Founder TZ - Mfano (Official Music Video)
Music video by Founder TZ performing (Mfano),The song is about Zabibu, a young girl who was raised well and she is one of the young girl who society love to see as her behavior is very fondly, The music Video was shot in Dar es Salaam, Directed by Folex.
Stream/Download - ziiki.media/Mfano-FounderTZ
Listen to Founder TZ on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/foundertz/song/...
Apple Music: / founder-tz
Spotify:open.spotify.com/artist/4LiVq...
Connect with Founder TZ on Social Media:
Instagram: / iamfounder_tz
+For More Information Booking Founder TZ Management:
Contact for Interview or Business:+255 717 192 251
©2024 Ziiki Media All rights reserved.
#FounderTZ #Mfano #Zabibu
Пікірлер: 3 800
Kwanza dogo namkubali, tumezoea nyimbo Kali lazima ziongelee mapenz ila dogo nyimbo zake ni maisha mengine, kama umemwelewa kama Mimi nipe likes hapa
My likes jameni all the way from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kama unaamini huyu dogo anaweza kweli nipee like jamani
Those who will come to watch in 2090 just know l was here 2024
Jirani kaskia nikiusikiliza wimbo huu akaja tusikikize kwa pamoja na hivo ndo nimemkula..wapi like za bonge la hiti
Uyu dogo fan base yake kubwa kuliko chino kama unamkubal nipe likes
Mimi ni mtanzania naomba likes kutoka Kwa wakenya na waking wakongoman
Kutoka +254 hadi Tz nipeni hata likes mbili tuu jamani ❤❤
Mtoto mzur n yule mwenye sifa nzuri nyumbani, uandishiii mzurii, wapi like za msanii wetu❤
Hili goma la moto kama wewe ni mzabibu weka like
Kipaji hakijifichi aisee Wimbo mzuri, ujumbe mzuri hongera sana mdogo wetu Mungu akujalie yaliyo mema💪
Mkikubali msanii mwenye kujenga jamii basi founder tz ana stahili. Sababu WCB kuna:
Jamani hakika kipaji cha kweli hakijifichi hii nyimbo siku 11 tayari ni trendingi hakika dogo anajua sana asee kipaji kikubwa from kg nipe like zangu
Kutoka Burundi 🇧🇮 mpaka tz likes Tatu tuh jameni founder tz powa sana😂😂😂
Mm ni mkenya lakn huyu kijana ameweza kabiza vuma mpaka dunia ishangae 🙏🙏
Kama masiala founder Tz anaanza kuendesha range anaikomboa familia, njia za Mungu hazichunguziki🙏🧎
Huyu ndiye atakae kuja kuwa mridhi wa Diamond Platnumz🎉
Kipaji kikali hongera wewe mdogo Naupenda wimbo huu sana tangu Congo Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🥰🥰🥰🥰💯💯💯💯🎉🎉🎉🎉
Trending no 10 in Kenya 🇰🇪, wapi LIKES za 🇰🇪
Likes za mafans kutoka 254 jamani 🇰🇪🇰🇪🇰🇪