije dondoka Kwa Maharamia.. ..
@appytz
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
Kuna watu wanaiba na hawaringi aiseeee.. The voice 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Unajua sana ishi na hii melody
daa umeupigaa mwingii nilijua mambele kumbe kibongo kibongo ❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
A nother one tz it's something alse but belive me she will go so fore way come from comoros fan 1one
Nimeusikiliza clouds tv nikaamua kuutafuta huku KZread daah bonge la ngoma ase wimbo bora kwa January hii appy umetisha sana
Wanasemaje. Et nyimbo nkali 2na like wap? Manzee
Nandy angemchukuwa huyu! Sio muimba qaswida
Hii nayo iko next level....super 🔥 hot
WEEE DADA WEWE NIMEKUITA KWA HERUFI KUBWA KIUFUPI UNAJUA KUIMBA MWEEEE BONGE MOJA LA HIT
@appytz
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
Nyimbo nzuri na nimependa kwa utofauti alikuja nao katoka katika zile style za wadada wengi wasanii wetu second Video ni nzuri sana rangi nakila kitu big up KWETU STUDIO'S....
Appy I real like sepa kiukweli everdaya nasikiliza keep it msukuma mwenzangu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Aisee mnyamwezii wangu umetisha sana sana nilivyoskia kwa ledio nilijua Rihana kaimba kiswahili big up sister God bless you
💯🥰
We muda ukowapi nimupe hata wuwa Apyy
Asee ni nomaa🔥
Hio voice bongo haipo 😍😍tumezoea kusikia kwa kina @juliana kanyomozi mmmmh huyu dada n wamoto sana aisee. Nimeipenda voice na so mchezo ❤❤❤❤
@appytz
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
Huyu dem ni level ya juu sana
😳❤️👊🏼💪
Kuna sehemu niliskia kionjo Cha huu wimbo, nikautafta jina sikuupata, Leo kama bahat nmeipata aiseee ni bonge Moja la ngoma, huyu dada akipewa Nafasi nzuri namuona mbali sana, bonge Moja la ngoma
@appytz
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
( mixture. Indian rhythm mix. Kwa mbal ikiwa. Ina anza. Then. Comes. Spain rhythm mix. Then kanipeleka kwa shakiraaa sasa. 🔥🔥😩😩😩😩❤️❤️❤️this song aseeeee. Unajua. Mamy 😩😩❤️u 🔥 u lit
@appytz
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
Demi lavato wa bongo.....anajua mpaka kapitilizaaa....appy kajaliwa sauti🥰🥰🥰
Ulikuwa umejificha wapi mama hutupa hizi burudani😍, you are next levels Appy🔥🔥🙌🏽🙌🏽
@appytz
Жыл бұрын
😍😍😍
@Tanzania..cashauro
Жыл бұрын
@@appytz wewe ni mtanzania au vipi maana sijakujua @sns sauti na simulizi wahi huku utujubu huyu Dada yako wapi 🤣🤣🤸🤸 Ila nyimbo ❤️❤️
🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨🚨
Rihana Tz❤❤
usipo hama kwenye njia zako mara amapiano maara cijui singeri kuna siku utakua mtanzania wa kwanza kutuletea Grammy
nilisearch hii nyimbo qwa kidhunguuu jamani daah🤣🤣🤣🤣her vocal is something else💜
Asa hii ndo inatakiwa bongo muwe wakali wengiii we ni mkali mnoo #happy
@appytz
Жыл бұрын
Nashukuru sana
@masmasonick6786
Жыл бұрын
@@appytz napenda Sana unavyoichezesha vocal Yako usikate tamaa mafanikio yapo mbele kidogo tu ongeza juhudi
🙌🏾🙌🏾🥰
All the best ssy unafanya mzk mzur
Kama umetizama hii video kali na uko Zenji pitia hapa weka like tujuane. 👌🏽👌🏽👌🏽
@valaryceyne4024
Жыл бұрын
Mimi 🥰🥰🥰👌
@Dhamirs
Жыл бұрын
@@valaryceyne4024 Safi sana.
@gracejoel354
Жыл бұрын
Hatari huyu dada jamani zuchuuuuu andele tu kwikwi zake....😂😂
@Dhamirs
Жыл бұрын
@@gracejoel354 Kila mmoja ana uzuri wake. Kamwe hawawezi kufanana na ndio utamu wa sanaa.
From tik tok here we go
Gud music bibie...tupo pamoja na wew
Unajua sana my dear
Dar unajuwa 🙌
Motoooooo moootoooo🔥🔥🔥
Talented kubwa sanaaa❤️❤️👏👏👏👏👏
She is ahead of her time...
Dada wewe ni Tanzania one kwa wadada unajuwa sanaaa napendaa saaaana nyimbooo zakooo kulikooo nyimboo yoyote ileee
Huyu Demu ni levo zakina Terms kwa Africa asee apush aende mbalii trust me
@adamhashimu4462
Жыл бұрын
Fact
unajua sana kontawa kafanya nipate hili banga
Yaan anavyoimba utasema haimbi kiswahili uwii hongera dada una saut
Hii Ngoma ni very classic 💥
Sepa sepa sepa🥁🥁..wimbo inabamba wachatuu…
🔥🔥🔥
Nyie huyu dada ni gifted pure saut inapenya kaza Rihanna hv♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏
@leopord1512
Жыл бұрын
Aseeee sio poa. Mm sio ww ku listen the same song repeatedly 😩😩but. For this. Song. I did. It Aseee and. The rhythmical ina tugusa sana
@AshelChija
10 ай бұрын
Umeisikia ee?? Rihanna mtupu
Ata favo akufikii wewe n nouma
Bonge la ngoma nimeikubali sana much respect
@appytz
Жыл бұрын
shukrani sana🙏🙏🙏
@dinnaerick
Жыл бұрын
Lov upo na saut nzur nmepambana sana kuitafta hii nymbo❤❤
Afadhali umekuja kutuokoa mana tumechoka na machapati huu ndo mziki tuloumiss kipindi sijui ulikuwa🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Namsikia Shakira yule wa Mamtoni humu ndani🎈🙌✅
Sepa sepa
Dada Appy nataka zile mboga mboga nimezimis big up sana tupo pamoja
Rihana mtupu uyu dada
Listened to "Watu Feki" then decided to check out her whole talent❤
🔥🙌 kibabe Sana 🏃🏽♂️
@appytz
Жыл бұрын
shukrani sana
hii ngoma remix yake hapite marioo moto utawaka ngoma kali sana
@appytz
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
hii nyimbo nzuri natamani uje kuwa maarufu kama zuchu
Respect sister uko na sauti tamu,,🔥🔥🔥🔥👌👌👌🙌🙌🙌
Dada ni Mtanzania au
Appy upo vizuri sanaa...keep it up
Unaimba kama mambali hakuna mdada mtanzania anayekufikia HAKUNA hata mmoja.
Dadek ,vocal inanguvu balaa unyamwezi kam wotee ,huu upekee utakupeleka mbali.AMIN KWAMBAAAAAA ,hongeraaa superstaaar wangu.
Ule msemo wa funika kombe mwanaharamu apie sikuhizi ANALIFUNUA time will tell bonge la video vocol safi RIHANNA Mnen✔️
Uuuuuuuh 🔥❤️❤️🥰 umeweza mama mm Masha'Allah 😍 much love from 🇰🇪🇰🇪
Appy utafika mahali ambapo hutaamini kuwa ni wewe unajua sana wewe,kuanzia leo cmu yangu itakuwa na nyimbo zako tu
Oyaa Appy kama tuko mbele vile iyo melody na sauti🔥🔥🔥
@appytz
Жыл бұрын
Shukrani sana 🙏🙏🙏
@wisemelodytz589
Жыл бұрын
@@appytz piga kazi wana tushakuelewa
@wisemelodytz589
Жыл бұрын
@@appytz issue za uandishi wee nicheki tu
Anaimba vizuri sana
Kazi nzuri sana appy
Mimi Nimerudia
Usikate tamaaa we kajaga utafika mbali sana mziki wako saundi yako iko sokoni.unyama
Kazi mzuli Dada umejitaidi
Huyo mtoto angekuwa WCB hakika hii nchi pangechimbika I Love uu
Woooow song nzr sana kaza budi dada angu...very nice🙏🙏🙏🙏🙏
@appytz
Жыл бұрын
Thank you 🙏🙏🙏
Gd Music 🎶 🎵 👌
A song from 2035 💥
I believe we ni msanii mzuri kwasababu unasaundi kiintaneshino tumezoea wengi mastaa wanao ibuka wanakuja na kuimba kwa kufanana fanana ila wewe at spein wanakumanya
Ayra star kabisa🔥🔥🔥
Kama mnajua huyu sista anasaut kama rihana kamahamuamin sikiliza wimbo wa rehana diamond❤❤
Ndugu Yangu ❤️🙌🙌🙌🙌
Appy upo na talent..watu wakuone basi
Whoooaaa malaika wetu kutok rock city is more than talent go on worldwide 🌎
@appytz
Жыл бұрын
Thanks
Ngoma kali kila kitu kikalii uko vizuri sauti unayo 🇹🇿
Dada noma uyu ni rijua mkenya wakat naanza kusikia wakat wa mwanzo n livyo ona Tanzania dar n mefurah san kua na mtu km uyu Tz ❤❤❤
nakupenda tu bure sauti nayo umebarikiwa jameni..keep up the good work
Dah we dada MUNGU azidi kubariki kazi zako, navofahamu ni kuwa watu waliopitia msoto wa maisha MUNGU Huwa amewaandalia furaha. Keep moving appy wasukuma tupo juu🤗
Nimerudia had nimerudia tena, mashaallha
@appytz
Жыл бұрын
❤❤❤
Sauti nzuri mpaka mwangu kasinzia kweli
Ugandan🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 gather for this gud taste for music ❤❤❤
Halooo nimetoka kuisikia efm nikaja KZread sitaki achia utamu wa wimbo yaani kama Beyonce I like the way you sing
Let's support her jamn nimempenda bure ana sauti nzuri kama yangu😉😉😉😉 ila duh yuko vzr
Hii nyimbo kila siku ni mpya..she is ahead of her time,hii level ya lady gaga
👊👊🔥🔥🔥👌👌🇧🇮🇧🇮 Wakupe ulinzi
Nimeitafuta sana hii nyimbo 🔥🔥 dada unajua 🎶👑🙌🔥 Rihanna tz
Ooh voice 😍 mashallah 😍 kadogo kama shakira saudi yake🎉sauti ni nzuuuuuri mnoo huyu tunampa 10 starts 🌟 anastahili kwakweli big thumb 👍🏽 ❤